MEM 121 Online(1)

download MEM 121 Online(1)

of 13

Transcript of MEM 121 Online(1)

  • 8/16/2019 MEM 121 Online(1)

    1/13

    Ofisi ya Mawasiliano Serikalini inapokea habari za matukio mbalimbali

    kwa ajili ya News Bullettin hii ya Wizar a ya Nishati na MadiniWasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263

    au Fika Osi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM)

    HABARI ZA

    NISHATI &MADINI

    Toleo No. 121 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Mei 26 - Juni 1, 2016Bulletinews

     

    http://www.mem.go.tz

     

    WATAALAM WA GST

    WATAMBULIKA SADC

    ALPHONCE MICHAEL BUSH MASOTA MAGIGITA ZORTOSY MPANGILEMAGANGA

    (Picha zilizopigwa katika mfumo wa satelaiti ya Landsat na SRTMzinazoonesha Jiokemikali na Usumaku wa udongo katika Wilaya yaNachingwea mkoani Lindi.)

    (Picha iliyopigwa kwa satelaiti kwa kutumia mfumo wa ASTERikionyesha mgawanyiko wa aina mbalimbali za miamba katikawilaya ya Masasi mkoani Mtwara)

    Sasa wana weza kutoa mafunzo yaUtalaam w a Utafiti wa RasilimaliMadini k wa kutumia Visaw e vyaMbali (Remote Sensing)katika nchi za Ukanda w a Kusini m wa A frika(SA DC).

     Wana u juzi wa kusoma na kutafsiri picha na Tak wimu za  Visa we  v ya Mbali zilizopig wa k wa 

    mf umo wa satelaiti (satelite ). 

  • 8/16/2019 MEM 121 Online(1)

    2/13

    Mei 26 - Juni 1, 2016 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    2

    Na Teresia Mhagama

    Watendaji kutoka Chuocha Ukamandana Unadhimu chanchini India (NDC)w a m e u p o n g e z a

    Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania(TMAA) kwa umakini wake katikaUsimamizi na Ukaguzi wa Shughuli zauzalishaji na Biashara ya Madini nchini,ambazo zimeifanya Serikali kupatamapato stahiki kutokana na rasilimali hiyo.

    Pongezi hizo zimetolewa na Kiongoziwa Ujumbe kutoka Chuo hicho AdmiralD. M Sudan, katika kikao kilichofanyikaMakao Makuu ya Wizara ya Nishatina Madini jijini Dar es Salaam ambapoUjumbe huo ulikutana na watendaji waWizara na TMAA wakiongozwa naKatibu Mkuu wa Wizara ya Nishati naMadini, Profesa Justin Ntalikwa.

    Ujumbe huo kutoka nchini Indiauliofika Wizara ya Nishati na Madiniili kujifunza namna Wakala huounavyosimamia shughuli za uzalishajina biashara ya madini nchini, ulielezakuwa TMAA inafanya kazi nzuri kwani

    imekuwa ni mwangalizi wa madini nchinihasa katika juhudi zake za udhibiti wautoroshaji wa madini kwenda nje ya nchi.

    Awali, Meneja wa Mipangona Utafiti wa TMAA, Julius Moshialiueleza Ujumbe huo kuhusu shughulimbalimbali zinazofanywa na Wakalahuo ikiwemo ukaguzi wa shughuli zauzalishaji na mauzo ya dhahabu kutokakwa wazalishaji wanaotumia teknolojia ya“vat leaching” katika kuchenjua marudioya dhahabu katika mikoa ya Mbeya,Mwanza na Geita.

    Alisema kuwa katika kipindi chaJulai 2015 hadi Machi 2016, jumla yakilo 1,114.49 za dhahabu zenye thamaniya Shilingi Bilioni 73.5 zilizalishwa naMrabaha wa Shilingi Bilioni 2.9 kulipwaserikalini kutokana na shughuli hizo zauchenjuaji madini.

    “Siyo hivyo tu, TMAA pia tumejikitakatika kudhibiti Utoroshaji na BiasharaHaramu ya Madini ambapo kazi hiitunatekeleza kwa kushirikiana na Jeshila Polisi, Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA), Mamlaka ya Viwanja vya Ndege(TAA), Idara ya Madini na Usalamawa Taifa kwa kufanya ukaguzi kupitia

    madawati maalum yaliyopo katikaviwanja vya ndege vya Julius Nyerere(Dar es Salaam), Kilimanjaro, Mwanza,Songwe (Mbeya) na Arusha,”,” alisemaMoshi.

    Alisema kuwa katika kipindi chamwezi Julai 2015 hadi Januari 2016,ukaguzi uliofanyika kupitia madawatiyaliyopo katika viwanja hivyo vyandege, umewezesha kukamatwa kwawatoroshaji wa madini katika matukio 16yaliyoripotiwa ambayo yalihusisha madini

    yenye thamani ya Shilingi bilioni 3.2.Aidha, Moshi alisema kuwa Wakalahuo pia umeweka Wakaguzi katikamigodi yote mikubwa nchini ambapo

     juhudi hizo zimezaa matunda kwaniUkaguzi uliofanywa na TMAA kwakushirikiana na TRA umewezesha baadhiya kampuni za uchimbaji madini kuanzakulipa kodi ya mapato ambapo katikakipindi cha mwaka 2009 hadi Machi2016, kampuni mbalimbali zimelipa jumlaya Shilingi bilioni 680.5 kama kodi yamapato.

    Vilevile, alisema kuwa Wakala huoumekuwa ukifanya ukaguzi wa mara

    kwa mara wa shughuli za ukarabati nautunzaji wa mazingira katika maeneoya migodi mikubwa, ya kati na midogoambapo Wahusika wamekuwa wakipewamaelekezo yenye lengo la kuboresha haliya mazingira kwenye maeneo yao, sualalililopelekea kuimarika kwa shughuliza utunzaji wa mazingira nchini katikamaeneo ya migodi mikubwa, na baadhi yamigodi ya kati na midogo nchini.

    Awali, Katibu Mkuu wa Wizaraya Nishati na Madini, Profesa Justin

    Ntalikwa aliukaribisha Ujumbe huokutoka nchini India na kukishukuru Chuohicho kwa kuamua kujifunza masuala yaukaguzi wa madini nchini kwani suala hilolimepelekea pande zote mbili kujadilianana kutoa maoni yatakayoboresha Sekta yaMadini katika nchi za India na Tanzania.

