MEM 120 Print

download MEM 120 Print

of 20

Transcript of MEM 120 Print

  • 8/16/2019 MEM 120 Print

    1/20

    Ofisi ya Mawasiliano Serikalini inapokea habari za matukio mbalimbali

    kwa ajili ya News Bullettin hii ya Wizar a ya Nishati na MadiniWasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263

    au Fika Osi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM)

    HABARI ZA

    NISHATI &MADINI

    Toleo No. 120 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Mei 19 - 25, 2016Bulletinews

     

    http://www.mem.go.tz

     

    Mrabaha Maonesho ya Vito Mil. 388 >>UK. 2

    WAZIRI WA NISHATI NA MADINIPROFESA SOSPETER MUHONGO

    HOTUBA YA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI

    MHE. PROF. SOSPETER MWIJARUBI MUHONGO

    (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA

    MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/17

    NI BAJETI YAHISTORIA 

    n  94% Miradi ya

    Maendeleo

    n  6% Matumizi ya kawaida

    Prof. Muhongo amewasilisha Bungeni Bajeti yakihistoria kwa ukuaji wa uchumi wa Tanzania.Bajeti yote ni Shilingi Trilioni 1.12 ambapo

    Asilimia 94 ya Bajeti hii, yaani Shilingi

    Trilioni 1.06 itatumika kwa ajili ya Miradiya Maendeleo. Historia nyingine ni

    kwamba Asilimia 98 ya Bajeti hiyoya Maendeleo ni kwa ajili ya Sekta

    ya Nishati.

    >>

    UK. 6

    Umeme ni Uchumi.

  • 8/16/2019 MEM 120 Print

    2/20

    Mei 19 - 25, 2016 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    2

     Asteria Muhozya naDevota Myombe

    Imeelezwa kuwa, kiasi cha shilingimilioni 388 kimepatikana kamamrabaha katika Maonesho yaKimataifa ya Madini ya Vitoyaliyofanyika jijini Arusha, tarehe

    19-21, Aprili, 2016.Hayo yalielezwa hivi karibuni

    na Kaimu Kamishna wa Madini,Mhandisi Ally Samaje alipokuwaakiongea na waandishi wa habarikatika ukumbi wa Idara ya HabariMAELEZO jijini Dar es Salaam.

    Akieleza Tathmini ya Maoneshohayo, Kaimu Kamishna Samajealisema kuwa, madini yenye thamaniya Dola za Marekani milioni 4.5, sawana shilingi Bilioni 9.9 yaliuzwa.

    Aliongeza kuwa, Serikali ilipata jumla ya shilingi bilioni 1.7, ambaposhilingi Bilioni 1.3 zilitokana namnada wa madini yaliyokamatwana kutaifishwa na Serikali, na shilingiMilioni 26 zilipatikana kutokana navibali vya kusafirisha madini nje yanchi.

    “Zipo faida nyingi tulizopatakutokana na maonesho hayo, sikutokana na kuuzwa kwa madini tu

     bali pia wageni wametuingizia fedha zakigeni ambazo hutumika kwa ajili yamalazi, usafiri, chakula na kutembeleavivutio mbalimbali vya kitalii hapanchini, alisema Mhandisi Samaje.

    Akizungumzia lengo la Maonesho

    hayo alieleza kuwa ni kuifanya Arushakuwa Kitovu cha Madini ya VitoUkanda wa Afrika ili hatimaye iwe

    Kitovu cha Biashara ya madini hayo.Alitaja lengo lingine kuwa ni kutoa

    fursa ya masoko kwa wachimbaji na

    wafanyabiashara wa madini ya vitonchini, ikiwemo kuhamasisha shughuliza uongezaji thamani madini ya vitohapa nchini.

    Kuhusu udhibiti wa madini, yavito alisema kuwa, Serikali inakusudiakuanzisha minada ya ndani mbali

    na mnada unaofanyika wakati waMaonesho ya Kimataifa ya Vito jijiniArusha.

    “Minada hiyo itatoa fursa

    kwa wafanyabiashara wa ndanikununua madini kwa ajili yashughuli mbalimbali ikiwa ni

    pamoja na kuongeza thamanimadini hayo na kutengeneza vidanimbalimbali,”aliongeza Samaje.

    Kuhusu mipango ya uongezajithamani madini ya vito, alisema kuwaSerikali inakusudia kuimarisha Kituocha Jemolojia kilichoko Arusha ilikufundisha na kuzalisha vijana waKitanzania wa kutosha wenye ujuziwa kusanifu na kung’arisha Madini yavito.

    Pia alizungumzia mpango wakuanzisha EPZ eneo la Mireraniambapo ni karibu na machimbo yaTanzanite kwa lengo la kupata eneomaalum ambapo shughuli za biasharaya madini na uongezaji thamanimadini ya Tanzanite zitafanyika kwa

    uhuru na uwazi.Maonesho ya Kimataifa ya madini

    ya Vito yaliandaliwa na Wizara yaNishati na Madini kwa kushirikianana Chama cha Wafanyabiashara waMadini Tanzania (TAMIDA).

    Kwa mujibu wa Kaimu KamishnaSamaje, wanunuzi 353 walihudhuriaMaonesho hayo huku walioshirikikuonesha madini kwenye mabandani 300 pamoja na wageni mbalimbaliwapatao 160.

    Maonesho hayo yalihudhuriwana washiriki 813 kutoka katika nchi26 duniani ambazo ni Tanzania,Marekani, Sri Lanka, India , Kenya,China, Ujerumani, Namibia,Australia, Austria, Israel, Italia,Uingereza, Hong Kong, Switzerland,Zambia, Madagascar, Afrika Kusini,Msumbiji, Urusi, Cameroon, Canada,Malawi, Sudan, Malta na Thailand.

    Mrabaha Maonesho ya Vito Mil. 388

    Madini ya Tanzanite

    Kaimu Kamishna wa Madini Nchini, Mhandisi Ally Samaje (katikati) akifafanua jambo kwa Waandishi waHabari hivi karibuni katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam, alipokutana naokuelezea tathmini ya Maonesho ya Kimataifa ya Madini ya Vito.Kulia ni Kaimu Mkuu wa Kitengo chaMawasiliano Serikalini kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Asteria Muhozya. Kushoto ni Asa habari Idaraya MAELEZO, Frank Mvungi.

  • 8/16/2019 MEM 120 Print

    3/20

    3BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 19 - 25, 2016

    FIVEPILLARS OFREFORMS

    KWA HABARI PIGA SIMUKITENGO CHA MAWASILIANO

    BODI YA UHARIRI

    MSANIFU: Lucas Gordon

    WAANDISHI: Veronica Simba, Asteria Muhozya, GreysonMwase, Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James ,

    Nuru Mwasampeta na Zuena Msuya

    INCREASE EFFICIENCY 

    QUALITY DELIVERYOF GOODS/SERVICE

    SATISFACTION OFTHE CLIENT

    SATISFACTION OFBUSINESS PARTNERS

    SATISFACTION OFSHAREHOLDERS

    TEL-2110490

    FAX-2110389

    MOB-0732999263

    Huduma ya SMS mkombozikwa Wachimbaji Madini

    TEL-2110490

    FAX-2110389

    MOB-0732999263

      Wizara ya Nishati na Madini imekuwa ikitoa taarifa zaleseni za utafutaji na uchimbaji madini kwa njia mbalimbali ikiwani pamoja na vyombo vya habari kama vile Redio, Televisheni,Magazeti, Tovuti yake na mitandao ya kijamii lengo likiwa nikuhakikisha kuwa wachimbaji wadogo, wa kati na wakubwawanakuwa na taarifa sahihi zinazohusu masuala ya madini

    Kama njia mojawapo ya kuhakikisha kuwa wachimbajimadini wanapata taarifa kwa urahisi zaidi, Wizara imeanzautaratibu wa utoaji taarifa za madini ambapo kuanzia sasawamiliki wa leseni hizo wanaweza kupata taarifa za ada za leseniza Madini kwa njia ya ujumbe wa simu (SMS).

    Akizungumzia huduma hiyo, Mkuu wa Kitengo chaTEHAMA katika Wizara ya Nishati na Madini, FrancisFungameza alisema kuwa ili mteja aweze kupata huduma hiyoanatakiwa kuandika neno MEM, aache nafasi, kisha aandikeNamba ya Leseni na kutuma kwenda namba 15341.

    Baada ya hapo mteja ataweza kupata ada halisi ya leseni yakeinayostahili kulipwa kwa gharama ya shilingi 250. Tunaaminikuwa hizo ni habari njema kwa wamiliki wa leseni kwaniwataweza kupata taarifa hizo kwa muda mfupi na hivyo kulipiaada za leseni hizo kwa wakati.

    Mbali na huduma hiyo kwa njia ya SMS, Wizara imekuwaikitoa huduma za leseni kwa njia ya mfumo wa kielektronikiujulikanao kama Online Mining Cadastre Transactional Portal(OMCTP) ambao unawawezesha wateja kufanya masualambalimbali ikiwemo kufanya malipo ya leseni na mrabaha,wateja waliosajiliwa kutuma maombi ya leseni, kuhakiki taarifaza leseni wanazomiliki na kutuma taarifa za utendaji kazi .

    Mfumo wa OMCTP pia unawawezesha wateja kupata taarifa

    mbalimbali za Sekta ya Madini zikiwamo ramani za kijiolojia nataarifa za migodi mikubwa.Ikumbukwe kuwa, hapo awali mfumo wa utoaji leseni

    ulifanyika kwa njia ya mkono (manually) na ulitegemeautumiaji wa karatasi (paperwork based) na hali hiyo ilichangiakuchelewesha utoaji leseni ambapo utoaji huo wa leseniulitegemea hali ya mawasiliano kama ya telegram na rejesta.

    Katika kipindi hicho, upimaji na uchoraji ramani za kijiolojiaulifanyika kwa njia ya mkono na ulitegemea umahiri wa mtu namara nyingine makosa yalifanyika na kusababisha migogoro auwaombaji kukosa leseni kwa sababu zisizo za msingi.

    Mfumo huo wa awali ulileta changamoto kwani Wizarailikuwa na wakati mgumu kuhakikisha kuwa kumbukumbuza leseni zinatunzwa vizuri bila kupotea, pia kulikuwa na kazingumu ya kuchambua nyaraka za leseni kwa njia ya mkono(manually) ili kufuatilia uhai wa leseni, malipo ya ada na utendajiwa wamiliki wa leseni.

     Mfumo huu ulipelekea leseni nyingi kutoweza kuchambuliwa

    na kuathiri ubora wa utendaji wa Wizara na pia kasi yakuwahudumia wananchi ilikuwa ndogo.Mfumo wa kieletroniki unaotumika sasa katika leseni

    za madini unakuwa kama kituo kimoja (one-stop-centre)kinachotumiwa na wadau wa Sekta ya Madini walio nchini nanje ya nchi kuweza kujipatia huduma za leseni bila kulazimikakusafiri kwenda kwenye ofisi ya Madini, pindi wanapokuwawamesajiliwa ndani ya mfumo huo.

    Mfumo wa OMCTP una faida mbalimbali ikiwemo,kuongeza uwazi na kasi ya utoaji wa leseni za madini na Watejakuingiza maombi ya leseni wao wenyewe hivyo kupunguza tatizola mlundikano wa maombi kwenye ofisi za madini.

    Tunapongeza hatua kubwa iliyofikiwa na Idara ya Madinikwa kushirikiana na Kitengo cha TEHAMA katika kuhakikishakuwa wamiliki wote wa leseni za madini nchini wanapata taarifambalimbali za madini kwa urahisi na kwa wakati.

    Wito wetu kwa wachimbaji madini ni kuchangamkiahuduma hii mpya ambayo ni rafiki kwani wataweza kupata

    taarifa za leseni za madini kwa muda mfupi na kulipia leseni zaokwa wakati.

    TAHARIRI

    Watendaji kutoka Wizara ya Nishati na Madini na Taasisi zake wakifuatiliamichango ya Wabunge ili kujibu hoja zinazojitokeza mara baada ya Waziri waNishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kuwasilisha bungeni Makadirio yaMapato na Matumizi kwa mwaka 2016/17.

  • 8/16/2019 MEM 120 Print

    4/20

    4   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 19 - 25, 2016

    The author is a Senior Legal Ofcer in the Ministry of Energy and Minerals. He is an Advocate of the High Court. He holds anLLB (Hons), LLM (Int’l Law), LLM(Oil and Gas law); MBA(Corporate Management). He can be contacted through:

    [email protected] ; +255788523649.

    The significant discovery ofnatural gas has put our greatcountry in a spotlight onthe hydrocarbon map ofthe world. The rising global

    energy demand has given natural gasa strategic importance. The currentdiscoveries of natural gas in the countryare in excess of 57tcf which is equivalentto 10billion barrels of oil. This is hugeriches which if carefully managed cantransform the economy of our country

    from a poor country to a developedcountry within few decades. Just asKorea which was in the 1960s as pooras we were within the span of 4 decadeshas become one of the richest countrieson earth. With strategic thinking andcareful planning and implementationwe can also do it, and we can even do itmuch better and faster!. In this article theauthor explains his ideas with regards tomeasures which must be taken by policyand decision makers to propel the nationtowards the path of prosperity.

    The majority of petroleum richcountries have messed up theireconomies and as result they have beenengulfed by the resource curse. Theeconomies of most of the resource rich

    countries grow more slowly than theresource poor countries. Our countrymust avoid going along this debilitatingpath. The following are the reasonswhich have led to the resource richcountries performing poorer than thosecountries which have no resourcesand the suggestions of things that ourcountry must do to avoid that.

