MEM 111 Online.pdf

download MEM 111 Online.pdf

of 9

Transcript of MEM 111 Online.pdf

  • 8/19/2019 MEM 111 Online.pdf

    1/20

    Ofisi ya Mawasiliano Serikalini inapokea habari za matukio mbalimbali

    kwa ajili ya News Bullettin hii ya Wizar a ya Nishati na MadiniWasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263

    au Fika Osi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: [email protected]

    HABARI ZA

    NISHATI &MADINI

    Toleo No. 111 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Machi 17 - 23, 2016Bulletinews

     

    http://www.mem.go.tz

     

    Muhongo anatoshaMuhongo anatosha

    Bodi ya Ushauri ya Madini Yazinduliwa

    UWEKAJI JIWE LA MSINGI KINYEREZI I RAIS ANENA:

    n  Ndiyo maananimemrudisha

  • 8/19/2019 MEM 111 Online.pdf

    2/20

    BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    2

    Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam

     

    R ais wa Jamhuri yaMuungano wa TanzaniaMhe. Dk. John Magufuliamempongeza Waziri waNishati na Madini Mhe.

    Prof. Sospeter Muhongo kwa kazinzuri anayoifanya ya kushughulikiatatizo la umeme nchini.

    Mhe. Dk. Magufuli alitoa pongezihizo wakati alipokuwa akiweka jiwela msingi katika mradi wa ujenzi wamtambo wa kuzalisha umeme waKinyerezi II jijini Dar es Salaam hivikaribuni.

    Alisema kwamba serikali yakeitafanya kazi ya kuwatumikiaWatanzania hasa katika kuwatatulia

    matatizo mbalimbali yakiwamoumeme ambapo Prof. Muhongo ndiyemtendaji ambaye ni mtendaji thabitikatika sekta hiyo ya umeme.

    “Prof. Muhongo ndiye hasaanayefaa katika Wizara hii ndiyomaana nimemrudisha, mimi nachaguawatendaji wanaofanya kazi na maranyingi wale watendaji wazuri huwawanapigwa vita ili wakwamishwe,mimi nahitaji mchapa kazi na Prof.Muhongo ni mchapakazi,” alisemaRais Magufuli.

    “Serikali yangu itafanya kazi kwelikweli na atakayetukwamisha nasemaataondoka yeye hivyo kila mmojaajipange kufanya kazi ili nchi yetuiendelee,” aliongeza Dk. Magufuli.

    Alisema Umeme ni Maendeleona ndiyo kichocheo kikubwa kwaniutakapopatikana utachocheakupatikana kwa maji katika maeneoambayo maji yalikuwa ni tatizo.

    Aidha, Mhe. Rais alisema iwapo

    Tanzania itakuwa na umeme wakutosha na wa uhakika itachocheakuongezeka kwa viwanda na

    hatimaye ajira nyingi kupatikana kwaWatanzania.“nchi hii tumebarikiwa rasilimali

    nyingi na za kutosha kama Tanzanite,Almasi, mito maziwa, makaa ya mawe,uranium na rasilimali ngingine nyingikwa nini tuendelea kuwa masikini,”alisema Mhe. Rais.

    Hata hivyo, Mhe. Dk. Magufulialiwaagiza TANESCO kuhakikishakwamba hawaiingii tena mikatabana makampuni ya kuzalisha umemewa dharura na badala yake mikatabawatakaingia iwe ya ujenzi wa mitamboya kuzalisha umeme ya Serikali.

    “TANESCO kuachane namitambo ya kukodi ya kuzalishaumeme na nasema wala msiwe na

    mawazo hayo, tumechoka kuchezewa badala ya kukodi mitambo hiyo natakatuwe na mitambo yetu wenyewe…”alisisitiza Mhe Rais.

    Kwa upande wa uzalilsha waumeme kwa kutumia nguvu ya maji,Mhe. Rais alisema amefuatilia kwakaribu hali ya upatikanaji wa mvuakatika maeneo mbalimbali ambapokatika Mkoa wa Iringa zimenyeshamvua nyingi na hata kusababishamafuriko na madhara kwa wananchihivyo, anaamini kwamba Bwawala Mtera ambalo ni kubwa katikakuhifadhi maji kwa ajili ya kuzalishaumeme nalo litakuwa limejaa maji yakutosha kwa ajili ya kuzallisha umeme.

    “ Mhe Waziri sitakuelewa

    nikiambiwa maji hakuna ya Mtera,TANESCO MD sitawaelewa majiyakiisha Mtera na nasema mhakikisheumeme haupungui lazima uzalishwekatika mabwawa ya maji,” aliagiza Dk.Magufuli. Profesa Sospeter Muhongo

    Prof. Muhongo anatosha

    Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta,(EWURA), Felix Ngamlagosi (kushoto), akizungumza na Kamishna waMaendeleo ya Nishati, James Andilile

    Mkuregenzi Mtendaji waTANESCO, MhandisiFelchesmi Mramba

    Mkuregenzi Mtendaji waTPDC, Mhandisi

     James Mataragio

  • 8/19/2019 MEM 111 Online.pdf

    3/20

    3BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    TahaririMEM

      Na Badra Masoud

    FIVEPILLARS OFREFORMS

    KWA HABARI PIGA SIMUKITENGO CHA MAWASILIANO

    BODI YA UHARIRI

    MHARIRI MKUU: Badra MasoudMSANIFU: Lucas Gordon

    WAANDISHI: Veronica Simba, Asteria Muhozya, GreysonMwase, Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James ,

    Nuru Mwasampeta na Zuena Msuya

    INCREASE EFFICIENCY 

    QUALITY DELIVERYOF GOODS/SERVICE

    SATISFACTION OFTHE CLIENT

    SATISFACTION OFBUSINESS PARTNERS

    SATISFACTION OFSHAREHOLDERS

    TEL-2110490

    FAX-2110389

    MOB-0732999263

    Hongera Prof. Muhongo

    TEL-2110490

    FAX-2110389

    MOB-0732999263

    Bodi ya Ushauri ya Madini Yazinduliwa

    Siku ambayo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMhe. Dk. John Magufuli alipofanya uteuzi wa Baraza laMawaziri wa Serikali ya awamu ya tano tarehe 10 Desemba,2015 katika Wizara ya Nishati na Madini alimrejesha aliyekuwawaziri wa Wizara hiyo kuanzia mwaka 2012 hadi 2014 ambayealijiuzulu naye si mwingine ni Mhe. Prof. Sospeter Muhongo.

    Mara baada ya uteuzi huo katika baadhi ya watu katikamaeneo mbalimbali nchini walipokea uteuzi wa Prof. Muhongokwa furaha kubwa na wengine walidiriki kusema kwa afadhali‘Mzee wa nguzo’ amerejeshwa na wengine wakimwita Mzee waREA lakini majina yote hayo ambayo waliyokuwa wakimwitani kutokana na Prof. Muhongo kusimamia kwa moyo wa dhati

    upatikanaji wa umeme wa Watanzania hususan kwa waleMaskini.Prof. Muhongo ni kiongozi ambaye kwa muda mrefu

    amekuwa na ndoto kubwa sana ya kuona Tanzania naWatanzania wakipata maendeleo na kukua kiuchumi dhidi yaumasikini hata kabla ya kuwa Waziri katika vipindi vyote vyaawamu nne na awamu ya tano.

    Waziri huyu wakati wote amekuwa mkweli na si mbinafsi naaliyekuwa akipinga kwa nguvu zake zote ufisadi, rushwa, uvivu,uzembe na umangi meza na kila wakati amekuwa akisisitiza nakusimamia watumishi wa Wizara ya Nishati na Madini kufanyakazi kwa bidii na kuhakikisha Watanzania wanatatuliwa kerombalimbali hasa ya umeme ambayo kwa siku za nyuma ilikuwani kichwa cha Mwendawazimu.

    Hata hivyo, siku hiyo aliporejeshwa kwa wale wanaopendamaendeleo walifurahi sana na hata kudiriki kusema ‘matumainiya kuwa na umeme wa uhakika yamerejea’ yote ni kutokana na

    kumuamini Prof. Muhongo kwamba anaweza kuisimamia kwadhati sekta hiyo ya umeme na muda mfupi aliokuwapo katikawizara hiyo yaani 2012- 2014 waliona mabadiliko makubwa.

    Lakini pamoja wananchi wengi kusema kwamba wanamatumaini makubwa na Prof. Muhongo lakini Rais Magufulinaye aliamua kutoa yaliyokuwa moyoni mwake hivi karibuwakati alipokwenda kuweka jiwe la msingi katika mradi waujenzi wa mtambo wa kuzalisha umeme wa Kinyerezi II kwakusema kwamba ameamua kwa makusudi kumrejesha Mhe.Prof. Muhongo na anafahamu utendaji wake kwamba nimchapa kazi na mwenye kasi kubwa.

    Mhe. Rais aliongeza kusema kwamba anachosema nikweli kwamba yeye (Mhe Rais) huwa ni mgumu kumsifia mtulakini kwa Prof. Muhongo anamsifia kutokana na utendajiwake mzuri, weledi na uchapakazi wake ambapo amekuwaakifurahishwa na utendaji wake pamoja kasi aliyonayo katika

    kutekeleza majukumu aliyopewa ya Wizara hiyo.Kama hiyo haitoshi Mhe. Rais alisema Prof. Muhongosi mwanasiasa bali ni mtendaji anayejua anachokifanya nakwamba watendaji wa Wizara wampe ushirikiano wa kutosha ilitaifa liendelee kusonga mbele kwa kuwa na umeme wa kutosha,uhakika na wa bei nafuu.

    Sisi Wizara tunasema tunaungana na Mhe. Rais kumpongezaWaziri wetu Mhe. Prof. Muhongo katika kuchapa kazi nakwamba tutampa ushirikiano wa kutosha katika kuhakikishatunatekeleza kwa dhati na kasi majukumu yetu kwa nafasimbalimbali tulipewa ili kuhakikisha tunatatua kero mbalimbaliwalizonazo watanzania hususan umeme.

    Pamoja na pongezi hizo pamoja kumuahidi kumpaushirikiano pia tunamtakia kila la keri Waziri wetu katikakutekeleza majuku aliyonayo huku na sisi tukiwa nyuma yakena kwamba tunamuomba asitetereke hata kidogo inapotokea

     baadhi ya watu ambao wantaka kumkwamisha kwani hata

    Mhe. Rais amesema watakamkwamisha ndiyo watakuwa wakwanza wao kuondoka.

    Na zuena msuya Dar es Salaam

    Waziri wa Nishati na Madiniprofesa Sospeter Muhongoamezundua Bodi ya ushauriya Madini na kuitaka bodihiyo kufanya kazi kwa

    uadilifu na kwa maslahi ya taifa.Akizungumza mara baada ya kuzindua

     bodi hiyo jijini Dar es salaam hivi karibuni,Profesa Muhongo aliwaeleza wajumbe waBodi hiyo kuwa wanatakiwa kufanya kazizao kwa kutathamani ya rasilimali ya madinikatika ardhi ya Tanzania.