    Aidha, alitumia fursa hiyokuwakaribisha wawekezaji mbalimbalikutoka nchini India kuwekeza katikauzalishaji umeme nchini kwa kutumiavyanzo mbalimbali kama gesi asiliana Nishati jadidifu ili kuweza kuwa naumeme wa kiasi cha megawati 10,000ifikapo mwaka 2025.

    Meneja wa Mipango na Utati Kutoka Wakala wa Ukaguzi wa MadiniTanzania (TMAA), Julius Moshi, (aliyesimama), akielezea shughuli zaWakala huo mbele ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini,Profesa Justin Ntalikwa (katikati) na Ujumbe kutoka Chuo chaUkamanda na Unadhimu cha nchini India (NDC) ulioongozwa naAdmiral DM Sudan (hayupo pichani). Kushoto kwa Katibu Mkuu niKaimu Kamishna wa Madini, Mhandisi John Shija.

    Mkurugenzi wa Usimamizi wa Mazingira na Ukaguzi wa MazingiraMigodini, Emanuel Sumay Kutoka Wakala wa Ukaguzi wa MadiniTanzania (TMAA),(aliyesimama), akifafanua jambo katika Kikaokilichohudhuriwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini,Profesa Justin Ntalikwa (wa kwanza kushoto) na Ujumbe kutoka Chuocha Ukamanda na Unadhimu cha nchini India (NDC) ulioongozwa naAdmiral DM Sudan (hayupo pichani). Kushoto kwa Katibu Mkuu niKaimu Kamishna wa Madini, Mhandisi John Shija.

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa(katikati) akikabidhiwa Ngao ya Chuo cha Ukamanda na Unadhimucha nchini India ambayo alikabidhiwa na Admiral DM Sudan (kushoto).Ujumbe kutoka Chuo hicho ulika Wizara ya Nishati na Madini ilikujifunza masuala ya ukaguzi wa madini.

    Kaimu Mkurugenzi wa Ukaguzi na Udhibiti wa Uzalishaji na Biasharaya Madini, Mhandisi Godfrey Kasekenya Kutoka Wakala wa Ukaguzi waMadini Tanzania (TMAA),( aliyesimama), akifafanua jambo katika Kikaokilichohudhuriwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini,Profesa Justin Ntalikwa (wa kwanza kushoto) na Ujumbe kutoka Chuocha Ukamanda na Unadhimu cha nchini India (NDC) ulioongozwa naAdmiral DM Sudan (hayupo pichani). Kushoto kwa Katibu Mkuu niKaimu Kamishna wa Madini, Mhandisi John Shija

    Chuo cha Ukamanda na Unadhimucha India chaipongeza TMAA

  • 8/16/2019 MEM 121 Online(1)

    3/13

    3BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 26 - Juni 1, 2016

    FIVEPILLARS OFREFORMS

    KWA HABARI PIGA SIMUKITENGO CHA MAWASILIANO

    BODI YA UHARIRI

    MSANIFU: Lucas Gordon

    WAANDISHI: Veronica Simba, Asteria Muhozya, GreysonMwase, Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James ,

    Nuru Mwasampeta na Zuena Msuya

    INCREASE EFFICIENCY 

    QUALITY DELIVERYOF GOODS/SERVICE

    SATISFACTION OFTHE CLIENT

    SATISFACTION OFBUSINESS PARTNERS

    SATISFACTION OFSHAREHOLDERS

    TEL-2110490

    FAX-2110389

    MOB-0732999263

    Hongera Wataalam wa GST

    TEL-2110490

    FAX-2110389

    MOB-0732999263

    Habari iliyopewa kipaumbele katika Jarida la Wiki hiiinahusu Watalaam watatu wa Taaluma ya Sayansi ya Miambana Madini kutoka Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) ambaoni Alphonce Michael Bush, Masota Matthew Magigita naZortosy Mpangile Maganga, kutambuliwa rasmi na Taasisiya Japan, Oil, Gas, and Metal Cooperation (JOGMEC).

    Hii ni kusema kwamba Watalaam hao wa Kitanzaniasasa wanaweza kutoa mafunzo ya Utalaam wa Utafiti waRasilimali Madini kwa kutumia Visawe vya Mbali (Remote

    Sensing) katika nchi za Ukanda wa Kusini mwa Afrika(SADC).Utambuzi huo umekuja baada ya Taasisi hiyo ya

    JOGMEC kutoa Mafunzo ya muda mfupi na mrefu, Seminana Warsha mbalimbali kwa watalaam wa GST, juu yakufanya tathmini ya maeneo yenye uwezekano wa kuwepokwa madini.

    Imeelezwa kuwa Tathmini hiyo hufanyika kwa kutumiauchambuzi wa picha zilizopigwa kwa satelite pamoja naukusanyaji wa takwimu za Jiosayansi baada ya kufanya kaziza ugani (field work) ili kuboresha kanzidata ya Taasisi hiyo.

    Kupatikana kwa ujuzi huo wa kusoma na kutafsiri pichana takwimu za Visawe vya mbali zilizopigwa kwa mfumo wasatelaiti (satelite) kutasaidia kuongeza ufanyaji kazi za utafitiwa madini nchini na ufanyaji tathmini kwa kina.

    Ujuzi huo pia utasaidia katika Sekta ya utafiti na uchunguziwa kujua chanzo au vyanzo vya uharibifu wa mazingiramfano ongezeko la Makazi ya watu pamoja na kupunguakwa misitu hasa katika mabadiliko ya uso wa dunia.

    GST na Taasisi ya JOGMEC zimekuwa na ushirikianokwa zaidi ya miaka Sita sasa ambapo JOGMEC hutoamafunzo ya muda mrefu na muda mfupi kwa watalaammbalimbali wa GST.

    Ushirikiano wa Taasisi hizo umepelekea kubadilishanaujuzi, maarifa na uwezo wa kufanya tafiti za Jiosayansi ilikuboresha kanzidata ya GST kwa kuongeza ujuzi, ukusanyajina utunzaji wa takwimu za upatikanaji wa madini mbalimbaliyanayopatikana nchini.

    Habari njema ni kuwa Taasisi hiyo ya JOGMEC inampango wa kuendelea kushirikiana na GST katika kazi zaugani na ukusanyaji wa taarifa za Jiolojia utakaofanyika

    Tanzania na uchakataji taarifa hizo za jiolojia kufanyikanchini Botswana.