    Natural gas is a non renewableresource; as such its exploitationmerits special policy considerations.The exploitation of natural gas musttake into account inter-generationalequity, i.e. take into account not onlythe interests of the present generation

     but also the future generations. It wasindeed a great foresight on the part

    of the policy makers to declare underthe Natural Gas Policy, 2013 that“ensure that natural gas revenue is usedappropriately for the benefits of thepresent and the future generations”.On the basis of the said policy, theGovernment established the Fundunder the Oil and Gas RevenueManagement Act, 2015 for collectionand management of the natural gasrevenues. How the implementationof this important legislation will beit remain to be seen, however theimportance of this Act cannot beoveremphasized.

    The petroleum sector has the

    potential of attracting many peopleto work in it. This is mainly dueto truth that when the large exportrevenues from natural revenuecause real exchange to appreciateand thus increase cost of domesticproduction and the price of exportscommodity. Increase of price of

    export commodities means thattradable sectors of the economy likemanufacturing and agriculture cannotcompete in the international marketand thus they are destroyed. Thisalso pushes prices resulting into highdomestic inflation which worsensthe overall economy. To top it all,these other sectors lose workers with

     best skills and talents as workers seekgreener pastures in the newly foundlucrative petroleum industry. As aresult, the country becomes dependentheavily on the petroleum sector whileother sectors of the economy suffer.When the petroleum is exhaustedor there is oil crisis as it is now, thecountry’ economies suffer. This result

    into a phenomenon called the DutchDisease. To prevent this problem,the Government must diversify theeconomy by investing the revenue fromnatural gas into high revenue strategicinvestments.

    The Government should diversifythe exports by investing in well run and

     beneficial manufactures and serviceswhich may buttress the economyespecially during economic slump.This is Hartwick rule which requiresthat any depletion of natural resourcecapital be offset by a compensatingincrease in other forms of capital,capable of generating as much incomeas the natural capital they replace.Also, the Government must invest

    in public goods (like roads, railways,telecommunications, health, educationetc.). These investments have a catalyticeffect on the development of privateinvestments in important sectors likeagriculture, industry and services.

    The revenues from the petroleumindustry are volatile. The boom and

     bust cycles in the prices of oil andrevenues can destabilize the economiesof petroleum rich countries and haveactually played havoc with budgetingin many oil dependent countries as it ishappening now in Venezuela, Nigeriaand Brazil. The change in oil prices

    affect also the investment in naturalgas subsectors. The fluctuations of realcommodity prices pose a big challengeto fiscal policy makers especially inthe realm of macroeconomic policies.During boom cycle there is alwaysa temptation to spend more thannecessary but when there is a bust the

    impact on the state coffers is usuallycatastrophic. Fiscal policy is essentialin proper management of oil wealth.In order to stabilize commodity pricesand ensure financial soundness of theeconomy, the Country must have inplace countercyclical fiscal policies.Such policies must ensure that duringhigh oil prices the country savesrevenues which will be used duringthe period of low prices. The Oil andGas Revenue Management Act, 2015came in force in September, 2015 andprovides a comprehensive frameworkfor the management of natural gasrevenues. It creates a fund with theobjectives of ensuring fiscal andmacroeconomic stability; guaranteeing

    financing in industry; and sustainabledevelopment. It further provides fiscalpolicies to guard the economy againstvolatility; promote diversification of theeconomy; and safeguard interests offuture generation. This is an excellentAct and it is upon the authoritiestasked with its administration andenforcement to make sure that it isimplemented to the letter.

    Good governance is critical for theproper management of the naturalgas resources. Resource-rich countrieswith poor institutional structure ofgovernance are mostly plagued bycorruption, wasteful consumption ofrevenues, lack of transparency andauthoritarian rule. Besides, lack of

    good governance may lead to rent-seeking where inequality, conflicts,personal wealth accumulation

     become the norms. In some petro-states, rulers have used governmentcoffers to buy political loyalty fromvocal elements of the society so as toentrench its power. In order not for ourcountry to go along this route thereis a need to build strong institutionsof governance and ensure a vibrantcivil society and media which willcheck and monitor the conducts of thegovernment officials and oil companies.This will ensure accountability andtransparency which is very critical. The

    Government efforts that have seen theenactment of the Extractive Industry(Accountability & Transparency) Act2105 are commendable and show theGovernment’s desire to promote goodgovernance in the petroleum industry.

    The Government must adoptproper policies to reduce income

    inequalities within the oil extractingregion and the rest of the country. Thisrequires equitable revenue allocations,enhancing local participation in theeconomy and promotion of the rolesof non-government organizations.The Local Content Policy, 2014and the Petroleum Act, 2015 aretwo important instruments whichthe Government should employ inpromoting participation of Tanzaniainto natural gas economy. ThePetroleum Act, 2015, requires thatgoods and services in the petroleumindustry should be provided by theTanzanian/local companies. The Actfurther requires that where there are nolocal providers, then such goods and

    services must be provided by a foreigncompany in joint venture with the localcompany, with the local companyhaving at least 25% of the shares.This is indeed a great opportunity forTanzanians to participate in the naturalgas economy and uplift themselvesfrom poverty. Most Tanzanian are notaware of this tremendous opportunity,therefore it is important that mandatedentities to implement the Act, such asPURA must educate people on theseopportunities.

    In conclusion, our country is blessed with significant natural gas.We can make sure this resource

     becomes a blessing rather than a cursewhich has plagued other countries.

    The previous Government has doneits best to promote investment in thecountry and create comprehensivelegal framework for management ofpetroleum resources. This Governmentunder Dr. John Pombe Magufuli withits motto of Hapa Kazi Tu! can evendo much better in terms of monetizingthe discovered natural gas. In thisrespect, it is important that the enactedlegislations and industry policies must

     be enforced to the letter. Like the AsianTigers have done in the past, we canalso have an economic miracle of ownhere and now.

    THE GREAT LEAP FORWARDBy Raphael B.T. Mgaya

    Transforming the Economy throughthe Natural Gas Monetization

  • 8/16/2019 MEM 120 Print

    5/20

    5BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 19 - 25, 2016

    “Return on Investment (ROI)”represents the reward an investor,

     be a Private or a Public can expectfor the level of risk they are willingto take. On Public investmentfurther analysis on returns to theentire economy, that sometimessupersede the financial returnsto reach decisions. Reachinginvestment decision is one thing

     but making decisions that are based on reliable informationthat helps understand thenature of investment and whatdetermines expected returnsis another thing. For the Cross

     border Pipelines investment, the journey begins with Economic behavior and Characteristics ofthe Crude oil Pipeline investment,

    Governing authorities, technologyapplications and financial aspects.Pipeline economics have five maincharacteristics as indicated ona report in the report published

     by World Bank “Cross borderoil and Gas Pipelines. Problemand Prospects:” economies ofscale; the long life of specificprojects; state involvement; thepipeline’s place within a longervalue chain; and finally thepipeline’s vulnerability to marketfailure. Every characteristicsfaces different consequences thatcareful need to be assessed andconsidered in process of reachingdecisions. The Cross bordereconomy Pipelines characteristics

    information provide ground forgathering initial information thatwill guide Public sector decisionmakers to make well informedinvestment decision. For betterPublic participation and Supportin Private led investment of cross

     border crude oil project will requirea thoroughly analysis based ontechnology and Financial scienceswhilst considering specific projectinvestment characteristics nature.Before any Public investmentdecisions is reached, one need tounderstand the risks involved andits proportional sought financialand economic returns in the cross

     border Pipelines projects in order tomake better investment Decisions.Well-informed investmentdecisions that are based on facts

    reduces investment risks andPublic outcry while on other handprotect Public investment shares inPublic-Private Partnerships.

    BUSINESS PERSPECTIVE

    Salum Mnuna is MBA, Certied PPP specialist based in Dar es Salaam

    Can be reached via email [email protected] The views in the article are solely

    based on the knowledge of the author and should not be associated with his employer.

    Email: [email protected] Salum Mnuna

    Where do Cross Border Crude and GasPipeline Investment Returns come fromand how much should Public invest?

    Governinginstruments andMotives

    Where do myreturns comefrom? Probablythis is the uppermost important

    question any investor would ask before taking any decision to puthis money on any investmentundertaking. The question

     become more critical as the levelof investment capital scale up tolarge and more complex riskierinvestments with high Publicinterest.

    For every risk investors arewilling to take, some Expectedreturns sought, whether theInvestor is Public or private,they will all need to know

    how much of risks are theywilling to take and what would be the proportional returns.This is true to any investmentincluding cross border Pipelines.TAZAMA pipeline the Oldestcross border Pipeline fromTanzania to Zambia and thecurrent ongoing developmentof crude Oil Pipeline projectfrom Hoima in Uganda toTanga Port in Tanzania andthe presence of National Gas

    Pipelines adds to the Pipelinesnetwork portfolio in the Countryincluding National Gas Pipelines.The presence of ever-growingPipelines infrastructure in thecountry provides a new setof business portfolio that itsimpact on the country energysupply and economy will benew and significant. Looking inthe future and due to the largeamount of gas Discovery andexiting projected potential ofGas discovery in Tanzania, andthe need to monetize the gas,more cross boarder and localdistributions of Gas Pipelinewill be required in the futureto transport Gas to meetEnergy demand locallyand East African market.Pipelines future looks to

     be brighter if the existingplan will ever take placeconsidering the characteristicsand business nature of thePipeline business. It is fairto say the Pipeline businessis trending up in Tanzaniaif the investment continuesat current or higher rate.

    National Oil and Gas Pipelineshave different investmentcharacteristics, consequencesand results to that of cross borderOil and Gas Pipelines. Let menarrow investment decisionsconversation to Cross bordercrude oil Pipeline investmentsince Uganda –Tanzania crude oilPipeline is the current and newestinvestment kid in the block thatI hope will capture attention ofmy readers, and I hope this canspark some positive conversationabout Oil and Gas transportationinfrastructure economy andEnergy Supply trends.

    Investment decision process in private led sectorcan be easily reached unlike Public sector led

    investment. This can be due to many factsincluding the risk appetite and the willingness tosearch for availability of information that helps

    to understand what determines the expected returns.Profit takes central attention to decision makers whichincentivizes Private sector to wisely and careful assesson risks associated before reaching final investmentdecision. The truth can be opposite to the Public ledinvestment. The need to avoid hopping up some stepson the road towards making decision on investmentneed careful considerations. Cross border Crude oilPipelines investment are governed by various legalregimes including Host Government agreements(HGA), Intergovernmental Agreement (IGA) inwhich interest of each parts involved is covered in tomitigates risks on any conflicts that might occur in thefuture and to protect investment during constructionand Operation periods. Sectorial regulations, Tax and

    other state laws including Environment regulationslaws plays part in reaching out final decisions.“The Cross border economy Pipelines

    characteristics information provide ground forgathering initial information that will guide Publicsector decision makers to make well informedinvestment decision.”

    Pipelines investment are characterized by highfixed costs, volume capacity transported cannot

     be changed once construction is done. Increasingvolume flow means average fixed costs fall rapidly.Investors will want to have an assurance of fullcapacity operations and protections of both Privateand Public investment interests. Technics that areused to analyze capital investment decisions should

     be equally vivid and emphasized more in Publicled investment equally to Private Sector. Think ofthe capital layout impact will have to the Project

    and the Economy for multiple years, think of thecost of the outlay if is justified. Taxpayers andNational Debt money that have been the sourceof the investment capital provided by the PublicSector should be carefully scrutinized though provenfinancial and economic technics. The choice ofpublic investment share in the crude oil Pipeline forPublic-Private partnership should follow financialand investment appraisal science before the finaldecision is actual made to find out what percentageis suitable deal for expected returns. The Privatesector always incentivized by desire to make Profit,Equally the Public must actual be motivated bydesire to build strong Economic growth, stability,Tanzania investment Brand perception, employmentand social economic development. The capacityof the Personnel handling analysis either should

     be from within or outsourced whenever necessary.The quality of the work should at no time becompromised at any cost during project preparations,implementations and operations.

    “The presence of ever-growingPipelines infrastructure andassociated value chain in thecountry provides a new set of

     business portfolio that its impacton the country energy supplyand economy will be new andsignificant.”

    Characteristics of the cross

    border Crude oil Pipeline

  • 8/16/2019 MEM 120 Print

    6/20

    6   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 19 - 25, 2016

    HOTUBA YA WIZARA

    HOTUBA YA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI MHE. PROF.SOSPETER MWIJARUBI MUHONGO (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI

    MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2016/17

    A. UTANGULIZI

    1. Mheshimiwa Spika , naomba kutoaHoja kwamba, Bunge lako Tukufu sasalipokee na kujadili Taarifa ya Utekelezajiya Mwaka 2015/16 na kupitisha Makadirioya Mapato na Matumizi ya Wizara yaNishati na Madini pamoja na Taasisi zakekwa Mwaka 2016/17.

    2. Mheshimiwa Spika , awali ya yotenamshukuru Mwenyezi Mungu, kwakuniwezesha kuwasilisha Hotuba hiikwa mara ya kwanza baada ya UchaguziMkuu wa Oktoba, 2015. Uchaguzi huouliwezesha Mhe. Dkt. John PombeJoseph Magufuli kuwa Rais wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania wa Awamuya Tano kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM). Nampongeza kwa ushindihuo uliodhihirisha kukubalika kwakekwa Watanzania, hususan kutokana nauchapakazi na ufuatiliaji wake wa masualaya maendeleo. Ni ukweli usiopingika

    kwamba maamuzi anayoyachukua nambinu anazozitumia katika kuongoza Taifaletu ni za kipekee na zinatakiwa kuungwamkono na kila Mtanzania bila kujali tofautiya itikadi zetu.

    3. Mheshimiwa Spika , kwa namna ya pekeenampongeza Mhe. Samia Suluhu Hassankwa kuchaguliwa kwake kuwa Makamuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania na kuandika historia mpya yanchi yetu ya kuwa Mwanamke wa Kwanzakushika wadhifa huo. Hii ni ishara njemakwa nchi yetu katika kuongeza nafasi za juu za wanawake katika Uongozi wa Taifaletu.

