MEM 101 ONLINE.pdf

download MEM 101 ONLINE.pdf

of 18

Transcript of MEM 101 ONLINE.pdf

  • 7/23/2019 MEM 101 ONLINE.pdf

    1/18

    Ofisi ya Mawasiliano Serikalini inapokea habari za matukio mbalimbali

    kwa ajili ya News Bullettin hii ya Wizar a ya Nishati na MadiniWasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263

    au Fika Osi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: [email protected]

    HABARI ZA

    NISHATI &MADINI

    Toleo No. 101 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Januari 7 - 13, 2016Bulletinews

    http://www.mem.go.tz

    SomahabariUk.3

    Wakandarasi Geita watakiwa kukamilisha Miradi Machi 30

    TANESCO HAIUZWI-

    Profesa Muhongo

    Prof. Sospeter Muhongo

  • 7/23/2019 MEM 101 ONLINE.pdf

    2/18

    2 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Na Mwandishi wetu

    Imeelezwa kwamba Serikali hainampango wa kuuza hisa za Shirikala Umeme Tanzania (TANESCO)kwa umma.

    Hayo yamo katika taarifailiyoandaliwa na Wizara ya Nishati naMadini kupitia Kitengo cha MawasilianoSerikalini ikimnukuu Waziri wa Nishati

    na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.Taarifa hiyo ilieleza kwamba mnamoMwezi Juni 2014, Serikali ya Jamhuri yaMuungano wa Tanzania ilipitisha nakuchapisha Mkakati wa Mageuzi yakuboresha Shirika hilo ujulikanao kamaElectricity Supply Industry ReformStrategy and Roadmap (ESI-RSR) 2014

    2025.Kwa mujibu wa taarifa hiyo ni

    kwamba lengo la Mkakati huo nikuboresha mazingira ya uwekezaji wasekta binafsi katika nyanja za uzalishaji nausambazaji, na kuongeza uunganishajiwa umeme katika ngazi zote na ambaounatarajiwa kutekelezwa katika kipindicha miaka kumi na moja (11).

    Mkakati huo wa Electricity SupplyIndustry Reform Strategy and Roadmap

    (ESI-RSR) 2014 2025 umegawanyikakatika vipindi vikuu vitatu ambavyo nimuda mfupi, wa kati na muda mrefu.

    Mkakati wa muda mfupi umelengakutenganisha shughuli za Uzalishajiili zifanywe na Kampuni Tanzu yaTANESCO. Katika kipindi hicho chamuda mfupi, umiliki wa uzalishaji,

    usafirishaji na usambazaji utaendeleakuwa chini ya Serikali, kama mbia moja.

    Vilevile katika muda wa kati, Mkakatihuo unahusu kutenganisha sehemu yausambazaji kutoka kwenye usafirishaji.Kwa maana nyingine ni kwamba katikaAwamu hii, Kampuni za uzalishaji,usafirishaji na usambazaji zitaendeleakuwa chini ya umiliki wa Serikali.

    Aidha, taarifa hiyo ilieelezakwamba Mkakati wa muda mrefuutahusisha Ofisi za Kanda kujihusishana usambazaji wa huduma za umemeambazo pia zitagawanywa kulinganana uwezo wa kujiendesha. Hiyo ikiwana maana kwamba katika kipindi hichocha muda mrefu, kampuni binafsi

    za usambazaji umeme zitaendeleakushiriki katika shughuli za uzalishajina usambazaji umeme kwa ajili yakuchochea ushindani na ufanisi kwenyesoko.

    TANESCO HAIUZWI-Profesa Muhongo

    Prof. Sospeter Muhongo

    MKUTANO NA KAMPUNI YA AFRICOMMERCE INTERNATIONAL LTD

    1. Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kushoto)akizungumza jambo wakati wa kikao chake na Mkurugenzi Mtendajiwa Kampuni ya Africommerce International Limited, Elisante Muro(hayupo pichani) ambaye alimtembelea Waziri huyo kuzungumzia fursaza uwekezaji kwenye sekta ya nishati nchini. Wa kwanza kulia ni NaibuKatibu Mkuu- Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo akifuatiwa naNaibu Katibu Mkuu- Madini, Profesa James Mdoe.

    2. Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kulia)akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya AfricommerceInternational Limited, Elisante Muro

    3. Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kulia)akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya AfricommerceInternational Limited, Elisante Muro (kulia kwake) akifuatiwa na MshauriMwelekezi wa Kampuni hiyo, Justin Sekumbo wakati wa kikao cha

    kujadili fursa za uwekezaji nchini.

    1 2

    3

  • 7/23/2019 MEM 101 ONLINE.pdf

    3/18

    3BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    TahaririMEM

    Na Badra Masoud

    FIVEPILLARS OFREFORMS

    KWA HABARI PIGA SIMUKITENGO CHA MAWASILIANO

    BODI YA UHARIRI

    MHARIRI MKUU:Badra MasoudMSANIFU: Lucas Gordon

    WAANDISHI: Veronica Simba, Asteria Muhozya, GreysonMwase Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James ,

    Nuru Mwasampeta na Zuena Msuya

    INCREASE EFFICIENCY

    QUALITY DELIVERYOF GOODS/SERVICE

    SATISFACTION OFTHE CLIENT

    SATISFACTION OFBUSINESS PARTNERS

    SATISFACTION OFSHAREHOLDERS

    TEL-2110490

    FAX-2110389

    MOB-0732999263

    TANESCO bado ni

    shirika la uma

    TEL-2110490

    FAX-2110389

    MOB-0732999263

    Wakandarasi Geita watakiwakukamilisha Miradi Machi 30

    Wiki hii mnamo tarehe 5 Januari, 2016, gazeti la TheCitizen katika ukurasa wake wa 12 lilichapisha taarifapotofu iliyobeba kichwa cha habari Umma kununuaasilimia 49 ya hisa za Tanesco.

    Sehemu ya taarifa husika ilisema Serikali ya Tanzaniaina mpango wa kuuza hisa ya Shirika la Umeme Tanzaniakwa umma... na kuongeza kwamba Waziri wa Nishatina Madini, Profesa Sospeter Muhongo aliliambia gazetila East African kuwa Serikali itatoa asilimia 49 ya hisa zaShirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wakati huo

    Serikali ikibaki na hisa zingine.Tumeshangazwa na kusikitishwa na taarifa hiyoambayo haina ukweli wowote na pia hatuelewi sababu nalengo la kuchapisha taarifa hiyo potofu na kuacha isambaekwa umma.

    Tunasema taarifa hiyo si ya kweli na ni potofu. Ukwelini kwamba Waziri wa Nishati na Madini, Profesa SospeterMuhongo hajafanya mahojiano yoyote na mwandishiama mhariri wa gazeti hilo.

    Tungependa umma uelewe kwamba Serikali hainampango wa kuuza hisa za TANESCO kwa umma.Taarifa sahihi ni kwamba mnamo Mwezi Juni 2014,Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilipitishana kuchapisha mkakati wa Mageuzi ya kuboresha Shirikahilo ujulikanao kama Electricity Supply Industry ReformStrategy and Roadmap (ESI-RSR) 2014 2025.

    Ifahamike kwamba lengo la Mkakati huo ni kuboresha

    mazingira ya uwekezaji wa sekta binafsi katika nyanjaza uzalishaji na usambazaji, na kuongeza uunganishajiwa umeme katika ngazi zote na ambao unatarajiwakutekelezwa katika kipindi cha miaka 11.

    Aidha, mkakati huo wa Electricity Supply IndustryReform Strategy and Roadmap (ESI-RSR) 2014 2025umegawanyika katika vipindi vikuu vitatu ambavyo nimuda mfupi, wa kati na muda mrefu.

    Mkakati wa muda mfupi umelenga kutenganishashughuli za Uzalishaji ili zifanywe na Kampuni Tanzuya TANESCO. Katika kipindi hicho cha muda mfupi,umiliki wa uzalishaji, usafirishaji na usambazaji utaendeleakuwa chini ya Serikali, kama mbia moja.

    Vilevile katika muda wa kati, Mkakati huo unahusukutenganisha sehemu ya usambazaji kutoka kwenyeusafirishaji. Kwa maana nyingine ni kwamba katikaAwamu hii, Kampuni za uzalishaji, usafirishaji na

    usambazaji zitaendelea kuwa chini ya umiliki wa Serikali.Mkakati wa muda mrefu utahusisha Ofisi za Kandakujihusisha na usambazaji wa huduma za umeme ambazopia zitagawanywa kulingana na uwezo wa kujiendesha.Hiyo ina maana kwamba katika kipindi hicho cha mudamrefu, kampuni binafsi za usambazaji umeme zitaendeleakushiriki katika shughuli za uzalishaji na usambazajiumeme kwa ajili ya kuchochea ushindani na ufanisikwenye soko.

    Tunawahimiza wadau wote kusoma mkakati wamageuzi ujulikanao kama Electricity Supply IndustryReform Strategy and Roadmap (ESI-RSR) 2014 2025ambao unapatikana mitandaoni.

    Aidha, tunawakumbusha Waandishi wa Habari naWahariri ambao hawazingatii maadili ya taaluma yaokuandika taarifa sahihi ili kuepusha upotoshaji kwa umma.Ni vyema likitokea jambo ambalo hawana uhakika nalo,

    badala ya kulichapa kwenye vyombo vyao vya habariwaulize ili kupata ufafanuzi.

    Na Teresia Mhagama, Geita

    Naibu Waziri wa Nishati naMadini, Dkt. Medard Kalemaniamewaagiza wakandarasiwanaosambaza umeme vijijinikatika mkoa wa Geita kumaliza

    kazi hiyo ifikapo tarehe 30 mwezi Machimwaka huu.

    Naibu Waziri aliyasema hayo wakatiwa kikao chake na Wakandarasi haokilichofanyika mkoani Geita na kuhudhuriwana Watendaji wa Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) na Wakala wa Nishati Vijijini(REA).