    Vilevile imeelezwa kuwa JOGMEC ina mpango wakushirikiana na GST kuendesha Semina za Kimataifa juuya Maendeleo Endelevu katika Sekta ya Madini nchiniTanzania.

    Hakika Watanzania tunapaswa kujivunia Wataalam wetuhawa ambao wameiletea Sifa kubwa nchi yetu ya Tanzaniakwani sasa wanatumia utaalam huo ili kuleta maendeleoendelevu ya Sekta ya Madini nchini, pia wataweza kuenezautaalam wao katika nchi za SADC na hivyo kuzidi kulitangaza

     jina la Tanzania Kimataifa hasa katika Masuala ya Jiolojia.Aidha tunawapongeza Wataalam hao kwa kuona

    umuhimu wa kuwaelimisha Watalaam wengine katikaTaasisi hiyo ili wapate uelewa zaidi katika uchambuzi wa

    taarifa na picha zilizopigwa kwa kutumia Satelaiti.Hongera sana, Alphonce Michael Bush, Masota MatthewMagigita na Zortosy Mpangile Maganga,

    TAHARIRI

    WATAALAM WA GSTWATAMBULIKA SADC

    Na Samwe l. Mtuwa – GST

    Watalaam watatu wa Taalumaya Sayansi ya Miamba naMadini kutoka Wakala waJiolojia Tanzania (GST)ambao ni Alphonce Michael

    Bush, Masota Matthew Magigita na ZortosyMpangile Maganga, wametambuliwa rasmi naTaasisi ya Japan, Oil, Gas, and Metal Cooperation(JOGMEC) ambapo sasa wanaweza kutoamafunzo ya Utalaam wa Utafiti wa RasilimaliMadini kwa kutumia Visawe vya Mbali (RemoteSensing) katika nchi za Ukanda wa Kusini mwaAfrika (SADC).

    Mmoja wa Wataalam hao ambaye ni Menejawa kitengo cha Maktaba ya Kumbukumbuya GST, Masota Magigita, alisema kuwautambuzi huo umekuja baada ya Taasisi hiyo

    ya JOGMEC kutoa Mafunzo ya muda mfupina mrefu, Semina na Warsha mbalimbali kwawatalaam wa GST, juu ya kufanya tathminiya maeneo yenye uwezekano wa kuwepo kwamadini.

    “Tathmini hii hufanyika kwa kutumiauchambuzi wa picha zilizopigwa kwa satelaitipamoja na ukusanyaji wa takwimu za Jiosayansi

     baada ya kufanya kazi za ugani (field work)ili kuboresha kanzidata ya Taasisi,” alisemaMagigita.

    Magigita aliongeza kuwa kupatikana kwaujuzi huo wa kusoma na kutafsiri picha natakwimu za visawe mbali zilizopigwa kwamfumo wa satelaiti (satelite) kutasaidia kuongezaufanyaji kazi za utafiti wa madini nchini naufanyaji tathmini kwa kina.

    Alisema kuwa,

    ujuzi huo pia utasaidiakatika Sekta ya utafitina uchunguzi wa kujuachanzo au vyanzo vyauharibifu wa mazingiramfano ongezeko laMakazi ya watu pamojana kupungua kwa misituhasa katika mabadilikoya uso wa dunia.

    Aidha, alisema ujuzihuo utatolewa kwaWatalaam wengine waGST ili waweze kupatauelewa zaidi katikauchambuzi wa taarifa napicha zilizopigwa kwa

    kutumia satelaiti.

    Magigita aliongeza kuwa ushirikiano waGST na Taasisi hiyo ya JOGMEC umekuwepokwa zaidi ya miaka Sita ambapo JOGMEChutoa mafunzo ya muda mrefu na muda mfupikwa watalaam mbalimbali wa GST.

    “Ushirikiano wetu ulianza mwaka 2009ambapo tumekuwa tukipewa mafunzo ya mudamrefu na muda mfupi juu ya utoaji mafunzokuhusu utafutaji wa madini kwa kutumia visawembali (remote sensing),” alisema Magigita

    Akielezea kuhusu faida za ushirikianohuo, Magigita alisema kuwa kuna faidambalimbali ikiwemo kubadilishana ujuzi,maarifa na uwezo wa kufanya tafiti zaJiosayansi ili kuboresha kanzidata ya GST kwakuongeza ujuzi, ukusanyaji na utunzaji watakwimu za upatikanaji wa madini mbalimbaliyanayopatikana nchini.

    Alisema kuwa, Sambamba na mafunzohayo taasisi ya JOGMEC pia ina mpango wakushirikiana na GST katika kazi za ugani naukusanyaji wa taarifa za Jiolojia utakaofanyikaTanzania na uchakataji taarifa hizo za jiolojiautafanyika nchini Botswana.

    Vilevile, alisema kuwa JOGMEC inampango wa kushirikiana na GST kuendeshaSemina za Kimataifa juu ya MaendeleoEndelevu katika Sekta ya Madini nchiniTanzania.

    Mafanikio ya Wataalam wa Wakala huoambao upo chini ya Wizara ya Nishati naMadini, yamemfurahisha Waziri wa Nishatina Madini, Profesa Muhongo ambaye alitumaUjumbe Mfupi wa Simu na kueleza kuwaTanzania inasonga mbele kwa kasi kubwa.

    Wataalam wa GST wakiwa darasani katika Jengo la JOGMEC, nchini Botswana.

  • 8/16/2019 MEM 121 Online(1)

    4/13

    4   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 26 - Juni 1, 2016

    Taasisi ya Mbalawala yaipongeza Nishati naMadini kuwezesha shughuli zake kufahamika

    Na Greyson Mwase,Dar es Salaam

    Taasisi ya Wanawake yaMbalawala inayojishughulishana uzalishaji wa braketi zamakaa ya mawe ijulikanayokama Mbalawala Women

    Organization yenye makazi yake katikakijiji cha Ruanda Wilayani Mbinga mkoaniRuvuma imeipongeza Wizara ya Nishatina Madini kupitia Kitengo cha MawasilianoSerikalini kwa kutangaza shughuli zake haliiliyopelekea wateja wa Briketi za Makaa yaMawe katika taasisi hiyo kuongezeka kadrisiku zinavyokwenda.