    4. Mheshimiwa Spika , vilevile, natumianafasi hii kumpongeza Mhe. KassimMajaliwa Majaliwa (Mb.) kwa kuteuliwakuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya Jamhuri

    ya Muungano wa Tanzania.5. Mheshimiwa Spika , nakupongeza wewe

     binafsi Mhe. Job Yustino Ndugai (Mb.)kwa kuchaguliwa kuwa Spika wa Bunge laJamhuri ya Muungano wa Tanzania. Pia,nimpongeze Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb.)kwa kuchaguliwa kuwa Naibu Spika waBunge letu Tukufu.

    6. Mheshimiwa Spika , natumia nafasi hiikumshukuru Mhe. Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania kwa imani yakekwangu kwa kuniteua kuongoza Wizaraya Nishati na Madini. NiwahakikishieWatanzania kwamba nitatumia weledi nauzoefu wangu wote katika kuhakikishakuwa Sekta za Nishati na Madini zinaletamanufaa makubwa ya kiuchumi kwa Taifaletu.

    7. Mheshimiwa Spika , nampongeza Mhe.

    Doto Mashaka Biteko (Mb.) kwa kuteuliwakuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu

    ya Bunge ya Nishati na Madini na Mhe.Deogratias Francis Ngalawa (Mb.) kwakuteuliwa kuwa Makamu Mwenyekitiwa Kamati hiyo. Vilevile, nawashukuruwajumbe wote wa Kamati ya Kudumu yaBunge ya Nishati na Madini kwa ushaurina maoni yao katika kuendeleza nakusimamia Sekta za Nishati na Madini.Aidha, nawapongeza Wenyeviti wa Bunge,Wenyeviti wa Kamati za Kudumu zaBunge na Waheshimiwa Wabunge wotekwa kuteuliwa kwao kuwawakilishawananchi katika Bunge la Jamhuri yaMuungano wa Tanzania.

    8. Mheshimiwa Spika , baada ya utangulizihuo yafuatayo ni maelezo ya Mapitio yaUtekelezaji wa Shughuli za Wizara yaNishati na Madini kwa Mwaka 2015/16pamoja na Mpango na Bajeti kwa Mwaka2016/17.

    A. MAPITIO YA UTEKELEZAJI WASHUGHULI ZA WIZARA YA NISHATI

    NA MADINI KWA MWAKA 2015/16NA MPANGO NA BAJETI KWAMWAKA 2016/17

    9. Mheshimiwa Spika , katika Mwaka2015/16, Wizara ya Nishati na Madiniiliendelea kutekeleza majukumu yake kwakuzingatia vipaumbele vilivyopangwa.Katika kutekeleza majukumu hayo, Wizarailiidhinishiwa na Bunge Jumla ya Shilingi bilioni 642.12. Kati ya fedha hizo, Shilingi bilioni 502.30 sawa na asilimia 78 ya Bajetiyote zilikuwa ni Bajeti ya Maendeleo.Aidha, Shilingi 139.82, sawa na asilimia22 ya Bajeti yote zilikuwa ni kwa ajili yaMatumizi ya Kawaida kwa Wizara naTaasisi zake.

    10. Mheshimiwa Spika , hata hivyo Bajetihiyo iliongezeka kutoka Shilingi bilioni642.12 hadi Shilingi bilioni 762.12. Lengo

    la ongezeko ni kutekeleza miradi mikubwaya kufua umeme ukiwemo Mradi waKinyerezi II - MW 240 ili kuimarishaupatikanaji wa umeme nchini.

    11. Mheshimiwa Spika , hadi kufikia mwishonimwa mwezi Aprili, 2016, Wizara ilikuwaimepokea Jumla ya Shilingi bilioni 565.51.Kati ya fedha hizo, Shilingi bilioni 506.28sawa na asilimia 90 zilikuwa ni za Miradiya Maendeleo ambapo fedha za ndanizilikuwa Shilingi bilioni 472.93 sawana asilimia 93 ya fedha za Maendeleozilizopokelewa na Shilingi bilioni 33.35sawa na asilimia 7 ni fedha za nje. Kiasikilichobaki cha Shilingi bilioni 59.23 sawana asilimia 10 zilikuwa ni kwa ajili yaMatumizi ya Kawaida.

    12. Mheshimiwa Spika , hadi kufikia mweziAprili, 2016 Wizara ilikuwa imekusanya

    Jumla ya Shilingi bilioni 215.98 sawa naasilimia 75 ya lengo la Shilingi bilioni

    286.66. Kasi ya makusanyo ya mapatoimepungua kutokana na sababu mbalimbalizikiwemo kupungua kwa shughuli zautafiti na uzalishaji wa madini kutokana nakushuka kwa bei za madini kwenye Soko laDunia.

    13. Mheshimiwa Spika , katika Mwaka2016/17, Wizara inatarajia kukusanyaJumla ya Shilingi bilioni 370.68 ikiwa niongezeko la asilimia 29 ikilinganishwa nalengo la Mwaka 2015/16. Ongezeko hilolitatokana na mauzo ya Gesi Asilia. Aidha,Serikali itaendelea kuboresha usimamiziwa ukusanyaji wa maduhuli kwa kuzibamianya ya utoroshaji madini, kuimarishaukaguzi wa uzalishaji na usafirishajimadini pamoja na kuboresha mazingira yaWachimbaji Wadogo wa madini. Vilevile,Serikali itaboresha mfumo wa masoko yamadini ndani ya nchi kwa ajili ya kuongezaushindani wa bei ili kuongeza mapato yaSerikali.

    SEKTA YA NISHATISEKTA NDOGO YA UMEME(i) Hali ya Uzalishaji Umeme

    14. Mheshimiwa Spika , uwezo wa mitamboya kuzalisha umeme nchini (total installedcapacity) umeongezeka kutoka MW1,226.24 mwezi Aprili, 2015 hadi MW1,461.69 mwezi Aprili, 2016 sawa naongezeko la asilimia 19. Ongezeko hilolimechangiwa na mitambo ya kuzalishaumeme kwa kutumia Gesi Asilia baada yakukamilika kwa Bomba la kusafirisha GesiAsilia kutoka Mtwara na Lindi hadi Dar esSalaam. Kati ya uwezo huo, MW 711.00(asilimia 49) ni Gesi Asilia, MW 566.79(asilimia 39) zinatokana na umeme wanguvu za maji na MW 183.90 (asilimia 12)ni mafuta na tungamotaka. Aidha, mahitaji

    ya juu ya umeme yameongezeka kutokaMW 988.27 mwezi Desemba, 2015 hadikufikia MW 1,026.02 mwezi Machi, 2016sawa na ongezeko la asilimia 4.

    15. Mheshimiwa Spika , kiasi cha umemekilichoingizwa kwenye Gridi ya Taifakiliongezeka kutoka GWh 6,033.98 Mwaka2014 na kufikia GWh 6,227 Mwaka 2015,sawa na ongezeko la takriban asilimia 3.Uzalishaji katika vituo vil ivyoko nje yaGridi ya Taifa uliongezeka kutoka GWh191.8 Mwaka 2014 hadi kufikia GWh201.44 Mwaka 2015, ikiwa ni ongezeko laasilimia 5.

    (ii) Upatikanaji wa Huduma ya UmemeNchini

    16. Mheshimiwa Spika , kiwango chaupatikanaji wa huduma ya umeme (access

    level) kimekuwa kikiongezeka mwakahadi mwaka. Watanzania waliofikiwa

  • 8/16/2019 MEM 120 Print

    7/20

    7BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 19 - 25, 2016

    HOTUBA YA WIZARA

    na huduma hiyo wameongezeka kutokaasilimia 36 mwezi Machi, 2015 hadikufikia takriban asilimia 40 mwezi Aprili,2016. Ongezeko hilo limetokana na juhudi za Serikali za kusambaza umemenchini kupitia Wakala wa Nishati Vijijini(REA) na Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO).

    (iii) Miradi ya Kuzalisha Umeme17. Mheshimiwa Spika , nafurahi kulitaarifu

    Bunge lako Tukufu kuwa Mradi waKinyerezi – I wenye uwezo wa kuzalishaMW 150 kwa kutumia Gesi Asiliaumekamilika. Mradi huu ulizinduliwa

    rasmi na Rais wa Awamu ya Nne yaJamhuri ya Muungano wa TanzaniaMhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mweziOktoba, 2015. Mradi uligharimu Dola zaMarekani milioni 183 sawa na takribanShilingi bilioni 315.47 na unamilikiwana Serikali kwa asilimia 100 kupitiaTANESCO.

    18. Mheshimiwa Spika , katika juhudi zakuongeza uzalishaji umeme, Serikali piaimepanga kuongeza mitambo mingineya kuzalisha umeme ya Kinyerezi – IExtension MW 185. Mwezi Aprili, 2016TANESCO na Mkandarasi Kampuni yaJacobsen Elektro AS wamesaini Mkatabawa utekelezaji wa Mradi huu. Gharama zaMradi huu ni Dola za Marekani milioni188 sawa na takriban Shilingi bilioni418.85. Fedha zilizotengwa kwa Mwaka2016/17 kwa ajili ya Mradi huu ni Shil ingi bilioni 119.04 na umepangwa kukamilikamwishoni mwa Mwaka 2019.

    19. Mheshimiwa Spika , utekelezaji wa Mradiwa Kinyerezi - II MW 240 wa kuzalishaumeme kwa kutumia Gesi Asilia umeanza.Jiwe la msingi la utekelezaji wa Mradihuu liliwekwa na Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania Mhe. Dkt. JohnPombe Joseph Magufuli mwezi Machi,2016. Gharama za Mradi huu ni Dola zaMarekani milioni 344, sawa na Shilingi bilioni 564, ambapo Dola za Marekanimilioni 292 sawa na asilimia 85 ni Mkopokutoka Japan Bank for InternationalCorporation (JBIC) na Sumitomo MitsuiBanking Corporation (SMBC) za Japan.Aidha, Serikali imetoa Shilingi bilioni 110

    ikiwa ni asilimia 15 ya gharama za Mradiwote.20. Mheshimiwa Spika , katika Mwaka

    2016/17, Serikali itaendelea na utekelezajiwa Mradi huo ikiwa ni pamoja na taratibuza ununuzi na usafirishaji wa mitambo navifaa kutoka Japan. Mradi umepangwakukamilika Mwezi Desemba, 2019.

    Miradi ya Uzalishaji Umeme Iliyo katika Hatuaza Mwisho Kuanza Utekelezaji21. Mheshimiwa Spika , Serikali ipo katika

    hatua za mwisho za maandalizi ya miradimbalimbali ya uzalishaji umeme. Miradihiyo ni pamoja na Kinyerezi III - MW 300,Rusumo Falls - MW 80, Malagarasi - MW45 na Kakono - MW 87 na imepangwakukamilika kabla ya Mwaka 2020.

    22. Mheshimiwa Spika , Mradi wa Kinyerezi

    - III MW 300 utatekelezwa katika eneola Kinyerezi Mkoa wa Dar es Salaam.Kazi ya upembuzi yakinifu imekamilika.

    Mradi utatekelezwa kupitia Kampuniya SHANGTAN ambayo ni Kampuniya ubia kati ya TANESCO (asilimia 10)na Shangai Electric Power Company yaChina (asilimia 60). Aidha, asilimia 30 yaHisa zitauzwa kwa Wawekezaji wenginewa Ndani. Gharama ya Mradi ni Dola zaMarekani milioni 389.7 sawa na takribanShilingi bilioni 868.2. Katika Mwaka2016/17, kazi zitakazofanyika ni pamojana kukamilisha majadiliano ya Mkatabawa kuuziana umeme, kuuza asilimia 30 yaHisa kwa Wawekezaji wa Ndani na kuajiriMkandarasi wa utekelezaji wa Mradi.Mradi utakamilika katika muda wa miezi

    36 baada ya kuanza utekelezaji wake.23. Mheshimiwa Spika , maandalizi ya ujenzi

    wa Mradi wa Rusumo Falls wa kuzalishaumeme wa MW 80 kwa kutumia nguvuza maji kwa ushirikiano wa nchi yetu nanchi za Rwanda na Burundi yamekamilika.Kazi zilizofanyika katika Mwaka 2015/16ni: kupatikana kwa Wataalamu WashauriKampuni ya AECOM ya Canada naKampuni ya ARTELIA ya Ufaransakwa ajili ya kazi ya kusimamia ujenziwa mtambo wa kufua umeme na njiaya kusafirishia umeme; na kupatikanakwa Mkuza kwa ajili ya kujenga njia yakusafirisha umeme.

    24. Mheshimiwa Spika , fedha za kutekelezaMradi huu zimepatikana kutoka Benki yaDunia na Benki ya Maendeleo ya Afrika(AfDB). Gharama za ujenzi wa Mtambozinakadiriwa kuwa Dola za Marekanimilioni 340 sawa na takriban Shilingi bilioni 757.52. Katika Mradi huu, mchangowa Tanzania ni mkopo wa asilimia 100(Dola za Marekani milioni 113.33). Aidha,Rwanda imepata mkopo wa asilimia 50(Dola za Marekani milioni 56.67) naruzuku ya asilimia 50 (Dola za Marekanimilioni 56.67) na Burundi imepata ruzukuya asilimia 100 (Dola za Marekani milioni113.33).

    25. Mheshimiwa Spika , Mradi pia utahusishaujenzi wa njia ya kusafirisha umemeya Msongo wa kV 220 kutoka Rusumohadi Nyakanazi yenye urefu wa kilomita98. Gharama ya njia hiyo ya kusafirishaumeme ni Dola za Marekani milioni 35sawa na takriban Shilingi bilioni 77.98.