    Kama REA wamewalipa gharama za

    kusambaza umeme vijijini na hamjakamilisha

    miradi ndani ya wakati, lazima mlipefidia ya usumbufu mliosababisha kwakuwachelewesha wananchi kupata hudumaya umeme na kama kuna Afisa wa Serikalianazembea katika kusimamia miradi hii nayeye ataondoka, alisema Dkt. Kalemani.

    Naibu Waziri pia aliwaagiza wakandarasihao kuhakikisha kuwa nguzo zote zilizo chinikatika vijiji mbalimbali nchini zinasimikwana sehemu ambazo nguzo za umemezimesimikwa lakini nyaya hazijafungwawahakikishe nyaya hizo zinafungwa ilikupeleka umeme kwa wananchi.

    Aidha, Naibu Waziri ametoa sikuTano kuunganishiwa umeme kwa watejaambao wamelipia gharama lakini bado

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (wa pili kulia)akimsikiliza mmoja wa wananchi wanaozunguka mgodi wa dhahabu wa Busolwamkoani Geita wakati alipofanya ziara katika mgodi huo ili kuangalia shughulimbalimbali zinazofanyika katika mgodi huo.

    >>Inaendelea Uk. 4

  • 7/23/2019 MEM 101 ONLINE.pdf

    4/18

    4 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (wa tatu kulia) akiangalia baadhi ya mitamboinayotumika katika shughuli za uzalishaji dhahabu katika mgodi wa Busolwa mkoani Geita wakati alipofanyaziara katika mgodi huo. Wa kwanza kulia ni mmiliki wa mgodi huo, Baraka Ezekiel.

    Baadhi ya mitambo inayotumika katika shughuli za uzalishajidhahabu katika mgodi wa Busolwa mkoani Geita unaomilikiwa naBaraka Ezekiel.

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (katikati)akiwa na Watendaji mbalimbali kutoka Wizara ya Nishati na Madini,Shirika la Umeme nchini (TANESCO), Wakala wa Ukaguzi wa MadiniTanzania (TMAA), Wakala wa Nishati Vijijini (REA)na Shirika la

    Madini la Taifa (STAMICO) wakati wa kikao chake na Wakandarasiwanaosambaza umeme vijijini (hawapo pichani) kilichofanyika mkoaniGeita .

    hawajaunganishiwa nishati hiyo.Ndugu zangu Serikali ya Awamu

    ya Tano imekusudia kuondoa keroza umeme, haya ni maagizo yasiyona mjadala sanasana ni kutekeleza

    tu, wananchi wanahitaji umemeusiokatika mara kwa mara, usio namgawo na wa gharama nafuu, serikalihii tumeshasema kwamba suala lakukatika umeme mara kwa marahalikubaliki na atakayesababisha halihiyo kwa makusudi itabidi na yeyeakatikie hapohapo, alisema Dkt.Kalemani.

    Vilevile, Naibu Waziri alitoa sikumbili kwa Shirika la Umeme nchinikatika mkoa wa Geita kuhakikishakwamba suala la umeme kukatikamara kwa mara katika mkoa huolinatatuliwa ndani ya siku mbili.

    Meneja wa Kanda umekiri kuwaumeme unakatika mara kwa mara,popote umeme unapokatika kwa

    sababu tu ya mtu kushindwa kufanyamajukumu yake ipasavyo, tafadhalileta jina la ofisa huyo ili tumwajibishe,wananchi hawatuelewi, lazimatuwape umeme wa uhakika, alisemaDkt. Kalemani.

    Wakati huohuo, Naibu Waziriwa Nishati na Madini alifanya ziarakatika mgodi wa dhahabu wa Busolwauliopo katika eneo la Nyarugusumkoani Geita na kumtaka mmiliki wamgodi huo kuendelea kulipa mrabahaSerikalini na kuhakikisha kwambaanazingatia utunzaji wa mazingirawakati wote wa shughuli zake zauchimbaji madini.

    Aidha, Naibu Waziri alimpongezammiliki wa mgodi huo Baraka Ezekiel

    ambaye ameajiri zaidi ya watanzania200 katika mgodi huo na kulipamrabaha wa zaidi ya shilingi milioni25 Serikalini na kuwaasa watanzaniawengine kuwekeza katika sekta hiyo yamadini ili kuweza kutoa ajira zaidi kwawazawa na kuongeza pato la serikalikupitia mirabaha na kodi mbalimbalizinazolipwa na wachimbaji hao kwaserikali.

    >>INATOKA Uk. 3 Wakandarasi GEITA watakiwakukamilisha Miradi Machi 30

  • 7/23/2019 MEM 101 ONLINE.pdf

    5/18

    5BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Na Veronica Simba

    Katibu Mkuu wa Wizaraya Nishati na Madini,Profesa Justin Ntalikwaamesema ni jukumu lawatendaji wote wa Wizara

    kuhakikisha wananchi wananufaikaipasavyo na rasilimali zinazotokana nasekta husika.

    Aliyasema hayo hivi karibuni katikakikao chake cha kwanza cha kazi naWakuu wa Idara na Vitengo wa Wizara.

    Profesa Ntalikwa alisema pamojana jitihada mbalimbali ambazozimekuwa zikifanywa na Wizarakuhakikisha wananchi wananufaikaipasavyo na rasilimali hizo, bado kuna

    manunguniko kutoka kwa jamii haliambayo inaashiria kuwa jitihada zaidizinahitajika.

    Akizungumzia sekta ya nishati,Profesa Ntalikwa alisema wananchiwanalalamika kuhusu kukatika-katikakwa umeme, gharama kubwa zaumeme na ukosefu wa umeme wauhakika na wa kutosha. Ili kukabilianana changamoto hiyo, alisema

    kunahitajika kuwepo miradi mipya yakuzalisha umeme.

    Aidha, alisema kuwa moja yamalengo ya Serikali ya Awamu ya Tanokwa wananchi ni kufufua na kujengaviwanda ili kukuza na kuimarishauchumi. Viwanda ni umeme, hivyo

    hatuna budi kuzalisha umeme wakutosha.Kwa upande wa sekta ya madini,

    Katibu Mkuu Ntalikwa alisema jitihadazinatakiwa ili kufikia malengo yakuongeza mchango wake katika patola taifa kutoka asilimia 3.5 ya sasa hadikufikia asilimia 10 ifikapo mwaka 2025.

    Tunapaswa kuweka mikakati thabitiitakayotuwezesha kufikia malengo hayo

    na kuyavuka ikiwezekana, alisema.Profesa Justin Ntalikwa ni miongonimwa Makatibu Wakuu wapya waWizara mbalimbali walioteuliwa nakuapishwa hivi karibuni na Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk. John Magufuli. Manaibu KatibuWakuu wapya wa Wizara ya Nishati naMadini walioteuliwa na kuapishwa naRais Magufuli ni Profesa James Mdoeanayeshughulikia sekta ya Madini naDk. Juliana Pallangyo anayeshughulikiasekta ya Nishati.

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa

    (Kushoto) akimkabidhi mwongozo wa majukumu ya kazi Naibu KatibuMkuu anayeshughulikia Nishati, Dk. Juliana Pallangyo. Wanaoshuhudia niWakuu wa Idara na Vitengo wa Wizara.

    Katibu Mkuuwa Wizaraya Nishatina Madini,Profesa

    JustinNtalikwa

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa

    (Kulia) akimkabidhi mwongozo wa majukumu ya kazi Naibu Katibu Mkuuanayeshughulikia Madini, Profesa James Mdoe. Wanaoshuhudia ni Wakuuwa Idara na Vitengo wa Wizara.

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa (katikati) akiwa katika kikao kazi naWakuu wa Idara na Vitengo wa Wizara. Kulia kwake ni Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Nishati, Dk.

    Juliana Pallangyo na Kushoto kwake ni Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Madini, Profesa James Mdoe.

    Tunawajibika kuhakikisha Watanzaniawananufaika Prof Ntalikwa

  • 7/23/2019 MEM 101 ONLINE.pdf

    6/18

    6 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Na Veronica Simba

    Waziri wa Nishati naMadini, ProfesaSospeter Muhongoamewaagiza watendajiwa Shirika la Umeme

    Tanzania (Tanesco) na wa Mamlakaya Udhibiti wa Huduma za Nishati naMaji (EWURA) kutafuta uwezekanowa kufupisha muda wa kushughulikiamaombi ya wawekezaji wanaotakakuwekeza katika uzalishaji umeme.

    Alitoa agizo hilo hivi karibuni jijiniDar es Salaam alipokutana na Viongoziwa mashirika hayo kujadili masualambalimbali yanayohusu uwekezajikatika sekta ya nishati.

    Profesa Muhongo alisema utaratibuunaotumika sasa katika kushughulikiamaombi ya wawekezaji katika sektaya nishati unachukua muda mrefuhali inayosababisha usumbufu kwawawekezaji.

    Utaratibu wa kutumia muda mrefukiasi cha miezi sita au zaidi kushughulikiamaombi ya wawekezaji haufai. Sisemimvunje sheria kwa kutofuata utaratibuau kutumia njia za mkato, lakini inabidimtafute namna ya kushughulikiamaombi husika kwa haraka, alifafanuaWaziri Muhongo.

    Ili kuhakikisha sheria inazingatiwawakati wa kutekeleza agizo hilo, Wazirialiwataka Watendaji hao pamoja na

    mambo mengine kufuatilia ili kujuaSheria ya Manunuzi Serikalini inatoamwongozo upi katika suala husika.

    Waziri Muhongo alisema Serikaliimedhamiria kuhakikisha nchi inafikiauchumi wa kipato cha kati ifikapo

    mwaka 2025 na hivyo ni lazima nishati

    ya umeme ambayo ni moja ya vigezomuhimu izalishwe kwa kiasi kikubwakufikia megawati 10,000 ili kutimizamalengo hayo.

