MEM 102 Online.pdf

download MEM 102 Online.pdf

of 18

Transcript of MEM 102 Online.pdf

  • 7/25/2019 MEM 102 Online.pdf

    1/18

    Ofisi ya Mawasiliano Serikalini inapokea habari za matukio mbalimbali

    kwa ajili ya News Bullettin hii ya Wizar a ya Nishati na MadiniWasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263

    au Fika Osi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: [email protected]

    HABARI ZA

    NISHATI &MADINI

    Toleo No. 102 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Januari 14 - 20, 2016Bulletinews

    http://www.mem.go.tz

    SomahabariUk.3

    Raia wa Kigeni 15 Tanzanite One wafukuzwa nchini

    Hakuna jipu lolotemradi wa Kinyerezi II

    Badra Masoud

  • 7/25/2019 MEM 102 Online.pdf

    2/18

    2 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Na Mwandishi wetu

    Baadhi ya Vyombo vya Habarihususan gazeti la Mtanzaniatoleo namba 8063 la tarehe14 Januari 2016 katikaKichwa chake cha Habari

    kilichosomeka HARUFU YA JIPUMRADI WA UMEME lilieleza kuwamradi uliozinduliwa na Rais Mstaafuwa Awamu ya Nne, Mh. Jakaya Mrisho

    Kikwete uligharimu Shilingi Trilioni 1.6na kwamba fedha za ujenzi wa mradihuo zimetokana na ubia kati ya Serikaliya Tanzania na Japan ambapo Serikaliya Tanzania itakuwa na hisa ya asilimia40 na Kampuni ya SUMITOMO yaJapan asilimia 60. Pia taarifa hizo zilidaikuwa Serikali inachangia fedha za ndanikwa asilimia 12 na zilizobaki zikiwa nimkopo kutoka Benki ya Japan.

    Mwandishi wa gazeti la Mtanzaniaaliendelea kudai kuwa gharama zamradi huu ziko juu ikilinganishwa namiradi mingine akitolea mfano waKampuni ya TALLAWARA Power

    Station ya nchini Australia anayodaiilitaka kujenga mradi huo kwa Dola zaMarekani milioni 350.

    UFAFANUZIKwanza tunakanusha vikali taarifa

    hizi zilizotolewa na kwamba hazinaukweli wowote na zimelenga kupotoshaukweli na kuichafua Serikali.

    Ukweli wa mradi huo ni kamaifuatavyo:

    Serikali ya Tanzania iliingiamakubaliano na Serikali ya Japan yaMkopo wa Masharti nafuu wa Dolaza Marekani Milioni 292 kwa ajili yaKutekeleza Mradi wa kuzalisha umemewa Megawati 240 utakaojengwa naKampuni ya SUMITOMO ya Japankama mkandarasi EPC contractor nasio kama mbia na Serikali ya Tanzaniakama ilivyodaiwa.

    Mradi huo unamilikiwa na Serikalikwa asilimia 100 kupitia TANESCOna hakuna mwekezaji mwingine katikamradi huo. Hivyo, si kweli kwambaSerikali ya Tanzania na Kampuni yaSUMITOMO zinawekeza kwa ubia wa

    asilimia 40 (Serikali): 60 (SUMITOMO).Kwa maana hiyo hatutauziwa umemeutakaozalishwa na mradi huu kwani nimali yetu na hakuna gharama yoyoteya ziada kama alivyodai mwandishi wahabari hiyo.

    Mwandishi wa habari hiiameudanganya umma kwamba mradiuliozinduliwa na Rais wa Awamu ya NneMh. Jakaya Mrisho Kikwete. Ukweli nikwamba mradi huu haujazinduliwa

    bado na sasa ndio maandalizi ya kuwekajiwe la Msingi yanaendelea.

    Kuhusu gharama za Mradi,mwandishi wa habari hiyo amedaikwamba mradi huu ni wa bei ghalina unatekelezwa kwa Shilingi Trilioni1.6. Huu ni uongo kwani mradi huuunatekelezwa kwa gharama ya Dola zaMarekani Milioni 344 sawa na Shilingiza Tanzania Bilioni 740 zikiwa ni mkopowa masharti nafuu wa asilimia 85 sawana Dola za Marekani milioni 292 naMchango wa Serikali ya Tanzania waasilimia 15 sawa na Dola za MarekaniMilioni 52. (na sio asilimia 12 kamailivyodaiwa na mwandishi)

    Mwandishi wa habari hii amejaribukufananisha uwekezaji huu na uwekezajiwa TALLAWARA Power Station yaAustralia na kudai kwamba gharamayake ingekuwa ndogo kuliko gharamaya mradi huu. Taarifa hiyo haina ukweliwowote kwa sababu gharama ya DolaMilioni 344 zinazotarajiwa kutumikakatika mradi huu iko chini kuliko DolaMilioni 350 anazodai Mwandishikwamba zingetumiwa na Kampuniya TALLAWARA. Aidha, Kampuniya TALLAWARA haijawahi kuombaau kuonesha nia ya kuwekeza katikamradi wowote wa kufua umeme nchini.Pia ni muhimu ifahamike kwambamakubaliano ya Mkopo huu yalikuwayanakwenda sambamba na utekelezajiwa mradi wenyewe (EPC withFinancing).

    Pamoja na ukweli kwamba gharamaza uwekezaji wa Mradi huu wa kwanzawa aina ya Combined Cycle nchinizinawiana na gharama za miradimingine ya aina hiyo duniani, gharama

    za uwekezaji zinaweza kutofautianakutegemeana na mazingira ya nchina nchi, teknolojia iliyotumika naaina ya Mitambo. Hivyo sio suala lakulinganisha tu gharama ya mradimmoja na mwingine.

    Nawashauri Waandishi wenzangukufuata miiko na maadili ya uandishiwa Habari kwa kuandika habari zenyeukweli na sahihi na ambazo balanced

    badala ya kuandika habari za mitaani.Napenda kuwakumbusha kwambaWizara ya Nishati na Madini ipo wazina tayari kujibu maswali ya Wandishi wahabari wakati wowote.

    Hakuna jipu lolote

    mradi wa Kinyerezi II

    Sababu za kukauka mabwawa ya umeme hizi hapa!!Na Mwandishi Wetu

    Timu iliyoundwa na Waziriwa Nishati na Madini,Prof. Sospeter Muhongokutembelea vyanzo vya majikatika mabwawa ya kuzalisha

    umeme imebaini kwamba hali yamabwawa katika vyanzo vya kuzalishaumeme nchini si ya kuridhisha kutokanana kina cha maji kuendelea kupunguakutokana na sababu mbalimbali.

    Miongoni mwa sababu hizo nipamoja na shughuli za kibinaadamuzinazoendelea katika vyanzo vya mitombalimbali inayopeleka maji kwenyemabwawa ya kuzalisha umeme pamojana mabadiliko ya tabianchi.

    Kuongezeka kwa shughuli za ufugajiusiozingatia matumizi endelevu ya majipamoja na utunzaji wa mazingira kamainavyotokea katika eneo oevu la Ihefu.

    Kuongezeka kwa shughuli za kilimona umwagiliaji katika mkondo wa juuwa mabwawa ya kuzalisha umeme bilakuzingatia matumizi endelevu ya maji.

    Ukosefu wa miundombinu yakurejesha maji yaliyotumika kwenyemashamba katika mikondo ya mito nahivyo kusababisha upotevu wa maji usiowa lazima.

    Miradi mipya ya umwagiliajikuendelea kutolewa katika mikondoya juu ya mito hivyo kusababishamaji kutotiririka katika mabwawa

    ya kuzalisha umeme, mfano miradimkubwa wa umwagiliaji katika mtoLukosi na Iyovi unaosababisha majikushindwa kutiririka katika Bwawa laKidatu.

    Ujenzi wa mazuio kwa ajili yakuchepusha maji katika mikondoasilia ya mito husika. Utaratibu huohupunguza maji yanayotiririka kwendakwenye mabwawa ya kuzalisha umemenjia hizo mpya hazijaunganishwa namabwawa yanayotumika kuzalishaumeme.

    Kutotumika kwa teknolojia za kisasakatika kilimo cha umwagiliaji maji

    mashamba. Hadi sasa mashamba mengimakubwa yanatumia teknolojia yazamani flooding systems kumwagiliamashamba.

    Matumizi ya mifereji asilia ambayohaikusajiliwa kwa ajili ya kilimo chaumwagiliaji mashamba na kunywesheamifugo jambo linalosababisha upotevumkubwa wa maji.

    Kukosekana kwa ukarabati wamiundombinu iliyojengwa zamanikwa ajili ya shughuli za umwagiliajimashamba na kusababisha upotevuwa maji wakati yanapelekwa kwenyemashamba au kurudishwa kwenyemikondo ya mito husika.

    Matumizi yasiyo endelevu ya maji

    kutokana na shughuli a kilimo chaumwagiliaji maji zinazofanyika kwenyemaeneo ambayo mito inapita kabla yakuingia katika bwawa la Mtera.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo alipotembeleaeneo la Maporomoko ya Maji ya Mto Rusumo

  • 7/25/2019 MEM 102 Online.pdf

    3/18

    3BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    TahaririMEM

    Na Badra Masoud

    FIVEPILLARS OFREFORMS

    KWA HABARI PIGA SIMUKITENGO CHA MAWASILIANO

    BODI YA UHARIRI

    MHARIRI MKUU:Badra MasoudMSANIFU: Lucas Gordon

    WAANDISHI: Veronica Simba, Asteria Muhozya, GreysonMwase Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James ,

    Nuru Mwasampeta na Zuena Msuya

    INCREASE EFFICIENCY

    QUALITY DELIVERYOF GOODS/SERVICE

    SATISFACTION OFTHE CLIENT

    SATISFACTION OFBUSINESS PARTNERS

    SATISFACTION OFSHAREHOLDERS

    TEL-2110490

    FAX-2110389

    MOB-0732999263

    Tusiwapotoshe Watanzaniamradi wa Kinyerezi II

    TEL-2110490

    FAX-2110389

    MOB-0732999263

    Raia wa Kigeni 15 TanzaniteOne wafukuzwa nchini

    Kwa hakika wiki hii nimesikitishwa na habariiliyoandikwa na gazeti la Mtanzania toleo namba8063 la tarehe 14 Januari 2016 katika Kichwachake cha Habari kilichosomeka HARUFUYA JIPU MRADI WA UMEME lilieleza kuwamradi uliozinduliwa na Rais Mstaafu wa Awamuya nne, Mh. Jakaya Mrisho Kikwete uligharimuShilingi Trilioni 1.6 na kwamba fedha za ujenzi wa

    mradi huo zimetokana na ubia kati ya Serikali yaTanzania na Japan ambapo Serikali ya Tanzaniaitakuwa na hisa ya asilimia 40 na Kampuni yaSUMITOMO ya Japan asilimia 60.

    Habari hiyo haina ukweli wowote kwani Mradiwa Kinyerezi II bado haujajengwa na kwambaMradi uliozinduliwa na Rais Mstaafu Mhe.Kikwete ni wa Kinyerezi I.

    Aidha, Serikali ya Tanzania haina ubia wowotena Kampuni ya SUMITOMO ya Japan baliKampuni hiyo ni Mkandarasi wa ujenzi wa mradihuo.

    Mradi huo unamilikiwa na Serikali kwa asilimia100 kupitia TANESCO na hakuna mwekezajimwingine katika mradi huo. Hivyo, si kwelikwamba Serikali ya Tanzania na Kampuni yaSUMITOMO zinawekeza kwa ubia wa asilimia40 (Serikali): 60 (SUMITOMO). Kwa maana hiyohatutauziwa umeme utakaozalishwa na mradi huukwani ni mali yetu na hakuna gharama yo yote yaziada kama alivyodai mwandishi wa habari hiyo.