    Kazi zitakazofanyika Mwaka 2016/17ni kukamilisha taratibu za kupataWakandarasi wa ujenzi wa kituo chakuzalisha umeme na njia ya kusafirishaumeme kutoka Rusumo hadi Nyakanazi.Fedha za nje zilizotengwa kwa Mwaka2016/17 ni Shilingi bilioni 5. Mradi huuutaanza Mwaka 2016/17 na utakamilikaMwaka 2019/20.

    26. Mheshimiwa Spika , kazi ya upembuziyakinifu kwa ajili ya Mradi wa Malagarasiwa MW 44.8 Mkoa wa Kigomaimekamilika. Gharama za Mradi ni Dolaza Marekani milioni 149.5 sawa na Shilingi bilioni 333.08. Katika Mwaka 2016/17,kazi zitakazofanyika ni kukamilishashughuli za usanifu na kutengenezanyaraka za zabuni ambapo Shilingi bilioni5 zimetengwa. Mradi huu unatarajia

    kukamilika Mwaka 2019/20.27. Mheshimiwa Spika , Serikali pia kwa

    msaada wa Shirika la Maendeleo la

    Norway (NORAD) imekamilishaupembuzi yakinifu wa Mradi wa Kakonowa MW 87 Mkoa wa Kagera. Mradi huuutahusisha ujenzi wa njia ya kusafirishaumeme ya Msongo wa kV 132 yenye urefuwa kilomita 38.8 kutoka Kakono hadiKyaka (Uganda). Miongoni mwa kazizitakazofanyika ni kumpata MtaalamuMshauri wa Mradi, kutayarisha usanifuwa mitambo na kuandaa hati za zabuni.Gharama za Mradi ni Dola za Marekanimilioni 379.4 sawa na takriban Shilingi bilioni 845.27. Fedha zilizotengwa katikaMwaka 2016/17 kwa ajili ya Mradi waKakono ni Shilingi bilioni 3. Mradi huu

    utakamilika Mwaka 2019/20.28. Mheshimiwa Spika , mwezi Oktoba, 2015

    Serikali kupitia Wizara ya Nishati naMadini iliitisha Mkutano na Washirika waMaendeleo kwa ajili ya kutafuta fedha zautekelezaji wa Miradi ya Malagarasi naKakono. Kufuatia Mkutano huo, Benkiya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Benki yaDunia (WB) na Shirika la Maendeleo laUfaransa (AFD) zimeonesha nia ya kutoafedha kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi yaKakono na Malagarasi.

    Miradi ya Uzalishaji Umeme ya NDC29. Mheshimiwa Spika , kwa upande wa

    uzalishaji umeme kutokana na Makaaya Mawe, Shirika la Maendeleo la Taifa(NDC) linaendelea kusimamia utekelezajiwa Mradi wa Mchuchuma wa MW 600 naNgaka MW 400. Miradi hiyo inasimamiwana Wizara ya Viwanda, Biashara naUwekezaji.

    (iv) Miradi ya Usafirishaji Umeme30. Mheshimiwa Spika , ujenzi wa njia ya

    kusafirisha umeme inayoanzia Iringahadi Shinyanga ya Msongo wa kV 400(Backbone) unaendelea vizuri. Hadikufikia mwezi Aprili, 2016 utekelezaji waMradi huo ulifikia wastani wa asilimia 89.Gharama za Mradi ni Dola za Marekanimilioni 224 sawa na takriban Shilingi bilioni 387.5. Mradi utakamilika mweziSeptemba, 2016. Mradi huo utaboreshahali ya upatikanaji wa umeme katikaMikoa ya Arusha, Mwanza, Singida,Shinyanga na Tabora. Aidha, utasaidia

    kuunganisha Gridi za Taifa za Tanzania,Kenya na Zambia na kuiwezesha Tanzaniakushiriki kikamilifu katika biashara yaumeme kupitia Eastern African Power Pool(EAPP) na Southern African Power Pool(SAPP). Fedha zilizotengwa kwa Mwaka2016/17 ni Shilingi bilioni 20.

    31. Mheshimiwa Spika , Mwezi Agosti,2015 TANESCO ilisaini Mikataba naWakandarasi kwa ajili ya ujenzi wa Njiaya Kusafirisha Umeme ya Msongo wa kV220 kutoka Makambako hadi Songea navituo vya kupozea umeme vya Madabana Songea vilivyopo Mkoa wa Ruvuma.Aidha, kazi ya kusambaza nguzo zaumeme wa Msongo wa kV 33 katika Mikoaya Njombe na Ruvuma imeanza.

    32. Mheshimiwa Spika , katika Mwaka2016/17 kazi zilizopangwa ni: kukamilisha

    ujenzi wa njia za usambazaji wa umemekwa kiwango cha kV 33 na 0.4 katikaWilaya za Ludewa, Mbinga, Namtumbo,

  • 8/16/2019 MEM 120 Print

    8/20

    8   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 19 - 25, 2016

    HOTUBA YA WIZARA

    Njombe, Songea Mjini na Songea Vijijini;na kuanza ujenzi wa njia ya kusafirishaumeme na vituo vya kupozea umeme.Gharama za Mradi huu ni Krona zaSweden milioni 500 sawa na Shilingi bilioni 112. Fedha zilizotengwa na Serikalikwa Mwaka 2016/17 ni Shilingi bilioni42. Mradi umepangwa kukamilika mweziDesemba, 2017.

    Miradi ya Usafirishaji Umeme Iliyo KatikaHatua za Mwisho Kuanza Utekelezaji

    33. Mheshimiwa Spika , ili kuhakikishaumeme unaozalishwa unafika katika

    maeneo unakohitajika, Serikali inaendeleakutekeleza miradi ya ujenzi wa njia zakusafirisha umeme zenye uwezo mkubwa,hususan kV 400. Miradi ambayo utekelezajiwake unatarajiwa kukamilika ifikapoMwaka 2019/20 ni pamoja na Singida –Arusha – Namanga kV 400, Bulyanhulu – Geita kV 220, Geita – Nyakanazi kV 220,North – East Grid kV 400 na Somanga –Kinyerezi kV 400.

    34. Mheshimiwa Spika , utekelezaji wa Mradiwa Singida – Arusha - Namanga kV 400ambao ni sehemu ya Mradi unaounganishaGridi za Taifa za Zambia, Tanzania naKenya (ZTK Interconnector) umeanza.Mwezi Aprili, 2015 Serikali ilisainiMkataba wa Mkopo wa Dola za Marekanimilioni 116.7 sawa na Shilingi bilioni259.99 na Benki ya Maendeleo ya Afrika

    (AfDB) kwa ajili ya kutekeleza Mradi huu.Serikali pia ilisaini Mkataba mwinginewa Mkopo wa Mradi huu wa Dola zaMarekani milioni 98.23 sawa na Shilingi bilioni 218.85 na Shirika la Maendeleo laJapan (JICA) mwezi Januari, 2016.

    35. Mheshimiwa Spika , kazi zilizofanyikani: kukamilisha tathmini ya mali za watuwatakaopisha Mradi katika Mikoa yaArusha na Manyara; na kutangazwa kwazabuni za Wakandarasi wa kujenga vituovya kupozea umeme pamoja na njia yakusafirisha umeme. Utekelezaji wa Mradikwa sehemu ya kutoka Singida hadiNamanga unakadiriwa kugharimu Dola zaMarekani milioni 258.82 sawa na Shilingi bilioni 576.63. Jumla ya fedha zilizotengwakwa Mwaka 2016/17 ni Shilingi bilioni

    23. Mradi unatarajiwa kukamilika Mwaka2018/19.36. Mheshimiwa Spika , Serikali iliajiri

    Kampuni ya Shaker Consulting Groupya Misri kuwa Mshauri Mwelekeziwa kusimamia utekelezaji wa Mradiwa Bulyanhulu – Geita kV 220 wenyeurefu wa kilomita 55. Mshauri huyo piaatasimamia usambazaji umeme katikavijiji 10 Wilayani Geita pamoja na kujengaKituo cha kupozea umeme Wilayanihumo. Kazi zilizopangwa kufanyika katikaMwaka 2016/17 ni kumpata Mkandarasina kuanza kwa utekelezaji wa Mradi.Gharama za Mradi ni Dola za Marekanimilioni 23 sawa na takriban Shilingi bilioni41. Jumla ya fedha zilizotengwa kwaajili ya Mradi huu ni Shilingi bilioni 6 naunatarajiwa kukamilika Mwaka 2017/18.

    37. Mheshimiwa Spika , mwezi Septemba,2015 Kampuni ya Lahmeyer Internationalya Ujerumani iliajiriwa kuwa Mshauri

    Mwelekezi kwa ajili ya kusimamia Mradiwa Geita – Nyakanazi kV 220 wenyeurefu wa kilomita 133. Mshauri huyopia atasimamia ujenzi wa Kituo chakupozea umeme cha Nyakanazi pamojana usambazaji wa umeme kwenye vijiji 23vinavyopitiwa na Mradi. Kazi nyinginezilizokamilika ni Tathmini ya Athari zaKijamii na Mazingira na upimaji wa njia zakusafirisha na kusambaza umeme. Mradiunatarajiwa kukamilika Mwaka 2018/19.

    38. Mheshimiwa Spika , Gharama zautekelezaji wa Mradi huo ni Euro milioni45 sawa na takriban Shilingi bilioni

    81.48. Mradi huo unafadhiliwa na KfW(Germany), AFD (France), EU na Serikaliya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Jumla ya fedha zilizotengwa kwa ajili yautekelezaji wa Mradi huo ni Shilingi bilioni7. Utekelezaji wa Mradi utaanza mweziOktoba, 2016 na unatarajiwa kukamilikamwezi Desemba, 2018.

    39. Mheshimiwa Spika , katika Mwaka2015/16 kazi zilizokamilika katika Mradiwa North – East Grid kV 400 ni pamojana Tathmini ya Athari za Kijamii naMazingira; na tathmini ya mali kwa watuwatakaopisha Mradi katika Mikoa ya Dares Salaam na Pwani. Aidha, majadilianokati ya Serikali yetu na Benki ya Eximya China kwa ajili ya Mkopo wa Dola zaMarekani milioni 588 sawa na Shilingi bilioni 1,310 yamekamilika. Kiasi hicho ni

    sawa na asilimia 85 ya gharama za Mradiwote na asilimia 15 itatolewa na Serikali.

    40. Mheshimiwa Spika , katika Mwaka2016/17, kazi zitakazofanyika ni kulipafidia kwa wananchi watakaopisha Mradikwa sehemu ya Kinyerezi hadi Chalinze nakumpata Mshauri Mwelekezi kwa ajili yakusimamia utekelezaji wa Mradi. Gharamaya Mradi ni Dola za Marekani milioni 693sawa na Shilingi bilioni 1,543.9 ambapoSerikali inachangia asilimia 15. Jumla yafedha zilizotengwa katika Mwaka 2016/17kwa ajili ya Mradi huo ni Shilingi bilioni 16na utakamilika Mwaka 2019/20.

    41. Mheshimiwa Spika , TANESCO imesainiMkataba wa Mkopo wa Dola za Marekanimilioni 150 sawa na Shilingi bilioni 334.19na Benki ya Maendeleo ya TIB mwezi

    Novemba, 2015. Mkopo huo ni kwa ajili yautekelezaji wa Mradi wa Ujenzi wa Njia yaKusafirisha Umeme ya Msongo wa kV 400kutoka Somanga Fungu hadi Kinyerezi.Njia hiyo itakuwa na urefu wa kilomita198 na pia itahusisha Kituo cha kupozeaumeme katika eneo la Somanga Fungu.Mradi huu utaunganisha na kusafirishahadi Dar es Salaam umeme unaotarajiwakuzalishwa kutoka Somanga Fungu (MW350) na Kilwa Energy (MW 320) MkoaniLindi.

    42. Mheshimiwa Spika , TANESCOimekamilisha tathmini ya ulipaji wa fidiakwa wananchi watakaopisha Mradi huu.Hadi mwezi Aprili, 2016 Shilingi bilioni26.06 tayari zimelipwa na TANESCO kwawatu 947 katika Wilaya za Ilala na Temeke.Kazi zitakazofanyika kwa Mwaka 2016/17

    ni kumpata Mshauri Mwelekezi naMkandarasi wa Mradi. Mradi unatarajiwakukamilika mwezi Januari, 2019. Gharama

    ya Mradi huo ni Dola za Marekani milioni150 sawa na Shilingi bilioni 334.19. Fedhazilizotengwa kwa Mwaka 2016/17 kwa ajiliya Mradi huo ni Shilingi bilioni 5. Mradiunatarajiwa kukamilika Mwaka 2019/20.

    (v) Miradi ya Usambazaji Umeme43. Mheshimiwa Spika , utekelezaji wa

    Mradi wa Electricity V ulikamilikamwezi Desemba, 2015. Mradi huoulihusu ujenzi wa njia ya kusambazaumeme wa Msongo wa kV 33, kufungatransfoma na kuwaunganishia umemewateja 8,600 katika Wilaya za Bukombe,Kwimba, Magu, Mbogwe, Misungwi na

    Sengerema. Wateja waliounganishiwaumeme hadi mwezi Aprili, 2016 ni 4,001.Pamoja na kuwa Mradi umekamilikakulingana na Mkataba wa Mkopo kutokaAfDB, TANESCO itaendelea na kazi yakuwaunganishia umeme wateja waliobaki.