    Alisema, Wizara yake imejipanga

    kuhakikisha umeme wa kutosha, wa

    uhakika na bei nafuu unazalishwakutoka vyanzo mbalimbali vilivyoponchini ambavyo ni gesi asilia, maji,

    jotoardhi, upepo, jua, mawimbi yabahari na makaa ya mawe.

    Tangu alipoapishwa na kuanza kazi

    rasmi hapo Desemba 12, 2015, Waziri

    Muhongo amefanya ziara kadhaakujionea na kushughulikia changamotombalimbali zinazoikabili sekta ya nishatihususan masuala ya upatikanaji waumeme wa uhakika na wa bei nafuu.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati) akiwa katika kikao na Watendaji Wakuukutoka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji(EWURA). Wengine ni baadhi ya Maosa kutoka Wizara ya Nishati na Madini. Kikao hicho kilifanyika hivikaribuni Makao Makuu ya Wizara jijini Dar es Salaam.

    EWURA, TANESCO ongezenikasi kazini Prof. Muhongo

    Na Teresia Mhagama,Dodoma

    Kampuni ya Joti structuresinayojenga miundombinuya usafirishaji umeme wamsongo wa kilovolti 400kutoka Dodoma hadi

    Singida imetakiwa kukamilisha ujenziwa miundombinu hiyo ifikapo mweziAprili mwaka huu kama Mkatabaunavyoelekeza.

    Agizo hilo lilitolewa hivi karibuni naNaibu Waziri wa Nishati na Madini,Dkt. Medard Kalemani wakatialipofanya ziara ya kikazi mkoaniDodoma ili kukagua miundombinuya usafirishaji umeme, miradi yaumeme vijijini pamoja na shughuli za

    uchimbaji wa madini.Alitoa agizo hilo baada ya Meneja

    anayesimamia Mradi huo kutokaShirika la Umeme nchini (TANESCO),Mhandisi Oscar Kanyama kumuelezakuwa mkandarasi huyo amekamilishaujenzi wa nguzo (transmission tower)kwa asilimia 30 tu toka alipokabidhiwakazi hiyo mwaka 2013.

    Mkandarasi alianza kazi Novemba2013 na anatakiwa akamilishe tarehe20 Aprili 2016 na hadi kufikia Desembamwaka 2015 ilibidi awe ameshaanzakuvuta nyaya kutoka Dodoma hadiSingida lakini mpaka sasa hajaanza,alisema Mhandisi Kanyama.

    Naibu Waziri aliongeza kuwamkandarasi huyo asipokamilishakazi ndani ya muda uliopangwa

    atalazimika kulipa gharama ambazoserikali itakuwa imeingia kutokana namkandarasi huyo kuchelewesha mradihusika na kupelekwa mahakamani.

    Serikali imeshalipa asilimia 60 yagharama zinazotakiwa ili kukamilishamradi huu lakini huyu mkandarasiamekamilisha kazi kwa asilimia 30tu, hii haikubaliki, hatutamvumiliamtu yeyote anayekwamisha juhudiza usambazaji umeme nchini, awemkandarasi au wasimamizi kutokaserikalini wanaosimamia miradi hii,alisema Dkt. Kalemani.

    Kwa upande wake, Meneja Mkaziwa kampuni ya Joti Structures, D.N.Charjee alimueleza Naibu Wazirikuwa watakamilisha kazi husika ndaniya muda uliopangwa kama ilivyo ndani

    ya mkataba na kwamba asilimia 15iliyobaki ya vifaa vinavyohitajika ilikukamilisha kazi hiyo vitafika tarehe 12Januari 2015.

    Wakati huohuo, Naibu waziriamepiga marufuku shughuli zauchimbaji wa madini ya ujenzi ndaniya mita 30 kutoka katika korongo laIhumwa mkoani Dodoma kwa kuwa

    zimekuwa zikiathiri uwepo wa majikatika kata ya Ihumwa na sehemunyingine zinazotegemea maji hayo kwashughuli mbalimbali.

    Baada ya kuona athari za uharibifuwa mazingira katika korongo hilo,Naibu Waziri alimwagiza KamishnaMsaidizi wa Madini Kanda yaKati, Sostenes Massola kuhakikishakwamba agizo hilo linafanyiwa kazikwani wananchi wengi katika kata hiyowanaopata kipato kutokana na kilimocha umwagiliaji wanaathirika.

    Sheria ya mazingira hairuhusukuharibu vyanzo vya maji, kamakuna uchimbaji wa madini ya ujenzi,Kamishna Msaidizi lazima uhakikishekwamba haufanyiki ndani ya mita 30kutoka kwenye mito na wachimbajilazima wawe na vibali, alisema Dkt.Kalemani.

    Mkandarasi umeme atakiwa

    kumaliza kazi Aprili 2016

  • 7/23/2019 MEM 101 ONLINE.pdf

    7/18

    7BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Na Asteria Muhozya, DSM

    W

    aziri wa Nishati naMadini, ProfesaSospeter Muhongoamewataka Watendajiwa Wizara, Wakuu wa

    Taasisi zilizo chini yake na Watumishiwote kufanya kazi kwa bidii kuhakikishakwamba sekta za Nishati na Madinizinakuwa na manufaa makubwa kwaTaifa ikiwemo mabadiliko kiuchumi.

    Profesa Muhongo aliyasema hayowakati wa kikao cha utambulishowa viongozi wapya wa Wizarakilichoshirikisha Menejimenti yaWizara, Taasisi zilizo chini yakezikiwemo Wakala wa Nishati VijijiniREA), Shirika la Maendeleo ya Petrolia Tanzania (TPDC), Wakala waUkaguzi wa Madini (TMAA), Wakala

    wa Jiolojia Tanzania (GST), Shirika laMadini la Taifa (STAMICO), Chuo chaMadini Dodoma (MRI) na Watendajikutoka Shirika la Maendeleo la Taifa(NDC).

    Ni lazima tujitume, hili ndio jukumuletu la kwanza. Wananchi wanataka

    umeme na wanataka mabadiliko kupitiasekta za Nishati na Madini. Tufanyekazi kwa umoja na uwazi kwa sababutumepewa fursa ya kuwatumikiawananchi hivyo ni lazima tubadilikena mabadiliko kwani manufaa ya taifani lazima. Asiyeweza kuendana nakasi ya awamu hii aondoke, hakunaatakayeonewa, aliongeza Prof.Muhongo.

    Prof. Muhongo aliongeza kuwa,kutokana na uzoefu wa viongozi haona watendaji wa Wizara na Taasisianaamini kuwa yatakuwepo mabadiliko

    katika sekta hizo kutokana na sifa zaokitaaluma na kiutendaji. Wananchiwana imani kubwa na uteuzi wetu na

    uwepo wetu katika wizara hii. Tufanyekazi kwa manufaa ya Taifa, alisemaProf. Muhongo

    Kwa upande wake Katibu Mkuuwa Wizara, Profesa Justin Ntalikwaalieleza kuwa, uongozi huo unatarajiakufanya kazi kwa uadilifu na umakinina kuongeza kuwa, jukumu lililo mbeleyetu ni kubwa, tunahitaji kufanya kazikwa bidii na kwa ushirikiano tukitumiauzoefu wetu kutekeleza majukumuyaliyo mbele yetu ya kuhakikisha kuwasekta hizi zinaongeza mchango wa taifakiuchumi, alisema Profesa Ntalikwa.

    Naye, Naibu Katibu Mkuuanayeshughulikia masuala ya Madini,Profesa James Mdoe, alisema kuwa,anatarajia kujifunza kwa kasi kubwa

    majukumu yake ili kuweza kufikiamatarajio ya wananchi na taifa. Kwaupande wake Naibu Katibu Mkuu

    anayeshughulikia Nishati, Dk. MhandisiJuliana Pallangyo alisema kuwa,nitajifunza na kujipanga kuangalia

    mapungufu na kushirikiana ili kufikiamatarajio ya wananchi, alisema Dkt.Pallangyo.

    Prof. Muhongo awakaribisha viongozi wapya

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwaakizungumza jambo wakati wa kikao cha utambulisho wa viongozi wapyawa Wizara. Kikao hicho kilishirikisha Menejimenti ya Wizara, Taasisi zilizochini ya Wizara zikiwemo Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Shirika laMaendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Wakala wa Ukaguzi wa MadiniTMAA), Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Wakala wa Jiolojia

    Tanzania (GST), Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Chuo cha MadiniDodoma (MRI) na Mtendaji kutoka Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC).Katikati ni Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati),akimsikiliza Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madinianayeshughulikia masuala ya Madini, Profesa James Mdoe wakati wa kikaocha utambulisho wa viongozi wapya Wizarani. Wengine kushoto ni KatibuMkuu wa Wizara Profesa Justin Ntalikwa na Naibu Katibu Mkuu waWizara anayeshughulikia masuala ya Nishati, Dkt. Eng. Juliana Pallangyo.

    Naibu Katibu Mkuu (Nishati), Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo (katikati),akizungumza jambo wakati wa kikao hicho.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati)akimweleza jambo Mkuu wa Chuo cha Madini Dodoma (MRI),Oforo Ngowi

    Ni lazima tujitume,hili ndio jukumu letula kwanza. Wananchiwanataka umeme nawanataka mabadilikokupitia sekta za Nishati naMadini.

  • 7/23/2019 MEM 101 ONLINE.pdf

    8/18

    8 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Na Greyson Mwase,Dar es Salaam

    Waziri wa Nishatina Madini ProfesaSospeter Muhongo,ameiomba nchi yaNorway kuisaidia

    Tanzania kupitia mafunzo hususankatika utafutaji na uchimbaji wa gesina mafuta ili kuongeza wataalam wagesi na mafuta nchini.

    Profesa Muhongo aliyasemahayo katika kikao chake na Baloziwa Norway Nchini Hanne-MarieKaarstad aliyeambatana na ujumbewake uliomtembelea ofisini kwake

    jijini Dar es salaam.Kikao hicho pia kilishirikisha

    watendaji kutoka Wizara ya Nishatina Madini ambao ni pamoja na

    Naibu Katibu Mkuu- Nishati, Dk.Mhandisi Juliana Pallangyo, NaibuKatibu Mkuu- Madini Prof. JamesMdoe.