    Taasisi hiyo inayofanya shughuli zakekaribu na Mgodi wa Makaa ya Mawe waNgaka inajishughulisha na utengenezaji wa briketi bora kwa ajili ya kupikia

    Pongezi hizo zilitolewa na MenejaUendeshaji wa Taasisi hiyo Hajiri Kapingaaliyekutana na Kaimu Mkuu wa Kitengocha Mawasiliano Serikalini Wizara yaNishati na Madini, Asteria Muhozya jijiniDar es Salaam na kusema kuwa tanguKitengo cha Mawasiliano Serikalini kianzekuchapisha habari zinazohusu taasisi hiyokupitia Jarida lake linalochapishwa kilawiki lijulikanalo kama MEM Newsbulletinwameshuhudia idadi kubwa ya watejaikiongezeka.

    Alisema kabla ya habari zakekuchapishwa na Jarida la Wizara, taasisihiyo ilikuwa ikiwauzia briketi za makaaya mawe wateja wake walioko katika vijijivinavyozunguka mgodi wao wilayaniMbinga mkoani Ruvuma.

    “Mara baada ya taarifa zetu kuanzakuchapishwa na Jarida la Wizara ya Nishatina Madini tumeshuhudia mabadilikomakubwa kwani tumekuwa tukipokea simukutoka mikoa mbalimbali hususan Dar esSalaam, Mbeya, Iringa wateja wakihitaji bidhaa zetu.” alisema Kapinga.

    “Jarida limetufanya tujulikane, hatawahisani wetu wameahidi kuongeza nguvukatika kuwezesha mradi huu kuendeleavizuri; Jamii inasoma habari zetu na sisitumesoma masuala mengi kuhusu nishatina madini,” aliongeza

    Kapinga aliendelea kusema kuwa ilikukabiliana na mahitaji makubwa ya watejataasisi hiyo imeweka mkakati wa kununuamtambo mwingine kutoka nje ya nchi ilikuongeza uzalishaji utakaoendana namahitaji ya wateja.

    Alisema mikakati mingine ni pamojana ujenzi wa ghala la kuhifadhia makaaya mawe, ununuzi wa magari kwa ajili yausambazaji wa bidhaa hizo katika vituo vyauwakala vitakavyoanzishwa nchini karibukila mkoa.

    “Mara baada ya kuanzisha vituo hivyo,wateja wetu watakuwa wanapata bidhaakutoka kwa mawakala badala ya kukutanana sisi moja kwa moja,” alisema Kapinga.

    Alisema kuwa pia wamejipanga kutoaelimu ya matumizi ya briketi za matumiziya makaa ya mawe na utafutaji wa masokokwa kushirikiana na wadau wa utengenezaji

    wa majiko sanifu yanayotumia briketiza makaa ya mawe kwa matumizi yamajumbani.

    Akielezea uanzishwaji wa taasisi hiyo,

    Kapinga alisema kuwa taasisi hiyo ilianzishwa chini yaufadhili wa Mgodi wa Makaa ya Mawe wa Ngaka (TancoalEnergy Limited) unaomilikiwa na kampuni ya Intra Energyya Australia kwa asilimia 70 na Serikali ya Tanzaniakupitia Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) kwa asilimia30 ambao wanafurahishwa na hatua iliyofikiwa na taasisihii katika uzalishaji ya briketi za makaa ya mawe.

    Aliongeza sambamba na uzalishaji wa briketi za makaaya mawe, taasisi hiyo imekuwa ikitoa mafunzo juu yautumiaji wa briketi ya makaa ya mawe katika vijiji na miji jirani na mgodi wake pamoja na ushiriki katika maonesho

    mbalimbali ndani ya mkoa wa Ruvuma.“Lengo letu ni kuhakikisha briketi za makaa ya mawezinazoendelea kuzalishwa katika mgodi wetu zinatumikamajumbani, shuleni , vyuoni na taasisi mbalimbali na

    kupunguza uharibifu wa mazingira kwa kutumia kuni”alisema Kapinga

    Aliendelea kusema kuwa lengo la uanzishwaji wataasisi hiyo lilikuwa ni kuhamasisha matumizi ya nishatimbadala kupitia briketi za makaa ya mawe na kuachanana matumizi ya kuni ambayo ni chanzo cha uharibifu wamazingira.

    Naye Kaimu Mkuu wa Kitengo cha MawasilianoSerikalini, Asteria Muhozya alisema kuwa lengo la Jaridala Wizara ni kutangaza shughuli za Nishati na Madiniikiwa ni pamoja na taasisi zake

    Muhozya aliongeza kuwa jarida la Wizara lipo tayarikutangaza shughuli za wadau wa Madini na Nishatiili kuhakikisha kuwa sekta hizo zinakuwa na mchangomkubwa katika ukuaji wa uchumi wa nchi.

    Meneja Uendeshaji kutoka Taasisiya Wanawake ya Mbalawala WomenOrganization inayojishughulisha na uzalishaji

    wa briketi za makaa ya mawe wilayaniMbinga mkoani Ruvuma, Hajiri Kapinga(kulia) akielezea mafanikio ya taasisihiyo mara baada ya taarifa zake kuanzakuchapishwa katika Jarida la Wizara. Kushotoni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha MawasilanoSerikalini Wizara ya Nishati na Madini, AsteriaMuhozya.

    Meneja Uendeshaji kutokaTaasisi ya Wanawake yaMbalawala Women Organizationinayojishughulisha na uzalishajiwa briketi za makaa ya mawewilayani Mbinga mkoaniRuvuma, Hajiri Kapinga akisisitiza

     jambo katika kikao hicho.

  • 8/16/2019 MEM 121 Online(1)

    5/13

    5BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 26 - Juni 1, 2016

    TANESCO yasisitiza matumizi sahihi yaUmeme kuepusha majanga ya moto

    Meneja Afya na Usalama kazini kutokaTANESCO, Mhandisi Majige Mabula (kushoto)pamoja na Asa Mahusiano kutoka TANESCO,Yasini Silayo wakieleza namna ya kuzuia ajaliza moto unaoweza kusababishwa na umeme

    kwenye Makazi ya Watu katika mkutanona Waandishi wa Habari uliofanyika katikaukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijiniDar es Salaam.