    44. Mheshimiwa Spika , Mradi huu pia ulihusuukarabati wa Vituo vya kupozea umemevya Ilala na Sokoine katika Jiji la Dar esSalaam na upanuzi wa Kituo cha kupozeaumeme cha Njiro Mkoani Arusha. Mradiulitekelezwa na Serikali kupitia Mkopouliotolewa na Benki ya Maendeleo yaAfrika (AfDB). Mradi uligharimu Jumla yaUnit of Account (UA) milioni 32.25 sawana takriban Shilingi bilioni 101.31. Katiya fedha hizo UA milioni 28.68 sawa naasilimia 89 ni Mkopo kutoka AfDB na UAmilioni 3.57 sawa na asilimia 11 zilitolewa

    na Serikali yetu.45. Mheshimiwa Spika , Awamu ya Pili

    ya Mradi Kabambe wa KusambazaUmeme Vijijini (REA Turnkey Phase II)inaendelea kutekelezwa katika Mikoayote ya Tanzania Bara kupitia Wakala waNishati Vijijini (REA). Kazi zilizofanyikani pamoja na ujenzi wa Vituo sita (6)vya umeme wa kV 11/33 katika Miji yaKasulu, Kibondo, Kigoma, Mbinga, Ngarana Tunduru; ujenzi wa njia za kusambazaumeme zenye urefu wa takriban kilomita15,000 za Msongo wa kV 33; ujenziwa Vituo vidogo 3,100 vya kupozea nakusambaza umeme vyenye uwezo wakV 33/0.4/0.23; na ujenzi wa njia ndogoya usambazaji umeme wenye urefu wakilomita 7,000. Kwa ujumla hadi kufikia

    Aprili, 2016 utekelezaji wa Mradi wa REATurnkey Phase II umefikia asilimia 85.46. Mheshimiwa Spika , Serikali kupitia REA

    imekamilisha kazi ya kuunganisha umemekwenye Makao Makuu ya Wilaya 4 zaBuhingwe, Kakonko na Uvinza zilizopokatika Mkoa wa Kigoma na Nyasa iliyopokatika Mkoa wa Ruvuma. Kuanzia Julai,2015 hadi Aprili, 2016 idadi ya watejawaliounganishiwa umeme na REA pamojana TANESCO ni 220,128 sawa na asilimia88 ya lengo la kuunganisha wateja 250,000ifikapo Juni, 2016.

    47. Mheshimiwa Spika , katika Mwaka2016/17 Serikali itafanya tathmini yakina ya Awamu ya Kwanza na ya Piliya utekelezaji wa Mradi Kabambe waKupeleka Umeme Vijijini. Lengo latathmini hiyo ni kuboresha maandalizi na

    utekelezaji wa Awamu ya Tatu ya MradiKabambe wa Kupeleka Umeme Vijijini(REA Turnkey Phase III). Pamoja na

  • 8/16/2019 MEM 120 Print

    9/20

    9BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 19 - 25, 2016

    HOTUBA YA WIZARA

    tathmini hiyo, masuala yatakayozingatiwakatika Awamu ya Tatu ni kupeleka umeme:kwenye vijiji ambavyo havikupata umemekatika awamu ya kwanza na ya pili; kwenyeviwanda vidogo vya uzalishaji mali;na katika shule za sekondari, hospitali,zahanati, vituo vya afya, pampu za maji namaeneo mengine muhimu ya huduma za jamii. Awamu ya Tatu ya Mradi Kabambewa Kupeleka Umeme Vijijini itaanzaMwaka 2016/17 na kukamilika Mwaka2018/19.

    48. Mheshimiwa Spika , katika kuongeza wigowa upatikanaji umeme vijijini, Serikali

    imeongeza Bajeti ya Maendeleo ya fedhaza ndani kwa REA kutoka Shilingi bilioni357.12 kwa Mwaka 2015/16 hadi Shilingi bilioni 534.4 kwa Mwaka 2016/17, sawa naongezeko la asilimia 50. Ongezeko hilo nikatika kutekeleza Ibara ya 43 C(i) ya Ilaniya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduziya Mwaka 2015 – 2020. Aidha, fedha zanje zilizotengwa kwa ajili ya Mradi huo niShilingi bilioni 53.21 sawa na asilimia 9 nahivyo kufanya Jumla ya Bajeti yote ya REAkwa Mwaka 2016/17 kuwa Shilingi bilioni587.61. Vilevile, REA ipo katika taratibu zaununuzi kwa ajili ya kumpata Mkandarasiatakayetekeleza Mradi wa kusambazaumeme kwenye vijiji 121 inakopita njiakuu ya umeme ya Iringa hadi Shinyanga(Backbone). Taratibu hizo za ununuzizitakamilika ifikapo Mwezi Desemba,

    2016.49. Mheshimiwa Spika , ili kuongeza kasi ya

    kusambaza umeme vijijini, REA imeanzamiradi ya kusambaza umeme kwenye vijijivinavyopitiwa na miundombinu ya umemeya Msongo wa kV 11 na 33 (UnderlineDistribution Transformers). Mradihuu unahusisha kufunga transfoma nakusambaza umeme kupitia miundombinuya kusambaza umeme ya Msongo wakV 0.4/0.23. Tathmini ya Awamu yaKwanza ya Mradi imekamilika katikaMikoa ya Arusha, Iringa, Mara, Mbeya,Pwani na Tanga. Katika Mwaka 2016/17,REA inatarajia kuanza kutekeleza Mradihuu baada ya taratibu za kuwapataWakandarasi kukamilika Mwezi Desemba,2016. Mradi huu utagharimu Jumla ya

    Shilingi bilioni 58.4. Kati ya fedha hizo,Shilingi bilioni 28.7 sawa asilimia 49 nifedha za Mfuko wa Nishati Vijijini naShilingi bilioni 29.7 sawa na asilimia 51ni fedha kutoka Serikali ya Sweden naNorway. Mradi utaanza kutekelezwaMwezi Januari, 2017 na utakamilika baadaya miezi 18.

    50. Mheshimiwa Spika , TANESCOimeendelea kutekeleza Mradi wa kupelekaumeme katika Wilaya za Biharamulo,Mpanda na Ngara kupitia Programuya ORIO. Kwa upande wa Wilaya zaBiharamulo na Ngara utekelezaji umefikiaasilimia 65. Ufungaji wa jenereta zenyeuwezo wa Jumla ya MW 2.5 kwa kilaWilaya umeanza mwezi Aprili, 2016.Vilevile, ujenzi wa njia za kusambazaumeme umeanza mwezi Februari, 2016.

    51. Mheshimiwa Spika , Serikali imekamilishamchango wake wa Shilingi bilioni 22 kwaajili ya Mradi huu baada ya kutolewa kwa

    Shilingi bilioni 11.5 mwezi Machi, 2016ili kupeleka umeme Wilaya ya Mpanda.Kufuatia kutolewa kwa fedha hizo,utekelezaji wa Mradi ulianza mwezi Aprili,2016 kwa Mkandarasi ZWART TekniekB.V kutoka Uholanzi kuagiza majenereta.Gharama za Mradi ni Euro milioni 33.5sawa na takriban Shilingi bilioni 81.5.Mradi huu unatekelezwa kwa ushirikianokati ya Serikali ya Tanzania na Serikali yaUfalme wa Uholanzi. Upelekaji umemekatika Wilaya za Biharamulo na Ngaraunatarajiwa kukamilika mwezi Julai, 2016na Wilaya ya Mpanda utakamilika mwezi

    Juni, 2017.52. Mheshimiwa Spika , utekelezaji wa Mradi

    wa Tanzania Energy Development andAccess Expansion Project (TEDAP)unaendelea katika Mikoa ya Arusha, Dares Salaam na Kilimanjaro. Jumla ya Vituo19 vya kusambaza umeme wa Msongo wakV 33/11 vitakarabatiwa. Aidha, ujenziwa njia za usambazaji umeme za Msongowa kV 33 zenye urefu wa kilomita 107zinajengwa. Vilevile, njia za usambazajiumeme wa Msongo wa kV 11 zenye urefuwa kilomita 50 zitajengwa. Jumla yatransfoma 65 za kV 33/0.4 zitafungwa.Katika Mwaka 2016/17, Serikali itaendeleakusimamia utekelezaji wa Mradi huuambao unatarajiwa kukamilika mweziAgosti, 2016.

    53. Mheshimiwa Spika , utekelezaji waProgramu ya Awamu ya Pili ya Mradiwa Sustainable Solar Market Package(SSMP – II) ulianza mwezi Oktoba, 2015.Mradi huu unahusu ujenzi wa mifumo yaUmeme wa Jua katika Wilaya nane (8) zaBiharamulo (Kagera), Bukombe na Chato(Geita), Kasulu na Kibondo (Kigoma),Namtumbo na Tunduru (Ruvuma) naSikonge (Tabora). Gharama za Mradini Dola za Marekani milioni 18 sawa naShilingi bilioni 40.1 ambazo ni Mkopokutoka Benki ya Dunia. Mradi huuunatarajiwa kuanza kutekelezwa katikaWilaya hizo kupitia REA katika Mwaka2016/17 na utakamilika Mwaka 2017/18.

    (vi) Kuboresha Sekta Ndogo ya Umeme

    54. Mheshimiwa Spika , Serikali inaendeleakutekeleza Mkakati na Mwelekeo waKuboresha Sekta Ndogo ya Umeme(Electricity Supply Industry ReformStrategy and Roadmap). Katika Mwaka2015/16 kazi zilizofanyika ni pamoja nakukamilisha utayarishaji wa MikatabaKifani ya Kuuziana Umeme (Model PowerPurchase Agreement -MPPA) mweziAgosti, 2015; kukamilisha uandaaji waGrid Codes; na mwongozo wa tozo kwakampuni moja kutumia miundombinuya kampuni nyingine kusafirisha umeme(transmission wheeling charges rules).

    55. Mheshimiwa Spika , katika Mwaka2016/17, Serikali itaendelea kutekelezaMpango huo ikiwa ni pamoja na zoezi latathmini ya mali za TANESCO; tathminiya rasilimali watu inayohitajika katika

    Sekta Ndogo ya Umeme, Mafuta na GesiAsilia; na ukaguzi wa mifumo ya kompyutaya TANESCO.

    (vii) Punguzo la Viwango vya Bei zaUmeme

    56. Mheshimiwa Spika , nafurahi kulijulishaBunge lako Tukufu kuwa Serikaliimetekeleza ahadi yake ya kupunguza beiza umeme. Kuanzia tarehe 01 Aprili, 2016Serikali imepunguza bei ya umeme kwakati ya asilimia 1.5 na 2.4. Serikali piaimeondoa tozo ya kuwasilisha maombiya kuunganishiwa umeme (applicationfees) ya Shilingi 5,000 na tozo ya hudumaya mwezi (service charge) ya Shilingi

    5,520 kwa Wateja wa Umeme kwaDaraja la T1 na D1, ambao wengi waoni wa majumbani. Hatua hii itawasaidiawatumiaji wadogo wa umeme mijinina vijijini kumudu gharama hizo, hivyokuboresha shughuli za kijamii na kiuchumi.

    (viii) Kuboresha Huduma zaWateja kwa Kuanzisha Ofisi Ndogo zaTANESCO

    57. Mheshimiwa Spika , kufuatia kuongezekakwa utekelezaji wa miradi ya usambazajiumeme vijijini, Serikali kupitia TANESCOina mpango wa kufungua Ofisi mpya20 zenye hadhi ya Wilaya na OfisiNdogo (sub-offices) 46 katika maeneombalimbali nchini ili kuboresha hudumaza TANESCO kwa wateja. Ujenzi wa

    Ofisi hizo unakadiriwa kugharimu Shilingi bilioni 43.2 kwa kutumia vyanzo vya ndanivya Shirika. Aidha, endapo TANESCOitatumia majengo ya kupanga, gharamazinakadiriwa kuwa Shilingi milioni 948kwa Mwaka. Vigezo vitakavyotumikakuanzisha Ofisi mpya ni: urefu wa njiaza umeme katika eneo husika; idadi yatransfoma na wateja waliopo; mahitaji ya juu ya umeme; na umbali kutoka Ofisi yaTANESCO ya Mkoa au Wilaya.

    58. Mheshimiwa Spika , katika kuboreshamiundombinu ya usafirishaji na usambazajiwa umeme nchini, Mwaka 2014TANESCO ilianzisha Kampuni Tanzu yaTanzania Concrete Poles ManufacturingCompany Limited (TCPCO). Kampunihiyo imeainisha Kanda nne kwa ajili ya

    kujenga viwanda vya kutengeneza nguzoza zege nchini. Kanda hizo ni Mashariki,Kaskazini, Ziwa na Nyanda za JuuKusini Magharibi. Baada ya kukamilishamaandalizi na ujenzi wa viwanda hivyo,TCPCO inatarajia kuanza uzalishaji wanguzo za zege Mwaka 2016/17.

    Kuboresha Miundombinu yaUmeme Jijini Dar es Salaam

    59. Mheshimiwa Spika , ujenzi wa Kituo chakupozea umeme cha kV 132/33/MVA2x45 City Centre umekamilika. Kituo kipokatika hatua za majaribio na kinatarajiwakufunguliwa rasmi Mwezi Juni, 2016.Aidha, ujenzi wa Kituo cha kuongozamifumo ya usambazaji umeme katikamsongo wa kV 33 na kV 11 (Distribution

    SCADA) umekamilika na Kituo kipokwenye majaribio. Vilevile, ujenzi wa njiaya umeme chini ya ardhi kwa msongo

  • 8/16/2019 MEM 120 Print

    10/20

    10   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 19 - 25, 2016

    HOTUBA YA WIZARA

    wa kV 132 kutoka Makumbusho kwendaCity Centre umekamilika. Miongoni mwamanufaa ya Mradi huu ni kuwezeshawateja kupata huduma bora za umeme.Mradi huu unatekelezwa kwa ufadhili waSerikali ya Finland na Japan kwa gharamaza Shilingi bilioni 123 sawa na Dola zaMarekani milioni 55.21.