    Profesa aliongeza kuwa kazi kubwailiyombele yao ni kuhakikisha kuwa sektaya madini inaongeza pato la taifa na kufikiauchumi wa kati ili kutekeleza azma ya Serikali.

    Aidha Profesa Muhongo aliiwaelezawajumbe Bodi hiyo baadhi ya majukumuyao kuwa ni pamoja na Kumshauri Waziriwa Nishati na Madini kuhusu masualambalimbali ya madini ambayo yanayotakiwakupelekwa kwenye Bodi hiyo kwa ushaurikabla ya hatua kuchukuliwa na mamlakahusika.

    “Bodi inatakiwa kushauri juu ya Serikalikuingia mikataba ya madini na kampunikubwa za uchimbaji madini ili kuepukakuingia katika mikataba mibovu isiyo na tijakwa Taifa,vilevile kushauru juu ya maeneoyanayofaa kutengwa kwa ajili ya uchimbaji

     bila kuharibu Mazingira”alisema ProfesaMuhongo.

    Profesa Muhongo alikwenda mbali zaidina kusema kuwa kabla ya kutoa ushauri,lazima wajumbe wa Bodi waende katikamaeneo husika( site) ili kujiridhisha na siokutoa ushauri wakiwa wamekaa mezani tu.

    Alifafanua kuwa lengo la Serikali nikuwasaidia wachimbaji wadogo ili kupigahatua zaidi na kuwa wachimbaji wa kati, na

    wale wa kati kuwa wachimbaji wakubwakutokana na rasilimali ya madini.

    “ Tanzania inawachimbaji wengi wadogoambao wamekuwa na maisha yale yale kilasiku, kinachotakiwa sasa ni kuhakikisha

    wale wanaopata fursa ya kuchimba waonematunda yake kwa kuwawekea mipangoimara yenye mafanikio chanya,” alisemaProf. Muhongo.

    Vilevile aliwaagiza Wajumbe wa Bodi hiyokutunza siri pale wanapotekeleza majukumuyao, waepuke vishawishi, wawe wawazi nawatende haki kwa kila mtanzania.

    Sambamba na hilo aliwaagiza wajumbehao kuwa kuwa wabunifu, wasome sheria,kanuni na miongozo mbalimbali na kuzielewaili waweze kutekeleza wajibu wao ipasavyo.

    Na kabla ya kufanya mkutano wake na bodi hiyo aliwapa majukumuu kadhaa kubwalikiwa ni kuangalia suala ya merirani ambalolimekuwa na changamoto mbalimbali.

    kwa upande wake Mwenyekiti wa bodihiyo Dkt.Dalmas Nyaoro alimuahidi Waziri

    wa nishati na madini ,Profesa Muhongokuwa watatekeleza majuku yao kwa uadilifumkubwa ili kuleta maendeleo ya Taifa.

    “ tunakuahidi tutafanya kazi kwa uadilifumkubwa hatutawaangusha,ni lazimatwende na kasi iliyopo sasa kwani tunahitajimabadiliko makubwa katika sekta mbalimbaliikiwemo madini kwa manufaa ya taifa zima”alisema Dkt. Nyaoro.

    Bodi hiyo inawajumbe tisa, ambapoMwenyekiti wa bodi huteuliwa na Rais waJamuhuri ya Muungano wa Tanzania, naWajumbe wa Bodi hiyo huteuliwa na Waziriwa Nishati na Madini kwa mujibu wa sheriaya madini ya mwaka 2010.

    Kushauri juu ya maendeleo ya uchimbajimadini ya vito nchini na mambo mengineyanayohusiana na madini ya vito kama

    ilivyoelezwa katika Kanuni za Madini

    Mwenyekiti wabodi ya Ushauriya Madini Dkt.Dalmas Nyaoro(katikati) akiwana wajumbewengine wa Bodina viongozi waWizara ya Nishatina Madini

  • 8/19/2019 MEM 111 Online.pdf

    4/20

    4   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Wizara ya Nishati na Madini yawa

    Mfano katika kuimarisha MawasilianoTeresia Mhagama naRhoda James

    Wizara ya Nishatina Madini kupitiakitengo chakecha Mawasilianoimepongezwa kwa

    kuwa moja ya Taasisi za Serikalizilizofanya vizuri sana katikakuimarisha mawasiliano ya Serikalikwa Umma katika kipindi cha mwaka2015/2016.

    Pongezi hizo zimetolewa naMkurugenzi wa Idara ya HabariMAELEZO, Assa Mwambene,wakati wa kikao kilichojumuishaMaafisa Mawasiliano kutoka Wizara,Taasisi, Mikoa na Halmashaurimbalimbali kinachoendelea mkoani

    Morogoro.Mwambene alitoa pongezi hizo

    wakati akisoma Taarifa fupi yamikutano ya Wasemaji wa Serikalina vyombo vya habari iliyokuwaikifanyika katika Ukumbi wa Idaraya Habari MAELEZO, pia vipindivilivyorushwa kupitia kipindi chaJambo Tanzania na Tuambie vyaTBC 1 na TBC Taifa.

    Alisema kuwa kupitia vipindihivyo vya Televisheni na Redio,Wasemaji wa Serikali walipata

    nafasi ya kueleza shughuli za Serikaliikiwemo programu, Sera na Mipangombalimbali inayotekelezwa naWizara, Taasisi, Wakala na Idarazinazojitegemea katika kuwaleteawananchi maendeleo.

    “Vipindi hivi vya Redio na

    TV vimewawezesha wananchikupata suluhisho la changamotozinazowakabili kwa kuwa vimekuwavikiwashirikisha wananchi kwakuwapa nafasi ya kupiga simu, kuulizamaswali na kupatiwa majibu papohapo,” alisema Mwambene.

    Mwambene alizitaja Wizarazilizoonesha mfano na kufanya vizurisana katika kuimarisha mawasilianohayo kwa Umma kuwa ni Wizara yaNishati na Madini, Wizara ya KilimoMifugo na Uvuvi na Wizara ya Maji.

    Aidha Wizara ya Nishati naMadini pia imepongezwa kwakufanya vizuri katika uhuishaji wa

    taarifa katika Tovuti ya Wizaraambapo Mkurugenzi wa Idara yaHabari MAELEZO alitoa wito kwaWizara nyingine chache ambazoTovuti zao zimekuwa hazihuishwimara kwa mara wajitahidi kuhuishataarifa zao kwa wakati ili wananchiwapate taarifa za utekelezaji washughuli za Serikali kwa wakati.

    Kikao cha Maafisa MawasilianoSerikalini kinachoratibiwa na Idaraya Habari Maelezo, kimekuwakikifanyika kila mwaka ambapo mada

    mbalimbali hutolewa kwa lengo lakuimarisha shughuli za mawasilianoSerikalini.

    Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO, Assah Mwambene

    akizungumza jambo katika kikao cha maasa Habari kinachofanyikakatika Ukumbi wa VETA mjini Morogoro. Baadhi ya Maasa Mawasiliano Serikalini wakiwa kikao kazikinachofanyika katika Ukumbi wa VETA mkoani Morogoro.

    Maasa Mawasiliano Serikalini wakimsiliza Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye wakati akifungua kikaocha Maasa hao kinachofanyika mkoani Morogoro.

  • 8/19/2019 MEM 111 Online.pdf

    5/20

    5BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Na Mohamed Saif - Musoma

    Serikali imetoa miezi minne kwamgodi wa dhahabu wa MMGGold Ltd uliopo katika kijijicha Seka wilaya ya Musomakuanza uzalishaji vinginevyo

    utafutiwa leseni.Agizo hilo lilitolewa hivi karibuni na

    Waziri wa Nishati na Madini, ProfesaSospeter Muhongo alipofanya ziaramgodini hapo kwa lengo la kujioneashughuli zinazoendelea.

    Awali, Kamishna Msaidizi waMadini Kanda ya Ziwa Viktoria

    Mashariki, Mhandisi Juma Sementaalisema leseni ya mwanzo kutolewakwa mgodi huo ilikuwa mwaka 2002ambapo Kampuni ya awali ilikuwaJMG Exploration Co. Limited ambayoilifanya utafutaji wa madini kuanziamwaka 2002 hadi 2005.

    Mhandisi Sementa aliongeza kuwa baada ya hapo, eneo hilo lilibaki chiniya maombi ya makampuni na watu

     binafsi mbalimbali bila kutolewa Leseniya utafutaji wa madini hadi mwaka2011 ambapo kampuni ya MMGilipata leseni ya utafutaji wa madini namwaka huo huo tarehe 8 Desembailipatiwa leseni ya uchimbaji wa madininamba ML.449/2011.

    Akizungumzia muda uliopita tangu

    kutolewa kwa leseni husika, ProfesaMuhongo alisema ni mrefu na ilipasakampuni hiyo iwe imeanza uzalishaji.“Haiwezekani muda wote huo tanguleseni imetolewa mgodi upo tu nahakuna kinachozalishwa.”

    Aliagiza hadi kufikia tarehe 15 Julaimwaka huu mgodi huo uwe umeanzauzalishaji vinginevyo kampuni hiyoitapewa notisi ya kusimamisha shughuli

    zake na kuondoka mgodini hapo.Mbali na hilo, Waziri Muhongo

    aliiagiza kampuni hiyo kuhakikishainalipa kodi na tozo mbalimbali zaSerikali kama sheria inavyoagiza.

    Akitoa maelezo kuhusu hali hiyo,Mkurugenzi Mkuu na Mwenyekitiwa kampuni hiyo, Harison Abrahamalisema uchelewaji huo umetokanana sababu mbalimbali mojawapoikiwa ni wajiolojia wa kampuni hiyoambao alisema walikuja na kampuni

    yake kutoka nchini Urusi na Armeniakushindwa kumaliza shughuli zautafutaji kwa wakati.

    Aidha, katika ziara hiyo mgodinihapo, Profesa Muhongo alizungumzana baadhi ya wananchi wa kijiji chaSeka waliofika mgodini hapo kwalengo la kumweleza tofauti zilizopo

     baina yao na kampuni hiyo.Ilielezwa kwamba, awali kampuni

    hiyo iliingia mkataba na Serikali ya Kijijicha Seka ambao unailazimu kampuni

    hiyo kutekeleza masuala mbalimbaliya kijamii na kiuchumi kijijini hapo

     jambo ambalo wanakijiji hao walisemahalijafanyika.

    Hata hivyo, wanakijiji haowalitofautiana miongoni mwao kwani

     baadhi yao walisema kampuni hiyoimefanya mambo mazuri ambayoni pamoja na ukarabati wa shule na

     barabara.Akijibu tuhuma hizo, Abraham

    aliwasihi wananchi hao waeleze mazuripia yaliyofanywa na kampuni hiyoikiwa ni pamoja na ajira zilizotolewamgodini hapo.

    “Wananchi wa Seka ni familiayangu, mbali na kwamba hatujaanzauzalishaji, nimekua nikisaidiananao mambo mbalimbali ya kijamii,”alisema.