    Aidha, kikao hicho kilishirikishawatendaji kutoka katika taasisi zilizopochini ya Wizara ambazo ni pamojana Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) Shirika la Madinila Taifa (STAMICO), Wakala waJiolojia Tanzania (GST) na Wakalawa Ukaguzi wa Madini Tanzania(TMAA)

    Profesa Muhongo alisema kuwasekta mpya ya utafiti na uchimbajiwa gesi na mafuta inahitaji wataalamzaidi na kuongeza kuwa serikaliimekuwa ikiwapeleka wataalam wake

    kwenda kusomea masuala ya gesi namafuta katika vyuo vilivyoko nje yanchi kama Scotland na Uingereza.

    Alisema kuwa serikali imeanzisha

    kozi katika Chuo Kikuu cha Dar esSalaam na Chuo Kikuu cha Dodomapamoja na Chuo cha Madini

    Dodoma. Bado tuna uhitaji mkubwa wawahadhiri wenye Shahada za Uzamivu(PhD) kwa ajili ya kufundisha katikavyuo vyetu, na kuzalisha wataalamwatakaofanya kazi katika kampunizinazojishughulisha na utafiti nauchimbaji wa mafuta na gesi nchini.

    Akielezea kuhusu hali ya umemenchini Profesa Muhongo alisemakuwa hali ya umeme nchini ni nzurikutokana na serikali kuweka mikakatiya kuhakikisha kuwa wananchiwanapata umeme wa uhakika.

    Alisema kuwa Serikali kupitiaWakala wa Nishati Vijijini imekuwaikisambaza nishati ya umemevijijini pamoja na kutoa ruzuku kwa

    wazalishaji umeme mdogo kwa njia yamaji (min-hydro) na kuitaka Norwaykuisaidia REA ili iweze kufanikishamiradi yake.

    Akielezea changamoto katikauzalishaji wa umeme nchini ProfesaMuhongo alisema ipo mitamboya kuzalisha umeme kwa njia yamaji yenye kuhitaji matengenezo nakuiomba serikali ya Norway kusaidiamatengenezo ya mitambo hiyo.

    Aliongeza changamoto nyingineni vyanzo vya maji kutosimamiwaipasavyo katika mabwawa ya maji yakuzalishia umeme na kusisitiza kuwatayari serikali imeanza kufanyia kazichangamoto hiyo.

    Naye Balozi wa Norway Nchini

    Hanne-Marie Kaarstad alisemakuwa serikali ya Norway imekuwana ushirikiano mzuri na serikali yaTanzania katika sekta ya nishati nakuahidi kuendeleza ushirikiano huo.

    Prof. Muhongo aiomba Norway kusaidia kuzalisha wataalam wa gesi, mafuta

    Balozi wa Norway Nchini Hanne-Marie Kaarstad, akielezea uzoefuwa Norway kwenye sekta ya gesi na mafuta katika kikao chake naWaziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo. Kikao hichopia kilihusisha watendaji kutoka Wizara ya Nishati na Madini pamojana taasisi zake.

    Naibu Katibu Mkuu- Nishati, Dk.Mhandisi Juliana Pallangyo (kulia)na Naibu Katibu Mkuu- MadiniProf. James Mdoe. (kushoto)wakifuatilia kikao hicho.

    Naibu Katibu Mkuu- Nishati, Dk.Mhandisi Juliana Pallangyo akifafanuajambo katika kikao hicho.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kulia) akimueleza jambo Balozi wa NorwayNchini, Hanne-Marie Kaarstad (kushoto) osini kwake mara baada ya kumalizika kwa kikao hicho.

  • 7/23/2019 MEM 101 ONLINE.pdf

    9/18

    9BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    MAKALA

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (kushoto)na Mkuu wa wilaya ya Mbeya Nyirembe Munasa wakiwa katika Kijijicha Makwenji wilaya ya Mbeya vijijini ambapo Naibu Waziri alikaguavyanzo vinavyotiririsha maji kwenye mito inayopeleka maji katikabwawa la uzalishaji umeme la Mtera.

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (mwenyetai nyekundu) akikagua moja ya miradi mikubwa ya kilimo cha

    umwagiliaji inayofanyika katika wilaya ya Mbarali mkoa wa Mbeyaambayo hutumia maji kutoka katika mapitio yanayopeleka maji katikabwawa la uzalishaji umeme la Mtera.

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (katikati)akizungumza na wananchi katika kijiji cha Chimwenga wilaya ya Mbeyavijijini ambapo Naibu Waziri aliwaeleza wananchi hao umuhimu wakukaa mbali na vyanzo vya maji ili kutoharibu na kusababisha upungufuwa maji unaopelekea bwawa la umeme la Mtera kukauka.

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (mbele)akiwa katika ukaguzi wa vyanzo vinavyotiririsha maji kwenye mito

    inayopeleka maji katika bwawa la uzalishaji umeme la Mtera.Nyumayake ni Kamishna Msaidizi wa Nishati anayeshughulikia Maendeleo yaNishati, James Andilile.

    DK. Kalemani aonya wanaozunguka vyanzo vya maji MTERA

    Na Teresia Mhagama,Mbeya

    Wa n a n c h iwanaozungukav y a n z ovinavyotiririshamaji katika mito

    inayomwaga maji kwenye bwawala uzalishaji umeme la Mterawametakiwa kuhakikisha kuwahawafanyi shughuli zozote zakiuchumi au ujenzi wa makazi ndaniya eneo la mita 60 kutoka kilipochanzo cha maji.

    Hayo yalielezwa hivi karibuni

    na Naibu Waziri wa Nishati naMadini, Dkt. Medard Kalemaniwakati alipofanya ziara ya kukaguavyanzo vya maji katika wilaya yaMbeya vijijini ambavyo vinachangiaupatikanaji wa maji katika bwawa

    la Mtera lenye uwezo wa kuzalishaumeme wa kiasi cha Megawati 80.

    Licha ya kuagiza kwamba eneohilo la mita 60 lisifanyike shughulizozote zikiwemo za kilimo na ufugaji,Dkt. Kalemani pia aliiagiza Ofisi yaMkuu wa Wilaya ya Mbeya kufanyatathmin ili kufahamu idadi ya watuwanaoishi ndani ya eneo hilo katikavyanzo vyote vya maji ili kuonauwezekano wa kuwahamisha kwakufuata utaratibu.

    Vilevile, Naibu Waziri aliagizakuwa vyanzo vyote vya maji viwekewealama ili kuepusha wananchi kuingiliamaeneo hayo na kufanya shughulizitakazoathiri upatikanaji wa majikatka mabwawa ya uzalishaji umeme.

    Zuio hili ni lazima liendesambamba na suala la Halmashaurizetu kuwa na mipango ya matumiziya ardhi, bila hivyo hakutakuwa

    na matumizi endelevu ya maji namatokeo ni kama haya ambapowananchi wanaamua kufanyashughuli kama za kilimo na ufugajikatika vyanzo vya maji na kusababishauharibifu, alisema Dkt. Kalemani.

    Dkt. Kalemani pia aliwaagizawatendaji wa Wilaya na Halmashaurizinazozunguka vyanzo hivyo,kutoa elimu kwa wananchi juu yaumuhimu wa matumizi bora ya majikatika vyanzo na mapitio ya majiyanayopeleka maji katika bwawa lamtera ambalo sasa limesimamishauzalishaji wa umeme kutokana naupungufu wa maji.

    Kuhusu suala la wananchiwenye vibali kutumia maji hayokwa shughuli mbalimbali ikiwemokilimo, Naibu Waziri alisema kuwawananchi hao wanapaswa kutumiamaji kwa kiwango walichoruhusiwa

    tu na si vinginevyo na yeyoteatakayebainika kuharibu chanzocha maji atachukuliwa hatua kali zakisheria.

    Wadau mbalimbaliwanaosimamia sheria zinazoongozasekta ya maji ikiwemo Wizarazinazohusika na maji, Kilimo, Mifugo,Nishati na Madini na Mamlaka zaMabonde, lazima wahakikishe kuwawanasimamia sheria hizo kikamilifu,kila mtu atimize wajibu wake na kamakuna yeyote ataonekana anafanyahujuma atachukuliwa hatua kali,alisema Dkt. Kalemani.

    Naibu Waziri pia alitoa wito kwawananchi kuvilinda vyanzo vya majinchini kwa kushirikiana na serikalikatika ngazi za vijiji, wilaya na mikoaili kuhakikisha kuwa uharibifu wavyanzo vya maji nchini unafikiatamati.

  • 7/23/2019 MEM 101 ONLINE.pdf

    10/18

    10 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Na Teresia Mhagama, Geita

    Naibu Waziri wa Nishati naMadini, Dkt. Medard Kalemaniametoa siku 14 kwa mgodi wadhahabu wa Buckreef kuanza

    uzalishaji la sivyo wataandikiwa hati ya

    makosa na Afisa Madini mkoa wa Geita.Naibu Waziri alitoa agizo hilo baadaya kufika katika mgodi huo uliopo katikakata ya Lwamgasa mkoani Geita na kuonahakuna shughuli zozote za uzalishajizinazoendelea.

    Najua kuwa hamjazalisha dhahabumpaka sasa, lakini lazima mzalishe ilikulipa kodi na mrabaha, bila kufanyahivyo ndani ya siku 14 zijazo mtaandikiwahati ya makosa kama Sheria ya Madini yaMwaka 2010 inavyoelekeza, mgodi huumnaumiliki toka mwaka 2011, lazimamuanze uzalishaji, alisema Kalemani.