    Kuhusu gharama za Mradi, mwandishi wahabari hiyo amedai kwamba mradi huu ni wa beighali na unatekelezwa kwa Shilingi Trilioni 1.6.

    Huo ni uongo kwani mradi huu unatekelezwakwa gharama ya Dola za Marekani Milioni 344sawa na Shilingi za Tanzania Bilioni 740 ambapomkopo wa masharti nafuu ni asilimia 85 sawa naDola za Marekani milioni 292 na Mchango waSerikali ya Tanzania wa asilimia 15 sawa na Dolaza Marekani Milioni 52. (na si asilimia 12 kamailivyodaiwa na mwandishi)

    Nawashauri Waandishi wa Habari wenzangukufuata miiko na maadili ya uandishi wa Habarikwa kuandika habari zenye ukweli na sahihi naambazo balanced badala ya kuandika habariza mitaani. Napenda kuwakumbusha kwambaKitengo cha Mawasiliano cha Wizara ya Nishatina Madini hatuna urasimu wowote wa kutoataarifa au kujibu maswali ya Waandishi wa habariwakati wowote.

    Teresia Mhagama naMohamed Saif

    Jumla ya raia wa kigeni 15 waliobanikakufanya kazi kinyume na taratibu zakisheria katika mgodi wa TanzaniteOne uliopo Wilaya ya Simanjiromkoani Manyara wameondoshwa

    nchini Desemba 25, mwaka jana.Hayo yalielezwa jana jijini Arusha na

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ambayepia ni Mwenyekiti wa Kamati za Ulinzi naUsalama za mikoa ya Manyara, Arusha naKilimanjaro, Amos Makala wakati wa kikaochake na wajumbe wa kamati hizo pamojana Naibu Katika Mkuu Wizara ya Nishati naMadini, Profesa James Mdoe kilichofanyika

    katika Kituo cha Jimolojia jijini humo.Alisema kuwa raia hao waliamuliwa

    kuondoka nchini na Idara ya Uhamiajimkoani Manyara ikiwa ni utekelezaji wamaagizo ya Kamati za Ulinzi na Usalamaza Mikoa hiyo ambazo ziliunda kikosikazi cha wajumbe 13 kwa ajili ya udhibitiutoroshwaji wa madini ya Tanzanite nje yanchi, ukwepaji kodi unaofanywa na kampunizinazoshughulika na biashara ya madini nakuchunguza raia wa kigeni wasiokuwa na sifaza kufanya kazi kwenye migodi pamoja nakampuni za madini.

    Amri hiyo ya kuondoka nchini ndaniya siku saba ilianza kutekelezwa kuanziatarehe 17 Desemba, 2015 na raia wote haowaliofukuzwa wanatoka nchini India.Nakipongeza Kikosi kazi hiki ambachokimeanza kutekeleza majukumu ya kamatikwa ufanisi na zoezi hili litakuwa ni endelevu,

    Mwenyekiti wa Kikosi kazi kinachoshughulikia udhibiti utoroshwaji wa madini yaTanzanite nje ya nchi, Muliro Muliro (aliyesimama) ambaye pia ni Asa Upeleleziwa Makosa ya Jinai mkoani Arusha, akitoa taarifa ya Kikosi Kazi hicho kwa Mkuuwa Mkoa wa Kilimanjaro ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati za Ulinzi naUsalama za mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro, Amos Makala (wa kwanzakulia) wakati wa kikao cha Kamati hizo kilichofanyika jijini Arusha. Wengine katikapicha ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Profesa James Mdoe(wa pili kulia) na wa Tatu kulia ni Kaimu Kamishna wa Madini nchini, Mhandisi AllySamaje.

    >>Inaendelea Uk. 4

  • 7/25/2019 MEM 102 Online.pdf

    4/18

    4 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Kaimu Katibu Mkuu mkoa wa Manyara, Longino Kazimoto (aliyesimama) akichangia jambo wakati wakikao cha Kamati za Ulinzi na Usalama za Mikoa ya Manyara, Kilimanjaro na Arusha ambazo zinashirikianana Wizara ya Nishati na Madini katika kudhibiti utoroshaji madini ya Tanzanite nje ya nchi. Wa kwanzakulia ni Mwenyekiti wa Kamati hizo, Amos Makala. Wengine katika picha ni Naibu Katibu Mkuu Wizara yaNishati na Madini, Profesa James Mdoe (wa pili kulia)na wa Tatu kulia ni Kaimu Kamishna wa Madini nchini,Mhandisi Ally Samaje.

    Baadhi ya Wajumbe wa Kamatiza Ulinzi na Usalama za mikoa yaKilimanjaro, Manyara na Arushawakiwa katika kikao cha Kamatihizo kilichofanyika katika kituocha Jimolojia mkoani Arusha.Kamati hizo zinashirikiana naWizara ya Nishati na Madini katikakudhibiti utoroshwaji wa madini yaTanzanite nje ya nchi na ukwepajikodi unaofanywa na kampunizinazoshughulika na biashara yamadini nchini.

    alisema Makala.Aidha, alisema kuwa kikosi kazi

    hicho kilifanya operesheni ya sikumbili katika Mikoa hiyo kwa lengo lakukamata wafanyabiashara wa madini

    ya Tanzanite ambao hawana leseniambapo jumla ya wafanyabiashara15 walikamatwa mkoani Arushawakati mkoani Manyara idadi yawafanyabiashara waliokamatwa kwatuhuma za aina hiyo ni Nane namadini waliyokamatwa nayo yanathamani ya takribani shilingi milioni47.

    Alisema kuwa operesheni hiyoiliyofanyika tarehe 30 na 31 mweziDesemba mwaka jana ilijikita piakatika kuwabaini raia wa kigeniwanaofanya biashara ya madini bilavibali ambapo raia mmoja kutokanchini Ethiopia alikamatwa kwatuhuma za kufanya biashara ya madini

    kinyume na sheria na anatarajiwakufikishwa Mahakamani mara baadaya taratibu za awali za kipelelezikukamilika.

    Awali, Mwenyekiti wa Kikosikazi hicho, Muliro Muliro ambayepia ni Ofisa Upelelezi wa Makosa yaJinai mkoani Arusha alisema kuwa

    baada ya zoezi la kuwabaini pamojana kuwakamata wafanyabiashara wamadini wasiokuwa na vibali, jumlaya wafanyabiashara 272 ambaowalikuwa wakifanya biashara hiyokinyemela walijitokeza katika Ofisiza Madini za Arusha na Mererani ilikuomba leseni za kufanya biasharahiyo.

    Mkoani Manyara (Mererani)ilipo migodi ya Tanzanite jumla yawafanyabiashara 154 walijitokezana kuwasilisha maombi ya leseni zawakala wa madini ya vito (brokerslicence) na hivyo hadi kufikia tarehe 8Januari mwaka huu, kiasi cha shilingimilioni 38.5 zilikusanywa kutokanana ada ya maombi ya leseni husika,alisema Muliro.

    Vilevile alisema kuwa kwa upandewa Arusha, maombi mapya ya leseniza wakala wa madini yapatayo 115yaliwasilishwa Ofisi za Madini zakanda ya Kaskazini na hivyo kiasi chashilingi milioni 28.7 kimekusanywakutokana na maombi hayo.

    Naye Naibu Katibu Mkuu, Profesa

    Mdoe alizipongeza Kamati za Ulinzina Usalama za Mikoa hiyo kwa kazinzuri wanayofanya kwa kushirikianana Wizara ya Nishati na Madini katikakudhibiti utoroshwaji wa madiniya Tanzanite nje ya nchi, kubainiwafanyabiashara wa madini hayowasiokuwa na vibali na wanaokwepakulipa kodi stahiki.

    Alisema kuwa bado kuna kazikubwa mbele ya kuhakikisha kuwasuala hilo linakomeshwa na kusisitizakwamba kila mtumishi anapaswakufanya kazi kwa uadilifu na uzalendohuku akieleza kuwa opereshenihaitoweza kumaliza tatizo hilo kamawatumishi hawatatimiza majukumu

    yao ya kila siku kwa ufanisi ili kutotoamianya kwa matatizo hayo kuendeleakuwepo.

    >>INATOKA Uk. 3 Raia wa Kigeni 15 Tanzanite

    One wafukuzwa nchini

    Kamishna Msaidizi wa Madinianayeshughulikia Uchumi naBiashara katika Wizara ya Nishatina Madini, Salim Salim (aliyesimama)akitoa taarifa ya juhudi mbalimbalizilizofanywa na Wizara ya Nishati naMadini katika udhibiti utoroshwajiwa madini ya Tanzanite nje yanchi na ukwepaji kodi unaofanywana kampuni zinazoshughulika nabiashara ya madini nchini wakati wakikao hicho. Wa Tano kushoto niMwenyekiti wa Kamati hizo, AmosMakala na wa nne kushoto ni NaibuKatibu Mkuu Wizara ya Nishati naMadini, Profesa James Mdoe .

  • 7/25/2019 MEM 102 Online.pdf

    5/18

    5BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Asteria Muhozya naRhoda James - Njombe

    Serikali imesema inataka kuonaShirika la Umeme Tanzania(TANESCO) linajiendeshakibiashara na Makampuni

    binafsi yanayozalisha umemewanaliuzia shirika hilo umeme kwa beiambayo haitawaumiza wananchi.

    Agizo hilo lilitolewa na Waziri waNishati na Madini, Profesa SospeterMuhongo alipotembelea eneo la utafitila Makaa ya Mawe Mchuchumawilayani Ludewa mkoani Njombe.

    Profesa Muhongo alieleza kuwa,endapo Tanesco itanunua umeme kwabei kubwa kutoka katika Makampunibinafsi itapelekea na wao kuendeleakuwauzia wananchi umeme wa beiya juu ambapo pia Serikali italazimikakutoa ruzuku kwa shirika hilo liwezelijiendeshe.

    Tunatoka huko sasa. Hatutakitena kuendelea kuwapa TANESCOruzuku, tunataka shirika hili lijiendeshekibiashara lakini pia hatutakikuwaumiza wananchi.

    Kauli ya Waziri Muhongo imekujakutokana na kutokukubaliana kwagharama za kuuziana umeme marabaada ya mradi wa Makaa ya Mawe

    ya Mchuchuma utakapoanza kuzalishaumeme kwa kutumia Makaa ya Mawe,ambapo Kampuni ya Tanzania

    International Resource Limited ambayoni mbia wa Shirika la Maendeleo yaTaifa (NDC) katika mradi wa Makaaya Mawe kupanga kuiuzia TANESCOumeme kwa senti za dola ya Marekeni13 ambapo TANESCO wanatakakununua kwa nusu ya bei hiyo.

    Kutokana TANWAT, NDC na

    TANESCO kushindwa kukubalina juusuala la bei, Profesa Muhongo aliitakakampuni hiyo ya NDC na TANESCOkukaa kikao chini ya Uenyekiti waNaibu Katibu Mkuu wa Wizara yaNishati na Madini anayeshughulikiaNishati Dkt. Juliana Pallangyo ilikujadiliana kuhusu suala hilo na

    kufahamu mustakabali wa uendelezajiwa mradi huo ambao utakapokamilika,unatarajiwa kuwezesha uzalishaji wamegawati 600 za umeme ambazo katiyake megawati 350 zitaingizwa katikaGridi ya Taifa.