    Profesa Muhongo alimuagizaKamishna Msaidizi wa Madini,Mhandisi Sementa kukutanana viongozi wa kijiji pamoja nawawakilishi wa kampuni husika ilikuujadili mkataba husika.

    Aliongeza kwamba, huendamkataba huo ni batili na hivyo kunaumuhimu wa kuutazama upya ilikuepusha migogoro. “Ikigundulikakama mkataba huo ni batilitutausimamisha.”

    Waziri aliwaasa wanakijiji haokuepukana na tabia za kibaguzi na

     badala yake kutanguliza mbele haki.Vilevile aliwaagiza viongozi waSerikali ya Kijiji kufanya maamuzikwa kushirikiana na wanakijiji badalaya kufanya maamuzi bila kuwa namakubaliano ya pamoja.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (wa pili kutoka kushoto) akimsikiliza Mwenyekiti naMkurugenzi Mkuu wa kampuni ya dhahabu ya MMG Gold Mine Ltd, Harrison Abraham (kulia).

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kulia) akikagua mgodi wa dhahabu wa MMG GoldMine Ltd. Kushoto ni Mwenyekiti na Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hiyo, Harrison Abraham (kulia).

    Waliolipia umeme waunganishwe

    haraka- Dkt. Kalemani

  • 8/19/2019 MEM 111 Online.pdf

    6/20

    6   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Na Veronica Simba -Kakonko

    Serikali imesema, wananchi wakipato cha chini, hususan wavijijini, wenye nyumba zenyekuanzia Chumba kimojahadi Vinne, wataunganishiwa

    umeme pasipo kutandaza nyaya zaumeme (wiring) kwenye nyumba zao.

    Naibu Waziri wa Nishati naMadini, Dk Medard Kalemani,aliyasema hayo hivi karibuni WilayaniKakonko, mkoani Kigoma, akiwakatika ziara ya kazi mkoani humo,kukagua miradi inayotekelezwa chiniya wizara yake, hususan ya umemevijijini, kupitia Wakala wa NishatiVijijini (REA).

    Dk Kalemani alisema, badalaya kutandaza nyaya za umemekatika nyumba zao, wananchi

    hao watafungiwa kifaa maalumkijulikanacho kitaalam kama ‘LeadBoard’, kitakachowawezesha kutumiaumeme kama kawaida.

    Alisema, utumiaji wa kifaa hichoni teknolojia mpya itakayowasaidiawananchi wa kipato cha chinikuondokana na gharama kubwa zakutandaza nyaya ndani ya nyumba,ambazo mara nyingi husababishawengi wao kushindwa kumudugharama hizo na hivyo kukosahuduma muhimu ya umeme.

    Hata hivyo, Dk Kalemani aliweka bayana kuwa, watakaonufaika nahuduma hiyo ni wale tu wenye kipatocha chini, wanaomiliki nyumbandogo za kuanzia chumba kimoja

    hadi vinne. “Wenye nyumba kubwawataendelea na utaratibu wa kawaidawa kutandaza nyaya.”

    Alisema, Serikali imefikia uamuzihuo, baada ya kuona wananchiwengi wa vijijini, ambao kipato chaoni duni, wanashindwa kunufaika nahuduma ya umeme, licha ya Serikalikuwapelekea huduma hiyo kwagharama nafuu sana kupitia Mradiwa Umeme Vijijini unaotekelezwa naREA.

    “Kama Serikali, tumedhamiriakuhakikisha asilimia 75 yaWatanzania wanatumia nishati yaumeme ifikapo mwaka 2025. Ilikufikia malengo hayo, ni lazimatuhakikishe tunawapatia huduma hiyo

    muhimu Watanzania wengi zaidi, natuhakikishe wanawezeshwa kuitumia,hususani walioko vijijini, ambao wengiwao wana kipato cha chini,” alisisitizaNaibu Waziri.

    Akifafanua zaidi kuhusu faida zakutumia kifaa hicho, Naibu Wazirialisema, wananchi watakaofungiwa‘Lead Board’, watatumia shilingi27,000 hadi 30,000 tu. Gharamahiyo inahusisha uwekaji wa nguzo,kuunganishiwa umeme nyumbanipamoja na kifaa husika.

    Alibainisha kuwa, kimsingi,umeme wa REA ni bure, isipokuwamwananchi analazimika kulipiashilingi 27,000 tu kama tozo ya kodiya Serikali (VAT). “Tofauti na kulipia

    VAT, hakuna malipo hata Thumnikwani Serikali imegharamia umemehuo.”

    Aliongeza kuwa, Serikaliinaangalia utaratibu wa kuondoa hatashilingi 6,000 inayotumika kulipiafomu kwa ajili ya maombi ya umemekama njia ya kumwezesha mwananchiwa kipato cha chini kutumia huduma

    hiyo.Akizungumzia gharama zamatumizi ya umeme, Dk Kalemani

    alisema, watumiaji wote wa umeme,ambao matumizi yao ni chini ya uniti75, wanapaswa kulipia shilingi 100tu za kitanzania kwa kila uniti moja.Alisema, gharama hiyo ni nafuu sana,hivyo hakuna sababu ya wananchi wakipato cha chini kushindwa kutumiaumeme kwani wako katika kundi hilolinalotumia umeme kidogo.

    Dk Kalemani alifafanuakuwa, wapo baadhi ya wananchiwanaotumia umeme chini ya uniti 75,lakini kwa bahati mbaya, wamewekwakatika kundi la watumiaji wakubwawa umeme, hivyo wanapaswakupeleka malalamiko katika Ofisi zaShirika la Umeme Tanzania (Tanesco)katika maeneo yao ili wabadilishwe nakurudishwa katika kundi wanalostahilikuwa.

    Vilevile, aliwataka viongozi katikangazi mbalimbali, kuanzia Kijiji hadiMkoa, kuelimisha wananchi juu yamatumizi bora ya umeme, kwaniwengi wanatumia umeme vibaya nahivyo kulazimika kulipia bili kubwa.

    Akizungumzia suala lakukatika-katika kwa umeme, Dk

    Kalemani alisema, Wizara yakeimewaagiza Mameneja wa Tanescowa Wilaya, Mkoa na Kanda nchinzima, kuhakikisha wanarekebishamiundombinu mibovu ya umemekama vile nguzo na transfoma ilikutatua tatizo hilo.

    “Kwa hiyo, kukatika-katika kwaumeme kunakotokana na masuala yakibinadamu, hakutarajiwi kuendelea

     baada ya Machi 31, mwaka huu.”Aidha, aliwataka viongozi katika

    ngazi za Vijiji, Tarafa, Wilaya na hataMkoa, kuhakikisha wanawasilishamajina ya vijiji ambavyohavikupangwa kupelekewa hudumaya umeme katika Mradi wa REAAwamu ya II, unaotarajia kukamilikaifikapo mwezi Juni mwaka huu, iliviingizwe katika Mradi wa REAAwamu ya III, unaotarajiwa kuanzamwezi Julai mwaka huu.

    Alisisitiza kutokusahau maeneomuhimu kama Vituo vya Afya, Shule,Masoko, Magereza, Jeshi na mengineya aina hiyo, ambavyo havikupangwakwenye REA Awamu ya II, ili viingiekatika REA Awamu ya III.

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk Medard Kalemani akionesha Kifaa cha ‘Lead Board’ kwa viongoziwa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma (hawapo pichani) hivi karibuni. Dk Kalemani alikutana na viongozihao wakati wa ziara yake wilayani humo kukagua miradi ya umeme inayotekelezwa na Wakala wa NishatiVijijini (REA). Kulia ni Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Peter Serukamba.

    Dkt. Kalemani atangaza neema

    kwa watumiaji umeme mdogo

    wapo baadhiya wananchiwanaotumia umeme

    chini ya uniti 75, lakini kwa bahati mbaya, wamewekwakatika kundi la watumiaji

    wakubwa wa umeme,hivyo wanapaswa kupelekamalalamiko katika Ofisi zaShirika la Umeme Tanzania(Tanesco) katika maeneoyao ili wabadilishwe nakurudishwa katika kundiwanalostahili kuwa.

  • 8/19/2019 MEM 111 Online.pdf

    7/20

    7BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (kulia)akimweleza jambo Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kabla ya kuzungumzana wananchi wa Ngara.

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa(katikati) akimsikiliza Meneja wa mradi wa umeme wa ORIO, MhandisiStephen Manda mara baada ya kuwasili katika kituo cha kuzalisha umemecha Ngara. Wa kwanza kulia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt.Medard Kalemani.

    Baadhi ya wananchi wa Ngara walioka katika kituo cha kuzalisha

    umeme cha Ngara ili kushuhudia uzinduzi wa ujenzi wa mitambo mipyaya kuzalisha umeme na kuzungumza na Waziri Mkuu wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa.

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwaakikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa mradi wa umeme wa Oriowilayani Ngara.

    Saif Mohamed naNuru Mwasampeta, Ngara

    Imeelezwa kuwa tatizo la mudamrefu la umeme katika wilaya yaNgara litakwisha ifikapo mweziJulai mwaka huu baada ya mradiwa umeme wa ORIO kukamilika.

    Hayo yameelezwa hivi karibuniwilayani humo na Waziri Mkuu waJamhuri ya Muungano wa Tanzania,Kassim Majaliwa baada ya kuzinduamradi huo wa ORIO unaotekelezwakwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzaniana Serikali ya Uholanzi lengo likiwa nikumaliza tatizo la muda mrefu la nishatiya umeme linalowakabili wananchi waNgara.

    Waziri Mkuu Majaliwa alielezakuwa tayari mitambo ya kuzalisha

    umeme itakayofungwa wilayani humoimekwisha wasili nchini na inatarajiwakuwasili wilayani humo wiki ijayo.

    Ili kuhakikisha mradi huounakamilika mapema iwezekanavyo,Waziri Mkuu alimuagiza Mkandarasiwa mradi huo kuhakikisha kuwa ufungajiwa mtambo huo unafanyika kwa kasiili kuhakikisha wananchi wanapatahuduma ya umeme ya uhakika.

    “Kazi ya kufunga mitambo hiyoifanywe asubuhi, mchana na usikuili mradi ukamilike mapema nakuwaondolea adha ya tatizo la umemewananchi.”alisema Waziri Mkuu.

    Mbali na mradi huo wa ORIO,Waziri Mkuu Majaliwa alisema ipomiradi mingine ambayo inaendeleakutekelezwa wilayani humo ambayoni mradi wa Wakala wa Nishati Vijijini(REA) na Mradi wa umeme wa

    nguvu ya maji wa Rusumo ambayoalisema kukamilika kwake kutachangiakuboreka na kuongezeka kwa umeme.

    “Haipendezi kuwa na mgawo waumeme; kupitia jitihada mbalimbalizinazofanywa na Serikali ya Awamu yaTano, umeme utakuwa wa uhakika nawa kutosha,” alisema.