    Aidha Naibu Waziri alisema kuwamgodi huo umechukua maeneo makubwaya uchimbaji madini lakini hayatumiki,na kuutaka mgodi huo kuanisha maeneo

    wanayohitaji kutumia na menginewapewe wachimbaji wadogo.Akijibu suala la ugawaji wa maeneo

    kwa wachimbaji wadogo, Mkurugenzi

    Mtendaji wa kampuni ya Tanzam2000inayomiliki mgodi huo kwa ubia naShirika la Madini la Taifa (STAMICO),Joseph Kahama alisema kuwa wakotayari kukaa na Ofisi ya Madini mkoaniGeita na STAMICO ili kuainisha maeneowatakayowaachia wachimbaji wadogo.

    Kutokana na hoja hiyo, Naibu Wazirialimwagiza Afisa Madini Mkazi mkoawa Geita, Mhandisi Laurian Rwebemberakukaa na watendaji wa mgodi huo ifikapotarehe 10 mwezi huu ili kuainisha maeneohayo na kisha wayagawe kwa wachimbajiwadogo.

    Awali akizungumza na wachimbajiwadogo katika kijiji cha Lwamgasa,Dkt. Kalemani aliwaeleza kuwa serikaliimeongeza kiwago cha utoaji wa ruzukukutoka Dola za Marekani 50,000 hadiDola Laki Moja kwa kikundi na kuwaasawachimbaji hao kujiunga katika vikundiili kuweza kuwa na sifa ya kupata ruzukuhizo.

    Tunataka ruzuku hizi ziwafaidishewananchi wengi lakini si mtu mmoja

    mmoja, ruzuku iwasaidie katika shughuliza uchimbaji madini ikiwemo kununuavifaa vya uchimbaji lakini na ninyi lazimamlipe kodi, alisema Naibu Waziri.

    Awali Mkuu wa mkoa wa Geita,Fatma Mwasa alimweleza Naibu Wazirikuwa maeneo yanayotengwa kwa ajili yawachimbaji wadogo ni vyema yakawayanafanyiwa utafiti ili kuhakikishakama yana madini na hivyo kuepushawachimbaji hao kuwekeza katika maeneo

    yasiyo na madini.Vilevile, alisema kuwa maeneo

    yanayotengwa kwa ajili ya wachimbajiwadogo yagawiwe kwanza kwawachimbaji wasio na vitalu ili ili kuepushasuala la mtu mmoja kumilikishwa vitaluvingi wakati wengine hawana.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati) katikapicha ya pamoja na Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Einar Jensen(wa pili kushoto) pamoja na Manaibu Katibu Wakuu wa Wizara ya Nishatina Madini, Dk. Mhandisi Juliana Pallangyo (kulia) akifuatiwa na ProfesaJames Mdoe.

    Mohamed Seif naDevota Myomba

    Waziri wa Nishati naMadini, Profesa SospeterMuhongo amesemaTanzania ina vyanzo

    vingi vya kuzalishia nishati ya umemehivyo kutoa wito kwa wawekezaji wandani na nje kuwekeza kwenye miradiya kuzalisha umeme.

    Aliyasema hayo jana Makao Makuuya Wizara ya Nishati na Madini, jijiniDar es salaam, alipokutana na Baloziwa Denmark nchini Tanzania, Einar

    Jensen ambaye alifika wizarani hapokujadili fursa za uwekezaji.Wawekezaji wanakaribishwa

    kuwekeza kwenye miradi ya kuzalishaumeme nchini kwani fursa ni nyingi nazinahitaji wawekezaji makini,alisemaProf. Muhongo

    Alisema Tanzania imejaaliwa kuwana vyanzo mbalimbali vya kuzalishiaumeme ambavyo alivitaja kuwa ni gesiasilia, makaa ya mawe, maporomoko yamaji, jua, upepo, jotoardhi na mawimbiya bahari.

    Alisema lengo ni kuhakikishakwamba baada ya miaka kumiijayo Tanzania inakuwa na umemewa kutosha. Lengo la Serikali nikuhakikisha kwamba ifikapo mwaka

    2025, umeme unaongezeka hadi kufikiamegawati 10, 000, alisema.

    Balozi Jenson alisema zipo kampuninyingi Nchini Denmark ambazo zinaouwezo na uzoefu wa kutosha kwenyemasuala ya uzalishaji umeme.

    Alisema tayari kuna kampuni zaDenmark ambazo zimeonyesha nia yakuwekeza kwenye umeme wa upepo nahivyo alisema kinachohitajika ni taarifazaidi kuhusiana na uwekezaji wa ainahiyo.

    Mbali na hilo, Balozi huyo alisemalengo jingine la kutembelea wizaranihapo ni kujenga na kuendelezamahusiano na Serikali na vilevilealimuhakikishia Waziri Muhongo kuwaatazungumza na kampuni nyingine kwa

    ajili ya kuwekeza nchini.Nitakuja na ujumbe kutokaDenmark ambao utafika hapa kwaajili ya kujionea na kutambua fursaza uwekezaji zilizopo nchini hapa,alisema Balozi Jensen.

    Wakizungumza kwa nyakati tofautikatika mkutano huo, Manaibu KatibuWakuu wa Wizara ya Nishati na Madini,Profesa James Mdoe na Dkt. MhandisiJuliana Pallangyo walimuhakikishiaBalozi huyo ushirikiano wa kutoshana vilevile walisema wanasubiri ujiowa kampuni kutoka Denmark ambazozitakuwa tayari kuwekeza nchini.

    Kikao hicho pia kilihudhuriwana Wawakilishi kutoka Shirika laMaendeleo ya Petroli Tanzania

    (TPDC) na Shirika la Umeme Nchini(TANESCO).

    Tanzania ina vyanzo vingi vya

    umeme- Profesa Muhongo

    Serikali yatoa siku 14 mgodiwa Buckreef kuanza uzalishaji

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt.Medard Kalemani (mwenye suti)akizungumza na wachimbaji wadogo wa madini katika Kijiji cha Lwamgasamkoani Geita wakati alipowatembelea wachimbaji hao ili kutatuachangamoto wanazokabiliana nazo katika shughuli za uchimbaji madini.

  • 7/23/2019 MEM 101 ONLINE.pdf

    11/18

    11BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    NAME: Professor Sospeter MuhongoPOSITION: Minister for Energy and Minerals (MP)

    EDUCATION: (PhD)Prof. Muhongo is a recipient of numerous scholarly and professional awards, recognitions, grants, and fellowships. He graduatedwith Dr.rer.nat. Degree from the Technical University of Berlin, Germany.

    BEFORE APPOINTMENTProf Muhongo was the President of the Geological Society of Africa (1995-2001).He was the Chairperson of the UNESCO-IUGS-IGCP Scientific Board of International Geoscience Programme (2004-2008);Chair (2007-2010) of Science Programme Committee (SPC) of the UN-proclaimed International Year of Planet Earth (IYPE)Prof Muhongo was nominated by his country to be a candidate (2009) for the post of the Director General of UNESCO.

    He was the Chairman (1999-2005) of the Board of Directors of the State Mining Corporation (STAMICO), Tanzania;Prof Muhongo was the Chairman (2002) of the Tanzania Governments Commission of Inquiry on the deadliest Merelanitanzanite mines accident.

    PROFFESIONAL AFFILIATION:He is a member of several editorial boards of science journals and bulletins.He was the founding Regional Director (2005-2010) of the ICSU Regional Office for Africa, Pretoria, South Africa.

    An Honorary Fellow of the Geological Society of London (est. 1807),Honorary Fellow of the Geological Society of America (est. 1888) and;Honorary Research Fellow of the Chinese Academy of Geological Sciences (est. 1956)

    NAME: Professor Justin NtalikwaPOSITION: Permanent Secretary, Ministry of Energy and MineralsEDUCATION: Ph.D. (Chemical Engineering), University of Wales, Swansea, United Kingdom

    BEFORE APPOINTMENT: Chairman, Board of Geological Survey of Tanzania (GST) - 1st July 2014 to Date: External Examiner, University of Botwana- September 2014 to date: Associate Professor- The University of Dodoma, College of Earth Sciences, School of Mines and Petroleum

    Engineering 1st July 2011 To date. Principal, College of Earth Sciences- The University of Dodoma, College of Earth Sciences, School of Mines and

    Petroleum Engineering 1st July 2011 To date.

    Deputy Director (Technology Development), Technology Development and Transfer center (TDTC)- Oct. 2006 Aug. 2009. Board Member, Faculty of Mechanical and Chemical Engineering, UDSM- July 2004 July 2009. Acting Head, Department of Chemical and Process Engineering, UDSM - July 2004 - Nov. 2006.

    PROFFESIONAL AFFILIATION:Member of the Institution of Engineers, Tanzania (IET)Registered Professional Engineer Tanzania

    NAME: Professor James MdoePOSITION: Deputy Permanent Secretary (Minerals), Ministry of Energy and Minerals

    EDUCATION: PhDUniversity of York (UK) Title of PhD thesis: Organically Modified Mesoporous Silicas as Base Catalysts for Green Chemistry

    BEFORE APPOINTMENT: Head, Department of Chemistry University of Dar es Salaam- Dec 2007 to date Board member, Faculty of Science now College of Natural and Applied Sciences, University of Dar es Salaam- Dec

    2007 to date Board member, Institute of Traditional Medicine-2008-to date Member of editorial Board, Tanzania Journal of Science- 2006 to date

    PROFFESIONAL AFFILIATION: Founder Member of the Tanzania Chemical Society (TCS) Founder Member of Eastern African Materials Research Society (EAMRS) Founder Member of Materials Science and Solar Energy Network for Eastern and Southern Africa (MSEESSA)

    >>TO BE CONTINUED NEXT ISSUE...

    NEW APPOINTEES PROFILES

  • 7/23/2019 MEM 101 ONLINE.pdf

    12/18

    12 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Serikali kunyanganya vitaluvya madini visivyoendelezwa

    Na Teresia Mhagama, Singida

    Serikali imesema kuwa itanyanganya vitalu vya madini visivyoendelezwa nakuwapatia wachimbaji wadogo nchini ili waviendeleze.

    Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. MedardKalemani wakati akizungumza na Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Fatma

    Toufiq kabla ya kukagua miradi ya uchimbaji madini pamoja miradi ya umemewilayani humo.