    Tunataka mradi uiuzie TANESCOumeme kwa bei rahisi lakini pia tufikemwisho wa majadiliano na mradi uanzeharaka. Endapo hatutaafikiana katikahili tutafute mwekezaji mwingine,alisema Profesa Muhongo.

    Akizungumzia kuhusu sualala fidia kwa wananchi waliopishamradi huo, Profesa aliitaka kampunihiyo kuharakisha suala la fidia nakuwaruhusu wakulima kutumia ardhikwa shughuli za kilimo cha mazao yamuda mfupi wakati makubaliano kati yaTANESCO na kampuni yanaendelea.

    Naye Mbunge Mteule wa Jimbo laLudewa Deo Ngalawa alimshukuruProfesa Muhongo kwa kufika kwake

    na kuendesha majadiliano kuhusumradi huo na kuongeza kuwa,jitihada za Profesa Muhongo katikakuongeza kiwango cha umeme nchinizinaonekana na kwamba wananchi waLudewa wanausubiri mradi huo kwakuwa ni ajira na fursa kwao.

    Kwa upande wake, Mkuu waWilaya ya Ludewa Antony Choyaalimuelezea Profesa Muhongo kuwaamekuwa ni zaidi ya Mwalimu katikakuwaelimisha wananchi kuhusu mradihuo na namna anavyosimamia masualaya nishati hususan kutafuta ufumbuzi

    juu ya mradi husika.Nampongeza sana Mheshimiwa

    Rais kwa uteuzi wako kushika nafasihii, alisema Choya.

    Kampuni hiyo inamiliki asilimia 80ya hisa katika mradi huo ambapo NDCinamiliki asilimia 20.

    Waziri wa Nishati na Madini, Prof Sospeter Muhongo na ujumbe wake wakikagua mradi wa kufua umemeunaomilikiwa na Watawa wa Shirika la Wabenedictin wa Mtakatifu Agnes wa Chipole , Kata ya Magagura.

    Wananchi wa Kijiji cha Mtuandalo Wilaya ya Mbinga wakinukuu namba za Meneja wa Tanesco Mkoa waRuvuma , Patric Lwsya na Meneja wa Tanesco Kanda ya Kusini, hayupo pichani baada ya Waziri Muhongokuwataka watendaji hao kuwapa wananchi namba zao ili waweze kufuatilia ahadi ya kuunganishiwa umemeikapo mwezi Aprili mwaka huu kama walivyoahidiwa na Tanesco.

    TANESCO ijiendeshe

    kibiashara: Prof. Muhongo

  • 7/25/2019 MEM 102 Online.pdf

    6/18

    6 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Na Devota Myombe

    Naibu Katibu Mkuu waWizara ya Nishati naMadini, anayesimamishaNishati Dk. JulianaPallangyo amelishauri

    Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania(TPDC) kuhakisha linashirikiana na

    mashirika mengine yaliyo chini yaWizara hiyo.

    Kauli hiyo ya Dk. Juliana aliitoawiki hii alipokutana na menejimenti yaTPDC jijini Dar es Salaam, alipofanyaziara katika ofisi hizo kwa mara yakwanza tangu alipoteuliwa.

    Katika mkutano huo Dk. Julianaalipata nafasi ya kuwafahamu watendajiwalio katika Shirika hilo na kufahamu

    jinsi Shirika hilo linavyofanya kazi.Ni vizuri TPDC mkawa na

    ushirikiano wa karibu zaidi na mashirikamengine yaliyo chini ya wizara yetu, hiiitasaidia watendaji wengine kuelewanini kinaendelea katika hili, alisemaDk. Palangyo. Kwa mfano watuwengi wana maswali juu ya suala lagesi, kuwa ipo ya kutosha au haipo.Hivyo mkishirikiana nao mtasaidia

    kuwaelekeza na kuwaelezea kwaufasaha,aliongeza Dk. Juliana.

    Dk. Palangyo pia aliwataka TPDCkuhakikisha wanakamilisha miradiwaliyoianzisha na kubuni mingine.

    Mkurugenzi wa TPDC, Dk.James Mataragio, alimweleza NaibuKatibu Mkuu juu ya changamotowanazokutana nazo katika utendaji waona namna wanavyozitatua.

    TPDC washauriwa kushirikiana na taasisi nyingine

    Asteria Muhozya naRhoda James-Njombe

    Waziri wa Nishatina Madini, Prof.Sospeter Muhongoameliagiza Shirikala Umeme Tanzania

    (TANESCO), kufanya majadilianona Kampuni ya Kufua Umeme kwakutumia mabaki ya miti ya Miwati yaTANWAT, ili kampuni hiyo iongezekiwango cha uzalishaji umeme kutokaMegawati 2 zinazozalishwa sasakufikia Megawati 10.

    Agizo hilo linafuatia ziara yaWaziri aliyoifanya katika kampunihiyo ikiwa ni ziara yake ya kikazikutembelea miradi ya umeme katikaMkoa wa Njombe, ambapo MenejaMkuu wa Misitu wa kampuni hiyo,

    Antery Kiwale alimweleza , ProfMuhongo kuwa, kampuni hiyo inauwezo wa kuzalisha megawati 2.5 nakutumia megawati 1.4 kwa matumiziya kiwanda na kiasi cha megawati 0.6kinauzwa kwa TANESCO.

    Aidha, Prof. Muhongo aliwatakaTANESCO kubadilika kiutendaji ilikuongeza wigo wa uzalishaji umemekwa kuwatumia wazalishaji wakubwa,kwa kati na wadogo ambao wote kwapamoja watasaidia kuondoa tatizo lauhaba wa nishati ya umeme ambayoinatajwa kuwa kichocheo kikuu chaukuaji kiuchumi wa taifa.

    Tunazunguka kukagua nakuangalia ni maeneo yapi yatatusaidiakuongeza kiasi cha uzalishaji umeme

    tunaouhitaji. Wazalishaji wadogo,wakubwa na wa kati wote watasaidiakufikia malengo yetu ya kuhakikishatunakuwa na umeme mwingi na wakutosha. Sote tunajua umeme ni ajirana umeme ni viwanda. Bila umemehatuwezi kuwa na viwanda vyakutosha, aliongeza Prof. Muhongo.

    Katika hatua nyingine, WaziriMuhongo aliagiza TANESCO naWakala wa Nishati Vijijini (REA),kufanya majadiliano na TANWATambao pia ni wazalishaji wa nguzoza umeme ambapo ina uwezo wakuzalisha nguzo 120,000 kwa mwaka.

    REA na TANESCO watakujahapa kuangalia nguzo hizi na kufanyaukaguzi kama zinakidhi viwango vya

    TANESCO. Ikiwa zinakidhi vigezo,REA wawaelekeze Wakandarasikununua nguzo za TANWAT badala

    ya kununua nguzo nje kama ilivyosasa ambapo wananunua kutoka nchiza Kenya, Uganda, Zambia na AfrikaKusini, alisisitiza Prof. Muhongo.

    Wakati huo huo Prof. Muhongoalikagua Mradi wa Kufua umeme waMaji (Mini Hydro) uliopo Uwembanje kidogo ya mji wa Njombe, nakuiagiza TANESCO kuandaa orodhaya vyanzo vya umeme vinavyotokanana maji na vilivyo katika gridina visivyo katika gridi ya taifa nakujadiliana na Makampuni binafsi ya

    kuzalisha umeme ili kukubaliana naonamna ya kuuziana umeme.Uzalishaji umeme kwa kutumia

    maji ndiyo rahisi zaidi. TANESCOangalieni orodha hiyo na waowawaeleze Mikataba yao muone namkubaliane namna ya kuuzianaumeme. Bila ya kuwa na umeme wakutosha na wa uhakika hatuwezi kuwana viwanda vya kutosha, alisisitizaMhe. Prof.

    Waziri Muhongo alisisitizakuwa, wajibu wa Serikali kuwasaidiana kufanya kazi kwa karibu nawazalishaji wadogo wa umeme iliwasaidie kuongeza kiwango chauzalishaji umeme katika grid nahivyo kuutaka uongozi wa Mkoa wa

    Njombe kufuatilia kwa kushirikiana naTANESCO suala hilo na kulifanyiakazi kwa karibu.

    Aidha, Prof. Muhongoaliwaagiza TANESCO kuharakishamatengenezo ya mtambo ulioharibikakatika kituo cha kufua umeme chaUwemba ili kuongeza uzalishaji waumeme katika grid ya taifa.

    Mbali na Mkoa wa Njombe

    katika ziara yake ya kutembeleamiradi ya umeme, Prof. Muhongopia atatembelea Mikoa ya Ruvuma,Mbeya na Iringa ambapo pia atakaguamaeneo ya utafiti na uchimbaji waMakaa ya Mawe.

    Prof. Muhongo ataka TANESCO kushirikiana na wazalishaji wadogo

    Meneja wa Bwawa la kuzalisha umeme kwa kutumia maji la Kihansi, Mhandisi Pakaya Sakaya (katikati)

    akimweleza jambo Waziri wa Nishati na Madini na ujumbe wake wakati wa ziara yake ya kutembeleamiradi ya kuzalisha umeme. Prof. Muhongo alitembelea kituo cha kufua umeme Uwemba, Njombe,ambacho pia ni sehemu ya Bwawa la Kihansi.

    Sehemu ya ujumbe wa Wataalamu mbalimbali walioambatana naWaziri kutoka taasisi mbalimbali , Uongozi wa Mkoa wa Njombe

    na wamiliki wa mgodi huo, wakiondoka eneo la utati wa Makaa yaMawe la Mchuchuma baada ya kutembelea eneo hilo. Mbele ni Menejawa Tanesco Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Salome, Kondoya.

  • 7/25/2019 MEM 102 Online.pdf

    7/18

    7BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Rhoda James na AsteriaMuhozya, Madaba

    Waziri wa Nishati naMadini, ProfesaSospeter Muhongo,ameliagiza Shirikala Umeme Tanzania

    TANESCO), Kanda ya Kusini,kuhakikisha linaitoa haraka gizaniHalmashauri mpya ya Wilaya yaMadaba badala ya kusubiri kukamilikakwa mradi wa umeme wa msongomkubwa wa Makambako- Songea.

    Kauli hiyo imetolewa hivi karibunina Waziri wa Nishati na Madini, ProfesaSospeter Muhongo kufuatia malalamiko

    ya uongozi wa halmashauri hiyo,wakiongozwa na Mbunge wa Jimbo laMadaba, Joseph Mhagama na baadhiya wananchi waliofuatana nae, wakatiwa ziara ya kikazi ya Profesa Muhongo,kutembelea miradi ya umeme namaeneo ya utafiti na uchimbaji wamakaa ya mawe mkoani Njombe,ambapo walimuomba waziri huyoawasaidie kutoka gizani.

    Prof. Muhongo alisema kuwa,halmashauri hiyo haiwezi kusubirikukamilika kwa mradi huo, ambaounatarajiwa kukamilika ndani ya kipindicha miaka miwili wakati kuna uhitajimkubwa wa nishati hiyo na hivyo

    kuutaka uongozi wa Tanesco Kandaya Kusini kuhakikisha unatafuta njiambadala ya haraka kumaliza tatizo hilowakati utekelezaji wa mradi mkubwaukiendelea.

    Haiwezekani halmashauri ikawagizani kwa kipindi cha miaka miwili,kukiwa hakuna umeme kabisa kusubirikukamilika kwa mradi wa Makambako-Songea wakati wana vyanzo vingi vyamaji vya kuzalisha umeme. Lazimawapatiwe umeme wa muda wakatimnakamilisha mradi, alisisitiza Prof.Muhongo.