    Akizungumzia kuhusu tatizo laumeme wilayani Ngara Naibu Waziriwa Nishati na Madini Dkt. MedardKalemani alisema hadi hivi sasa niasilimia 12.7 tu ya wananchi wa Ngarandiyo waliofikiwa na huduma yaumeme.

    Aliongeza kwamba umemeunaozalishwa wilayani humo haukidhimahitaji kutokana na uchakavu wamitambo inayotumika.

    “Mitambo inayozalisha umemehapa ni chakavu na imepungua uwezo

    wake wa uzalishaji, sasa hivi mitambohii inazalisha asilimia 79 tu ya uwezowake wa awali” alisema Dkt. Kalemani.

    Mbali na hilo, Dkt. Kalemani alisemauendeshaji wa mitambo hiyo chakavuunaigharimu Serikali kiasi cha Shilingimilioni saba kwa siku kiasi ambacho ni

    kikubwa ikilinganishwa na uzalishajiwake.Dkt. Kalemani aliongeza kuwa

    mitambo hiyo chakavu ilifungwamwaka 2004 na kuwa ilihamishwakutoka wilayani Kondoa.

    Alisema azma ya Serikali nikuhakikisha kuwa ifikapo mwaka 2025wananchi wote wawe wamefikiwa nahuduma ya umeme na ndiyo maana

     jitihada mbalimbali zinafanyika za kuwana vyanzo vingi na vya uhakika vyakuzalisha umeme.

    Vilevile Dkt. Kalemani alisema kuwamradi mwingine wa umeme wa ORIOunatekelezwa wilayani Biharamulomkoani Kagera.

    Tatizo la umeme Ngara kuwa historia

  • 8/19/2019 MEM 111 Online.pdf

    8/20

    8   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Na Rhoda James

    K atibu Mkuu wa Wizara yaNishati na Madini, Profesa

    Justin Ntalikwa ametoa witokwa Mamlaka ya Udhibitiwa Huduma za Nishati

    na Maji (EWURA), kutoa elimu kwawananchi kuhusu utaratibu unaofuatwakatika upangaji wa bei ya mafuta katikaSoko la Dunia hadi kufikia kutumikanchini.

    Alitoa wito huo alipokuwa katika

    ziara ya siku moja kutembelea MakaoMakuu ya EWURA jijini Dar es Salaamhivi karibuni, ambapo alikutana nakuzungumza na wajumbe wa Bodi

    pamoja na Viongozi wa Mamlaka hiyo.Profesa Ntalikwa alisema, wananchiwengi hawana uelewa wa kutoshakuhusu mchakato unaotumika kupanga

     bei ya mafuta kutoka Soko la Duniahadi kufikia nchini kwetu na hivyokuna umuhimu EWURA pamoja nakutangaza bei za mafuta pia waelimishewananchi kuhusu mchakato huo.

    “Tunapata malalamiko kutoka kwawananchi, mojawapo likiwa ni sualala bei za mafuta kutoendana na Sokola Dunia. Hii ni kwa sababu huchukua

    muda kwa bei hizo kuweza kutumikanchini mwetu,” alisema.Aidha, Profesa Ntalikwa aliwasifu

    EWURA kwa kutumia mfumo wa waziwa ukokotoaji wa bei za mafuta ambaoumesaidia wananchi kupata uelewazaidi.

    Kwa upande wake, MkurugenziMtendaji Mkuu wa EWURA, Felix

    Ngamlagosi, aliishukuru Wizara yaNishati na Madini kwa kusimamiamsingi wa uhuru wa kufanya maamuziya kiudhibiti ambao ni uti wa mgongo wa

    dhana ya udhibiti na kuahidi kuyafanyiakazi maagizo yote ya Katibu Mkuu.Akizungumza kwa niaba ya Wajumbe

    wenzake wa Bodi ya EWURA, AhmadKilima alimhakikishia Katibu MkuuNtalikwa kuwa Bodi itazingatia maagizoyake yote likiwemo suala la elimu kwaumma pamoja na ujenzi wa vituo vyamafuta jijini Dar es Salaam.

    Wajumbe wa Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati naMaji (EWURA) pamoja na Viongozi Waandamizi wa Mamlaka hiyo,wakiwa katika kikao na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini,Profesa Justin Ntalikwa (hayupo pichani), alipotembelea Makao Makuuya Mamlaka hiyo jijini Dar es Salaam, hivi karibuni.

    Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishatina Maji (EWURA), Felix Ngamlagosi (aliyesimama), akiwasilisha madakuhusu majukumu ya Mamlaka hiyo wakati Katibu Mkuu wa Wizara yaNishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa alipofanya ziara ya siku mojaMakao Makuu ya Mamlaka hiyo jijini Dar es Salaam, hivi karibuni.

    Naibu Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma zaNishati na Maji (EWURA), Omary Bendera (kulia) akimkabidhi NaibuKatibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia masualaya Nishati, Dkt Mhandisi Juliana Pallangyo Vitabu mbalimbali vyenyemaelezo kuhusu Mamlaka hiyo, wakati wa ziara ya Katibu Mkuuwa Wizara, Profesa Justin Ntalikwa Makao Makuu ya EWURA hivikaribuni.

    Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini,Profesa Justin Ntalikwa, Naibu Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka yaUdhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Omary Bendera,Mwanasheria wa Huduma za Sheria, Miriam Mahanyu, MkurugenziMtendaji wa EWURA, Felix Ngamlagosi na Naibu Katibu Mkuu

    wa Wizara ya Nishati na Madini, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyowakizungumza wakati Katibu Mkuu na Ujumbe wake walipotembeleaMakao Makuu ya Mamlaka hiyo jijini Dar es Salaam, hivi karibuni.

    Profesa Ntalikwa aitaka EWURA kutoa elimu kwa umma

  • 8/19/2019 MEM 111 Online.pdf

    9/20

    9BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Katibu Mkuu Nishati na Madiniafanya ziara TANESCO

    Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa (Kulia)akiweka saini katika kitabu cha wageni, alipotembelea Osi za Shirika laUmeme Tanzania (TANESCO) Makao Makuu jijini Dar es Salaam, hivikaribuni. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia masuala yaNishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo.

    Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO)Felchesmi Mramba (aliyesimama) akiwasilisha mada kwa Katibu Mkuuwa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa (katikati), NaibuKatibu Mkuu anayeshughulikia masuala ya Nishati, Dkt. Mhandisi JulianaPallangyo (kulia kwa Katibu Mkuu) na Maosa Waandamizi kutokaWizarani na TANESCO, wakati Katibu Mkuu alipotembelea Shirika hilohivi karibuni.

    Na Rhoda James

    K atibu Mkuu wa Wizara yaNishati na Madini, ProfesaJustin Ntalikwa amefanyaziara katika Shirikala Umeme Tanzania

    (TANESCO) na kuwataka watendajiwake kuongeza jitihada katikakuwaunganishia umeme wananchi nakudhibiti wizi wa umeme kwa kuwawao ndio Uti wa Mgongo wa Ukuajiwa Uchumi wa nchi.

    Akizungumza na Menejimenti

    ya TANESCO mwishoni mwa wikiiliyopita katika Ofisi za Makao Makuuya Shirika hilo jijini Dar es Salaam,Profesa Ntalikwa alisema kuwa

    kutokana na ongezeko la wateja waumeme, ni lazima shirika hilo lipimeuunganishwaji wa wateja na ongezekohilo la watu nchini.

    “Angalieni ongezeko au ukuajiwa watu nchini (Population growth).Hii itatusaidia kujua kama uhitaji waumeme nchini unaendena na watuwanaopata huduma ya umeme,”alisema Katibu Mkuu.

    Katibu Mkuu alisema, bado uhitajiwa kuunganishia wateja umeme nimkubwa maana wapo watu wengimjini na vijijini ambao bado hawana

    umeme.Vilevile, alisisitiza kuwa, pamoja naShirika la TANESCO kufanya vizurikatika suala la kupambana na wanaoiba

    umeme, bado kuna haja ya kuongeza jitihada.

    “Wekeni mikakati endelevu jinsi yakupambana na wanaoiba umeme kwakuwa bado wizi upo na unalipa hasarakubwa sana shirika la Tanesco. Haowanaoiba umeme lazima wachukuliwehatua za kisheria ikiwa ni pamojana kulipa,” alisema Katibu MkuuNtalikwa.

    Kwa upande wake, MkurugenziMtendaji Mkuu wa TANESCO,Felchesmi Mramba alimshukuruKatibu Mkuu wa Nishati na Madini,

    Profesa Ntalikwa kwa kuwatembelea nakujifunza zaidi shughuli zinazoendeleakatika shirika hilo ambapo pia aliahidikutekeleza maagizo yote aliyoyatoa.

    Mramba alisema, yapo mafanikiomengi miaka ya hivi karibuni katikaShirika hilo ukilinganisha na miaka yanyuma. Alitaja baadhi ya mafanikiohayo kuwa ni pamoja na ongezekokubwa la uunganishaji wa wateja waumeme, kuuza umeme kwa kiwangokikubwa pamoja na uboreshwaji wamiundombinu.

    Aidha, Mramba aliishukuru Wizaraya Nishati na Madini kwa kutoaushirikiano mkubwa kwa TANESCOkatika zoezi la kudai madeni ya Shirikahilo ambayo yalikuwa ni makubwa

    na kwamba sasa yamepungua kwaasilimia kubwa jambo ambalo litasaidiaTANESCO kufanya shughuli zao kwaufanisi zaidi.

    Baadhi yaviongozi waandamizi

    kutoka Shirika la UmemeTanzania (TANESCO)

    wakifuatilia mada mbalimbalizilizokuwa zikitolewa wakati wa

    ziara ya Katibu Mkuu wa Wizara yaNishati na Madini, Profesa Justin

    Ntalikwa (hayupo pichani),Makao Makuu ya Shirika hilo

     jijini Dar es Saalam, hivikaribuni.

  • 8/19/2019 MEM 111 Online.pdf

    10/20

    10   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, akibadilishanamawazo na balozi wa Japan nchini, Masahalu Yoshinda wakati wauzinduzi wa kituo cha kufua umeme cha kinyerezi II.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo,(kulia) akibadilishana mawazo na Mkuu wa Mkoa wa Dar esSalaam wa Paul Makonda (wapili kusho) pamoja na MkurugenziMtendaji wa TANESCO Mhandisi Felchesmi Mramba na Mkuuwa Mkoa wa Ilala Raymond Mushi (wapili kulia)

    Profesa Muhongo na wageni mbalimbali kutoka nje ya Tanzaniawaliohudhuria uzinduzi wa kituo cha kuzalisha umeme cha Kinyerezi II.

    Balozi wa Japani nchini, Masahalu Yoshinda, akisalimiana na Mkurugenziwa TANESCO, Mhandisi Felchesmi Mramba (kushoto)

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, akiwa naMwakilishi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika, Tonia Kandiero.