    Na Yasini Silayo

    Shirika la Umeme Tanzania limesisitizamatumizi sahihi ya umeme kwa watejawake ili kuepukana na matukio ya ajali zamoto ambayo yamekuwa yakijitokeza nakusababisha madhara makubwa kama vifo

    pamoja na uharibifu wa mali.Hayo yamesemwa na Meneja wa TANESCO

    anayehusika na masuala ya afya na usalama kazini,Mhandisi Majige Mabula Akiongea katika Mkutanona Waandishi wa Habari uliofanyika katika ukumbiwa Idara ya Habari MAELEZO, jijini Dar es Salaamkwa lengo la kutoa elimu pamoja na namna ya

    kuepuka majanga ya moto katika makazi ya wateja.“Endapo kila mteja atazingatia matumizi

    sahihi ya vifaa vyote vinavyotumia umeme ndaniya nyumba pamoja na kutumia mafundi umemewalioidhinishwa na waliosajiliwa kisheria, atakuwaameondoa uwezekano wowote ule wa milipuko yaajali za moto unaosababishwa na umeme” alisemaMhandisi Mabula.

    Mhandisi Mabula alibainisha kuwa ni vyemawatumiaji wa umeme katika makazi yao kuepukanyaya ama maungio ya nyaya za umeme, vituvinavyoweza kushika moto kwa urahisi nauharaka zaidi kama mapazia, makochi, magodoro,vyandarua pamoja na vitu vinginevyo vinavyoweza

    kushika moto haraka.Aliongeza ya kuwa kufunga fyuzi sahihi ndani

    ya nyumba, vidhibiti umeme vinavyopeleka umemeunaozidi ardhini (earth wire) pamoja na Kufunganyaya sahihi kufuatana na kiwango cha matumiziama wingi wa vifaa vya mteja husika pamoja nakuhakikisha mfumo wa umeme (wiring) unapitiwaupya kwa ajili ya marekebisho na ukaguzi kila baadaya kipindi cha miaka mitano.

    “Pia toa taarifa ofisi za TANESCO zilizopo eneolako pale unapotaka kuongeza matumizi ya umemekwa kiwango kikubwa ndani ya nyumba yako iliufanyiwe tathmini ya uwezo wa nyaya kukidhimahitaji yaliyoongezeka na vifaa vingine” alisemaMhandisi Mabula.

    Aidha, katika kuzuia na kupambana na matukio

    ya namna hii TANESCO imekuwa ikitekeleza jukumu kubwa la kuhakikisha inamfikishia mtejaumeme ulio salama na usiokuwa na madhara kwamali na matumizi yake kutoka kwenye mifumo yashirika ya usambazaji umeme, nguzo na mpakaumeme unapofika kwenye mita ya mteja. Baadaya hapo mteja hubaki na jukumu la kulinda nakusimamia matumizi sahihi ya umeme ndani yamakazi yake.

    UTAFITI MANYARA:

    Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST), Profesa AbdulkarimMruma (wa Tatu kulia) akishirikiana na Watalaam wa Sayansi ya Miambaa madini kutoka GST kufanya tathmini ya Ramani ya Jiolojia ya eneo

    a machimbo ya Mirelani iliyopo katika kompyuta mpakato waliyoshikamkononi .

    Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST), ProfesaAbdulkarim Mruma (wa Tatu kushoto) akitoa mafunzo elekezikwa watalaam wa GST juu ya njia ya kutambua aina ya miambakulingana na muonekano wa mlalo wa mwamba, katika eneo laMirelani mkoani Manyara.

  • 8/16/2019 MEM 121 Online(1)

    6/13

    6   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 26 - Juni 1, 2016

    ZIJUE NJIA ZA UCHENJUAJIMADINI NA FAIDA ZAKE KWA TAIFA 

    Na Samwel Mtuwa - GST

    una tafiti nyingizilizofanywa na Watalaamwa Sayansi ya Uchenjuajikutoka Taasisi mbalimbali

    za elimu ya miamba namadini ikiwemo Wakala wa JiolojiaTanzania (GST).

    Tafiti hizi zimegundua kuwamadini mengi husalia kwenye mabakiya mbale baada ya kuchenjuliwa,hii inatokana na kutofikiwa kwakiwango cha ukubwa wa chembeza mbale kinachotakiwa baada yamwamba kuvunjwa, kusagwa nakuchekechwa, sababu nyingine nimatumizi ya kemikali zisizo sahihikwenye uchenjuaji na utumiaji wavifaa visivyostaili.

    Tatizo lingine ni WachimbajiWadogo kutofahamu tabia zamiamba na mbale hii hupelekeakutofahamu njia bora za kuchenjua.

     Kutokana na sababu hizo tajwa,Watalaam wa Sayansi ya Miambawanashauri kuwa wachimbajiwadogo wanatakiwa kufahamunjia bora za uchenjuaji kwa kufanyamajaribio ya mara kwa mara yasampuli katika maabara za madiniili kuweza kutambua mtiririko mzuriwa mwamba, aina ya mwamba ,kiwango cha kusagika kwa mwambapamoja na kugundua mbinu mbadalaza kuchenjua madini kwa lengo lakuongeza uzalishaji wa madini nakupunguza upotevu wa madini kwakusalia kwenye mabaki ya mbaleyaani tailings .

    Ni vyema ikafahamika kuwa

    matumizi sahihi ya teknolojia nautalaamu wa uchejuaji madinihuongeza wingi wa uvunaji wa madini

    (Mineral benefication) , kipato na faidakwa wachimbaji wa madini.

    Katika sayansi ya miamba kunanjia mbalimbali za uchenjuaji wamadini zinazojumuisha mchakatomzima wa upatikanaji wa madini,

    kwa mfano uchenjuaji kwa kuzingatiauzito (gravity concentration) , njia hiihutumia maji kuchanganua madinimazito na mapesi kisha kemikali yazebaki hutumika kukamatia dhahabukutoka katika madini mazito , kwakawaida njia hii inahitaji mwambahusisagwe kwa kiwango chakutengeneza chembe ndogo sanazinazoweza kupelekea madini kusaliakwenye mabaki kutokana na kuwa nauzito mdogo.

    Njia nyingine ni uozeshaji wambale na kutoa madini yanayotakiwa(Leaching) , mara nyingi njia hiihutumia kemikali mbalimbali kamavile sayanaidi, tindikali kwa kuzingatiambinu za uchenjuaji kama vile kupima

    na kurekebisha PH, jotoridi, urojowa sampuli kwenye maji , kiasi chakemikali inayohitajika, mbinu hizipia zinafaa kutumika kwenye njia za flotation.

    Uchenjuaji kwa kutumia njia yasumaku na sumaku umeme (Magneticand Electromagnetic), njia hiihutumika kutenganisha madini yenyetabia ya usumaku kutoka kwenyembale kwa mfano inatenganishamadini chuma kutoka kwenye kyaniteiliyosagwa.