    Akijibu hoja hiyo, Meneja wa TanescoKanda ya Kusini Joyce Ngahyomaalisema kuwa, ili kushughulikia sualahilo, uongozi huo utatumia mashinemoja kutoka Wilaya ya Namtumbo ilikusadia kumaliza tatizo hilo kwa mudawakati ukamilishaji wa mradi mkubwaukiendelea.

    Mhe. Waziri tunaahidi kushughuliasuala hilo. Tutachukua mashine mojatoka Namtumbo kwa kuwa hivi sasaWilaya hiyo ina ziada ya umeme wakiasi cha kilowati 57. Pindi mradiutakapomamilika tutairejesha mashine,alisema Ngahyoma.

    Ngahyoma aliongeza kuwa, endapomashine ya muda itawekwa katikahalmashauri hiyo mpya, inatarajiakuwanufaisha wakazi 2000 wa eneo

    hilo, ambao wanatarajia kutumia kiasicha kilowati 150.

    Kwa upande wake Mbunge waJimbo la Madaba, Joseph Mhagamaalimpongeza Prof. Muhongo kwakuteuliwa tena kuwa Waziri wa Nishatina Madini na kumshukuru kwa jitihadazake anazozifanya kutembelea vyanzovya umeme ili kujionea hali halisi yaupatikanaji wa nishati hiyo ikiwemo

    kusikiliza kero za wananchi na kutatuabaadhi ya changamoto ikiwemo yaMadaba.

    Awali halmashauri ya Madabailikuwa ni sehemu ya Songea na jimbo laPeramiho, kutokana na mgawanyo huona kuongezwa kwa baadhi ya majimbona wilaya mpya imekuwa halmashaurimpya ambayo bado haijaunganishwa nanishati ya umeme.

    Halmashauri Madaba kupata Umeme

    Meneja wa Tanesco Mkoa wa Ruvuma, Patric Lwesya (kushoto)akimweleza jambo Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongowakati alipotembelea mitambo ya kufua umeme wa Majenereta , Wilayaya Namtumbo. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu.

    Mtambo wa Kufua umeme wa Majenereta uliopo Wilaya ya Namtumbo.

    Asteria Muhozyana Rhoda James

    Watanzania wapatao1600 wanatarajiwakupata ajira katikahatua za awaliza maandalizi ya

    uchimbaji wa madini ya urani Wiyala yaNamtumbo, huku ikielezwa walengwawakiwa wananchi wa Mkoa waRuvuma.

    Aidha, watanzania wapatao 700wanatarajiwa kupata ajira za kudumumara baada ya shughuli za kuchimbamadini hayo kuanza baada ya utafiti wa

    madini hayo kufanywa na Kampuni yaMANTRA katika eneo la hifadhi yaSelou.

    Hayo yalibainishwa na Waziri waNishati na Madini, Profesa SospeterMuhongo alipotembelea mradi wakufua umeme wa Majenereta Wilaya yaNamtumbo mkoani Ruvuma leo.

    Hii ni neema nyingine kwa wakaziRuvuma na wilaya ya Namtumbo. Hiiiko wazi lazima watanzania wanufaikena ajira katika utekelezaji wa mradi huu.Hatua za awali za mradi zitachukua hadi

    miaka miwili kabla ya mradi kuanzakutekelezwa.Akizungumzia suala la umeme kwa

    wakazi wa Namtumbo ,Prof. Muhongo

    aliwahakikishia wakazi wa Namtumbokuwa ahadi ya Mbunge wao Mhe.Edwin Ngonyani bado iko pale pale nakwamba umeme utafika mapema tofautina kama alivyoahidi Mbunge wao.

    Kwa upande wake Mkuu waMkoa wa Ruvuma Said Mwambugualipongeza jitihada zinazofanywa naWizara kuhakikisha taifa linakuwa navyanzo vingi vya kuzalisha umemena kueleza kuwa, Mradi wa kuzalishaumeme kwa kutumia Makaa ya

    Mawe wa Ngaka utakuwa na manufaamakubwa si kwa mkoa wa Ruvuma tubali kwa taifa zima.

    Tunaimani na jitihada za Waziri, na

    wananchi wa Ruvuma wanausubiri sanamradi huu. Tunaamini kuwa utekelezajiwake utaubadilisha mkoa wa Ruvuma,aliongeza Mwambungu.

    Akieleza kuhusu mradi wa madini yaurani, Mwambungu alisema kuwa tayarihatua za msingi za utekelezaji wa mradihuo zimekamilika na kinachosubiriwani taratibu za kusaini Mikataba (MiningDevelopment Agreement- MDA)

    Madini ya urani ni moja ya chanzocha kuzalisha umeme na nishati yakeinatajwa kuwa rafiki wa mazingira.

    Baada ya kutembelea mradi waMajenereta Namtumbo ,WaziriMuhongo alitembelea ofisi mpya ya

    Halmashauri ya Wilaya ya SongeaPerahamiho ili kuhakikisha kwambaofisi hizo zinaunganishwa na nishati yaumeme.

    Mradi wa Urani kutoa ajira 1,600

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati),akimsikiliza Mbunge wa Jimbo la Madaba, Joseph Mhagama (wa tatukulia) na ujumbe wake ambao walikutana na waziri na kumwelezakuhusu tatizo la Halmashauri mpya ya Madaba kukosa umeme.

  • 7/25/2019 MEM 102 Online.pdf

    8/18

    8 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Na Teresia Mhagama

    Shughuli ya uhamishajimakapi ya dhahabu kutokamgodi wa dhahabu waGeita (GGM) kwendakatika eneo litakaloainishwa

    na serikali mkoani Geita itaanzatarehe 28 Februari, 2016 ili wananchiwanaozunguka mgodi huo wawezekuyachukua makapi hayo nakuchenjua dhahabu.

    Hayo yalielezwa na Naibu Waziriwa Nishati na Madini Dkt. MedardKalemani baada ya kikao chake naUongozi wa Mgodi wa Dhahabu waGeita (GGM), Wabunge wa Mkoawa Geita, Baraza la Taifa la Hifadhi naUsimamizi wa Mazingira (NEMC)na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    kilichofanyika katika Ofisi za AfisaMadini Mkazi wa mkoa huo tarehe 7Januari 2016.

    Dkt. Kalemani alieleza kuwa sualahilo linatekelezwa kufuatia kilio chasiku nyingi cha wananchi kuyahitajimakapi hayo, pia ni utekelezaji waagizo la Makamu wa Rais wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania SamiaSuluhu Hassan wakati alipofanya ziarayake mkoani Geita tarehe 05 Januari,2016 na kuiagiza Wizara ya Nishatina Madini kuhakikisha kuwa sualala kuwapatia wachimbaji wadogomakapi ya dhahabu (Magwangala)yaliyopo katika mgodi wa GGMlinapatiwa ufumbuzi.

    Mgodi wa GGM una leseni yauchimbaji madini yenye ukubwawa kilomita za mraba 192 na katikashughuli za uchimbaji kwenyemaeneo hayo kuna mabaki ambayohutunzwa kwa ajili ya kurudishiakatika mashimo baada ya uchimbajikukamilika katika eneo husika lakiniwananchi wanaozunguka mgodiwanayahitaji ili kuyachenjua na kupata

    dhahabu, alisema Dkt. KalemaniAlisema baada ya kikao hicho

    GGM waliridhia wananchiwanaozunguka mgodi huo kuchukuamakapi hayo baada ya kila upande(Serikali na GGM) kutekelezamajukumu waliyopangiana ambayoyanapaswa kutekelezwa hadi kufikiatarehe 21 Januari, 2016, alisema Dkt.Kalemani.

    Alisema kuwa kabla ya zoezi hilola uhamishaji makapi kuanza rasmitarahe 28 Februari mwaka huu, Serikaliitatafuta eneo ambalo mabaki hayoyatahifadhiwa ili wananchi waendeleekuyafanyia kazi bila kuathiri shughuliza mgodi na alimwagiza Afisa MadiniMkazi wa Geita kuhakikisha kwambahadi kufikia tarehe 21 Januari 2016eneo liwe limepatikana.

    Aidha alieleza kuwa kabla yatarehe 21 Januari mwaka huu serikaliitaunda timu itakayoshirikiana namgodi katika kutathmini aina yamakapi ya dhahabu yanayohitajika nawananchi kwani makapi hayo yapo yaaina nyingi.

    Vilevile kabla ya kuhamishamakapi haya kwanza tutafanyatathmini ya kutambua athari zakimazingira katika eneo litakalotengwakwa ajili kuyaweka makapi hayo ilikuhakikisha kuwa kazi hii haitaathirimazingira yetu ambapo zoezi hililitafanywa na wataalam wa Barazala Taifa la Hifadhi na Usimamizi waMazingira (NEMC), alisema Dkt.Kalemani.

    Alisema serikali pia itafanya Utafitiili kufahamu idadi ya wananchiwatakaoshiriki katika shughuli yauchukuaji makapi hayo ya dhahabuili kudhibiti wageni wanaotoka nchi

    jirani ambao wanaweza kunufaikakuliko wazawa.

    Ili suala hili lifanyike kwa ufanisiwatendaji wa GGM pia wanahitaji

    kuwasilisha suala hili katika Bodi yaoili kupata kibali cha kuendelea nazoezi hili na sisi serikali tunatakiwakuunda timu itakayohusisha sektambalimbali ikiwemo NEMC,Wizara Nishati na Madini, Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Tawala za Mikoa na Serikali zaMitaa (TAMISEMI) na Mambo yaNdani ili kupitia sheria na kanunizitakazopelekea zoezi zima kufanyikakwa ufanisi.

    Aidha Naibu Waziri aliushukuruuongozi wa mgodi huo kwa kuonyeshaushirikiano katika utekeleaji wa sualahilo na kuupongeza kwa jitihadambalimbali wanazofanya katika kutoahuduma kwa jamii inayowazungukaikiwemo ujenzi wa miradi ya maji,shule, vifaa vya hospitali, na vifaa vyaushonaji.

    Makapi ya dhahabu GGM kuanza kutolewa Februari

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dkt. Medard Kalemani (katikati)akiwa katika kikao chake na Uongozi wa Mgodi wa Dhahabu waGeita (GGM), kilicholenga katika kujadili makapi ya dhahabu kutokaMgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM). Kikao hicho pia kilihudhuriwana Wabunge wa Mkoa wa Geita, Baraza la Taifa la Hifadhi naUsimamizi wa Mazingira (NEMC) na watendaji wa Osi ya Mkuu waMkoa Geita kilichofanyika katika Osi za Asa Madini Mkazi wa Geita.

    Naibu Waziri wa Nishati naMadini Dkt. Medard Kalemani(aliyesimama juu ya meza)akizungumza na wananchi katikawilaya ya Chato mkoani Geitawakati wa ziara yake ya kukaguamiradi ya Nishati na Madinimkoani Geita.

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dkt. Medard Kalemani (wa tano kulia) akiwa katika picha yapamoja na Uongozi wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), Wabunge wa Mkoa wa Geita, watendajikutoka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) na Osi ya Mkuu wa Mkoa Geitamara baada ya kumaliza kikao kilichofanyika katika Osi za Asa Madini Mkazi wa mkoa wa Geitakilicholenga katika kujadili makapi ya dhahabu kutoka Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM).Wa sita kuliani Mkurugenzi Mkuu wa GGM, Terry Mulpeter na wa Tatu kulia ni Asa Madini Mkazi mkoa wa Geita,Mhandisi Laurian Rwebembera.