    Waziri waNishati na Madini,Profesa SospeterMuhongo, (kusho)akibadilishanamawazo naMwenyekitiwa Kamati yaKudumu ya Bungeya Wizara yaNishati na Madini,Martha Mlata(kulia) na mjumbewa kamati hiyoAlly Kessy wakatiwa uzinduzi wakituo cha kufuaumeme chakinyerezi II.

    UZINDUZI WA KINYEREZI II

    MATUKIO MBALIMBALI WAKATI WA UZINDUZIWA KITUO CHA KUZALISHA UMEME WA GESIASILIA CHA KINYEREZI II, ULIOFANYIKA JIJINI

    DAR ES SALAAM, MACHI 16,2016

  • 8/19/2019 MEM 111 Online.pdf

    11/20

    11BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikiaNishati, Dkt. Juliana Pallangyo akimkaribisha mke wa rais, Mama JanethMagufuli katika viwanja vya Kinyerezi II wakati wa uzinduzi wa kituohicho cha kuzalisha umeme.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo akimkaribishaRais Dkt. John Magufuli katika viwanja vya Kinyerezi II ili kuzindua kituohicho kitakachozalisha umeme wa gesi asilia wa megawati 240.

    Rais John Magufuli akiwa ameambatana na mwenyeji wake, Profesa Muhongo, na viongozi wengine alipotembelea mitambo ya Kinyerezi I, wakatiwa uzinduzi wa kituo cha kuzalisha umeme cha kinyerezi II.

    UZINDUZI WA KINYEREZI IINaibu KatibuMkuu wa Wizaraya Nishatina MadinianayeshughulikiaNishati, Dkt.

     Juliana Pallangyo

    akisalimianana Mwakilishiwa Benki yaMaendeleo yaAfrika, ToniaKandiero (kulia)

  • 8/19/2019 MEM 111 Online.pdf

    12/20

    12   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Rais Dkt. John Magufuli (mwenye kizibao cha kijani) akiwaeleza jambowataalam wa kituo cha kuzalisha umeme cha Kinyerezi I. Katikati niProfesa Muhongo, Waziri wa Nishati na Madini.

    Rais Dkt. John Magufuli akiteta na Waziri wa Nishati na Madini, ProfesaSospeter Muhongo wakati wa uzinduzi wa kituo cha kuzalisha umemecha Kinyerezi II.

    Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO)Mhandisi Felchesmi Mramba akitoa ufafanuzi kwa Rais Dkt. Jonh

    Magufuli jinsi kituo cha kufua umeme cha Kinyerezi II kitakavyokuwabaada kukamilika wakati wa haa ya uzinduzi wa ujenzi wa kituohicho jijini Dars Es Salaam.

    Rais Dkt. John Magufuli akikata utepe kuzindua kituo cha kuzalishaumeme cha Kinyerezi II jijini Dar es salaam, Wanaoshudia ni Waziri wa

    Nishati na Madini, Profesa Muhongo (kushoto kwa Rais), na Balozi wa Japani nchini, Masahalu Yoshinda (Kulia kwa Rais), wakiwa pamoja naviongozi wengine.

    Meneja wa kituocha Kinyerezi I,Mhandisi JohnMageni (mwenyekizibao cha rangiya machungwa)akitoa maelezo

    kwa Rais Dkt. John Magufuli,namna ambavyomtambo wakinyerezi Iunavyofanya kazi.

    UZINDUZI WA KINYEREZI II

  • 8/19/2019 MEM 111 Online.pdf

    13/20

    13BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    UZINDUZI WA KINYEREZI II

    Rais Dkt. John Magufuli akipeana mkono Waziri wa Nishati na Madini,

    Profesa Sospeter Muhongo, na viongozi wengine, akiwemo Balozi waJapani nchini, Masahalu Yoshinda.

    Rais Dkt. John Magufuli, akiwapungia mikono wananchi mara baada yakuzindua kituo cha kufua umeme cha Kinyerezi II.

    Picha ya pamojaya wafanyakazi waTANESCO na RaisDkt. John Magufuli.

     

    Maonesho ya 5 ya Kimataifa ya Vito ya Arusha

     yenye aina mbalimbali za vito zikiwemo

    Tanzanite , Ruby, Sapphire , Tsavorite ,

    Rhodolite , Spessart ite , Tourmaline,

    Chrysobery l na Almasi yanatarajiwa kuvutia  

    Zaidi ya kampuni 100 za wafanyabiashara na

     wachimbaji madini ya Vito kutoka Tanzania na

    nchi zingine za Afrika Mashariki, Kati na Kusini;

    na  zaidi ya wanunuzi 500 kutoka zaidi ya nchi 25

    ulimwenguni

     Jisajili na Ushiriki Sasa!!! 

     Wasiliana na: Kamati ya Maandalizi AGF 

    Simu: +255 784352299 or +255 767106773 

    Barua pepe: [email protected]

    :ama Ofisi za Madini za Kanda

     Yameandaliwa na Wizara ya Nishati na Madini

    kwa kushirikiana na

    Chama cha Wafanyabiashara wa Madini (TAMIDA) 

  • 8/19/2019 MEM 111 Online.pdf

    14/20

    14   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mohamed Saif na

    Nuru Mwasampeta

    Serikali imewaagizaWachimbaji wadogo wadhahabu kwenye machimboya Mgusu mkoani Geitakutofanya shughuli za

    uchimbaji katika eneo hilo hadi hapolitakapoboreshwa na kuwa salama.

    Naibu Waziri wa Nishati naMadini, Dkt. Medard Kalemani alitoaagizo hilo hivi karibuni mkoani humoalipotembelea machimbo hayo kwalengo la kuwapa pole wachimbaji hao

     baada ya kupoteza wenzao watano nahuku wengine watatu wakijeruhiwa

     baada ya kufukiwa na kifusi.Alisema eneo hilo halitotumika

    hadi pale utakapofanyika ulipuajiwa mwamba uliobaki katika shimolilosababisha maafa hayo na hivyoaliwaagiza wawe na subira wakatitaratibu za kuweka sawa eneo hilozikiendelea.

    “Nawasihi mpaache kwanza hapahadi patinduliwe pasije kusababishamaafa mengine”

    Alisema wataalamu mbalimbaliwatafika eneo hilo kufanya tathminina kupaboresha ili shughuli ziendeleekwa utaratibu unaofaa.

    Aidha, Dkt. Kalemani aliipongezakampuni ya Geita Gold Mineambayo imejitolea vifaa kwa ajili yakurekebisha eneo hilo.

    Wakati huo huo Naibu Waziri

    Kalemani aliwapongeza wachimbajihao kwa ushirikiano walionao nanamna ambavyo wanaendeshashughuli zao za uchimbaji.

    “Mmenifurahisha kwa utulivuwenu hasa katika kipindi hiki; nivyema na wachimbaji maeneomengine wakajifunza kutoka kwenu.”

    Aidha, baada ya ombi la wananchikupitia Mkuu wa Mkoa Geita,Fatma Mwasa la kupatiwa vifaa vya

    uchimbaji kwa njia ya ruzuku, Dkt.Kalemani alisema kuwa wachimbaji

    wa Mgusu wanafuatiliwa kwa karibukutokana na utendaji wao unaofuatautaratibu.

    Dkt. Kalemani alilazimikakukatiza ziara yake ya kukaguamiundombinu ya umeme nakutembelea eneo hilo lililokumbwa namaafa hayo ili kujionea hali halisi navilevile kuwapa pole wachimbaji haokwa maafa yaliyotokea.

    PICHA

    5234: Naibu Waziri wa Nishatina Madini, Dkt. Medard Kalemani

    akielekea eneo lililokumbwa na maafa baada ya ardhi kutitia na kusababishavifo vya wachimbaji wadogo watanona majeruhi watatu mara baada yakufika eneo la Mgusu Mkoani Geita.

    5257: Naibu Waziri wa Nishatina Madini, Dkt. Medard Kalemanimwenye miwani akiongozana naKaimu Afisa Madini Mkazi- Geita,Fabian Mshai mara baada ya kujioneaeneo lililotitia la machimbo ya Mgusu,

    mkoani Geita.5260: Baadhi ya wananchi wa

    Mgusu waliojitokeza kumsikilizaNaibu Waziri wa Nishati na MadiniDkt. Medard Kalemani aliyefikakuwapa pole kwa maafa yaliyotokeana pia kutoa tamko la serikali lakusitisha shughuli za uchimbaji katikaeneo hilo hadi pale litakapoboreshwakwa ajili ya kuendelea na kazi kwausalama zaidi.

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani akielekea

    eneo lililokumbwa na maafa baada ya ardhi kutitia na kusababisha vifovya wachimbaji wadogo watano na majeruhi watatu mara baada yakuka eneo la Mgusu Mkoani Geita.

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani mwenye

    miwani akiongozana na Kaimu Asa Madini Mkazi- Geita, Fabian Mshaimara baada ya kujionea eneo lililotitia la machimbo ya Mgusu, mkoaniGeita.

    Machimbo ya Mgusu Geita kusimama kwa muda

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani akielekea eneo lililokumbwa na maafa baada yaardhi kutitia na kusababisha vifo vya wachimbaji wadogo watano na majeruhi watatu mara baada ya kukaeneo la Mgusu Mkoani Geita.

  • 8/19/2019 MEM 111 Online.pdf

    15/20

    15BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Makamu Meneja Mkuu wa Kampuni ya NARI Group, Bao TianhuaKushoto), akimkabidhi Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter

    Muhongo (Kulia) zawadi ya picha ya mmoja wa miji maarufu ya China.Anayeshuhudia ni Meneja wa Kampuni hiyo kwa Kanda za Ulaya naAfrika, Chen Chao. Ujumbe kutoka Kampuni ya NARI Group ulikutanana Waziri Muhongo hivi karibuni Makao Makuu ya Wizara jijini Dar esSalaam na kuonyesha nia ya kuwekeza katika uzalishaji wa umeme.

    Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikiamasuala ya Nishati, Dkt Mhandisi Juliana Pallangyo ( wa pili – kushoto),akizungumza jambo na Meneja wa Kampuni ya NARI Group kutokaChina, Chen Chao (Kulia) mara baada ya kikao baina yao na Waziri wa

    Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ambapo walionesha niaya kuwekeza katika uzalishaji wa umeme.

    Na Veronica Simba

    Serikali ya Tanzania imeendeleakupokea maombi yawawekezaji hususani katikamiradi mbalimbali ya uzalishajina usambazaji umeme.

    Hivi karibuni, Waziri wa Nishatina Madini, Profesa Sospeter Muhongoalikutana na kuzungumza na Ujumbekutoka Kampuni ya NARI GroupCorporation ambayo ni KampuniTanzu ya Shirika la Gridi ya Taifa laChina, ambao walimweleza Wazirikuwa, pamoja na madhumuni mengine,

    wana nia ya kuzalisha umeme.Makamu Meneja Mkuu wa

    Kampuni hiyo, Bao Tianhuaalimweleza Waziri Muhongo kuwa,Kampuni yake inao mtaji wa kutoshapamoja na teknolojia ya kisasa katikauzalishaji umeme. Aliongeza kuwaKampuni ya NARI ina uzoefu mkubwa

    katika kutekeleza miradi ya umemekwani ilianza kufanya kazi kutokamiaka ya 1960.