    Njia ya uchenjuaji kwa kutumiamkono au mashine (sorting) ,hutumika katika madini ya vito, vikole vya dhahabu, na madinimengine ambayo yanaweza

    kuchekechwa , njia hii inafaa zaidikwa madini yenye umbile kubwa nahutolewa kwa mkono au mashine.

    Njia ya kuelea kwa madini kwenyepovu (Froth flotation) kwa upande wanjia hii inafaa zaidi kwa mbale zenyemadini yaliyoambatana na viasili vyasalfa (Sulphur).

    Kwa kawaida njia za uchenjuaji

    wa madini zilizoainishwa hapo awalihaziwezi kusababisha uchenjuaji bora bila kutumia mashine mbalimbalizenye ubora na vigezo stahiki ,mchimbaji atafanya uchaguzi nautumiaji wa mashine kwa kutegemeanjia ya uchenjuaji inayotarajiakutumika kwa kuzingatia aina na tabiaya mbale.

    Kwa mujibu wa taarifa kutokakwa watalaam na taasisi mbalimbaliza sayansi ya miamba ikiwemo GST,wanashauri kuwa endapo wachimbaji

    wadogo watazingatia mtiririko wauchenjuaji pamoja na matumizi sahihiya vifaa na mashine watakuwa katikanafasi nzuri ya kufaidika na madiniwanayochimba, pia itawasaidiakurahisisha na kupunguza nguvu kazihisiyo ya lazima na kuweza kufanyauzalishaji wa kutosha wa madini.

    Uchenjuaji madini unafanywana mashine mbalimbali, baadhi yamashine zitumikazo katika uchenjuajiwa madini ni Krasha, kinu cha kusagiamiamba (mill), chekeche, sahani (Pans)ambayo hutumika kupembua madinikwa kuzingatia uzito, meza mtikisikoau mlizamo (shaking table) hutumikazaidi kwa wachimbaji wadogo wamadini ya dhahabu ,njia hii huwezeshawachimbaji kuchenjua madini yadhahabu hadi kufikia asilimia 40kutegemea mwinamo, upana,urefuwa meza, kasi ya maji na ukubwa wachembe, mashine ya kutenganisha vituvyenye usumaku(Magnetic separator),mashine ya kuchenjua kwa njia yakuelea kwa povu mashine hii utumikakuchenjua madini kutoka kwenyembale yenye viasili vingi vya salfa(Sulphur).

    Matokeo ya kutumia mashine nanjia bora za uchenjuaji wa madinihuleta faida mbalimbali kama vileukamataji wa madini kutoka kwenyemwamba kwa zaidi ya asilimia sitini

    (60%), hii ni kwa kutumia njia yauzito na kwa kutumia njia ya kemikaliya sayanaidi na flotation ,mchimbajianatakiwa achenjue kwa ufanisi wazaidi ya asilimia themanini (80%).

    Asilimia mia moja ya mashinehizi zinapatikana katika Wakalawa Jiolojia Tanzania (GST)mkoani Dodoma, hivyo Wakalaunawakaribisha wachimbaji wadogokufika katika maabara zake kupatahuduma mbalimbali za uchenjuaji naupimaji wa madini .

    Wachimbaji Wadogo wilayani Kilindi wakichenjua udongo kwa kutumia mtambo maalum ujulikanao kamamlizamo

    Watalaam wa Utati wa Miamba na Madini kutoka Wakala wa JiolojiaTanzania (GST), Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), na Osi ya MadiniKanda (Singida) wakipata maelezo ya uchenjuaji madini ya Dhahabu kwakutumia njia ya sayanaidi katika matanki(tank) ya mgodi wa Sambaru.Anayetoa maelezo ni Msimamizi wa mgodi (mwenye fulana ya mistari).Pembeni waliposimama ni kingo za Matanki ya kuchenjulia dhahabu.

  • 8/16/2019 MEM 121 Online(1)

    7/13

    7BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 26 - Juni 1, 2016

    M balawala WomenOrganization, imejikitakatika utengenezaji wa briketi bora za makaaya mawe kwa ajili ya

    kupikia. Na hii imechangia kuongezwakwa thamani ya makaa ya mawe. Mradihuu unaenda sambamba na utoajiwa elimu na mafunzo juu ya utumiajiwa briketi. Elimu kuhusu bidhaa hiiimekwishafanyika katika vijiji vya jirani,miji, na kushiriki maonyesho mbalimbalikatika mkoa wa Ruvuma.

    Kwa kuanzia MWO imelengakuzalisha briketi za kutosha kwa ajili yamatumizi ya majumbani, shuleni, vyuoni

    na taasisi mbali mbali.Viongozi wa Serikali na wageni

    mbalimbali waliotembelea mradi huu waMakaa ya mawe ya kupikia, akiwemoWaziri wa Nishati na Madini Prof.Sospeter Muhongo, wakati wa ziara yakekatika mgodi wa Ngaka, alijionea bidhaahiyo na kufurahishwa na juhudi hizo zawanawake katika uongezaji wa thamaniya makaa ya mawe, kwani ni moja ya

    suluhisho la tatizo la ukataji wa miti nauharibifu wa misitu.

    Nao wakurugenzi wa Mgodi waNgaka (Tancoal Energy Limited),unaomilikiwa na Intra-Energy Australiakwa asilimia 70% na Serikali ya Tanzaniakupitia NDC kwa asilimia 30% ambaoni wahisani wa mradi huu wa uzalishajiwa briketi za kupikia za makaa ya mawe,walifurahishwa na hatua iliyofikiwa nawanawake hao.

    Akitoa taarifa ya maendeleo ya mradikwa wakurugenzi hao, Meneja Mkuuwa MWO, Bibi Leah Kayombo, alisemakuwa mikakati iliyopo ni pamoja nautoaji wa elimu ya matumizi ya nishati

    hiyo, utafutaji masoko na kushirikiana nawadau wa utengenezaji wa majiko sanifuyanayofaa kwa matumizi ya majumbanina katika taasisi.

    Pia wahisani hao walikagua ujenzi waTanuru la kukaushia briketi za makaa yamawe (Kiln) lenye uwezo wa kukaushatani 2 katika saa 8.

    Wanawake hao kwa kushirikianana Wakala wa misitu Wilaya za Songea

    na Mbinga, wameweza kutoa elimu yaumuhimu na matumizi ya makaa yamawe kwa baadhi ya watendaji ngaziya wilaya, vikundi vya wajasiriamalina vikundi vya wanawake katika vijijivinavyozunguka mgodi. Pia kupitia

    ushiriki wao katika maonyesho ya sikuya wanawake duniani na maonyesho yawakulima Nane Nane, watu mbalimbaliwameweza kupata elimu hii nakuonyesha kiu ya kutaka kutumia bidhaaya makaa ya mawe kwa kupikia.