  • 7/25/2019 MEM 102 Online.pdf

    9/18

    9BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    MAKALA

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa(wa kwanza Kushoto) akipokea taarifa ya kazi ya Wakala wa JiolojiaTanzania (GST) alipotembelea Osi zake, Januari 13, 2016 mjiniDodoma. Kutoka Kulia ni Mtendaji Mkuu wa GST, Profesa AbdulkarimMruma, Mkurugenzi wa KanziData Yorkbeth Myumbilwa, Mkurugenziwa Jiolojia Fadhil Moses na Mkurugenzi wa Maabara AugustineRutaihwa.

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin

    Ntalikwa akisalimiana na Watumishi wa Chuo cha Madini Dodoma(MRI) alipowasili osini kwao kuwatembelea na kuzungumza nao hivikaribuni. Kulia kwa Katibu Mkuu ni Mkuu wa Chuo, Oforo Ngowi.

    Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST), ProfesaAbdulkarim Mruma (Kushoto) akizungumza na Wafanyakazi waWakala huo (hawapo pichani) wakati akimkaribisha Katibu Mkuuwa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa (katikati)kuzungumza na Wafanyakazi hao. Kulia ni Mkurugenzi wa Maabarawa GST, Augustine Rutaihwa.

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwaakisaini Kitabu cha Wageni katika Osi ya Mkuu wa Chuo cha MadiniDodoma (MRI) alipotembelea Chuoni hapo hivi karibuni.

    Katibu Mkuu Ntalikwa afanya ziara GST na MRINa Veronica Simba Dodoma

    Katibu Mkuu wa Wizaraya Nishati na Madini,Profesa Justin Ntalikwaamefanya ziara ya kikazikatika Ofisi za Wakala

    wa Jiolojia Tanzania (GST) na Chuocha Madini Dodoma (MRI).

    Ziara hiyo iliyofanyika Januari 13,2016 mjini Dodoma, ziliko Taasisihizo, ililenga kujitambulisha kwaviongozi na watumishi pamoja nakujionea kazi na huduma mbalimbaliwanazotoa kwa wananchi.

    Akiwa katika Ofisi za GST,Katibu Mkuu alikutana na uongoziwa Wakala huo wakiongozwana Mtendaji Mkuu wake, ProfesaAbdulkarim Mruma ambapoalipokea taarifa ya utendaji, kisha

    akakutana na wafanyakazi wote waWakala na kuzungumza nao kuhusumajukumu yao na changamotowalizonazo kiutendaji.

    Changamoto kubwa aliyoelezwaKatibu Mkuu na wafanyakazi waGST ni uhaba wa fedha kwa ajili yakuendesha Wakala ambapo pamojana kuahidi kuangalia utaratibuwa kuwasaidia, aliwataka wabunina kuanzisha miradi mbalimbaliitakayowawezesha kuwaingiziakipato cha kutosha ili baadae wawezekujiendesha wenyewe pasipokutegemea ruzuku kutoka Serikalini.

    Baada ya kukutana naWafanyakazi, Katibu Mkuu Ntalikwaalitembelea majengo mbalimbali yaWakala kujionea kazi zinazofanyikaambapo ni pamoja na Maabarampya ya kisasa ya Uhandisi waKijiolojia, Chumba chenye mitambo

    na mashine za kisasa zinazohifadhidata mbalimbali, chumba maalumkinachohifadhi nyaraka namachapisho mbalimbali pamojana Maabara ya kuchenjua Madini(Mineral processing Laboratory).

    Kwa upande wa Chuo chaMadini, wafanyakazi walimwelezaKatibu Mkuu kuwa uhaba wa fedhaza kuendesha Chuo kuwa moja yachangamoto kubwa chuoni hapo.Pia, waliomba kupatiwa nafasi zamasomo ya muda mfupi na mrefuili waweze kujifua zaidi kitaaluma nahivyo kuweza kutoa elimu bora kwawanafunzi.

    Akijibu changamoto na maombihayo, Katibu Mkuu alisema kuwaumefika wakati wa Chuo hichokujipanga kikamilifu kwa kuibuamiradi mbalimbali ya kuwaingiziakipato ili waweze kusimama na

    kujiendesha wenyewe. Muda wakusubiri ruzuku kutoka Serikaliniumekwisha, alisisitiza.

    Hata hivyo, Katibu MkuuNtalikwa aliahidi kuzishughulikiachangamoto zilizowasilishwa kwakekwa kadri itakavyowezekana ilikukiwezesha Chuo kuendelea na

    jukumu lake kuu la utoaji elimu yamadini.

    Ziara ya Katibu Mkuu Ntalikwakatika Ofisi za GST na MRI nimwanzo wa ziara anayofanyakutembelea Mashirika na Taasisimbalimbali zilizo chini ya Wizara ilikujitambulisha na kujionea kazi nahuduma wanazotoa. Profesa Ntalikwaataendelea na ziara mjini Dodomakwa kutembelea Ofisi za Shirika laMadini la Taifa (STAMICO) naOfisi za Shirika la Ugavi wa UmemeTanzania (Tanesco).

  • 7/25/2019 MEM 102 Online.pdf

    10/18

    10 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Na Veronica SimbaDodoma

    Mashirika na Taasisi zilizochini ya Wizara ya Nishatina Madini, zimetakiwakubuni miradi mbalimbali

    ya kuziingizia pesa ili hatimaye ziwezekujiendesha pasipo kutegemea ruzukukutoka Serikalini.

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishatina Madini, Profesa Justin Ntalikwaaliyasema hayo kwa nyakati tofauti mjiniDodoma Januari 13, 2016 alipofanya ziarakatika Ofisi za Chuo cha Madini (MRI) naWakala wa Jiolojia Tanzania (GST).

    Akizungumza na Viongozi naWafanyakazi wa Chuo cha MadiniDodoma, Profesa Ntalikwa alisemaSerikali imedhamiria kuhakikishaMashirika na Taasisi za Serikali zinaachana

    na utamaduni wa kutegemea ruzukukutoka Serikalini ili ziweze kujitegemea nakujiendesha.

    Ninyi kama Chuo, mnapaswa piakubuni miradi mbalimbali ya kuwaingiziapesa. Pamoja na kwamba kwa sasa mnazonjia za kuwaingizia pesa kiasi kamavile kupitia malipo yanayofanywa nawanafunzi kama ada ya shule na menginekama hayo, lakini hiyo haitoshi. Ni lazimamkae chini, mjipange, mje na miradimipya kadhaa, alisisitiza Katibu MkuuNtalikwa.

    Kwa upande wa Wakala wa JiolojiaTanzania, Profesa Ntalikwa aliwatakapamoja na kubuni miradi mipya nakuendeleza ile iliyopo, watangaze shughuliwanazofanya ili ziweze kufahamika kwa

    wananchi na hivyo kupata mikataba mingiya kazi itakayowaingizia kipato kikubwa.

    Agizo hilo la Katibu Mkuu, lilikujakufuatia kupokea taarifa za kazi za GSTna Chuo cha Madini ambazo pande zotembili walieleza kuwa moja ya changamotowanazokabiliana nazo ni ukosefu wa fedhaza kutosha kuendeshea shughuli zao.

    Akijibu taarifa husika, Profesa

    Ntalikwa alisema umefika wakati ambapoTaasisi hizo zinapaswa kuweka mikakati yakudumu ya kuwapatia pesa za kujiendeshalakini pia za kuchangia Serikalini kama

    makusanyo.Ninafahamu kuwa makusanyo yenu

    GST yameshuka kwa kiasi kikubwakutokana na hali ya kudorora kwa uchumiduniani kote. Hata hivyo, ongezeni jitihadaza kubuni miradi mipya itakayojiendeshakwa faida, alisema.

    Katika hatua nyingine, Katibu Mkuualiwakumbusha Watumishi wa GST na

    MRI kujiepusha na vitendo vya rushwakwani vinachangia kwa kiasi kikubwakuikosesha Serikali mapato stahiki.

    Binafsi nitakaposikia yeyote kati yenu

    ametuhumiwa kwa kujihusisha na rushwanitasikitika sana na kamwe sitamuacha.Nitahakikisha sheria inachukua mkondowake ili iwe funzo kwa wengine, alisisitizaProfesa Ntalikwa.

    Aliwaasa watumishi hao kuhakikishawanakuwa na utendaji uliotukukaunaozingatia umakini, uadilifu na uaminifuili kupitia Taasisi zao, waingarishe Wizara

    ya Nishati na Madini.Katibu Mkuu Ntalikwa, aliahidi

    kuzishughulikia changamotozinazowakabili wafanyakazi ili ziwezekutatuliwa. Baadhi ya changamotozilizotajwa na Wafanyakazi hao ni pamojana ukosefu wa vitendea kazi vya kisasa,maslahi duni na ukosefu wa motisha kwawafanyakazi. Pia, mafunzo ya muda mfupina mrefu kwa watumishi ili kuboreshataaluma zao hivyo kuboresha utendaji wakazi.

    Profesa Ntalikwa ahimiza ubunifu miradi

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa (katikati) akizungumza na wafanyakazi waWakala wa Jiolojia Tanzania - GST (hawapo pichani) alipowatembelea hivi karibuni. Kushoto ni Mtendaji Mkuuwa GST, Profesa Abdulkarim Mruma na Kulia ni Mkurugenzi wa Maabara, Augustine Rutaihwa.

    Mkuu wa Chuo cha Madini Dodoma (MRI), Oforo Ngowi (aliyesimama)akiwasilisha taarifa ya kazi ya Chuo hicho kwa Katibu Mkuu wa Wizaraya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa (Kushoto). Katibu Mkuualifanya ziara Chuoni hapo hivi karibuni na kuzungumza na Viongozipamoja na Wafanyakazi wote.

    Mtumishi katika Chuo cha Madini Dodoma (MRI) ChristopherChiwamba, akiwasilisha maoni yake kuhusu namna ya kuboreshamazingira ya kazi Chuoni hapo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati naMadini (hayupo pichani) alipokutana na kuzungumza na Wafanyakazi hao.

  • 7/25/2019 MEM 102 Online.pdf

    11/18

    11BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Wawekezaji makini watatuvusha Profesa Ntalikwa

    Na Veronica Simba Dodoma

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwaamesema changamoto ya upatikanaji wa umeme wa kutosha na wauhakika itakwisha na kwamba mchango wa sekta ya madini katika pato lataifa utaongezeka kwa kupata wawekezaji makini katika sekta hizo.

    Aliyasema hayo kwa nyakati tofauti Januari 13, 2016 mjini Dodoma alipofanyaziara katika Ofisi za Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) na Chuo cha MadiniDodoma (MRI), ili kujitambulisha rasmi na kujionea kazi na huduma zinazotolewana Taasisi hizo.

    Akizungumzia sekta ya nishati, Profesa Ntalikwa alisema changamoto kubwailiyopo ni ya upatikanaji wa umeme wa uhakika, wa kutosha na wa bei nafuu.

    Alisema ili kukabiliana na changamoto hiyo, Wizara sasa imejikita kukaribishawawekezaji kwa ajili ya kuzalisha umeme kwa kutumia vyanzo mbalimbali ikiwa nipamoja na gesi, maji, makaa ya mawe, upepo, jua, na kadhalika.

    Tunahitaji wawekezaji makini, wenye dhamira ya dhati na waliojipangakweli kuwekeza katika uzalishaji umeme. Hatutaki wababaishaji maana hawawezikutuvusha, alisisitiza.

    Kwa upande wa sekta ya madini, Profesa Ntalikwa alisema suala la utoroshwaji

    wa madini nchini kamwe si la kufumbiwa macho. Sisi Wizara tumedhamiriakushughulikia changamoto hiyo kikamilifu kwani inasababisha nchi kukosa mapatokwa kiasi kikubwa. Tumeshaweka mikakati, tunalofanya sasa ni utekelezaji tu.