    Akijibu swali la Waziri kuhusukiwango cha umeme ambacho

    Kampuni yake imejipanga kuzalishaendapo itakubaliwa maombi yake,Tianhua alisema wamejipangakuzalisha umeme wa kiasi cha megawati300 hadi 400 kwa kuanzia.

    Akieleza zaidi kuhusu nia yaKampuni yake kuwekeza katikauzalishaji wa umeme nchini, Tianhuaalisema kuwa wangependa kushirikianana Shirika la Umeme Tanzania(Tanesco) katika mradi huo ambapoNARI watawezesha masuala yote yakiuchumi katika mradi.

    Vilevile, alisema kuwa lengo lao nikuzalisha umeme kwa kutumia gesikupitia teknolojia ijulikanayo kitaalamkama ‘combined cycle’.

    Akitoa mwongozo kuhusu maombi

    yaliyowasilishwa, Profesa Muhongoaliwataka wawekezaji hao kukutana nakuzungumza na TANESCO pamoja naMamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji(EWURA) ili kujadili kwa kina kuhusumapendekezo husika na kwamba,iwapo maombi yao yatakubaliwa, ndaniya kipindi cha mwezi mmoja (Aprili15 mwaka huu), NARI wanatakiwawawe wamethibitisha iwapo watafanyauwekezaji huo ama la.

    “Muda tunaotoa kwa sasa si zaidi yamwezi mmoja, hivyo ndani ya mwezimmoja, iwapo maombi yenu yatakuwayamekubaliwa, mtapaswa kuwammewasilisha jibu lenu.”

    Aidha, Waziri Muhongo aliwatakaNARI kuwasilisha kwa TANESCOna EWURA mapendekezo menginewaliyowasilisha kwake kuhusu nia yakuwekeza katika miradi ya umemevijijini kwa kutumia teknolojia yamakontena maalumu pamoja na miradiya umeme jua. Aliwataka kuzungumziahayo katika kikao kilichopangwakufanyika baina yao.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (Kushoto), akimsikiliza Meneja wa Kanda ya Ulayana Afrika wa Kampuni ya NARI Group, Chen Chao wakati alipokutana na Ujumbe kutoka Kampuni hiyo hivikaribuni Makao Makuu ya Wizara jijini Dar es Salaam. Kushoto kwa Waziri ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizaraya Nishati na Madini, anayeshughulikia masuala ya Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo pamoja na Viongozina Maosa waandamizi wa Wizara. NARI wameonyesha nia kuwekeza katika uzalishaji umeme.

    SERIKALI YAENDELEA KUPOKEAMAOMBI YA WAWEKEZAJI UMEME

  • 8/19/2019 MEM 111 Online.pdf

    16/20

    16   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Na Zuena Msuya ,Dar Es Salam

    K ampuni ya uwekezaji ya Vitol Group imeonesha nia ya kuwekeza katikamatanki ya kuhifadhi mafuta nchini.

    Wakizungumza na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati naMadini anayeshughulikia Nishati, Dkt. Juliana Pallangyo, Mwakilishi waKampuni hiyo,Christine Atallah alisema wameamua kuwekeza katika

    sekta hiyo ili kuongeza ushindani katika sekta ya mafuta.Atallah alimueleza naibu katibu mkuu Pallangyo kuwa fedha za kujenga mradi

    huo tayari wanazo na wanacho hijati ni kupata ushirikiano kutoka kutoka Wizara yaNishati na madini.

    Aidha Atallah alieleza kuwa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) imeahidikuwapatia eneo la kujenga mradi huo endapo watakamilisha taratibu zote zinazotakiwa.

    Hata vyo Naibu Katibu Mkuu anayeshugulikia Nishati, Dkt. Pallango aliiagizaKampuni hiyo kumpatia maelezo ya kitaalam ya utekelezaji wa mradi huo ilikuyafanyia kazi na baadaye kuyatatolea majibu.

    VITOL GROUP YATAKA KUWEKEZAKATIKA MATANKI YA MAFUTA

    Mwakilishi wa Kampuni ya Vitol Group Christine Atallah,inayotakakuwekeza katika matanki ya kuhifadhi mafuta ( wapili kushoto )akimueleza jambo Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini,anayeshughulikia Nishati, Dkt Juliana Pallangyo( wa kwanza kulia).

    Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia

    Nishati Dkt. Juliana Pallangyo(katikati) akiwaeleza jambo Kampuni ya VitolGroup inayotaka kuwekeza katika matanki ya kuhifadhi mafuta (walioketiupande wa koshoto) na Maasa wa Wizara ya Nishati na Madini (walioketiupande wa kulia).

    Na Zuena Msuya ,Dar Es Salam

    Waziri wa Nishati naMadini, ProfesaS O S P E T E RM U H O N G Oa m e e n d e l e a

    kusisitiza kuwa Tanzania haihitajiwawekezaji wababaishaji katikamiradi ya maendeleo.

    Profesa MUHONGO alisemahayo hivi karibuni jijini Dar esSalaam wakati wa mkutano wakena Kampuni ya SKY POWERGroup ya KENYA iliyonesha niaya kuzalisha umeme wa jua hapanchini.

    Alisema ili kuepukana nawawekezaji hao, Wizara ya nishatina Madini imetoa fursa kwa kilamuwekezaji kukutana na Taasisi zotezilizochini ya Wizara hiyo kufanyamajadiliano na kampuni hizo punde

    tu zinaelezea nia yao ya kuwekeza.Alifafanua kuwa ndani ya mwezi

     baada ya majadiliano hayo, Kampunihusika inatakiwa kuthibitisha kamaimeridhia masharti ya uwekezaji huoau la.

    Kwa upande wake Mkurugenziwa Kampuni SKY POWERGROUP Anwar Husein alimuelezaWaziri wa Nishati na Madini ProfesaSospeter Muhongo kuwa tayari

    wanamtaji wa kujenga mradi huo nawanachohitaji na kupatiwa eneoWalisema tayari kampuni hiyo

    inazalisha umeme huo nchini Kenya.Hata hivyo Profesa Muhongo

    aliitaka kampuni hiyo kukutanana Tasisi zilizochini ya Wizarayake ikiwemo Shirika la UmemeTanzania (Tanesco), Mamlaka yaUdhibiti wa Matumizi ya Nishati naMaji (Ewura), Shirika la Maendeloya Petroli Tanzania (TPDC), Shirikala Maendeleo ya Madini nchiniStamico ili kufanya majadiliano.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo akiwa naNaibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Nishati Dkt. Juliana Pallanyo(kulia kwake). Wakisikiliza jambo kutoka kwa Mkurugenzi kampuniinayotaka kuzalisha umeme wa wa jua ya Sky Power Group, AnwarHussein (wa kwanza kushoto)

    Naibu Katibu Mkuu wa Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati,Dkt. Juliana Pallanyo akiwa na Maasa wa Wizara ya Nishati naMadini, wakifuatilia maeneo kutoka kampuni ya Sky Power Group.

    Sky power group yatakakuzalisha umeme wa jua

  • 8/19/2019 MEM 111 Online.pdf

    17/20

    17BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Na Veronica Simba

    Serikali imetoa ridhaa kwaMgodi wa Dhahabu waGeita (GGM) kufanyauchimbaji wa madini hayokwa njia ya chini kwa chini

    (underground mining), sambamba nanjia waliyokuwa wakitumia awali yauchimbaji wa wazi (Open Pit).

    Waziri wa Nishati na Madini,Profesa Sospeter Muhongo amesainiKibali kinachoruhusu Mgodi waGGM kufanya uchimbaji huo wachini kwa chini, leo Machi 15 katikaOfisi za Makao Makuu ya Wizara

     jijini Dar es Salaam.Akizungumza na Uongozi wa

    GGM kabla ya kusaini Kibali husika,Waziri Muhongo alimwambiaMkurugenzi Mtendaji wa Mgodihuo, Terry MulPeter kuhakikishawanatumia utaratibu wa wazi katikakulipa ushuru wa huduma (servicelevy).

    Alisema, wananchi, hususanwanavijiji wanaoishi jirani na Mgodihuo wanayo haki kujua ni kiasi ganikinalipwa na GGM kama ushuru wahuduma kwa ajili ya utekelezaji washughuli za maendeleo katika vijijivyao.

    “Mtapaswa kuwasilisha Mfano waHundi ya malipo, yenye kiasi cha fedhamlichotoa kwa jamii kila mnapolipaushuru wa huduma ili wananchi wajueni kiasi gani mmelipa,” alisisitiza.

    Vilevile, Profesa Muhongoaliongeza kuwa, wakati wa kukabidhiHundi hiyo ya mfano, Naibu Waziriwa Nishati na Madini ni lazimaawepo kushuhudia zoezi hilo na kamasio yeye basi atawakilishwa na NaibuKatibu Mkuu anayeshughulikiaMadini.

    Alisema, kiongozi mwingineanayepaswa kushuhudia zoezi hilo lakukabidhi hundi ya mfano ya malipoya ushuru wa huduma kutoka kwenyeMgodi kwenda kwa jamii ni mmojawa viongozi waandamizi kutokaSerikali ya Mtaa husika.

    Kabla ya kusaini Kibali hicho,Profesa Muhongo aliwauliza Kaimu

    Kamishna wa Madini, Julius Sarotana Kamishna Msaidizi wa Madini,Kanda ya Ziwa Viktoria Mashariki,David Mulabwa kama Mgodihuo umekamilisha taratibu zotezinazopaswa ikiwa ni pamoja nakulipa kodi na tozo mbalimbali zamadini kwa wakati, ambapo viongozihao waliafiki.

    “Taratibu zote za kisheria ikiwa nipamoja na masuala ya uhifadhi wamazingira zimefuatwa kikamilifu,”alisema Sarota. Kwa upande wake,Kamishna Msaidizi Mulabwaalimhakikishia Waziri kuwaamejiridhisha na sababu zilizotolewana Mgodi huo kuomba kibali chakuchimba chini kwa chini na hivyohana pingamizi kuhusu ridhaa hiyokutolewa kwao.

    Naye Mkurugenzi Mtendaji waGGM, MulPeter, akijibu swali laWaziri kuhusu ulipaji wao wa kodi natozo mbalimbali kwa Serikali, alisemakuwa Mgodi huo umekuwa ukilipakodi zote stahiki kwa wakati.

    “Kwa mwaka huu wa 2016 kwamfano, tumelipa Dola za KimarekaniMilioni 21.6 kama mrabaha, tumelipaDola za Kimarekani Milioni 1.6 kamaushuru wa huduma na makadirioya malipo ya kodi ya mapato kwamwaka huu ni Dola za KimarekaniMilioni 37,” alisisitiza.