    60. Mheshimiwa Spika , utekelezaji waMradi huu utaendelea katika Mwaka2016/17 kwa kukamilisha ujenzi wa njiaya umeme chini ya ardhi kwa msongo wakV 132 kutoka City Centre hadi Shuleya Sekondari Jangwani na ujenzi wa njia

    ya kV 132 kutoka Ilala hadi Shule yaSekondari Jangwani

    .(ix) Uendelezaji wa Nishati Jadidifu

    61. Mheshimiwa Spika , Serikali imeendeleakuhamasisha uzalishaji wa umeme kwakutumia maporomoko madogo ya maji(mini – hydro). Katika Mwaka 2015/16Miradi iliyokamilika ni Andoya (Mbinga),Darakuta (Manyara), Tulila (Songea) naYovi (Kilosa) na ina uwezo wa kuzalishaJumla ya MW 6.6. Aidha, katika Mwaka2016/17 Serikali itasimamia Miradiinayoendelea yenye uwezo wa kuzalishaumeme wa MW 10.24 na mingine yenyeJumla ya MW 58.6 ambayo ipo katikahatua za mwisho za kuanza utekelezaji.

    Bayogesi (Biogas)

    62. Mheshimiwa Spika , katika Mwaka2015/16, Wizara kwa kushirikiana naKituo cha Uendelezaji wa Zana za Kilimona Teknolojia Vijijini (CAMARTEC)iliendelea kutekeleza Programu yaKitaifa ya Kujenga Mitambo ya Bayogesinchini. Hadi mwezi Mei, 2016 Jumla yaMitambo 14,000 ilijengwa katika ngazi yakaya ikilinganishwa na Mitambo 12,000kwa Mwaka 2014/15. Programu hiyoimewezesha wananchi 84,000 kutumianishati hiyo kwa ajili ya kupikia na kupatamwanga. Hadi kufikia mwishoni mwaMwaka 2017 CAMARTEC itakuwaimejenga Jumla ya Mitambo 21,000.

    63. Mheshimiwa Spika , mwezi Januari, 2016

    Serikali pia imeanza kutekeleza Mradiwa matumizi ya Bayogesi majumbanikupitia REA. Mradi unahusisha ujenzi wamifumo 10,000 ya Bayogesi kwenye Mikoayote ya Tanzania Bara katika kipindi chamiaka miwili kuanzia Mwaka huu. Mradiunafadhiliwa na Serikali ya Norway kwagharama ya Shilingi bilioni 3.2. Lengola Serikali ni kuhamasisha matumiziya Bayogesi majumbani ili kupunguzamatumizi ya kuni, mkaa na aina nyingineza tungamotaka zinazosababisha uharibifuwa mazingira.

    64. Mheshimiwa Spika , uzalishaji wa umemekwa kutumia bayogesi ni moja ya vyanzovinavyotarajiwa kuchangia ongezeko laumeme katika Gridi ya Taifa. Kampuniya Mkonge Energy Systems inatarajiakutumia majitaka ya mkonge (sisal waste

    water) kuzalisha Jumla ya MW 1.5 katikamashamba ya mkonge yaliyoko kwenyevijiji vya Magoma (kW 500), Mwelya (kW

    500) na Usambara (kW 500) vilivyopoWilaya ya Korogwe.

    Jotoardhi (Geothermal)

    65. Mheshimiwa Spika , katika Mwaka2015/16, Serikali kupitia KampuniTanzu ya TANESCO ya Uendelezajiwa Jotoardhi (Tanzania GeothermalDevelopment Company Limited - TGDC),imekamilisha utafiti na kuthibitishasehemu tatu katika eneo la Ziwa Ngozi,Mbeya zitakazochorongwa visima virefu ilikutathmini kiasi cha mvuke kinachoweza

    kuzalisha umeme. Vilevile, mweziDesemba, 2015 Serikali ilisaini Mkatabawa Ushirikiano (Partnership Agreement)na Serikali ya Iceland kupitia Shirika laMaendeleo la Iceland (ICEIDA) kwa lengola kuzalisha umeme kutokana na jotoardhi.

    66. Mheshimiwa Spika , katika Mwaka2016/17, Serikali kupitia TGDCitachoronga visima virefu vitatu katikaeneo la Ziwa Ngozi, Mbeya kwa gharamaya Dola za Marekani milioni 38 sawana Shilingi bilioni 84.66. Mradi huuunafadhiliwa na Serikali, Global RiskMitigation Fund (GRMF) na InvestmentClimate Fund (CIF) kupitia Scaling-UpRenewable Energy Programme (SREP).TGDC pia itaendeleza utafiti katikamaeneo ya Kisaki (Morogoro), Luhoi(Pwani), Mbaka (Mbeya), Mlima Meru na

    Ziwa Natron (Manyara) kwa kushirikianana Federal Institute for Geosciences andNatural Resources (BGR), Global RiskMitigation Fund (GRMF), IcelandicInternational Development Agency(ICEIDA) na United Nations EnvironmentProgramme (UNEP).

    67. Mheshimiwa Spika , kazi nyinginezitakazofanyika ni pamoja na kukamilishaMiongozo, Mipango na Sheria yakuendeleza Jotoardhi nchini. KatikaMwaka 2016/17, Jumla ya fedhazilizotengwa kwa ajili ya Mradi waJotoardhi ni Shilingi bilioni 28. Kati yafedha hizo Shilingi bilioni 2 sawa naasilimia 7 ni fedha za ndani na Shilingi bilioni 26 sawa na asilimia 93 ni fedha zanje.

    Nishati ya Upepo na Jua (Wind and SolarEnergy)

    68. Mheshimiwa Spika , kazi ya kubainishamaeneo yanayofaa kwa uzalishaji waumeme kwa kutumia nishati ya jua naupepo zimekamilika. Taarifa za utafitizilikusanywa na kutumika kuandaaRamani zinazoonesha maeneo yanayofaakuzalisha umeme kwa kutumia vyanzohivyo. Lengo la kuwa na Ramani hizo nikuhamasisha uwekezaji kwenye vyanzo vyakufua umeme kutokana na nishati mbadalaau jadidifu.

    69. Mheshimiwa Spika , kama sehemu yautekelezaji wa Ibara ya 45(a) ya Ilaniya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi(2015 – 2020) Serikali imepanga kupeleka

    umeme maeneo yasiyofikiwa kwa urahisina Umeme wa Gridi kwa kutumia mifumomidogo ya Umeme wa Jua. Katika Mwaka

    2016/17, Serikali inapanga kupelekaumeme katika maeneo ya visiwa vidogokatika Ziwa Victoria na eneo la Kisiwa chaMafia kwa kutumia mifumo midogo yaUmeme wa Jua. Fedha zilizotengwa kwaajili ya kazi hizo ni Shilingi bilioni 6.5.

    Tungamotaka (Biomass)

    70. Mheshimiwa Spika , Mwezi Januari, 2016Wizara ilifanya majadiliano na Kampuniza kuzalisha sukari za Kagera, Kilombero,Mtibwa na TPC kwa lengo la kuongezauzalishaji umeme kwa kutumia mabaki ya

    miwa (bagasse). Endapo umeme mwingiutazalishwa na viwanda hivyo, ziadaitaweza kuuzwa kwa TANESCO. Aidha,viwanda hivyo vimeshauriwa kupunguzamatumizi ya mvuke katika uzalishaji wasukari ambapo wataweza kuokoa kiasi chaMW 2 zinazoweza kuuzwa TANESCO.

    (x) Matumizi Bora ya Nishati (EnergyEfficieny)

    71. Mheshimiwa Spika , Serikali kwakushirikiana na Shirika la Maendeleo laUjerumani (GIZ) imekusanya takwimuza matumizi ya nishati kwenye viwandavikubwa (baseline information). Takwimuhizi zitasaidia kuandaa Mpango Kaziwa Matumizi Bora ya Nishati Nchini(Energy Efficiency Action Plan). Aidha,Wizara kwa kushirikiana na GIZ ilifanya

    Energy Audit ili kuhamasisha matumizi bora ya nishati katika Mamlaka za Majiza Morogoro na Singida kwa lengo lakupunguza matumizi ya umeme yasiyo yalazima. Matokeo ya ukaguzi uliofanyikayalionesha kuwa uniti 1,031,570 na uniti786,458 za umeme zinaweza kuokolewakwa mwaka kwenye Mamlaka za Majiza Morogoro na Singida, sawia kwakutekeleza mipango ya matumizi bora yanishati.

    72. Mheshimiwa Spika , katika Mwaka2016/17, Serikali kwa kushirikiana naGIZ itakamilisha na kuanza utekelezajiwa Mpango Kazi wa Matumizi Bora yaNishati. Vilevile, Serikali itafanya utafiti wakiasi cha nishati kinachoweza kuokolewakatika Ofisi za Serikali na Viwandani ikiwa

    matumizi bora ya nishati yatazingatiwa. SEKTA NDOGO YA MAFUTA NAGESI ASILIA(i) Shughuli za Utafutaji Mafuta na GesiAsilia 

    73. Mheshimiwa Spika , Kampuni ya Dodsalimekamilisha tathmini ya kiasi cha GesiAsilia kilichogunduliwa katika Kisimacha Mambakofi – I kwenye Kitalu chaRuvu Mkoa wa Pwani. Tathmini hiyoinaonesha uwepo wa Gesi Asilia kiasi chafuti za ujazo trilioni (TCF) 2.17, hivyokufanya Gesi Asilia iliyogunduliwa nchinihadi mwezi Mei, 2016 kufikia TCF 57.25ikilinganishwa na TCF 55.08 zilizokuwepomwezi Aprili, 2015. Kati ya kiasi hichoTCF 47.13 zipo kwenye kina kirefu

     baharini na TCF 10.12 zipo nchi kavu.74. Mheshimiwa Spika , mwezi Desemba,2015 Kampuni ya Pan African Energy

  • 8/16/2019 MEM 120 Print

    11/20

    11BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 19 - 25, 2016

    HOTUBA YA WIZARA

    (PAET) ilikarabati Visima vya SS – 5, SS –7 na SS – 9 pamoja na kuchoronga Kisimakipya cha SS – 12 mwezi Januari, 2016.Shughuli hizo zimeongeza uzalishaji waGesi Asilia kutoka Songo Songo kutokafuti za ujazo milioni (mmscfd) 105 kwasiku hadi futi za ujazo milioni (mmscfd)190 kwa siku.

    75. Mheshimiwa Spika , Shirika la Maendeleoya Petroli Tanzania (TPDC) limeendeleakusimamia kazi ya utafutaji Mafuta naGesi Asilia katika maeneo mbalimbalinchini. Katika Mwaka 2015/16, Shirikalilikusanya takwimu za kijiolojia kwa

    kutumia ndege - Airborne GravityGradiometer (AGG) na Full TensorGradiometry (FTG) katika maeneoya Eyasi-Wembere (Manyara), ZiwaTanganyika Kaskazini (Kigoma),Songo Songo Magharibi na Mandawa(Lindi) kwa lengo la kuongeza thamaniya maeneo hayo. Katika Vitalu 4-1Bna 4-1C vilivyopo katika kina kirefu baharini, TPDC ilikamilisha tathminiya awali ya kijiolojia na kijiofizikia kwakukusanya takwimu za Mitetemo ya 2Dkatika maeneo hayo. TPDC inaendeleakufanya uchambuzi wa takwimu hizo ilikujiridhisha kama maeneo husika yanadalili za kuwa na Mafuta au Gesi Asilia.Kazi hiyo itakamilika mwishoni mwaMwezi Juni, 2016.

    76. Mheshimiwa Spika , mwezi Agosti, 2015Kampuni ya Maurel & Prom pamoja naWabia wake walifanikiwa kuchorongaKisima MB – 4 katika Kitalu cha MnaziBay (Mtwara). Aidha, Kisima hicho kipyapamoja na Visima vya MB – 2, MB – 3 naMSX – 1 viliunganishwa kwenye Mtambowa kusafisha Gesi Asilia katika eneo laMadimba (Mtwara). Hadi sasa Gesi Asiliailiyopo katika Kitalu hicho inakadiriwakufikia futi za ujazo trilioni (TCF) 5 nauzalishaji wake ni wastani wa futi za ujazomilioni 59 kwa siku.

    (ii) Miundombinu ya Kusafisha naKusafirisha Gesi Asilia 

    77. Mheshimiwa Spika , Serikali imekamilishaujenzi wa Bomba la Gesi Asilia kutokaMtwara kupitia Lindi hadi Dar es Salaam

    (kilomita 542) pamoja na Mitambo yakusafisha Gesi Asilia katika maeneo yaMadimba (Mtwara) na Songo Songo(Lindi). Mradi huo ulizinduliwa rasmi naRais wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. JakayaMrisho Kikwete mwezi Oktoba, 2015.Kukamilika kwa Mradi huo kumeongezamchango wa uwezo wa mitambo yakuzalisha umeme kwa kutumia Gesi Asiliakufikia asilimia 49. Uzalishaji wa umemekwa kutumia Gesi Asilia umewezeshagharama za uzalishaji umeme nchinikupungua kutoka wastani wa Shilingi 262hadi 229 kwa uniti moja ya umeme.Mradi wa Miundombinu ya LiquefiedNatural Gas (LNG)

    78. Mheshimiwa Spika , mwezi Novemba,2015 TPDC ilikamilisha taratibu za kupataardhi kwa ajili ya ujenzi wa Mitambo ya

    kusindika Gesi Asilia (LNG) katika Kijijicha Likong’o (Lindi). TPDC ilipewa HatiMiliki na Serikali kwenye eneo la ukubwa

    wa Hekta 2,071 kwa ajili ya kujengaMitambo hiyo. Washirika wakubwa katikaMradi huu ni pamoja na TPDC, Kampuniza BG/Shell, Statoil, ExxonMobil,Pavillion na Ophir. Katika Mwaka2016/17, kazi zitakazofanyika ni pamojana upimaji wa eneo la kujenga Mitamboya Mradi wa LNG, kupata vibali vyakuingiza kwenye Ramani za Mipango Mijimichoro ya LNG, maeneo ya viwanda(Industrial Parks) na uwanja wa ndege.Fedha zilizotengwa kwa ajili ya kutekelezakazi hizo ni Shilingi milioni 800.