    Alisema, sekta ya madini inaendelea kukua ambapo alisema pia inahitajiwawekezaji makini wanaoweza kuangalia fursa zilizopo na kuwekeza katikaviwanda ambavyo vitaleta tija kwenye madini yaliyopo hivyo kuiwezesha kuchangiakwa asilimia 10 katika pato la taifa ifikapo mwaka 2025 kutoka kwenye asilimia 3.5inayochangia sasa.

    Aidha, Profesa Ntalikwa aliwataka watumishi wa GST na MRI kufanya kazikwa nidhamu, uadilifu na umakini wa hali ya juu ili kusaidia jitihada za Serikali zakuhakikisha wananchi wake wananufaika na rasilimali zipatikanazo nchini.

    Rais ametutaka tufanye kazi kwa kasi na uadilifu wa hali ya juu ili tuwezekupata matokeo chanya katika sekta zetu ndani ya muda mfupi. Hatuko tayarikumwangusha, hivyo sote tuwajibike ipasavyo, alisisitiza.

    Ziara ya Katibu Mkuu, Profesa Ntalikwa ni ya kwanza katika Ofisi za GST naMRI kutokea aliposhika nafasi ya Ukatibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini.

    Mtumishi katika Maabara ya Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST),Kamana Camilius (mwenye Koti la Bluu) akimweleza Katibu Mkuu waWizara ya Nishati na Madini (wa pili kutoka Kulia) namna Maabarahiyo inavyofanya kazi. Wengine pichani ni Viongozi wa GST.

    Mtumishi wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST), Salma Mohamed,akiwasilisha maoni yake kuhusu uboreshaji mazingira ya kazi kwa KatibuMkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa (hayupopichani) alipowatembelea hivi karibuni.

    Mkurugenzi wa Maabara ya Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST),Augustine Rutaihwa (Kulia) akitoa neno la shukrani kwa Katibu Mkuuwa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa (katikati) kwaniaba ya wafanyakazi wa GST. Katibu Mkuu alitembelea Wakala huo nakuzungumza na wafanyakazi hivi karibuni.

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa(Kushoto) akizungumza na Wafanyakazi katika Maabara ya Madiniya Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST). Wengine pichani ni Mtendaji

    Mkuu wa GST, Profesa Abdulkarim Mruma (wa pili kutoka Kulia),Mkurugenzi wa Maabara Augustine Rutaihwa (wa pili kutoka Kushoto)na Mkurugenzi wa Jiolojia, Fadhil Moses (wa tatu kutoka Kushoto).

    Mtumishi katika Maabara mpya ya kisasa ya Uhandisi wa Kijiolojianayomilikiwa na Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST), Godson

    Kamihanda (wa pili kutoka Kushoto) akimweleza Katibu Mkuuwa Wizara ya Nishati na Madini (katikati) namna Maabara hiyonavyofanya kazi. Wengine pichani ni Viongozi wa GST.

  • 7/25/2019 MEM 102 Online.pdf

    12/18

    12 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    GST, jitokezeni umma uwafahamu Profesa NtalikwaNa Veronica SimbaDodoma

    Katibu Mkuu wa Wizara ya

    Nishati na Madini, ProfesaJustin Ntalikwa amewatakaviongozi wa Wakala wa Jiolojia

    Tanzania (GST) kufanya jitihada zakutangaza shughuli wanazofanya kwaumma wa Watanzania.

    Profesa Ntalikwa alisema shughulizinazofanywa na GST bado hazifahamikikwa Watanzania wengi na kwamba endapozitafahamika inavyotakiwa, wananchiwatajitokeza kwa wingi kupata hudumambalimbali zinazotolewa na Wakala huo.

    Aliyasema hayo, Januari 13, 2016alipotembelea Ofisi za GST zilizokoDodoma na kukutana na viongozi pamojana wafanyakazi wote ili kujitambulisharasmi, kujionea kazi zinazofanywa naWakala pamoja na kusikiliza changamotozinazowakabili.

    Akitoa mfano wa Maabara mpyana ya kisasa ya Uhandisi wa Kijiolojia,inayomilikiwa na Wakala huo, ProfesaNtalikwa alisema ni jukumu la Viongoziwa GST kuhakikisha wananchiwanazifahamu kazi zote zinazofanywakatika Maabara hiyo.

    Walio wengi wanajua tu kuwamnajishughulisha na shughuli zamadini, lakini kwa mfano ni wangapiwanaofahamu kuwa GST, kwa kutumiaMaabara yenu ya kisasa, mnachunguzasampuli kwa ajili ya kutathmini sehemu zashughuli za maendeleo kama vile sehemuza kujengea nyumba na mabwawa?

    Akifafanua zaidi, Katibu MkuuNtalikwa alisema kwamba watu binafsina kampuni zinazojihusisha na masualaya ujenzi, wakifahamu kwa kina shughulizinazofanywa na GST katika sekta yaujenzi, hawatasita kuchangamkia hudumahusika.

    Aidha, aliwataka GST kuwasilianana Wizara ya Ujenzi pamoja na Taasisi

    zinazojihusisha na masuala ya ujenziili kuzungumza namna ya kushirikianakatika utoaji huduma kwenye sekta hiyo.

    Awali, akiwasilisha taarifa ya utekelezajiwa majukumu ya Wakala huo kwaKatibu Mkuu Ntalikwa, Mtendaji Mkuuwa GST, Profesa Abdulkarim Mruma,alisema kazi nyingine zinazofanywa naWakala ni pamoja na kuandaa taarifaza kijiosayansi zinazohusisha ramani za

    jiolojia, vitabu na vijarida vinavyooneshauwepo wa madini, madini ya vito na ripotimbalimbali zinazoonesha upatikanaji wamawe ya nakshi, madini ya ujenzi na dataza jiofizikia na jiokemia.

    Profesa Mruma alitaja kazi nyingine zaGST kuwa ni utafutaji wa kina wa madini,utafiti wa majanga asili na uchunguzi wasampuli za maji, mimea na udongo kwaajili ya kutathmini athari za kimazingirazinazotokana na uchimbaji madini namaeneo ambayo yana madini ambayoyanaweza kuathiri viumbe hai katika eneohusika.

    Nyingine ni utoaji ushauri wa kitaalamkatika Nyanja za kijiofizikia, kijiolojia,kijiokemia, utafutaji maji, utafiti wa kinawa madini, mipango miji na matumizi

    bora ya ardhi.Aliongeza kuwa, GST pia hujihusisha

    na ukodishaji vifaa vya kufanyia kazi zakijiofizikia, kutoa huduma za Maktabayenye vitabu na ripoti mbalimbali zamadini kutokea miaka ya 1985, uwepowa Maktaba ya sampuli za mawe kutokasehemu mbalimbali ndani na nje ya nchi,maonesho ya madini, miamba na mifumoya kijiolojia pamoja na huduma zauchoraji ramani maalum kwa watu binafsina makampuni mbalimbali kwa kutumiateknolojia ya kisasa.

    Ziara ya Katibu Mkuu, ProfesaNtalikwa katika Ofisi za GST ni ya kwanzatokea alipoteuliwa na Rais, kuapishwa nakuanza kazi rasmi akiwa ni Katibu Mkuuwa Wizara ya Nishati na Madini.

    Wafanyakazi wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) wakimsikilizaKatibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa(hayupo pichani) wakati alipowatembelea na kuzungumza nao hivikaribuni.

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa JustinNtalikwa (mwenye suti ya Bluu katikati) akiwa katika picha ya

    pamoja na Viongozi na Wafanyakazi wa Chuo cha Madini Dodoma,alipowatembelea na kuzungumza nao hivi karibuni. Kulia kwake niMwenyekiti wa Bodi ya Chuo, Profesa Abdulkarim Mruma na kushotokwake ni Mkuu wa Chuo, Ofolo Ngowi.

    Mkurugenzi wa KanziData wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST),Yorkbeth Myumbilwa (katikati) akimwonesha Katibu Mkuu wa Wizaraya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa (Kulia), Machapisho naVitabu mbalimbali kuhusu Jiolojia. Wengine pichani kutoka Kushotoni Osa kutoka GST Terence Ngole, Mtendaji Mkuu wa GST, ProfesaAbdulkarim Mruma na Mkurugenzi wa Maabara, Augustine Rutaihwa.

    Mkuu wa Maabara ya Madini inayomilikiwa na Wakala wa JiolojiaTanzania (GST), Heri Issa (wa pili kutoka Kulia) akimweleza KatibuMkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa James Ntalikwa(katikati) namna Maabara hiyo inavyofanya kazi. Wengine pichani niviongozi na watumishi wa GST.

  • 7/25/2019 MEM 102 Online.pdf

    13/18

    13BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Greyson Mwase na Devota Myombe

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dk. MedardKalemani ameitaka kampuni ya Sumitomo kutoka Japaninayohusika na ujenzi wa mtambo wa kufua umeme waKinyerezi II wenye uwezo wa kuzalisha Megawati 240

    kuongeza kasi ya ujenzi.

    Dk. Kalemani aliyasema hayo katika kikao chake na kampunihiyo, kilichoshirikisha pia wataalam kutoka Wizara ya Nishati naMadini na Taasisi zake.

    Alisema kuwa kampuni hiyo inatakiwa kuanza ujenzi maramoja na kukamilisha kazi kwa wakati kwani wananchi wanahitajiumeme kwa sasa.

    Wananchi wamechoka kusikia habari za mradi ambaohaukamiliki na wanahitaji umeme, hivyo mradi unatakiwakujengwa na kukamilika kwa wakati, alisisitiza Dk. Kalemani

    Aliongeza kuwa hakuna nchi yeyote duniani iliyopiga hatuapasipo kuwa na nishati ya uhakika ya umeme na kuongeza kuwaserikali imedhamiria katika kuhakikisha nishati inachangia kwakiasi kikubwa katika ukuaji wa uchumi wake.

    Awali Msimamizi wa mradi huo kutoka kampuni ya SumitomoShoji Watanabe alieleza kuwa kampuni hiyo imeshaanzamaandalizi ya mradi huo na inatarajia kuanza kwa kusafisha eneolitakalojengwa mradi huo.

    Alimhakikishia Naibu Waziri Kalemani kuwa kampuni yake

    itahakikisha inaongeza kasi ya ujenzi wa mtambo huo ili wananchiwaanze kunufaika na nishati ya umeme mara moja.

    Tanesco ahadi ya Januari 15 palepale Prof muhongoAsteria Muhozya naRhoda James, Mbeya

    Waziri wa Nishati na MadiniProfesa Sospeter Muhongoamesisitiza kauli yakekwamba tarehe iliyopangwa

    kati yake na Mameneja wa Tanesco nchinzima ya kuhakikisha inawaunganishiaumeme wateja waliolipa kwa kipindikirefu ikiwemo kukamilisha matatizo yaLUKU bado iko palepale.

    Profesa Muhongo aliyasema hayohivi karibuni wakati wa kikao na Mkuuwa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro nakuongeza kuwa tarehe 15 Januari 2016,ndio tarehe ya mwisho ya kukamilishashughuli hizo nchi nzima.

    Katika hili nasema kweli hakunamzaha. Hatutanii. Wananchi wamechoka,

    wanataka umeme. Mtindo wa kuandikianabarua tena haupo. Ukishindwa ,unajiondoa mwenyewe, alisisitiza Prof.Muhongo.