    Aidha, Waziri Muhongo alitumiafursa hiyo kuutaka Uongozi wa Mgodihuo kufanya zoezi la utafiti wa madini(exploration) na kubainisha maeneoambayo yako ndani ya leseni yaolakini hawatayatumia kwa shughuli zauchimbaji ili wapewe wananchi wenyeuhitaji kwa ajili ya kufanyia shughulimbalimbali za kimaendeleo.

    Waziri Muhongo alisaini Kibalikinachotoa ridhaa kwa Mgodi waGGM kufanya shughuli za uchimbajiwa chini kwa chini kupitia Sheria yaMadini ya Mwaka 2010, kifungu cha48 (3) kinachompa mamlaka hayoWaziri mwenye dhamana na Wizarahusika.

    Kibali hicho cha kuchimba chinikwa chini kwa Mgodi wa Geitakitatumika katika Mashimo (Pit) yaStar na Comet.

    Serikali yaridhia GGM kuchimba chini kwa chini

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (Kulia)

    akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita(Geita Gold Mine – GGM) Terry MulPeter, Kibali cha Mgodi huokufanya uchimbaji wa madini wa chini kwa chini (underground mining).Awali, GGM walikuwa wakifanya uchimbaji wa wazi pekee. Kibali hichokilitolewa, Machi 15 2016 Makao Makuu ya Wizara jijini Dar es Salaam.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati),akizungumza na Uongozi wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita (Geita GoldMine – GGM) (Kushoto), kabla ya kusaini Kibali kinachouruhusu Mgodihuo kufanya uchimbaji wa chini kwa chini (Underground mining). Kulia

    ni baadhi ya Viongozi na Maosa Waandamizi wa Wizara.

    Mkurugenzi Mtendaji wa Mgodi wa Dhahabu wa GGM, Terry MulPeter(Kulia), akimsikiliza Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter

    Muhongo (Kushoto) wakati wa kikao baina yake na Uongozi wa GGM,kabla ya kusaini Kibali kinachouruhusu Mgodi huo kufanya uchimbajiwa chini kwa chini (Underground mining).

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (Kulia),akisaini Kibali cha kuuruhusu Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GeitaGold Mine – GGM) kufanya uchimbaji wa madini wa chini kwachini (underground mining) badala ya uchimbaji wa wazi (Open pit)uliokuwa ukifanywa awali. Anayeshuhudia ni Mkurugenzi Mtendaji waGGM, Terry MulPeter. Kwa kibali hicho, sasa GGM watafanya uchimbajikwa njia zote mbili.

  • 8/19/2019 MEM 111 Online.pdf

    18/20

    18   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Na Devota Myombe

    Serikali kwa kupitia mradi waUendelezaji Endelevu wa

    Rasilimali Madini (SMMRP)ulio chini ya Wizara ya Nishatina Madini imeandaa mafunzo

    maalum yatakayowawezesha wahasibuna maafisa leseni za madini kutumiamfumo mpya wa digitali unaohusianana malipo ya leseni na utoaji leseniujulikanao kama Flexicadastre.

    Mfumo huo ambao ulikwishaanzakutumika hivi karibuni si wa makaratasikama ule uliokuwa ukitumika hapo

    awali, ni salama na bora zaidi ambaohusaidia kurahisisha kazi ya ulipaji nautoaji leseni za madini na pia huhifadhitaarifa kwa uhakika zaidi.

    Alipokuwa akifungua mafunzohayo, Mkuu wa Kitengo cha Teknolojiaya Habari na Mawasiliano chaWizara ya Nishati na Madini, FrancisFungameza alisema kuwa mafunzohayo yameandaliwa ili kuwafunzawahasibu na maafisa leseni namna yakutumia teknolojia hiyo katika ulipajina utoaji leseni maana wamegunduawahasibu na baadhi ya maafisa leseni

     bado walikuwa hawaufahamu.

    “Tumegundua wahasibu badohamfahamu huu mfumo tunaoutumiasasa ndo maana tumeamua kuaandaamafunzo haya maalum,”alisemaFungameza.

    Kwa upande wake, Mhandisi NuruShabani, mmoja wa watoa mafunzokutoka Wizara ya Nishati na Madinialisema, mfumo huo ni bora zaidi kulikoule uliokuwa ukitumika hapo kabla, piani salama zaidi kwani unaweza kutunzataarifa kwa uhakika zaidi bila kupotea.

    “Ni vyema nanyi wahasibumkaufahamu huu mfumo ili kurahisishakazi.Hii itasaidia kurahisisha kaziambayo ilikuwa ikifanywa na maafisa

    leseni peke yao” Alisema MhandisiNuru.

    Mbali na hiyo, alisema kuwa kilamhasibu na Afisa Madini atakuwa nanamba yake ya siri itakayomwezeshakutumia mfumo huo pindi atakapotakakujua taarifa mbalimbali kuhusu leseniza madini na kuwasisitiza kutotoanamba hiyo ya siri kwa mtu yeyoteasiyehusika.

    Mafunzo hayo yanafanyikakatika Chuo cha Kilimo cha Sokoinekilichopo mkoani Morogoro ambapowahasibu na maafisa leseni za madinikutoka Ofisi zote za Madini Tanzaniawamehudhuria.

    Mmoja wa Wahasibu kutoka Wizara ya Nishati na Madini (mwenyemiwani), Respica. Balongo akimsikiliza mtoa mafunzo, Nuru Shabani.

    Mtoa mafunzo, MhandisiNuru Shabani, akimwelekeza

    mmoja wa washiriki wamafunzo hayo jinsi ya kutumiamfumo wa “Flexicadastre”

    Mkuu wa Kitengo cha Teknolojiaya Habari na Mawasiliano

    (TEHAMA), Francis Fungamezaakifungua mafunzo hayoyaliyofanyika katika Chuo chaSokoine mkoani Morogoro.

    Wahasibu na Maasa Madini wapewa Mafunzo maalum

    Na Samwel Mtuwa-Dodoma.

    Wakala wa JiolojiaT a n z a n i a ( G S T )kwa kushirikiana na

    uongozi wa mradiwa UsimamiziEndelevu wa Rasilimali Madini(SMMRP)uliochini ya Wizara yaNishati na Madini (MEM), unatarajiakufanya utafiti wa jiosayansi na kutoamafunzo ya namna ya utafutaji madini,uchimbaji salama pamoja na uchenjuajiili kuongeza pato la mchimbaji mdogona taifa kwa ujumla.

    Kwa mujibu wa Mtendaji Mkuu waWakala wa Jiolojia Tanzania (GST),Prof. Abdukarim Mruma, alisemakuwa Sekta ya Madini kwa wachimbajiwadogo ni muhimu kwa taifa na jamiikwa ujumla, hivyo kuna kila sababukufanya utafiti wa jiosayansi ili kujua

     jioloji ya eneo husika na kutoa mafunzo

    ya uchimbaji wa kisasa utakaofanyika bila kupoteza thamani ya madiniwanayopata pamoja na kufanya

    uchimbaji bila kuharibu mazingira.“Sekta ya madini kwa wachimbaji

    wadogo ni muhimu kwa taifa na jamiikwa ujumla , hivyo tunasababu ya

    kufanya utafiti wa jiosayansi na kutoamafunzo ya kitalaam kwa wachimbajiwadogo ili waweze kufanya uchimbajikwa njia ya kisasa bila kupoteza thamani

    ya madini wanayopata na kufanyauchimbaji usioharibu mazingira”alisema Prof. Mruma

    Akizungumza na MEM BulletinProf. Mruma aliongeza kuwawachimbaji wadogo hawana utalaamwa kutosha wa kutafuta, kuchimba nakukamata madini na alitolea mfanotofauti kubwa inayojitokeza bainaya migodi mikubwa na wachimbajiwadogo kupata mabaki ya dhahabukidogo tofauti na wachimbaji wakubwa

    Prof. Mruma alifafanua kuwakupitia mradi huu (SMMRP), kwawachimbaji wadogo GST itawezakuwashauri wachimbaji wadogo nawadau wa sekta ya madini, mashineitakayofaa kutumika katika eneo husika,alieleza kuwa mashine zinazobebamadini zinatofautiana kitabia kulinganana sehemu husika.

    Kwa mujibu wa mratibu wa mradikutoka GST Yorkobeth Myumbilwaalisema utafiti na mafunzo yataanzaMachi 18, 2016 hadi Aprili 20, 2016yatahusisha maeneo ya Kilindi ,Handeni, Singida, Merelani , Endabashi,Msege karibu na Nyamongo, Mgusu(Geita), Katente (Kahama), Kyerwa,Itumbi (Chunya) na Mpanda katikasehemu ya D-Reef, Kapanda, na Ibindi.

    GST KUFANYA UTAFITI WA JIOSAYANSI NA KUTOAMAFUNZO KWA WACHIMBAJI WADOGO

  • 8/19/2019 MEM 111 Online.pdf

    19/20

    19BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Na Eugene Isaya,Dar Es Salaam

    Waziri wa Nishatina Madini ProfesaSospeter Muhongoamesema kiwangocha gesi chenye futi

    za ujazo zinazokadiriwa kufikia trilioni2.17 zimegundulika katika Bonde laRuvu.

    Akiongea na waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam hivi karibuni,Profesa Sospeter Muhongo, alisema

    za kuwa ugunduzi huo umefanywa naKampuni ya Dodsal kwa kushirikianana Shirika la Maendeleo ya PetroliTanzania (TPDC) ambalo linafanyashughuli hizi kwa niaba ya Serikali,pamoja na maafisa wengine kutokawizara ya nishati na madini.

     Alifafanua kuwa TPDC kwa sasani Shirika la Mafuta la Taifa (NationalOil Company) na tayari muundo wakeumebadilishwa kulingana na Sheria yamafuta ya mwaka 2015.

    Aidha Sheria hiyo inaipa TPDCmamlaka ya kushiriki katika shughuliza utafutaji na uendelezaji warasilimali za mafuta na gesi sehemumbalimbali nchini, huku jukumu lausimamizi na uangalizi wa Kampuni

    zingine zinazojihusisha na utafitizikiwa chini ya wakala wa usimamizialiyeanzishwa kwa mujibu wa sheria

    hiyo.Profesa Muhongo alisema

    kugundulika kwa kiasi hicho chagesi asilia kunafanya kiasi cha gesiyote ilichogunduliwa nchini kufikiatakribani futi za ujazo trilioni 57.25ambapo , futi za ujazo triliioni 10.17zinatoka eneo la nchi kavu, na futiujazo trilioni 47.08 zinatoka eneo lakina kirefu cha bahari.

    Waziri Muhongo alisemakwamba, ugunduzi huu umekujawakati muafaka hasa katika kipindihiki cha Serikali ya Awamu ya Tanoambayo inakusudia kuifanya nchi

    kuwa na viwanda vya kutosha. Hivyougunduzi utaiwezesha nchi kuwa naumeme wa kutosha na wa uhakika.