    Tutachukua maeneo yasiyoendelezwa na kuwagawia wachimbaji wadogokama Sheria ya Madini ya Mwaka 2010 inavyoelekeza hivyo Kamishna Msaidiziwa Madini Kanda ya Kati hakikisha hilo linatekelezwa, alisema Dkt. Kalemani.

    Naibu Waziri alitoa agizo hilo baada ya Mkuu wa Wilaya ya Manyoni, FatmaToufiq kumweleza changamoto mbalimbali wanazokumbana nazo wachimbajiwadogo katika wilaya hiyo ikiwemo utumiaji wa zana duni za uchimbaji madinipamoja na ukosefu wa maeneo ya uchimbaji madini kutokana na watu wengikuhodhi maeneo hayo kwa muda mrefu bila kuyafanyia kazi.

    Aidha, Mkuu wa wilaya alimweleza Naibu Waziri kuwa licha ya changamoto zawachimbaji wadogo, wilaya hiyo pia inakabiliwa na changamoto ya umeme kukatikamara kwa mara jambo ambalo linaathiri shughuli za kiuchumi za wananchi katikawilaya hiyo.

    Akifafanua suala hilo Naibu Waziri alieleza kuwa umeme katika wilaya hiyona mikoa ya Iringa, Singida, Dodoma na Kanda ya Ziwa utatengemaa mara baadaya ujenzi wa njia kuu ya umeme wa msongo wa kilovolti 400 kutoka Iringa hadiShinyanga kukamilika mwezi Juni mwaka huu kwani miundombinu hiyo itasafirishaumeme kwa kiwango kikubwa tofauti na miundombinu ya sasa ambayo inasafirishaumeme kwa msongo kilovolti 220.

    Hata hivyo Naibu Waziri aliwataka watendaji wa Tanesco katika wilaya hiyokuhakikisha kwamba umeme haukatiki kwa sababu ya uzembe wa kibinadamukufanya au kutokufanya kitu fulani bali utokane na majanga ya kiasili ambayohayazuiliki.

    Watendaji wa Tanesco nileteeni taarifa kwa nini umeme unakatika mara kwamara katika wilaya hii na kama ni uzembe wa mtu basi naye akatike hapohapo,alisisitiza Dkt. Kalemani.

    Wakati huohuo, Naibu Waziri ameitaka kampuni ya Spencon iliyopewa tendaya kusambaza umeme katika vijiji 90 mkoani Singida kukamilisha kazi hiyo ifikapomwezi Mei mwaka huu.

    Naibu Waziri alitoa agizo hilo baada ya kampuni hiyo kusuasua katika kusambazaumeme vijijini kwa kuwa kazi ya kusambaza umeme katika vijiji hivyo ilipaswakukamilika mwezi wa 11 mwaka jana lakini hadi sasa wamesambaza umeme katikavijiji 17 tu.

    Mradi huu unahusisha kilomita 188 lakini mpaka sasa nguzo zimefikia kilomita48 tu, asipokamilisha kazi hii kwa muda huu tuliompa tutataifisha mali zake, nawatendaji wa Tanesco mniletee taarifa ya kina sababu za mradi huu kuchelewa nahatua mlizochukua, alisema Dkt. Kalemani.

    Mmiliki wa kiwanda cha Uongezaji Thamani Madini ya Jasi kilichopo

    mkoani Singida, Emmanuel Shilla akimuonesha Naibu Waziri waNishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (wa kwanza kushoto) mojaya bidhaa za urembo wa ndani ya nyumba unaotengenezwa kutokanana madini ya jasi yanayopatikana mkoani Singida.

    Naibu Waziri waNishati na Madini,Dkt. Medard Kalemani(wa kwanza kushoto)akitazama jinsi madiniya Jasi yanavyotumikakutengeneza vitumbalimbali ikiwemourembo wa ndani yanyumba mara baada yakutembelea kiwandacha Uongezaji ThamaniMadini ya Jasi cha SingidaCornice. Aliyevaa shati

    jeupe ni mmiliki wakiwanda, Emmanuel Shilla.

    Naibu Waziriwa Nishati naMadini, Dkt.Medard Kalemani(kushoto)akiangalia

    jinsi mtambowa bayogesiulivyomwezeshammiliki wamtambo huo,Habiba Sengasu(kulia) kupatafaida mbalimbaliikiwemo nishati yakupikia.

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (wa pilikushoto) akiangalia moja ya mitambo ya bayogesi inayomilikiwa naHabiba Sengasu (wa kwanza kushoto) mkoani Singida.

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (kulia)

    akizungumza na wachimbaji wa madini ya jasi mkoani Singida wakatialipoka wilayani Manyoni mkoani Singida ili kukagua shughuli zauchimbaji wa madini hayo na kuzungumza na wachimbaji wadogo.Wakwanza kushoto ni Yusuph Kibira na katikati ni Ismail Ivata.

  • 7/23/2019 MEM 101 ONLINE.pdf

    13/18

    13BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Uholanzi kuendeleza ushirikiano na TanzaniaNa Rhoda James

    Serikali ya Uholanzi imesemaitaendeleza ushirikiano uliopo kati

    yao na Tanzania katika utekelezajiwa miradi mbalimbali ikiwemo ya

    kusambaza umeme vijijini, ambayo tayarinatekelezwa katika maeneo mbalimbali

    nchini yakiwemo ya Mpanda, Ngara,Biraharamulo na Karagwe.

    Hayo yameelezwa hivi karibuni jijiniDar es Salaam na Naibu Mkuu wa Ubaloziwa Uholanzi nchini, Hinke Nauta wakati

    wa kikao chake na Waziri wa Nishatina Madini, Profesa Sospeter Muhongo,kilichofanyika Makao Makuu ya Wizara,ambapo Hinke na ujumbe wake walifikakujadili masuala mbalimbali kuhusu sektaya nishati ikiwemo ya kuwajengea uwezowatumishi katika sekta hiyo.

    Vilevile, Nauta alichukua fursahiyo kumpongeza Prof. Muhongo kwakuteuliwa kwake tena kuwa Waziri waNishati na Madini pamoja na namnaambavyo anashughulikia masuala yanishati nchini.

    Naye, Profesa Muhongo aliishukuru

    Serikali ya Uholanzi kwa kuendelezaushirikiano na Tanzania hususani katikautekelezaji wa miradi ya nishati ambayoinalenga katika kuongeza kasi ya ukuaji wauchumi nchini.

    Aidha, alishukuru nchi hiyo kwafursa mbalimbali za kuwajengea uwezowatumishi wa kada mbalimbali zenyeuhusiano wa moja kwa moja na Wizara.

    Alizitaja Taasisi za umma ambazotayari nchi ya Uholanzi imetoa mafunzoya vitendo kuhusu masuala ya Mafuta naGesi Asilia kuwa ni pamoja na Shirikala Mapato Tanzania (TRA), Shirika la

    Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC),

    Wizara ya Nishati na Madini (MEM),

    Baraza la Usimamizi la Mazingira

    Tanzania (NEMC) na Mamlaka ya

    Usalama na Afya mahali pa Kazi (OSHA).Vilevile, Profesa Muhongo alitumia

    fursa hiyo kuiomba nchi ya Uholanzi

    kuendelea kuisaidia Tanzania katika

    miradi yake ya kusambaza Gesi Asilia

    viwandani na majumbani katika jiji la Dar

    es Salaam kupitia Shirika la Maendeleo ya

    Petroli Tanzania (TPDC).

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikatimbele) katika Kikao kati ya Wizara na Ujumbe kutoka Ubalozi waUholanzi nchini. Kushoto kwake ni Naibu Mkuu wa Ujumbe waUholanzi, Hinke Nauta, na Watumishi wengine kutoka Taasisi zilizochini ya wizara na Ujumbe kutoka Uholanzi.

    Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (Mbele)akifafanua jambo wakati wa kikao chake na Balozi wa Uholanzi nchini,Hinke Nauta na ujumbe wake. Wengine ni watumishi wa Wizara yaNishati na Madini.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati)katika picha ya pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa Madini, Profesa

    James Mdoe (Wa pili kulia) Naibu Katibu Mkuu wa Nishati, Dkt.Mhadisi Juliana Pallagyo (Wa kwanza kulia). Wengine ni NaibuMkuu wa Ujumbe wa Uholanzi, Hinke Nauta(wa kwanza kushotokwa waziri) anayefuatia ni Mratibu wa Umeme wa Kandainayojumuisha nchi za Tanzania na Msumbiji, Marijn Noordam na Asaanayeshughulikia Sera, Utawala na Sera za Kiuchumi, Neema Matafu.

    Watumishi kutoka Wizara ya Nishati na Madini pamoja na watumishikutoka taasisi zilizo chini ya wizara wakiwa katika kikao hicho.

  • 7/23/2019 MEM 101 ONLINE.pdf

    14/18

    14 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Wataalam kutoka Wizara ya Nishati na Madini , Wizara ya kilimo ,uvuvi namifugo, Wizara ya Maji na Umwagiliaji pamoja na watalaam kutoka Bondela mto Rufiji wakipita eneo ambalo kumejengwa tuta ili kuzuia njia ya asiliya moja ya mito inayomwaga maji katika mabwawa ya kuzalisha umemewa maji kwa nia ya kupisha ujenzi wa mfereji wa maji yatakayotumikakatika kilimo cha umwagiliaji, jambo ambalo limedaiwa kuwa huathirimazingira na utiririshaji wa maji katika mabwawa.

    Tuta lilijengwa katika njia ya asili ya mto ili kupisha ujenzi wa mferejiwa maji yanayotumika katika kilimo cha umwagiliaji, jambo ambalolimedaiwa kuathiri mazingira na utiririshaji wa maji katika mabwawa.