    Mradi wa Usambazaji Gesi Asilia katikaMikoa ya Lindi na Mtwara 79. Mheshimiwa Spika , TPDC ilikamilisha

    upembuzi yakinifu wa awali, Tathminiya Athari kwa Mazingira na Kijamiina usanifu kwa ajili ya ujenzi wamiundombinu ya kusambaza Gesi Asiliakatika Miji ya Kilwa, Lindi na Mtwara.TPDC pia imeajiri Kampuni ya KIMPHILKonsult (T) Limited kuwa MshauriMwelekezi wa kufanya upembuzi wa kinakuhusu Mradi huu. Mradi utahusishaujenzi wa miundombinu ya kusambazaGesi Asilia kwa njia ya Bomba (PipedNatural Gas – PNG) na iliyoshindiliwa(Compressed Natural Gas - CNG). Lengola Mradi huu ni kusambaza Gesi Asiliakwa ajili ya mitambo ya kuzalisha umeme,matumizi majumbani, viwandani, kwenye

    magari na taasisi mbalimbali. Gharama zaawali za Mradi zinakadiriwa kuwa Dolaza Marekani milioni 10 sawa na takribanShilingi bilioni 22.3. Katika Mwaka2016/17 fedha zilizotengwa ni Shilingimilioni 700.

    Usambazaji wa Gesi Asilia Jijini Dar esSalaam

    80. Mheshimiwa Spika , lengo la Mradi huuni kujenga Mtandao wa kusambaza GesiAsilia kwa njia ya Mabomba na CNG.Kwa hatua za awali Mradi utaunganishawateja 30,000 wa majumbani na kujengavituo 15 vya kujazia Gesi Asilia kwenyemagari. Kazi za upembuzi yakinifu nauandaaji wa michoro kwa ajili ya Mradi

    zimekamilika. Gharama za Mradi nitakriban Dola za Marekani milioni 150sawa na Shilingi bilioni 334.19. Serikalikupitia Wizara ya Fedha, inafanyamajadiliano na Benki ya Maendeleo yaAfrika (AfDB) kwa ajili ya kupata fedhaza kutekeleza Mradi huu. Katika Mwaka2016/17 fedha zilizotengwa ni Shilingi bilioni 5.

    (iii) Mradi wa Uzalishaji Mbolea kwa kutumiaGesi Asilia 

    81. Mheshimiwa Spika , Serikali kupitiaTPDC imesaini Mkataba wa Ubia naKampuni ya Ferrostaal ya Ujerumanimwezi Septemba, 2015 kwa ajili yakutekeleza Mradi wa ujenzi wa Kiwandacha Mbolea. Mradi huu utagharimu Dola

    za Marekani bilioni 1.98 sawa na Shilingi bilioni 4,411.24 na ujenzi unatarajiwakuchukua takriban miaka mitatu na nusu.

    Kiwanda kitakuwa na uwezo wa kuzalishaMbolea ya Urea tani 3,850 kwa siku nakitatumia Gesi Asilia kiasi cha futi zaujazo Trilioni 1 kwa miaka 20. Vilevile,mchango wa TPDC katika Mradi huu niardhi yenye eneo la ukubwa wa Hekari425 lililopo Kilwa Masoko (Lindi) ambapokiwanda kitajengwa. Kwa mujibu waMkataba wa utekelezaji wa Mradi huu,TPDC itaruhusiwa kumiliki hadi asilimia40 ya Hisa za Kampuni itakayojengakiwanda hiki.

    (iv) Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu

    wa Masuala ya Petroli82. Mheshimiwa Spika , kwa kuzingatia

    Sheria ya Petroli ya Mwaka, 2015 Wizarainaendelea na taratibu za kuanzishaMamlaka ya Udhibiti wa Mkondo waJuu wa Masuala ya Petroli (PetroleumUpstream Regulatory Authority - PURA).Mwezi Februari, 2016 Serikali imeundaKamati Maalum (Interim Committee) yakutekeleza majukumu ya PURA katikakipindi cha mpito pamoja na kuratibushughuli mbalimbali zinazolenga kuifanyaPURA kuwa chombo kamili cha udhibitiifikapo mwezi Julai, 2016.

    83. Mheshimiwa Spika , kazi zilizofanyikani pamoja na: kuandaa Mpango Kazi waUanzishwaji wa PURA; kuandaa Muundona Kazi za Mamlaka (OrganisationalStructure and Scheme of Service);

    kuandaa Rasimu ya Mpango Mkakati(Draft Strategic Plan); kuandaa Bajetipamoja na Mpango wa upatikanaji warasilimali fedha; na kuandaa Rasimuza Miongozo na Kanuni (Rules andRegulations) mbalimbali zitakazowezeshaPURA kutekeleza majukumu yake kwaufanisi. Bodi ya Wakurugenzi ya PURAitateuliwa Mwezi Julai, 2016.

    84 Mheshimiwa Spika , pamoja namajukumu mengine PURA itakaguaMikataba na kuchambua masuala yakiuchumi katika kuingia Mikataba yautafutaji na ugawanaji mapato yatokanayona shughuli za Mafuta na Gesi Asilia;itasimamia masuala ya ushiriki waWatanzania katika shughuli za utafutajiwa Mafuta na Gesi Asilia; na kufuatilia

    na kutathmini shughuli za utafutaji waMafuta na Gesi Asilia. Aidha, Sheria yaUsimamizi wa Mapato yatokanayo naMafuta na Gesi Asilia ya Mwaka 2015inaipa PURA mamlaka ya kukagua aukuagiza kufanyika ukaguzi wa vyanzo vyamapato ya Serikali katika Sekta ya Mafutana Gesi Asilia.

    (v) Wakala wa Uagizaji wa Mafuta ya Petrolikwa Pamoja

    85. Mheshimiwa Spika, nafurahi kulitaarifuBunge lako Tukufu kuwa Serikaliimekamilisha uanzishwaji wa Wakala waUagizaji Mafuta kwa Pamoja (PetroleumBulk Procurement Agency – PBPA) mweziJanuari, 2016. Wakala huo pamoja nakazi nyingine unatekeleza majukumu ya

    iliyokuwa Kampuni Binafsi ya kuratibuUagizaji wa Mafuta ya Petroli kwa Pamoja(Petroleum Importation Coordinator

  • 8/16/2019 MEM 120 Print

    12/20

    12   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 19 - 25, 2016

    HOTUBA YA WIZARA

    Limited - PICL). Kampuni hiyo ilikuwainamilikiwa na Kampuni binafsi za uagizajina usambazaji wa mafuta ya petrolinchini. Lengo la kuanzisha Wakala huuni kuongeza ufanisi katika shughuli zauagizaji mafuta ya petroli nchini.

    86. Mheshimiwa Spika, miongoni mwamajukumu ya Wakala huu ni kusimamiaMfumo wa Uagizaji wa Mafuta ya Petrolikwa Pamoja (Petroleum Bulk ProcurementSystem - BPS) na kuhakikisha upatikanajiwa mafuta ya petroli ya kutosha wakatiwote nchini. Katika Mwaka 2016/17,Wakala utaanza pia kuratibu uagizaji wa

    Liquefied Petroleum Gas - LPG pamojana mafuta mazito (Heavy Fuel Oil - HFO)kupitia mfumo wa BPS.

    Uagizaji wa Mafuta ya Petroli

    87. Mheshimiwa Spika, kama ambavyoSerikali iliahidi katika Bunge lako la Bajetiya Mwaka 2015/16, Bandari ya Tangailianza kupokea mafuta kupitia Mfumo waUagizaji Mafuta ya Petroli kwa Pamoja(BPS) kuanzia mwezi Julai, 2015. Katikakipindi cha Januari na Desemba, 2015Jumla ya lita bilioni 5.16 za mafuta yapetroli ziliingizwa nchini kupitia Bandariza Dar es Salaam (lita bilioni 4.25) naTanga (lita milioni 91.27). Kiasi hicho niongezeko la asilimia 12 ikilinganishwana lita bilioni 4.63 zilizoingizwa Mwaka

    2014. Kati ya mafuta hayo, lita bilioni 3.1sawa na asilimia 60 yalikuwa kwa ajili yamatumizi ya ndani na lita bilioni 2.06 sawana asilimia 40 yalikuwa kwa ajili ya nchi jirani.

    88. Mheshimiwa Spika, mafuta kwa ajili yamatumizi ya ndani yameongezeka kwaasilimia 9 kutoka lita bilioni 2.84 Mwaka2014 hadi lita bilioni 3.10 Mwaka 2015.Aidha, mafuta yaliyoagizwa kwa ajili yanchi jirani yameongezeka kwa asilimia 15kutoka lita bilioni 1.79 Mwaka 2014 hadilita bilioni 2.06 Mwaka 2015. Ongezekohilo linatokana na kukua kwa mahitajiya Mafuta ndani ya nchi pamoja na nchi jirani kuongeza uagizaji wa Mafuta kupitiaBandari ya Dar es Salaam.

    (vi) Mwenendo wa Bei za Mafuta katikaSoka la Dunia 89. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha

    kuanzia Januari, 2015 bei ya Mafutakatika Soko la Dunia ziliendelea kushukana kufikia wastani wa Dola za Marekani38 kwa pipa la Mafuta Ghafi kwa MweziDesemba, 2015. Aidha, wastani wa bei yaMafuta yaliyosafishwa kwa kipindi chakati ya Mwezi Januari na Desemba, 2015ulikuwa kama ifuatavyo: Petroli kutokaDola za Marekani 669 hadi Dola zaMarekani 437 kwa tani; Dizeli kutoka Dolaza Marekani 570 hadi Dola za Marekani335 kwa tani; na Mafuta ya Taa/Ndegekutoka Dola za Marekani 570 hadi Dola zaMarekani 363 kwa tani ambayo ni sawa napunguzo la asilimia 35 kwa Petroli, asilimia41 kwa dizeli na asilimia 39 kwa Mafuta ya

    Taa/Ndege, sawia.90. Mheshimiwa Spika, Bei ya Mafuta katikaSoko la Ndani hutegemea bei ya mafuta

    ya petroli katika Soko la Dunia pamojana Thamani ya Shilingi ya Tanzaniaikilinganishwa na Dola ya Marekani.Katika kipindi cha Januari hadi Desemba,2015 wastani wa bei za mafuta katika Sokola Ndani kwa lita ilikuwa: Petroli Shilingi1,973, Dizeli Shilingi 1,808 na Mafutaya Taa Shilingi 1,739 ikilinganishwa nawastani Shilingi 2,186 kwa Petroli, Shilingi2,082 kwa Dizeli na Shilingi 2,030 kwaMafuta ya Taa kwa kipindi kama hichokatika Mwaka 2014.

    91. Mheshimiwa Spika, EWURA iliendeleakusimamia shughuli za uagizaji wa LPG

    nchini. Kati ya Januari na Desemba,2015 Jumla ya tani 70,061 ziliagizwakwa ajili ya matumizi mbalimbali nchiniikilinganishwa na tani 65,611 Mwaka2014, sawa na ongezeko la asilimia 7.Ongezeko hilo linatokana kuongezeka kwauelewa kuhusu manufaa ya matumizi yaLPG, kuboreshwa kwa miundombinu yakuhifadhi, kujaza mitungi na kusambazaLPG. Katika Mwaka 2016/17 EWURAitaendelea kuisimamia Sekta Ndogo yaMafuta Nchini.

    (vii) Hisa za Serikali katika Kampuniza PUMA, TAZAMA na TIPER 

    92. Mheshimiwa Spika, Serikali imeendeleakusimamia Hisa zake katika Kampuniza PUMA Energy Tanzania Limited –asilimia 50; Tanzania - Zambia Pipeline

    Limited (TAZAMA – asilimia 30);na Tanzania International PetroleumReserve (TIPER – asilimia 50). Kampunihizo zimekamilisha hesabu za Mwaka2014, ambapo Serikali imepata Gawiola Shilingi bilioni 3 kutoka PUMA.Kampuni ya TIPER ilipata faida yaDola za Marekani milioni 11.5 sawa natakriban Shilingi bilioni 25.6, ambapowanahisa walikubaliana badala ya kutoaGawio waziwekeze katika kuboreshamiundombinu ya hifadhi ya mafuta kutokalita za ujazo 71,000 hadi lita za ujazo212,000. Aidha, Kampuni ya TAZAMAhaikutoa Gawio kwa kuwa haikupatafaida katika kipindi husika. Katika Mwaka2016/17, Serikali itaendelea kuzisimamiaKampuni hizo ili kuongeza ufanisi na

    kupata Gawio kubwa zaidi.(viii) Mradi wa Bomba la Kusafirisha MafutaGhafi kutoka Uganda hadi Tanzania

    93. Mheshimiwa Spika, Mwezi Aprili, 2016Serikali ya Tanzania ilisaini Makubalianoya Awali (MoU) na Serikali ya Ugandakwa ajili ya ujenzi wa Bomba la kusafirishaMafuta Ghafi kutoka Hoima, Ugandahadi Bandari ya Tanga, Tanzania. Bombahilo litakuwa na urefu wa kilomita 1,443ambapo kati ya hizo kilomita 1,115zitakuwa upande wa Tanzania. Bomba hilolitakuwa na uwezo wa kusafirisha mapipa200,000 ya Mafuta Ghafi kwa siku.