    Akitoa ufafanuzi kwa waandishiwa habari Prefesa Muhongo alisema,kiasi cha futi za ujazo trilioni 1 inauwezo wa kuzalisha Megawati 5000za umeme sasa nchi yetu inahitajikiasi cha Megawatt 1000 za umemeambapo kati ya hizi, nusu yake (katiya Megawati 450-560) huzalishwakwa kutumia gesi asilia iliyogundulikamaeneo mbalimbali nchini.

    Aidha tafiti zaidi zitaendeleakufanyika ambapo kwa sasa utafiti wamafuta na gesi unakusudiwa kulengazaidi katika maeneo ya kusini karibuna nchi jirani ya Msumbiji ambapo

    inaaminika kuwa ugunduzi zaidiuanaweza kufanyika.Kwa upande wake Meneja wa

    Shughuli za Utafiti kutoka TPDC,Venosa Ngowi, alieleza kuwa,Kampuni hiyo ya Dodsal kutokaUmoja wa Falme za Kiarabu (U.A.E)ilianza shughuli za utafiti wa Mafutana Gesi nchini Oktoba 2007 ambapohadi kufikia sasa imeshachorongavisima vitatu vya utafiti wa mafuta nagesi.

    Kati ya visima hivyo, kimojahakikuwa na gesi, kingine

    kiliporomoka wakati shughuli zauchorongaji zikiendelea, na kisimacha tatu ndicho kilichogundulika

    kuwa na gesi.Naye Meneja Mkuu wa kampuni

    ya Dodsal kwa upande wa Tanzania,Dr.Tom Gray alisema kuwa kampunihiyo ilijikita katika shughuli za utafitiwa mafuta na gesi ambapo visimavitatu walivyovichoronga matarajioyao yalikuwa si tu kwa kuonyeshakuna shughuli za utafiti eneo la Ruvu

     bali uwepo wa kiwango kikubwa chagesi asilia katika Bonde la Ruvu.

    Hii inakuja hasa baada ya nchi yaMsumbiji kutajwa kugundua kiasikikubwa cha rasilimali ya gesi asilia.

    Gesi zaidi yagundulika Bonde la Ruvu

    Meneja Mkuu wa Kampuni ya Dodsal, Dkt. TomGray (katikati), akizungumza na waandishi waHabari

     Waziri wa Nishati na Madini, Mh.Profesa Sospeter Muhongo

    akizungumza na Waandishi wa Habari

    Ramani ya Ruvu ikionyesha eneo la Kitalu cha Ruvu ambapo GesiAsilia yenye futi za ujazo trilioni 2.17 imegundulika

  • 8/19/2019 MEM 111 Online.pdf

    20/20

    20   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIAMINISTRY OF ENERGY AND MINERALS

    THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIAMINISTRY OF ENERGY AND MINERALS

    APPOINTMENT OF DIRECTORS TO CONSTITUTETHE BOARD OF DIRECTORS OF TANESCO

    INVITATION FOR BIDS FOR PROCUREMENT OFFURNITURE AND EQUIPMENT FOR ESTABLISHMENT

    OF LIBRARY AND ACCREDITATION OF TANZANIAGEMOLOGICAL CENTRE (TGC) ARUSHA7TH March, 2016:

    The desire to appoint a competent Board of DirectorsThe Ministry of Energy and Minerals (MEM) of the Government of the United Republic of

    Tanzania as mandated under the Public Corporations Act and, in that on behalf of the Shareholderof Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO), would like to recruit ableandcompetentTanzanians to constitute and serve in the Board of Directors of TANESCO.

    It is desired that upon their appointment as such as required under the Law, members of the Boardof Directors of TANESCO will lead and govern this strategic Company to highest levels of performancein terms of: its profitability, investments in all segments of infrastructures of the company, provision of

    reliable and quality electricity to the Nation, provision and maintenanceof highest quality of servicesto customers and prudently managing resources of the Company. In short, it is expected that underthe governance of this Board of Directors, TANESCO shall go forward in recording desirable positivecontributions to the wellbeing of the Nation in all respects; thus, satisfying the needs and desires of itsshareholder (i.e. the Government), customers, development partners, investors and other stakeholders.

    In these regards, MEM shall closely monitor the performance of the Board of Directors as requiredunder the Law, and in terms of certain Key Performance Indicators (KPIs).The KPIs shall reflect theexpectations outlined in the major policy documents of the Government, the laws governing the sector,TANESCO’s contractual obligations and those of its customers and other stakeholders.

    Qualifications/Qualities of individuals to be appointed as members of the Board of DirectorsMEM thereforedesires that the Board of Directors of TANESCO shall be composed of individuals

    who have demonstrated significant achievements in their respective professional careers, in businessmanagement and their service in either public or private sector, or both. They must possess requisiteknowledge, intelligence and experience to enable them make significant positive contributions in theBoard of Directors’ decision making process.

    In light of Government policies and priorities on one hand, and the Company’s Mission and Visionon the other hand, the individuals are expected to possess qualifications and qualities and experiencethat will add value in the energy sector and the electricity sub-sector in particular.

    Specifically, the following qualitiesare considered desirable to any candidate aspiring to becomemember of the Board of Directors of TANESCO:

    1. Education: it is desirable that a candidate should hold a degree from a respected college or universitymajoring in the fields of engineering, natural sciences, economics, finance, law, or management/administration. Possession of a masters or doctoral degree will be an added advantage,

    2. Experience: a candidate must have extensive experience (not less than 15 years) in his/herprofessional career and must demonstrate positive track record of performance in managementin either public or private service, or both. An ideal candidate should have sufficient experience tofully appreciate and understand the responsibilities of a director in a challenging public corporationlike TANESCO,

    3. International Experience: experience of working in either senior management or as director ininternational organisations/corporations will be considered as an advantage to a candidate’sprofile,

    4. Individual Character and Integrity: a candidate must be a person of highest moral and ethicalcharacter, impeccable record and integrity. In this regard, a candidate must exhibit independenceand demonstrate personal commitment to serve in the Company’s and public interests,

    5. Personal Qualities: a candidate must have personal qualities that will enable him to make substantialactive contribution in the Board’s decision-making process. These qualities include intelligence, self-assuredness, independence, highest ethical standing, practical knowledge to corporate governancestandards, willingness to ask difficult questions, inter-personal skills, proficiency in communicationskills and commitment to serve,

    6. Knowledge of the Sector: a candidate must have sufficient knowledge of TANESCO’s work and

    situation and issues affecting the energy sector and the electricity sub-sector in Tanzania. In theseregards, a candidate must have particular knowledge of TANESCO’s or rather, the energy sector’sstakeholders’ desires, needs and challenges, like those of the Government, development partners,investors, regulators, customers, etc.

    7. Courage: a candidate must be able and willing to make right decisions at all times, even if the samewould make the person look difficult or unpopular,

    8. Availability: a candidate must be willing to commit, as well as have, sufficient time available todischarge his or her duties as member of the Board of Directors. Therefore, a desirable candidateshould not have other corporate board memberships.

    9. Compatibility: a candidate should be able to develop good working relationship with othermembers of the Board of Directors and members of senior management of the Company, and

    10. Conflict of Interest: a candidate must not be in a position of conflict of interest with Company’sactivities.

    Invitation to apply: MEM invites candidates who possess the mentioned qualifications andqualities to apply to be considered for appointment as directors and serve in the Board of Directorsof TANESCO. Interested candidates must write and submit their applications by Friday, 29th March,2016 demonstrating their respective qualifications and qualities, attaching Photostat copies of theirtestimonials and detailed CVs to;

    The Permanent Secretary,

    Ministry of Energy and Minerals,5 Samora Machel Avenue,P.O. BOX 2000,

    BID NO. ME/008/SMMRP/G/88

    1. The United Republic of Tanzania (hereinafter called “Borrower”) has receivedAdditional Financing from the International Development Association (IDA)(hereinafter called “Credit”) towards the cost of the Sustainable Management ofMineral Resources Project (SMMRP) and intends to apply part of this Credit to covereligible payments under Contract for Procurement of Furniture and Equipment forestablishment of Library and Accreditation of Tanzania Gemological Centre (TGC)Arusha.

    2. The Ministry of Energy and Minerals (MEM) now invites sealed bids from eligibleand qualified bidders for the supply of Furniture and Equipment as shown below;

    The above items constitute Four Lots. Bidders may bid for one, two or three lots, each lotshall be considered separately and bidders shall quote all items and respective quantities.Bids not quoting the items and quantities in each lot will be considered non – responsive

    and rejected for evaluation.3. Bidding will be conducted through the National Competitive Bidding (NCB)

    procedures specified under the Public Procurement Act No.7 of 2011: (Procurementof Goods, Works, Non Consultant Service and Disposal of Public Assets by Tender)Regulations, 2013 –and are open to all eligible bidders as defined in the Regulations.

    4. Interested eligible bidders may obtain further information from the Secretary, MinisterialTender Board, Ministry of Energy and Minerals (MEM), 5 Samora Avenue, 6th floorRoom No. 10 Wing B, 11474 Dar es Salaam and inspect the bidding documentsduring office hours from 09.00 to 15.00 hours local time, Mondays to Fridays inclusive,except public holidays.

    5. A complete set of Bidding Document in English language may be purchased byinterested eligible bidders upon submission of a written application to the Secretary,Ministerial Tender Board, Ministry of Energy and Minerals (MEM) SamoraAvenue, 6th floor Room No. 10 Wing B, 11474 Dar es Salaam and upon paymentof a non–refundable fee of TZS 150,000/= (Tanzania shillings One Hundred andFifty Thousand only) or equivalent amount in any internationally freely convertiblecurrency. The method of payment will be by banker’s cheque, banker’s draft or cashpayable in favor of the Permanent Secretary, Ministry of Energy and Minerals.

    6. Bids in one original plus two (2) copies, properly filled in, and enclosed in plain envelopesaddressed to the address below and to be delivered to the Secretary, Ministerial TenderBoard, Ministry of Energy and Minerals (MEM), 5 Samora Machel Avenue, 6th floor,Wing “A” Room No. 611, 11474 Dar es Salaam at or before 10.00 hours, East Africantime on Tuesday 29th March, 2016. Bids will be publicly opened in the presence ofthe bidders’ designated representatives and anyone who choose to attend immediatelyafter the deadline of bids submission.

    7. All bids must be accompanied by a Bid Securing Declaration in the format provided inthe relevant bidding document.

    8. Late Bids, Portion of Bids, Electronic Bids, Bids not received, Bids not opened andnot read out in public at the bid opening ceremony shall not be accepted for evaluationirrespective of the circumstances.

    Permanent Secretary,Ministry of Energy and Minerals,P. O. Box 2000,

    Dar Es Salaam, Tanzania Tel: 255-22-2121606/7Fax: 255-22-2121606

    LotNo.

    Brief Description of Goods unit Qty

    1. Supply of Lapidary Equipment and Tools Each Various

    2. Supply of Jewelry Tools Each Various

    3. Supply of Jewelry Equipment Each Various

    4. Supply of Office Furniture Each Various