    JUHUDI ZA WANAWAKE KATIKA KUONGEZA

    THAMANI YA MAKAA YA MAWE

    2

    5

    4

    6

    1. Uzalishaji wa briketi za makaa ya mawe ya kupikiaaina ya peleti maalum kwa matumizi ya majumbani

    2. Waziri wa Nishati na Madini Mh. Prof. SospeterMhongo katika picha ya pamoja na viongozi waMgodi wa Ngaka na Taasisi ya Mbalawala wakatialipotembelea Mgodi huo (aliyevaa blauzi nyekundu niMkuu wa Wilaya ya Mbinga, Senyi Ngaga.

    3. Wakurugenzi wa Tancoal Energy Limitedwakitembelea eneo la uzalishaji wa briketi za makaaya mawe ya kupikia kijiji cha Ruanda- Mbinga

    4. Mkuu wa Wilaya ya Mbinga, Senyi Ngaga akipatamaelezo kuhusu mradi wa makaa ya mawe yakupikia katika Maonyesho siku ya Wanawake-Mbinga.

    5. Meneja Uendeshaji, Hajiri Kapinga akitoa maelezokuhusu mradi wa makaa ya mawe ya kupikia kwamaasa wa Misitu na Maendeleo ya Jamii wilaya yaMbinga

    6. Kushoto ni briketi za makaa ya mawe maalum kwamajiko ya Taasisi. Kulia: Mtaalam wa maabara waTancoal Energy Limited, Bosco Mabena akipima uborawa briketi katika Maabara ya Mgodi wa Ngaka

    3

    1

    Kwa Mawasiliano :Mbalawala Women Organization

    S.L.P 450 MbingaSimu: +255-754285887 / 0765-282809

    / 0753-874835/ 0766-698662Email: [email protected]

    Website: www.mwo.or.tz

  • 8/16/2019 MEM 121 Online(1)

    8/13

    8   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 26 - Juni 1, 2016

    On Friday 20th May 2016,I had an opportunityto attend the eventOrganized by WorldBank on the 8th launch

    of Tanzania Economic Update” TheRoad Less Traveled , Unleashing PublicPrivate Partnerships in Tanzania”.Permanent Secretaries from VariousMinistries attended the Event, FellowPPP specialists and professionals,academia and other high-leveldignitaries and PPP stakeholdersattended the event. The Vice PresidentHon. Samia Suluhu was a Chief Guest,she gave an opening remarks speechalongside the World Bank CountryDirector Bella Bird.

    Economic Development and PPPinvestment centered conversationscharacterized the event. The notablyand interesting economic updatesincludes the fact the country economicgrowth trends in past five years whichhas been recoded slightly above as7% GDP growth topping other EastAfrican Nations. The projection fornext two years is expected to growto an average of around 7 % GDP.Positive economic performance signs,off course. However, slightly darkened

     by presence of 12 Million-citizen still

    living in dire poverty and debt levelincrease despite encouraging growthrecoded. The Report also lauded thenew Government administrations on itsefforts on sweeping measures to improvetax collections, to contain publicspending and to curb corruption.

    The positive economic past andprojected growth signs provide decisionmakers with some homework todo, encouragement, motives andemphasize the need to be proactive tosustain the growth. Business as usuallyapproach will not get us anywhereclose to achieving our National goals.Demand for Infrastructure and the need

    to generate higher level of economicgrowth goes hand in hand. Budgetallocations limits to infrastructure hasnot helped infrastructure development

    to match up population demand andinvestments accelerations.

    Public Private Partnership (PPP)procurement provide an alternative totraditional Public services procurement.PPP offers an alternative to fill the

     budget and Technology capacity gaps ingovernment endeavor to public servicedelivery. PPP brings on Finance andTechnology capacity and efficiency tothe Public service. Off-course, PPP is notsolution to all Public Infrastructure andfinance Problem, but evidence showsto have worked well in other emergingmarkets including India, Mexico andBrazil and are able to raise finance forabout 25 to 30% of their investmentneeds from the private sector throughPPPs. One thing you can learn from the

    example of the countries above is thesecountries are not in the same league asTanzania, these countries, as I wouldlike to put it, are developed emerging

    markets with technology advancementunlike Tanzania and its Peers. Chancesof having mixed participation in PPP

    project is higher than in Tanzania.EPC can locally be procured whilstinternational Development financialinstitutions and its peers work onfinancing. The mixed investmentpartnership between local private sectorand international private sector brings in

     balanced investment mixed that generatea substantial multiplying economicimpact in the country.

    Apparently, internationalDevelopment financial institutions,Export credit agencies, multilateralagencies and international Commercial

     banks have been in forefront and themajor source of supply of credits

    facilities in PPP projects in otheremerging markets. International EPCon the other hand have been majorTechnology and construction service

    supply. In order to build capacity bydoing Local Banks and contractorsneeds to come in the PPP pictureand participate to certain capacityto increase the multiplying effects ofPPP investments in emerging marketswith low technology and financingcapacity level. PPP is the long-termrelationship between Public andPrivate sectors. Increasing local Privatesector participations will only raisePPP benefits in the economic anddevelopment. Tanzania has more than45 commercial banks and numberof insurance companies. The banks

    and Insurance companies need toinnovate and be creative to its financialofferings and delivery facilities; theyshould expand offerings beyond retailand corporate facilities and look intopossibilities of project financing. Sincerisk spectrum of Project financing isdifferent from Traditional, cooperatefinancing bank needs to look intopossibility of consortium arrangementslocally and internationally to raisecapacity and mitigate some risks.On the hand, the Government andmultinational institutions should create afriendly environment to encourage andattract local private sector into the PPP

    investment mix for better and sustainablePPP investment development and widereconomic benefits.

    Local banks, insurance companiesand Local EPC should be proactiveand start building capacity internallyand have dedicated PPP units intheir institutions to explore into PPPopportunities, design and assess theirparticipations.