    UKAGUZI VYANZO VYA MAJI

    Sehemu iliyochepushwa maji kitaalamu kutokakatika moja ya mito inayomwaga maji kwenyemabwawa ya kuzalisha umeme wa maji ili majihayo yatumike kwa kilimo cha umwagiliaji.

    u

    uMitambo ya kuzalisha umeme

  • 7/23/2019 MEM 101 ONLINE.pdf

    15/18

    15BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Na Veronica Simba

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa SospeterMuhongo ameiomba Serikali ya Finlandkupitia Wakala wake wa Jiolojia kushirikiana naWakala wa Jiolojia wa Tanzania (GST) katikakuandaa ramani za kijiolojia zinazoonesha

    sehemu zenye madini ya aina mbalimbali hapa nchini yakiwemomadini adimu yajulikanayo kitaalam kama Rare Earth Elements.

    Waziri Muhongo alitoa ombi hilo hivi karibuni MakaoMakuu ya Wizara jijini Dar es Salaam, alipokutana na Baloziwa Finland hapa nchini, Pekka Hukka.

    Akizungumzia umuhimu wa Wakala wa Jiolojia Finlandkushirikiana na GST, Profesa Muhongo alisema nchi yaFinland imeendelea kwa kiasi kikubwa katika teknolojia hivyoinaweza kuisaidia Tanzania kutambua maeneo yalipo madinimbalimbali.

    Alisema, nchi ya Tanzania imebarikiwa kuwa na madini yaaina nyingi lakini changamoto iliyopo ni ukosefu wa teknolojiana Maabara za kisasa katika kufanya tafiti mbalimbali za kijiolojiazinazotumika kuandaa ramani za kijiolojia.

    Tanzania tuna madini yenye thamani kuliko Dhahabu naTanzanite lakini ukosefu wa teknolojia unasababisha Dhahabupekee kuchukuliwa kimtazamo kama ndiyo madini pekee yathamani tuliyonayo.

    Aidha, Waziri Muhongo ameikaribisha Finland kuwekezakwenye maeneo mengine ya sekta husika hususan uzalishaji nausafirishaji wa nishati ya umeme.

    Kwa upande wake, Balozi Hukka mbali na kumpongezaWaziri Muhongo kwa kuteuliwa kwa mara nyingine kuwaWaziri wa Nishati na Madini, alimshukuru kwa utayarialiouonesha kushirikiana katika maeneo mbalimbali. BaloziHukka aliahidi kutoa mrejesho kuhusu maeneo ambayo nchiyake itashirikiana na Tanzania baada ya kupokea taarifa rasmikutoka Wizara ya Nishati na Madini.

    Dk. Kalemani aahidi kuiwezesha STAMIGOLDJacqueline Mattowo &

    Godfrey Francis -STAMIGOLD

    Naibu Waziri wa Nishatina Madini Dkt. MedardKalemani ameahidikuuwezesha Mgodi waDhahabu wa Stamigold

    katika kutatua changamoto ya ufinyu wamtaji kwa lengo la kusaidia Wataalamkufanya utafiti ili kubaini sehemunyingine zenye dhahabu katika eneo lamgodi ili kuongeza uhai wa mgodi nakukuza kiwango cha uzalishaji dhahabukitakachowezesha Serikali kunufaika.

    Ahadi hiyo ilitolewa hivi karibuniwakati wa ziara yake katika mgodi huouliopo wilayani Biharamulo mkoa waKagera iliyolenga kufahamu shughulimbalimbali zinazofanywa na mgodikiwemo mafanikio na changamotoyanayokwamisha mgodi kufikiamalengo yake.

    Akizungumza katika eneo lauchimbaji dhahabu West Zone marabaada ya kupata maelezo ya kina kutokakwa mmoja wa Wataalam kutoka Idaraya Uchimbaji Deogratius Mdoti, NaibuWaziri alisisitiza mgodi kuhakikishaunazalisha kwa faida na kubainishakuwa tayari changamoto ya ufinyuwa mtaji imeingizwa katika bajeti naSerikali inalifanyia kazi kuhakikisha

    changamoto hiyo inatatuliwa kwa mudamuafaka.

    Tunaondoka hapa tukiaminibaada ya miezi sita mgodi wa Stamigoldunaomilikiwa na Serikali kwa asilimiamia moja utaanza kupata faida. Kikubwakinachohitajika hapa ni dhamira yakuhakikisha kwamba mgodi utakapopokea fedha utazalisha kwa faida nakuweza kujiendesha wenyewe hivyonashukuru kuwa mmeahidi wenyewemuda wa kutekeleza hilo, alisisitizaNaibu Waziri.

    Kwa upande wake Meneja Mkuu waMgodi wa Biharamulo Mhandisi DennisSebugwao, alielezea changamotozilizopo na namna mgodi ulivyobunimiradi mbalimbali iliyolenga kukabilianana changamoto ya uhaba wa fedha nakusisitiza miradi yote inahitaji mtaji

    ili kuweza kufanikiwa na hasa fedhakwa ajili ya utafiti wa kubaini sehemunyingine zenye dhahabu katika eneo lamgodi kwa ajili kufanikisha kuongezakiwango cha uzalishaji dhahabu na uhaiwa mgodi.

    Aidha, pamoja na changamotoya uhaba wa fedha wa mgodi tanguulipoanza uzalishaji wa dhahabumnamo mwezi Agosti 2014, umekuwaukilipa kodi mbalimbali kwa Serikaliikiwemo kodi ya mrabaha pamoja nakusaidia jamii zilizo jirani na mgodi

    katika kukabiliana na changamoto zaelimu, afya, uchumi na miundombinu.

    Hii ni mara ya kwanza kwa NaibuWaziri wa Nishati na Madini Dkt.Medard Kalemani aliyeambatana naMaafisa kutoka Taasisi mbalimbali zilizo

    chini ya wizara kufika katika mgodi waBiharamulo tangu alipoteuliwa na Rais

    wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaDkt. John Pombe Magufuli mweziDesemba 2015.

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dr Medard Kalemani akiagana naMeneja Mkuu wa mgodi wa Biharamulo Mhandisi Dennis Sebugwao marabaada ya kukamilisha ziara yake mgodini .

    Balozi wa Finland nchini Tanzania, Pekka Hukka (Kushoto) akisaini Kitabu cha

    Wageni osini kwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo. BaloziHukka alimtembelea Waziri Muhongo hivi karibuni na kufanya mazungumzo kuhusuushirikiano baina ya nchi hizo mbili katika sekta za nishati na madini.

    Finland yaombwa kuisaidia GST

  • 7/23/2019 MEM 101 ONLINE.pdf

    16/18

    16 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Uturuki yaomba kuwekeza TanzaniaNa Rhoda James

    Serikali ya Uturuki imeombakuwekeza katika sekta yaNishati nchini hususaniumeme ili kusaidia upatikanajiwa umeme wa kutosha na wa

    uhakika.Ombi hilo linafuatia kikao baina

    ya Waziri wa Nishati na Madini,Profesa Sospeter Muhongo na Baloziwa Uturuki nchini, Yasemin Eralpkilichofanyika jijini Dar es Salaam,huku pia Balozi huyo akigusiauwekezaji katika sekta za Kilimo naUtalii.

    Vilevile, Balozi Eralp aliishukuruSerikali ya Tanzania kwakuwakaribisha kuwekeza katika sektaya umeme na pia alimshukuru Waziriwa Nishati na Madini Profesa SospeterMuhongo kwa kuwa muwazi nakuufahamisha ujumbe huo kuhusufursa za uwekezaji zilizopo nchinikupitia sekta za nishati na madini.

    Kwa upande wake Waziri waNishati na Madini Profesa SospeterMuhongo, alitumia nafasi hiyokumweleza Balozi Eralp na ujumbewake kuhusu fursa za uwekezajikupitia vyanzo mbalimbali vya nishatiikiwemo Nishati Jadidifu, Gesi Asilia,Makaa ya Mawe ili kuzalisha umemeikiwemo pia sekta ya madini.

    Profesa Muhongo pia alieleza

    kuhusu uwekezaji katika sekta ndogoza Mafuta na Gesi hususani katikaKitalu kilichopo upande wa KusiniMashariki mpakani mwa Tanzaniana Msumbiji, eneo ambalo ProfesaMuhongo alieleza kuwa, Serikaliinahitaji mwekezaji mbia.

    Kipo Kitalu upande waKusini Mashariki mwa Tanzaniana Msumbiji ambacho Serikali yaTanzania inahitaji mwekezaji Mbia.Mnaweza kushirikiana na Shirika letula Maendeleo ya Petroli Tanzania.(TPDC), alisisitiza Prof. Muhongo.

    Pia, Profesa Muhongo alimwelezakuhusu maeneo mengine yanayohitajiuwekezaji kuwa ni Malagarasi,Kakono na Ruhuji. Lakini piamnakaribishwa kuwekeza katikamadini, tunayo madini ya aina nyinginchini ikiwemo dhahabu, alisema

    Prof. Muhongo.Vilevile, Waziri Muhongo

    alimweleza Balozi Eralp kuhusukuisaidia Tanzania katika suala laelimu, hususani ufadhili wa masomokatika ngazi za Uzamivu na uzamilikatika upande wa masomo ya Jiolojia,Mafuta, Gesi na maeneo mengine.

    Akijibu ombi hilo, Balozialimweleza kuwa, Uwezekanowa ufadhili wa masomo hayo upona mara nyingi taratibu za kutumamaombi huanzia mwezi Aprili,alisema Balozi Eralp.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati),Kushoto kwake ni Naibu Katibu Mkuu Upande wa Nishati, Dkt. MhandisiJuliana Pallangyo na anayefuatia ni Naibu Katibu Mkuu Upande wa Madini,Profesa James Mdoe na Balonzi wa Uturuki Nchini Tanzania, YaseminEralp na Msaidizi wake.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kulia) na Baloziwa Uturuki Nchini Tanzania, Yasemin Eralp wakati akisaini kitabu chawageni.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati mbele)akiwa katika kikao hicho.Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Balonzi

    wa Uturuki Nchini Tanzania, Yasemin Eralp katika picha ya pamojabaada ya kikao hicho.