    Akijibu hoja za Kandoro kuhusu suala

    la makaa ya mawe, Profesa Muhongoalisema atahakikisha suala hilo linapataufumbuzi wa haraka kuhakikisha rasilimalihiyo inatumika kama chanzo kingine cha

    kuzalisha umeme nchini.Mkuu wa Mkoa hili lazima

    tulishughulikie. Hatuwezi kuacha makaaya mawe yakae tu kama mapambo wakatitunahitaji sana nishati ya umeme kwaajili ya kuondoa matatizo ya umemetuliyonayo.

    Profesa Muhongo aliongeza kuwa,tayari amewaagiza wawekezaji wote wamakaa ya mawe wenye leseni kukutananae katika ziara ili kukubaliana kuhususuala hilo. Tayari nimewaambia wotetukutane huku huku site wanielezewanafanya nini, aliongeza.

    Akieleza kuhusu suala la matatizo yamaji katika vyanzo vya uzalishaji umeme,Profesa Muhongo aliagiza Tanesco Kanda

    ya Nyanda za Juu Kusini, kuhakikishawanaandaa kikao cha wakuu wa mikoaya Njombe, Iringa, Morogoro na Mbeyaili kufanya tathmini ya utumiaji maji bilakuathiri pande zote ikiwemo kutumika

    kwa ajili ya umeme na kilimo.Najua maji yanahitajika sana katika

    kilimo hususan kilimo cha umwagiliajiambacho ndio cha kisasa. Lakini hata

    nishati inahitaji maji. Nawaomba kutanenizungumzeni halafu tembeleeni maeneoya mabonde na mashamba mpate datazote, mkimaliza tuangalie suala la kiseralinasemaje . Suala hili ni muhimu sanakwa ustawi na maendeleo ya uzalishajinishati na kilimo. Lakini pia tunahitajikuwa na tamko la pamoja, alisisitizaProfesa Muhongo.

    Aidha, Profesa Muhongo aliagizakuwa katika kikao hicho kiwakutanishepia na wakuu wa mabonde ili suala hiloliweze kujadiliwa na pande zote.

    Mkuu wa Mkoa nashauri nawakuu wa mabonde wawepo. Lakini piawanatakiwa kuangalia suala la utoaji vibalikwa sababu kuna umwagiliaji mwingine

    sio mzuri. Wazalishaji wadogo wanaliasana na suala la uharibifu wa vyanzo vyamaji. Nimepita maeneo mengi wengiwanalia na wana hofu na maji. Walewanatusaidia sana kuongeza kiwango cha

    uzalishaji umeme. Kwetu sisi wazalishajiwadogo ni muhimu sana, alisema WaziriMuhongo.

    Awali Mkuu wa Mkoa alimweleza

    Profesa Muhongo kuhusu suala la Makaaya Mawe ya Kiwira na kumwelezaumuhimu wa kuendeleza miradi hiyo kwamaendeleo ya nchi na katika kusaidia taifakuwa na kiasi cha umeme wa kutosha.

    Profesa nashauri sana wizara yakoifufue mgodi wa Kiwira kutokana naumuhimu wake kwa taifa. Awali mgodihuu ulikuwa unasaidia kuingiza umemekwenye gridi hii ni muhimu. Mkoa wetuumebarikiwa kuwa na madini na niwa tatu katika kuchangia pato la Taifa.Tukiongeza na Kiwira taifa litanufaikazaidi, aliongeza Kandoro.

    Akiwa mkoani Mbeya ProfesaMuhongo atatembelea mgodi wa Makaaya Mawe Kiwira, Wachimbaji wadogo wamadini Chunya, maeneo yenye viashiriavya nishati ya jotoardhi Mbaka, Bonde lamto Songwe kwenye mradi wa kuzalishaumeme na maeneo mengine.

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dk. Medard Kalemani (Mbele) akiongoza kikaokilichokutanisha kampuni ya Sumitomo na watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini.

    Kalemani aitaka Sumitomo kuongeza kasi ujenzi wa Kinyerezi II

    Msimamizi wa Ujenzi waMtambo wa KinyereziII kutoka kampuniSumitomo yenyemakazi yake nchini

    Japan, Shoji Watanabeakieleza jambo katikakikao kilichokutanishakampuni yake na NaibuWaziri wa Nishati naMadini Dk. MedardKalemani pamoja nawatendaji wa Wizara

    ya Nishati na Madinikilichofanyika jijini Dares Salaam.

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dk. Medard Kalemani(Kulia) akimwelekeza jambo Msimamizi wa Ujenzi waMtambo wa Kinyerezi II kutoka kampuni Sumitomo yenyemakazi yake nchini Japan, Shoji Watanabe (kushoto) katikakikao hicho.

  • 7/25/2019 MEM 102 Online.pdf

    14/18

    14 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    MIRADI YA UMEMEMKOANI NJOMBE

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati)akimsikiliza Mkurugezi Mkuu wa Kampuni ya Kufua umeme kwa kutumiamabaki ya miti aina ya Miwati na kampuni ya kuzalisha nguzo za umeme,TANWAT, Dkt. Singh Rajeer (wa nne kulia) wakati alipotembelea

    kampuni hiyo katika ziara yake ya kutembelea miradi ya umeme Mkoawa Njombe. Wengine katika picha (wa pili kushoto) ni Mkuu wa Wilayaya Njombe, Sarah Dumba, wa kwanza kulia ni Katibu Tawala, Mkoawa Njombe, Jackson Saitabahu (wa kwanza kulia) na wa pili kulia niKamishna Msaidizi wa Madini, Kanda ya Ziwa Nyasa, Mhandisi FredMahobe.

    Meneja wa Kituo cha kuzalisha umeme kwa kutumia maji katika Bwawa

    la Kihansi, Mhandisi Pakaya Sakaya (wa kwanza kulia) akimweleza jamboWaziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospter Muhongo (katikati), wakatiwa ziara ya kikazi ya kukagua miradi ya umeme katika kituo cha kufuaumeme cha Uwemba, nje kidogo ya mji wa Njombe. Kwa mujibu waMhandisi Pakaya, Bwawa hilo lina uwezo wa kuzalisha kilowati 843. Wakwanza kushoto mbele ni Katibu Tawala, Mkoa wa Njombe, JacksonSaitabahu.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo akimsikilizaSister Imaculata Mdoe wa Shirika la Wabenedictin Njombe ( kulia kwake)wakati wa ziara ya Waziri katika bwawa la kufua umeme la Uwemba.Katika risala yake Sister Imaculata alimweleza waziri ombi la serikalikusaidia ujenzi wa bwawa linalomilikiwa na Shirika hilo katika eneo hiloambalo litakuwa na uwezo wa kuzalisha kilowati 317 za umeme kwakutumia maji na uwezo wa kuhudumia vijiji vinne.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospter Muhongo na uongoziwa Mkoa wa Njombe, akiwemo pia Mbunge wa Njombe Mjini EdwardMwalongo wakifanya majumuisho ya ziara yao nje ya kituo cha kuzalishaumeme kwa kutumia maji katika bwawa la Uwemba mara baada yakutembelea miradi kadhaa ya kufua umeme katika Mkoa huo.

    Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Sarah Dumba (katikati) akimweleza jamboWaziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo wakati waziara yake. Aidha, katika ombi lake kwa Waziri, Mkuu huyo wa Wilayaalisisitiza umuhimu wa Shirika la Wabenedictin kusaidiwa ili wawezekutekeleza mradi wao wa kuzalisha umeme kwa kutumia maji katikaeneo la Uwemba nje kidogo ya mji wa Njombe, kutokana na umuhimu namahitaji yake kwa jamii inayotarajiwa kunufaika na mradi huo.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospter Muhongo akisaini kitabucha wageni mara baada ya kuwasili katika kampuni ya kufua umeme kwakutumia mabaki ya miti aina ya Miwati na kampuni ya kuzalisha nguzoza umeme ya TANWAT. Wanaoshuhudia ni baadhi ya wafanyakazi wakampuni hiyo na ujumbe ulioongozana na waziri katika ziara hiyo.

  • 7/25/2019 MEM 102 Online.pdf

    15/18

    15BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    ZIARA YA NAIBU KATIBU MKUU ARUSHANaibu Katibu Mkuuanayeshughulikia Madinikatika Wizara ya Nishatina Madini, Profesa JamesMdoe (wa kwanza kulia)akiangalia mwambauliochongwa, kunakshiwana kuwa katika umbo lamjusi wakati alipotembeleaKituo cha Jemolojia jijiniArusha ambacho hutoamafunzo yanayojumuishaukataji na uchongaji wamadini ya vito na kuyawekakatika maumbile ya kuvutia.Wengine katika picha niAsa Madini Mkazi Osi yaMadini ya Mirerani MhandisiHenry Mditi, (wa kwanzakushoto), Kaimu Kamishna

    wa Madini nchini, MhandisiAlly Samaje (wa pili kushoto)na wa pili kulia ni KamishnaMsaidizi wa Madini- Uchumina Biashara, Salim Salim.

    Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Madini katika Wizara ya Nishatina Madini, Profesa James Mdoe (kulia) akionyeshwa moja ya mashinezinazotumika katika Kituo cha Jemolojia jijini Arusha katika ukataji nauchongaji wa madini ya vito na kuyaweka katika maumbile ya kuvutia.Anayemwonyesha mashine hiyo ni Mratibu wa Kituo hicho, MussaShanyangi.

    Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Madini katika Wizara ya Nishatina Madini, Profesa James Mdoe (wa Tatu kushoto) akiangalia mashine yaukataji madini iliyopo katika Kituo cha Jemolojia jijini Arusha. Aliyevaashati jeupe ni Mratibu wa Kituo hicho, Mussa Shanyangi, wa kwanzakushoto ni Asa Madini Mkazi Osi ya Madini ya Mirerani, MhandisiHenry Mditi na wa pili kushoto ni Kaimu Kamishna wa Madini nchini,Mhandisi Ally Samaje.

    Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Madini katika Wizara ya Nishatina Madini, Profesa James Mdoe (kulia) akiwa katika darasa ambalohutumika kufundishia wanafunzi wanaojifunza ukataji na uchongaji wa

    madini ya vito na kuyaweka katika maumbile ya kuvutia jijini Arusha.Anayemwonyesha mashine hiyo ni Mratibu wa Kituo hicho, MussaShanyangi (aliyevaa shati jeupe).

  • 7/25/2019 MEM 102 Online.pdf

    16/18

    16 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Asteria Muhozya naRhoda James, Mbinga

    Serikali imesema itahakikishainafanya Makaa ya Mawe kuwachanzo kingine kikubwa chauzalishaji umeme Nchini.

    Hayo yalielezwa na Waziriwa Nishati na Madini, Prof. SospeterMuhongo alipotembelea Mgodi waMakaa ya Mawe wa Ngaka unaomilikiwakwa ubia Kati ya Kampuni ya TANCOALna Serikali kupitia shirika la NDC. Mgodi

    huo upo katika Wilaya ya Mbinga mkoaniRuvuma.Aidha, ili kufikia lengo hilo, Prof.

    Muhongo alisema Serikali itahakikishainafanya kazi kwa ushirikiano mkubwana Mgodi huo ambao Serikali ina umilikiwa hisa ya asilimia 30 kupitia Shirika la

    Maendeleo ya Taifa (NDC) ili kuimarishauchumi wa taifa kupitia Makaa ya Mawe.

    Ili kuhakikisha kwamba Kampuni yaTANCOAL inaendelea kuzalisha makaaya mawe na kutumiwa na viwanda vyandani, Prof Muhongo alivitaka viwandavilivyoingia Mkataba wa mauziano namgodi huo kuacha kununua Makaa kutokanje ikiwa makaa ya Ngaka yanakidhiviwango na ubora unaotakiwa.