    94. Mheshimiwa Spika, kwa upande waTanzania, utekelezaji wa Mradi huuutakuwa na manufaa mbalimbaliyakiwemo: kuongezeka kwa ukusanyaji wamapato kupitia Bandari ya Tanga na tozo

    ya kupitisha Mafuta Ghafi kwenye Bomba;kuongezeka kwa uwekezaji wa fedha zakigeni; na fursa za ajira za kudumu kwa

    Watanzania takriban 1,000 na 10,000 zamuda wakati wa ujenzi. Majadiliano yautekelezaji wa Mradi huu kati ya Serikaliza Tanzania, Uganda, TPDC pamoja naKampuni za TOTAL (France), CNOOC(China) na Tullow (UK) yameanza.

    95. Mheshimiwa Spika, katika kuimarishaushirikiano wa Nchi za Jumuiya ya AfrikaMashariki, Serikali ya Uganda imealikanchi za Burundi, Kenya, Rwanda naTanzania kushiriki katika uwekezajiwa Mradi wa Ujenzi wa Kiwanda chaKusafisha Mafuta Ghafi (Oil Refinery)nchini Uganda. Kila nchi imepewa fursa ya

    kushiriki kwa kununua asilimia 8 ya Hisaza Mradi ambazo makisio yake ya awali niDola za Marekani milioni 150.4 sawa naShilingi bilioni 335.08. Katika Mradi huo,Sekta Binafsi pia imekaribishwa kushiriki.Serikali ya Tanzania imeridhia ushirikikatika uwekezaji kwenye Kiwanda hichocha Kusafisha Mafuta Ghafi.

    (ix) Sera na Sheria katika Sekta ya Nishati96. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka

    2015/16, Serikali imekamilisha Seraya Taifa ya Nishati, 2015 na Sheria yaPetroli, 2015. Lengo la kupitisha Sera naSheria hizo ni kuimarisha usimamizi waSekta ya Nishati nchini. Katika Mwaka2016/17, Kanuni na Miongozo mbalimbaliitaandaliwa kwa ajili ya kuimarishautekelezaji wa Sera na Sheria hizo.

    97. Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia

    EWURA imeandaa Miongozo yaUanzishwaji wa Miradi ya Umeme kwamujibu wa Kifungu cha 5 cha Sheria yaUmeme ya Mwaka 2008 - The Electricity(Initiation of Power Procurement) Rules2014. Lengo la Mwongozo ni kuhakikishakuwa uwekezaji katika Miradi ya Umemeunafanyika kwa tija na kuleta unafuu kwawananchi na uchumi wa nchi yetu.

    SEKTA YA MADINIUzalishaji na Biashara ya Madini

    98. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka 2015Jumla ya wakia milioni 1.37 za dhahabu,wakia 497,152 za fedha na ratili milioni13.76 za shaba zilizalishwa na kusafirishwa

    nje ya nchi kutoka Migodi Mikubwa yadhahabu ya Geita, Bulyanhulu, Buzwagi,North Mara, Stamigold Biharamulo naNew Luika. Jumla ya thamani ya madinihayo ni Dola za Marekani bilioni 1.63ikilinganishwa na Dola za Marekani bilioni1.66 kwa Mwaka 2014, sawa na pungufukwa takriban asilimia 2. Mrabaha uliolipwaSerikalini kutokana na madini hayo niDola za Marekani milioni 63.2 sawa natakriban Shilingi bilioni 140.8.

    99. Mheshimiwa Spika, kwa upande wamadini ya Tanzanite, Jumla ya gramumilioni 2.4 za Tanzanite ghafi zenyethamani ya Dola za Marekani milioni4.48 zilizalishwa na kuuzwa ndani na njeya nchi na Kampuni ya TanzaniteOne.Mrabaha uliolipwa Serikalini kutokanana mauzo ya Tanzanite ni Jumla ya Dola

    za Marekani 223,979. Vilevile, Jumla yakarati 191,407 za madini ya almasi zenyethamani ya Dola za Marekani milioni

  • 8/16/2019 MEM 120 Print

    13/20

    13BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 19 - 25, 2016

    HOTUBA YA WIZARA

    53.34 zilizalishwa na kuuzwa na Mgodiwa Mwadui ambapo Mrabaha wa Dola zaMarekani milioni 2.30 ulilipwa Serikalini.

    100. Mheshimiwa Spika, biashara ya madiniDuniani imeendelea kukumbwa namtikisiko kutokana na kushuka kwa beikulikoathiri uwekezaji kwenye Sekta hiyo.Bei ya wakia moja ya dhahabu imeshukakutoka Dola za Marekani 1,266.19 Mwaka2014 hadi kufikia wastani wa Dola zaMarekani 1,160.12 Mwaka 2015, sawana upungufu wa asilimia 8. Bei ya shabailishuka kwa asilimia 20 kutoka wastaniwa Dola za Marekani 3.11 kwa ratili

    Mwaka 2014 hadi Dola za Marekani 2.50Mwaka 2015, huku bei ya fedha ikishukakwa asilimia 18 kutoka Dola za Marekani19.08 Mwaka 2014 hadi Dola za Marekani15.70 kwa wakia Mwaka 2015. Hali hiyoimesababisha kushuka kwa Mrabahana mapato mengine yanayokusanywakutokana na madini hayo.

    101. Mheshimiwa Spika, Wizara kwakushirikiana na Taasisi nyingine zaSerikali imeendelea kuongeza uwezo wakusimamia madini yanayouzwa nje ya nchikwa kudhibiti utoroshwaji wake. Udhibitihuo kwa Mwaka 2015 umewezeshakukamata na kutaifisha madini ya ainambalimbali yenye thamani ya Jumlaya Dola za Marekani milioni 1.5 sawana Shilingi bilioni 3.34. Madini hayoyalikamatwa katika matukio 25 kwenye

    viwanja vya ndege vya Kimataifa vyaJulius Nyerere (Dar es Salaam) na KIA(Kilimanjaro).

    102. Mheshimiwa Spika, Wizara pia imeongezausimamizi katika eneo la Merelanikwa kuunda Kikosi Kazi cha kufuatiliauchimbaji na biashara ya Tanzanite. KikosiKazi hicho kimefanikisha: kukamatwamadini ya Tanzanite yenye uzito wakilogramu 2.02 yenye thamani ya Dola zaMarekani milioni 1.21 sawa na Shilingi bilioni 2.70 kupitia Kiwanja cha Ndege chaKilimanjaro (KIA); kukamata madini yaTanzanite gramu 13,314.6 yenye thamaniya Shilingi milioni 54.69 kutoka kwawafanyabiasha wa ndani wasio na leseni;kuondolewa nchini kwa wafanyakazi 15 wakutoka nje ya nchi waliokuwa wanafanyakazi katika Mgodi wa TanzaniteOnekinyume cha Sheria; na kujitokeza kwaWafanyabiasha 361 kuomba leseni zaudalali katika Ofisi za Arusha (194) naMerelani (167).

    103. Mheshimiwa Spika, kwa upande wa biashara ya vito, Wizara kwa kushirikianana Tanzania Mineral Dealers Association(TAMIDA) imeendesha Maonesho yaKimataifa ya vito yaliyofanyika JijiniArusha kuanzia tarehe 19 hadi 21 Aprili,2016. Katika Maonesho hayo madini yenyethamani ya Dola za Marekani milioni 4.04sawa na Shilingi bilioni 9 yaliuzwa. Katikahatua za awali, Serikali ilikusanya Mrabahawa Dola za Marekani 158,597.46 sawa naShilingi milioni 353.34 na Shilingi bilioni1.36 zilipatikana kutokana na mauzoya sehemu ya madini yaliyokamatwa

    yakitoroshwa nje ya nchi.104. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka2016/17, Serikali itaboresha usimamizi

    wa uzalishaji na biashara ya madini ilikuongeza mchango wa Sekta hiyo katikamaendeleo ya Taifa. Aidha, mpangomwingine ni kuendelea kuendesha minadaya ndani ya madini ya vito ikiwemoTanzanite sambamba na kuimarishaudhibiti wa utoroshaji madini katikamaeneo ya migodi na kwenye mipaka yanchi

    .Malipo ya Ushuru wa Huduma 

    105. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka 2015,Migodi ya Geita, Bulyanhulu, Buzwagi,

    North Mara, New Luika na WilliamsonDiamonds Limited imelipa ushuru wahuduma (service levy) wa Jumla ya Shilingi bilioni 10.34 ikilinganishwa na Shilingi bilioni 4.1 Mwaka 2014. Malipo hayoyameongezeka kwa asilimia 152. Ongezekohili limechangiwa na Kampuni zenyeMining Development Agreements (MDAs)kulipa ushuru wa huduma wa asilimia0.3 ya mapato ghafi badala ya Dola zaMarekani 200,000 kwa Mwaka.

    106. Mheshimiwa Spika, mchanganuo wamalipo hayo ni kama ifuatavyo: Kampuniya Acacia imelipa Shilingi milioni866.25 kwenye Halmashauri ya Kahama,Shilingi bilioni 1.59 kwa Halmashauriya Msalala na Shilingi bilioni 2.01 kwaHalmashauri ya Tarime. Vilevile, Kampuniya Shanta Gold Mining Limited imelipa

    Shilingi milioni 831.41 kwa Halmashauriya Chunya, Kampuni ya WilliamsonDiamonds Limited imelipa Shilingi milioni334.85 kwa Halmashauri ya Kishapuna Kampuni ya Geita Gold MiningLimited imelipa Shilingi bilioni 4.67 kwaHalmashauri ya Geita. Kampuni ya Almasiya El-Hillal pia imelipa ushuru wa hudumawa Shilingi milioni 27.57 Mwaka 2015 kwaHalmashauri ya Kishapu.

    107. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa witokwa Viongozi wa Halmashauri husikakuhakikisha kuwa fedha zinazotolewa naKampuni za uchimbaji madini ikiwemomalipo ya ushuru wa huduma zinatumikakatika shughuli za maendeleo kwa manufaaya wananchi na Taifa kwa ujumla.

    Kuendeleza Uchimbaji Mdogo wa Madini

    108. Mheshimiwa Spika, katika kutekelezaIlani ya CCM ya Mwaka 2015 - 2020,Ibara ya 35(m)(i) inayoelekeza kuwapatiamaeneo Wachimbaji Wadogo, kwaMwaka 2015/16, Serikali ilitenga maeneomawili (2) yenye ukubwa wa Hekta 7,731.Maeneo hayo yapo Nyamongo (Tarime)na Muhintiri (Singida) na yalipatikana kwautaratibu wa ushirikiano kati ya Serikali naKampuni za Acacia Mining Plc na ShantaGold Mining Limited.

    109. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka2016/17, Serikali itatenga maeneo sita (6)yenye ukubwa wa takriban Hekta 12,000kwa ajili ya uchimbaji mdogo. Taratibuza kupatikana maeneo hayo zitazingatiataarifa za kijiolojia kutoka kwa Kampuni

    mbalimbali za utafutaji madini kwakushirikisha Shirika la Madini la Taifa(STAMICO) na Wakala wa Jiolojia

    Tanzania (GST).110. Mheshimiwa Spika, Serikali imeendelea

    kutekeleza ahadi yake ya kuwapatiaRuzuku Wachimbaji Wadogo. KatikaMwaka 2015/16 Serikali imetoa Ruzukuya Shilingi bilioni 7.24 kwa Miradi 111ya uchimbaji mdogo wa madini. KatikaMwaka 2016/17, Dola za Marekanimilioni tatu (3) sawa na Shilingi bilioni6.68 zimetengwa kupitia Mradi waSMMRP kwa ajili ya kutoa Ruzuku.Wizara itaendelea kutathmini maendeleoya miradi iliyopata Ruzuku ili kuhakikishainaleta manufaa.

    111. Mheshimiwa Spika, pamoja na kutengamaeneo kwa Wachimbaji Wadogo wamadini, Serikali ilitoa mafunzo kwaWachimbaji Wadogo 181. Mafunzo hayoyalifanyika Mkoani Dodoma mweziOktoba, 2015 na yalihusu namna boraya matumizi ya Ruzuku na utunzaji wakumbukumbu. Aidha, mwezi Februari,2016 Wafanyabiashara 23 wa madiniwalipewa mafunzo ya matumizi ya mfumowa utoaji taarifa za biashara ya madini.Mafunzo hayo yalifanyika Jijini Mwanza.

    112. Mheshimiwa Spika, mafunzo mengineyalifanyika mwezi Machi, 2016 Jijini Dares Salaam kwa viongozi 38 wa Vyamavya Wachimbaji Wadogo ambavyo niFEMATA, TAWOMA, WIMA, TASPAna REMAS. Mafunzo hayo yalihusumfumo wa utoaji wa taarifa za uchimbaji

    mdogo na kanzidata ya vifaa vya uchimbajina uchenjuaji madini. Katika Mwaka2016/17, Wizara kupitia STAMICO naGST itaendelea kutoa huduma za uganina mafunzo ya nadharia na vitendo kwaWachimbaji Wadogo pamoja na Viongoziwa Wilaya na Halmashauri.

    Utoaji na Usimamizi wa Leseni za Madini

    113. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka2015/16 Wizara ilianzisha Mfumo wamalipo ya leseni kwa njia ya mtandao(online payments system). Mfumohuo ulianza rasmi tarehe 10 Desemba,2015 kwa lengo la kuimarisha utoaji nausimamizi wa leseni za madini. Sambambana hatua hiyo, Wizara imeendelea kusajiliwateja zaidi kwenye Mfumo wa kupokeamaombi ya leseni kwa njia ya mtandao(Online Mining Cadastre TransactionalPortal - OMCTP), hatua ambayoimeboresha utendaji na kupunguza mianyaya rushwa.

    114. Mheshimiwa Spika, hadi kufikia mweziMachi, 2016 Jumla ya leseni 4,803za utafutaji na uchimbaji wa madinizilisajiliwa kwenye Mfumo huo (OMCTP)kati ya leseni 38,695 zilizopo. Kati yaleseni hizo zilizosajiliwa: leseni 1,628 niza utafutaji mkubwa wa madini; leseni 65ni za uchi