  • 7/23/2019 MEM 101 ONLINE.pdf

    17/18

    17BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Maonesho ya 5 ya Kimataifa yaVito ya Arushayenye aina mbalimbali za vito zikiwemo

    Tanzanite, Ruby, Sapphire, Tsavorite,

    Rhodol ite, Spessart ite, Tourmaline,

    Chrysobery l na Almasiyanatarajiwa kuvutia

    Zaidi ya kampuni 100 za wafanyabiashara na

    wachimbaji madini ya Vito kutoka Tanzania na

    nchi zingine za Afrika Mashariki, Kati na Kusini;

    nazaidi ya wanunuzi 500 kutoka zaidi ya nchi 25

    ulimwenguni

    Jisajili na Ushiriki Sasa!!!

    Wasiliana na: Kamati ya Maandalizi AGF

    Simu: +255 784352299 or +255 767106773

    Barua pepe: [email protected]

    :ama Ofisi za Madini za Kanda

    Yameandaliwa na Wizara ya Nishati na Madini

    kwa kushirikiana naChama cha Wafanyabiashara wa Madini (TAMIDA)

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIUTEKELEZAJI WA MIRADI YA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI

    DAR ES SALAAM: TANZANIA, 07 JANUARI 2016.

    WIZARA YA NISHATI NA MADINIWakala wa Nishati Vijijini (REA)

    Serikali kupitia Wakala na Mfuko wa Nishati Vijijini (REA/REF)inafadhili miradi ya kusambaza umeme vijijini katika mikoa yote yaTanzania Bara. Miradi ya Awamu ya Pili ya Usambazaji Umeme Vijijiniinatekelezwa na wakandarasi kutoka sekta binafsi ambao huhusika naujenzi wa miundombinu ya usafirishaji na usambazaji umeme chini yausimamizi wa TANESCO.

    Malipo ya Huduma kwa Wakandarasi, Wakandarasi Wadogo na vibaruaKumekuwepo na malalamiko ya Kucheleweshwa kwa malipo ya wafan-yakazi na vibarua pamoja na watoa huduma ambao wanashiriki katikaujenzi wa miundombinu ya kusambaza umeme vijijini. Tunapenda ku-wafahamisha wananchi kuwa katika utekelezaji wa miradi ya kusambazaumeme vijijini, Wakala umeingia mikataba na wakandarasi binafsi am-bao wana jukumu la kununua vifaa na kujenga miundombinu ya kusam-baza umeme na wanawajibika kuwalipa vibarua pamoja na gharamanyingine zinazohitajika katika utekelezaji wa miradi husika.

    Madai ya rushwa kwa Huduma ya Kuunganisha UmemeAidha kumekuwepo malalamiko ua rushwa kwa huduma mbalimbali zaumeme Wakala unawahimiza wananchi kuwa malipo yote ya kuungan-ishiwa umeme yafanyike katika ofisi za TANESCO pekee na kwambastakabadhi zitatolewa kwa malipo hayo. Wakala unawaagiza wananchiwajiepushe kulipa fedha kwa mtu yeyote atakayewadai rushwa au kutakamalipo yoyote ya kuunganishiwa umeme yafanyike nje ofisi za TANES-

    CO. Aidha Wakala unawataka viongozi pamoja na wananchi katika mae-neo ya miradi kukemea na kutoa taarifa za madai ya rushwa kutoka kwawakandarasi wakubwa na wadogo pamoja na wafanyakazi au vibaruawao pindi yanapobainika kwenye ofisi za TANESCO, Polisi na Taasisi zaKuzuia na Kupambana Rushwa (TAKUKURU) na vyombo vingine vyadola. Aidha, Serikali itachukua hatua kali za kisheria kwa wakandarasiwakubwa na wadogo, wafanyakazi na vibarua wao pindi watakapobaini-ka kujihusisha na vitendo vya rushwa.

    Kwa taarifa hii, Wakala unawaonya wakandarasi wote kutokujihusi-sha na vitendo vya rushwa na kuhakikisha wanawadhibiti wakandarasiwadogo, wafanyakazi na vibarua wao kutokujihusisha na vitendo vyarushwa. Wakandarasi watakaoshindwa kutekeleza agizo hili, mikatabayao itasitishwa na watanyimwa fursa ya kushiriki kwenye zabuni zamiradi mingine ya kusambaza umeme vijijini.

    Imetolewa na:MKURUGENZI MKUUWAKALA WA NISHATI VIJIJINI (REA)20 SAM NUJOMA, 14414P. O. BOX 7990DAR-ES-SALAAM.

  • 7/23/2019 MEM 101 ONLINE.pdf

    18/18

    18 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    RE- ADVERTISEMENTAPPOINTMENT OF DIRECTORS TO CONSTITUTE THE BOARD OF DIRECTORS OF TPDC

    8th

    January, 2016The desire to appoint a Competent Board ofDirectors.The Ministry of Energy and Minerals (MEM)of the Government of the United Republicof Tanzania as mandated under the PublicCorporations Act and, in that on behalfof the Shareholder of Tanzania PetroleumDevelopment Corporation (TPDC), would liketo recruit able and competent Tanzanians toconstitute and serve in the Board of Directorsof TPDC.

    It is desired that upon their appointment assuch as required under the Law, members ofthe Board of Directors of TPDC will lead andgovern this strategic Corporation to highestlevels of performance in terms of: investingstrategically in the entire petroleum value chain,provision of reliable and quality oil and naturalgas to the Nation, and managing prudently thepetroleum resource and other resources of theCorporation for the benefit of the present andfuture generations.In short, it is expected that under the governanceof this Board of Directors, TPDC shallgo forward in recording desirable positivecontributions to the wellbeing of the Nation atall respects; thus, satisfying the needs and desiresof its shareholder, the Government; investors;

    customers; development partners; and otherstakeholders.

    In these regards, MEM shall closely monitorthe performance of the Board of Directors asrequired under the Law, and in line with pre-agreed Key Performance Indicators (KPLs). TheKPLs shall reflect the expectation outlined inmajor policy documents of the Government, thelaw governing the sector, TPDCs contractualobligations and those of its customers and otherstakeholders.

    Qualification/Qualities of individuals tobe appointed as members of the Board ofDirectors

    MEM therefore desires that the Board of

    Directors of TPDC shall be composed ofindividuals who have demonstrated significantachievements in their respective professionalcareers in business management and theirservice in either public or private sector, or both.The aspirants must possess requisite knowledge;intelligence and experience to enable them make

    significant positive contribution in the Board ofDirectors decision making process.

    In light of Government policies and prioritieson one hand, and the Companys Mission andVision on the other hand, the individuals areexpected to possess qualifications and qualitiesand experience that will add value in theenergy sector and the petroleum sub-sector inparticular. Specifically, the following qualities areconsidered desirable to any candidate aspiringto become member of the Board of Directors of

    TPDC:1. Education: it is desirable that acandidate should hold a graduate degree froma respected college or university majoringin the fields of, natural sciences, economics,finance, engineering, law, or management/administration. Possession of a Masters ordoctoral degree will be an added advantage;

    2. Experience: a candidate must haveextensive experience (not less than 10 years) inhis/her professional career and must demonstratepositive track record of performance inmanagement in either public or private service, orboth. An ideal candidate should have sufficientexperience to fully appreciate and understandthe responsibilities of a director in a challengingcompany like TPDC;

    3. International Experience: experienceworking in either senior management oras director in international organization/corporations relevant to the petroleum industrywill be considered as an advantage to acandidates profile;

    4. Individual Character and Integrity:a candidate must be a person of highest moraland ethical character, impeccable record andintegrity. In this regard, a candidate mustexhibit independence and demonstrate personalcommitment to serve in the Companys andpublic interests:

    5. Personal Qualities: a candidate musthave personal qualities that will enable him

    to make substantial active contribution inthe Boards decision-making process. Thesequalities include intelligence, self-assuredness,independence, highest ethical standing, practicalknowledge to corporate governance standards,willingness to ask difficult questions, inter-personal skills, proficiency in communication

    skills and commitment to serve,

    6. Knowledge of the Sector: a candidatemust have sufficient knowledge of TPDCswork and situation and issues affecting theenergy sector and the petroleum sub-sector inTanzania. In this regard, a candidate must haveparticular knowledge of TPDCs or rather, theenergy sectors stakeholders desires, needsand challenges, like those of the Government,development partners, investors, regulators,customers, etc.

    7. Courage: a candidate must be able andwilling to make right decisions at all times, evenif the same would make the person look difficultor unpopular;

    8. Availability: a candidate must be willingto commit, as well as have, sufficient timeavailable to discharge his or her duties as memberof the Board of Directors. Therefore, a desirablecandidate should not have other corporate boardmemberships;

    9. Compatibility: a candidate shouldbe able to develop good working relationshipwith other members of the Board of Directorsand members of senior management of the

    Company: and

    10. Conflict of Interest: a candidate mustnot be in aPosition of conflict of interest with Companysactivities.

    Invitation to apply: MEM invites candidateswho possess the mentioned qualificationsand qualities to apply to be considered forappointment as directors and serve in the Boardof Directors of TPDC. Applications from PublicServants will not be considered.Interested candidates must write and submittheir applications by 22nd January, 2016demonstrating their respective qualificationsand qualities, attaching Photostat copies of theirtestimonials and detailed CVs to;

    The Permanent Secretary,Ministry of Energy and Minerals,5 Samora Machel Avenue,P.O. BOX 2000,11474, DAR ES SALAAM.Email: [email protected]

    Kwa wadau wa sekta za Nishati na Madini, tembelea kurasa mpya za Wizara kwenye Mitandaoya Kijamii ya Twitter na Facebook kwa anuani ya Nishati na MadiniKaribu tuhabarishane na

    tujadili kuhusu sekta za Nishati na Madini kwa maendeleo ya Watanzania wote.Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

    THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIAMINISTRY OF ENERGY AND MINERALS