    Nimeelezwa Makaa ya Ngaka yanaubora na kiwango cha hali ya juu nanimeelezwa kwamba kuna baadhi yaviwanda vimeingia mkataba na Ngakalakini badala yake wananunua makaa

    kutoka nje. Hilo halikubaliki ikiwa makaaya ndani ya nchi yana ubora lazimatutumie bidhaa za nyumbani,alisisitizaProf. Muhongo.

    Kutokana na malalamiko ya Mgodikuhusu hali ya Mkataba wa kuuzianamakaa kutoafikiana, Waziri Muhongo

    aliutaka mgodi huo, NDC, EWURA,Kampuni za Saruji za Dangote, TangaCement na Shirika la Umeme Nchini(TANESCO) kukutana Makao Makuuya Wizara ili kujadili kuhusu suala hilona pia kujadiliana juu ya gharama zakuuziana umeme na TANESCO pindimgodi huo utakapoanza kuzalisha umemekwa kutumia makaa ya mawe.

    Umeme wa makaa ya maweTanzania ni lazima. Tutapigana kufa nakupona kuhakikisha tunazalisha umemekwa kutumia makaa ya mawe kwa sababugharama zake zitakuwa nafuu kwawananchi na pia umeme huu utachochea

    ukuaji wa viwanda nchini, alisisitiza Prof.Muhongo.Kadhalika Prof. Muhongo alirejea

    kauli yake ya kuwataka wazalishajiumeme hususan wa makaa ya mawe navyanzo vingine kuhakikisha wanaiuziaTANESCO umeme wa bei ya chini na

    kuongeza mauziano ya umeme wamakaa ya mawe lazima yafuate viwangovya kimataifa. Lazima yawe ya gharamanafuu.

    Katika hatua nyingine, Prof. Muhongoaliitaka EWURA kubadilika na kushirikikatika hatua za mwanzo za majadilianoya gharama za kuuziana umeme katika

    utekelezaji wa miradi mbalimbali badala yakusubiri kushiriki katika hatua za mwishona kulieleza jambo hilo kuwa ushirikiwao katika hatua za awali unawezeshamajadiliano na makubaliano kufanyikakwa haraka.

    Aidha, Prof. Muhongo alichukua fursahiyo kuzitaka Mamlaka chini ya wizarakuzingatia suala la usawa na namnaSerikali inavyonufaika na makubalianoya utekelezaji wa miradi mbalimbali yakitaifa kwa kuzingatia kuwa rasilimali niza nchi , hivyo taifa linapaswa kunufaikana uwekezaji husika.

    Kwa mujibu wa Mkuu wa Masokowa mgodi wa Ngaka, Christopher Temba,mgodi huo unazalisha tani za makaa ya

    mawe Laki Tano kwa mwaka lakini lengoni kufikia tani milioni moja.Tayari makaa hayo yanasafirishwa

    katika nchi za Kenya, Zambia, Malawi navilevile katika viwanda kadhaa hapa nchinivikiwemo vya Saruji Tanga MohamedEnterprises na viwanda vingine

    Umeme wa makaa ya mawelazima : Prof. Muhongo

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati)akizungumza na baadhi ya watendaji wa Mgodi wa Makaa ya Mawe yaNgaka mara baada ya kuwasili katika mgodi huo wakati wa ziara yake yakikazi mkoa wa Ruvuma. Wengine ni ujumbe aliofuatana nao pamojana Mbunge wa Mbinga vijijini, Martin Msuha, Mkuu wa Wilaya ya MbingaSenyi Ngaga, Kamishna Msaidizi wa Madini, anayeshughulikia Leseni JohnNayopa, Watendaji toka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Shirikala Maendeleo ya Taifa (NDC), Osi ya Madini Kanda ya Ziwa Nyasa,baadhi ya Maasa toka Wizara ya Nishati na Madini na EWURA.

    Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Senyi Ngaga, akijadiliana jambo na baadhi yaWatendaji wa Mgodi wa Ngaka kampuni ya TANCOAL, mara baada yawaziri kukagua shughuli za mgodi huo na kusikia malalamiko ya wananchikuhusu dia. Waziri Muhongo alizitaka pande mbili kati ya Kampuni,Halmashauri na wananchi kukutana ili kujadili na kukubaliana kuhusumasuala kadhaa yakiwemo dia na uhifadhi wa mazingira.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospter Muhongo, (kulia)akiwasikiliza wawakilishi wa wananchi wa Kijiji cha Mtundualo, Wilayaya Mbinga ambao walimwomba waziri asikilize malalamiko yaoikiwemo kuhusu suala la dia kupisha mradi wa Makaa ya Mawe waNgaka na ombi la kijiji hicho kupatiwa umeme. Meneja wa TanescoKanda ya Kusini, Joyce Ngahyoma, aliwahakikishia kuwa ikapo mweziAprili mwaka huu kijiji hicho kitakuwa kimeunganishwa na nishati yaumeme.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, akimsikilizaMwendeshaji Mitambo wa kituo cha kufua umeme cha Tulila

    kinachomilikiwa na Shirika la Wabenedictin wa Mtakatifu AgnesChipole, Sister Maria Katani (OSB),. Wengine wanaofuatilia nia Menejawa Tanesco Kanda ya Kusini, Joyce Ngahyoma na Asa toka Wizara yaNishati na Madini, Christopher Bitesirigwa.

  • 7/25/2019 MEM 102 Online.pdf

    17/18

    17BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Umeme wa makaa ya mawelazima : Prof. Muhongo

    Meneja wa Tanesco Kanda ya Kusini, Joyce Ngahyoma akimwelezaambo Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongowakati alipotembelea kituo cha mwekezaji binafsi cha Kufua umemekinachomilikiwa na Familia ya Andoya, Wilaya ya Mbinga. Mradi huo waMbangamao unazalisha megawati 0.2, huku malengo ni kukia megawati2. Anayemsikiliza nyuma yake ni Meneja wa Tanesco Mkoa wa Ruvuma,Patric Lwesya, wengine ni ujumbe uliofuatana na Waziri.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo katikapicha ya pamoja na Watawa wa Shirika la Shirika la Wabenedictin waMtakatifu Agnes Chipole, Mfadhili wa Kituo hicho cha kufua umemeAlbert Cock, ujumbe aliofuatana nao wakiwemo Maasa toka Wizaraya Nishati na Madini, EWURA, Shirika la Umeme Nchini, Shirika laMaendeleo ya Taifa (NDC), Uongozi wa Wilaya ya Mbinga, Mbungewa Mbinga Vijijini Martin Msuha, Uongozi wa Kijiji, Wakandarasiwanaojenga kituo cha kuzalisha umeme cha megawati 7.5, na baadhiya wananchi wanaozunguka eneo hilo.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, katika pichaya pamoja na Watawa Shirika la Wabenedictin wa Mtakatifu AgnesChipole na Mfadhili wa Kituo hicho Albert Cock.

    Baadhi ya Maasa Kutoka Wizara ya Nishati na Madini (Mbele) na ujumbeuliofuatana na Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongonyuma) kutembelea kituo cha Kufua umeme cha Tulila

    Waziri wa Nishati naMadini, Profesa SospeterMuhongo, akisalimiana naMfadhili wa Kituo cha Kufuaumeme kinachomilikiwana Watawa wa Shirika laShirika la Wabenedictin waMtakatifu Agnes Chipole,Albert Cock (kushoto).Kituo hicho chenye uwezo

    wa kuzalisha kilowati 800kipo Kata ya Magarura,wilaya ya Mbinga mkoawa Ruvuma. Kituo hichokipo katika hatua za ujenziwa kituo kitakachokuwana uwezo wa kuzalishamegwati 7.5.

  • 7/25/2019 MEM 102 Online.pdf

    18/18

    18 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Maonesho ya 5 ya Kimataifa yaVito ya Arusha

    yenye aina mbalimbali za vito zikiwemo

    Tanzanite , Ruby, Sapphire , Tsavorite ,

    Rhodolite , Spessart ite , Tourmaline,Chrysobery l na Almasiyanatarajiwa kuvutia

    Zaidi ya kampuni 100 za wafanyabiashara na

    wachimbaji madini ya Vito kutoka Tanzania na

    nchi zingine za Afrika Mashariki, Kati na Kusini;

    nazaidi ya wanunuzi 500 kutoka zaidi ya nchi 25

    ulimwenguni

    Jisajili na Ushiriki Sasa!!!

    Wasiliana na: Kamati ya Maandalizi AGF

    Simu: +255 784352299 or +255 767106773

    Barua pepe: [email protected]

    :ama Ofisi za Madini za Kanda

    Yameandaliwa na Wizara ya Nishati na Madinikwa kushirikiana na

    Ch h W f bi h M di i (TAMIDA)

    Prof. Muhongo atumbua jipu Kyela

    Serikali imesimamisha shughuliza uchimbaji wa Makaa yaMawe ya Kampuni ya Off

    Route Technology iliyopoKyela ikiwemo kukamata vifaa

    vya uchimbaji na kuhakikisha kuwavinakuwa chini ya uangalizi wa Mkoawa Mbeya hadi hapo uchunguzi dhidiya uhalali wa kampuni hiyo kuchimbamakaa utakapokamilika.

    Hatua hiyo inafuatia ziara ya Waziriwa Nishati na Madini, Prof SospeterMuhongo kutembelea mgodini hapo nakubaini kuwa, kampuni hiyo inachimbamakaa bila kuwa na leseni halali yauchimbaji madini.

    Aidha, Prof. Muhongo ameitakakampuni hiyo kulipa kodi zote za Serikaliikiwemo inazodaiwa na Halmashuri tanguianze kufanya shughuli za kuchimba.

    Aidha, ili kujua undani wa suala hilo,Prof. Muhongo ameitisha kikao kifanyikekati ya mgodi huo , Wizara ya Nishati naMadini, Wakala wa Ukaguzi wa MadiniTanzania (TMAA), Ofisi ya MadiniKanda ya Kusini Magharibi, KatibuTawala wa Wilaya ya Kyela, tarehe 18Januari, 2016 chini ya uenyekiti wa KatibuMkuu Wizara ya Nishati na Madini.

    Hawa watu wamechimba makaa,wameuza bila kuwa na Leseni natunawadai kodi zetu. Uongozi hakikisheni

    katika kikao hicho mnakuja na madaiyenu,TMAA pia mje na madai yenu,ameongeza Prof. Muhongo.

    Prof Muhongo pia amezitaka pandezote kuwasilisha nyaraka muhimu kuhususuala hilo, ili iamuliwe kwa kufuatasheria na taratibu stahili, hakuna mtuatakayeonewa, kila upande uje na nyarakazote na sisi wizarani huko ndani kwetututaulizana , wenyewe kuhusu jambo hilihalafu tutalitolea taarifa ,amesema.Prof.Muhongo

    Akifafanua kuhusu suala hilo , AfisaMfawidhi wa TMAA ,Mhandisi JumanneMohamed amesema kuwa, awali Wakalahuo ilifanya ukaguzi na kubaini kuwakampuni hiyo hailipi kodi na kuwa yapo

    malimbikizo ya madai ambayo yalipaswakulipwa na kuongeza kuwa baada yamawasiliano juu ya suala hilo, kampuniiliahidi kulipa kwa awamu jambo ambalohalijafanywa hadi sasa.

    Kampuni ya Off Route Technology,ipo katika Kijiji cha Ngana Wilaya yaKyela mkoa wa Mbeya.

    Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Nishati na Madini,Profesa Sospeter Muhongo