    Read the full report on” TanzaniaEconomic Update 2016”on the link

     below from World Bank website.

    http://www.wds.worldbank.org/external/default/

    WDSContentServer/WDSP/IB/2016/05/18/090224b084340439/1_0/Rendered/PDF/Tanzania 0econo0nerships0in0Tanzania.pdf 

    BUSINESS PERSPECTIVE

    Salum Mnuna is MBA, Certied PPP specialist based in Dar es Salaam

    Can be reached via email [email protected] The views in the article are

    solely based on the knowledge of the author and should not be associated with his

    employer.

    Email: [email protected] Salum Mnuna

     

    PPP Mixed Investment, Local Banks

    and Other Private Sector Participation

  • 8/16/2019 MEM 121 Online(1)

    9/13

    9BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 26 - Juni 1, 2016

    Kundila Mteja

    Aina ya Bei/ Tozo Uniti Bei zaAwali

    BeiZilizoidhinishwa2016

    %Mabadiliko

    D1 Bei ya Nishati (0 - 75 kWz) TZS/kWh 100 100 0.0%

    Bei ya Nishati (Zaidi ya 75Kwh)

    TZS/kWh 350 350 0.0%

    T1 Tozo ya kutoa Huduma TZS/Mwezi 5,520 - -100.0%

    Bei ya Nishati TZS/kWh 298 292 -2.0%

    T2 Tozo ya kutoa Huduma TZS/Mwezi 14,233 14,233 -

    Bei ya Nishati TZS/kWh 200 195 -2.3%

    Bei ya Mahitaji ya Juu TZS/kVA/Mwezi 15,004 15,004

    T3-MV Tozo ya kutoa Huduma TZS/Mwezi 16,769 16,769 -

    Bei ya Nishati TZS/kWh 159 157 -1.5%

    Bei ya Mahitaji ya Juu TZS/kVA/Mwezi 13,200 13,200

    T3-HV Bei ya Nishati TZS/kWh 156 152 -2.4%

    Bei ya Mahitaji ya Juu TZS/kVA/Mwezi 16,550 16,550 -

    Bei Mpya za Umeme Zilizoidhinishwa na EWURA kuanzia Mwezi Aprili, 2016

    Kitalu cha Ugunduzi Visima vya Uzalishaji/Ugunduzi

    Mwaka ilipogun-dulika

    Msimamizi(Operator)

    Hatua Iliyofkiwa Kiasi cha GesiKilichogunduliwa(TCF)

    Songosongo S4, S7,S10 & S11 1974 Panafrican Energy Imeendelezwa 1 – 2.5

    Mnazi-bay MB1,MB2,MB3&MS-x1 1982 M &P Imeendelezwa 3 – 5

    Mkuranga Mkuranga-1 2007 M&P Haijaendelezwa 0.2

    Nyuni Kiliwani-N 2008 Ndovu Resource Haijaendelezwa 0.07

    Ruvuma Ntorya-1 2012 Ndovu Resource Haijaendelezwa 0.178

    Ruvu Mambakof-1 2015 Dodsal Haijaendelezwa 2.17

    JUMLA YA KIASI CHA GESI ASILIA KILICHOGUNDULIWA NCHI KAVU 4.45 - 10.118

    Block 1 Chaza-1 2011 BG Tz Haijaendelezwa 0.47

    Jodari-1 2012 BG Tz Haijaendelezwa 3.53

    Jodari North-1 2012 BG Tz Haijaendelezwa

    Jodari South-1 2012 BG Tz Haijaendelezwa

    Mzia-1 2012 BG Tz Haijaendelezwa 8.5

    MZIA-2 2013 BG Tz Haijaendelezwa

    Mzia- 3 2013 BG Tz Haijaendelezwa

    Mkizi -1 2013 BG Tz Haijaendelezwa 0.6

    Taachui-1 2014 BG Tz Haijaendelezwa 1.10

    Block 2

     

    Zafarani-1 2012 Statoil Haijaendelezwa 6.0

    Zafarani-2 2012 Statoil Haijaendelezwa

    Lavani-1 2012 Statoil Haijaendelezwa 3.6

    Lavani-2 2012 Statoil Haijaendelezwa 1.4

    Tangawizi-1 2013 Statoil Haijaendelezwa 5.4

    Mronge -1 2013 Statoil Haijaendelezwa 2.5

    Piri-1 2014 Statoil Haijaendelezwa 3.0

    Giligiliani-1 Aug-14 Statoil Haijaendelezwa 1.7

    Mdalasini Mar-15 Statoil Haijaendelezwa 1.8

    Block 3 Papa-1 2012 BG Tz Haijaendelezwa 2.0

    Block 4 Chewa-1 2010 BG Tz Haijaendelezwa 1.8

    Pweza-1 2010 BG Tz Haijaendelezwa 1.9

    Ngisi - 1 2013 BG Tz Haijaendelezwa 0.8

    Kamba-1 2014 BG Tz Haijaendelezwa 1.03JUMLA YA KIASI CHA GESI ASILIA KILICHOGUNDULIWA BAHARINI 47.13

     JUMLA KUU (TCF) 57.25

    Kiasi cha Gesi Asilia Kilichogunduliwa Nchini hadi Aprili, 2016

    Kielelezo

    D1: Wateja wa majumbani ambao wana matu-mizi madogo ya wastani wa uniti 75 kwa mwezi.Matumizi yatakayozidi uniti 75 yatatozwa bei yajuu ya Shilingi 350 kwa kila uniti moja inayozidi.Kwa Kundi hili la wateja, umeme unatolewa ka-tika Msongo mdogo wa umeme kwenye njia moja(230V).

    T1: Wateja wenye matumizi ya kawaida hususaniwateja wa majumbani, kwenye biashara ndo-gondogo, viwanda vidogo, taa za barabarani,mabango n.k. Umeme unatolewa katika Msongomdogo wa umeme kwenye njia moja (230V) nanjia tatu (400V).

    T2: Wateja wenye matumizi ya kawaida yaumeme kupitia 400V na matumizi kwa mwezi nizaidi ya uniti 7,500.

    T3-MV: Wateja walioounganishwa katika Msongowa kati wa umeme (Medium Voltage).

    T3-HV: Wateja walioounganishwa katika Msongomkubwa wa umeme (High Voltage) ikijumuisha

    ZECO, Bulyanhulu na Twiga Cement.

  • 8/16/2019 MEM 121 Online(1)

    10/13

    10   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 26 - Juni 1, 2016

    Jina la Mgodi Aina ya Ajira 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015

    Bulyanhulu 

    Watanzania 2,012 2,266 2,430 2,535 2,290 2,028 1,755

    Wageni 185 181 195 181 167 138 125

    Jumla 2,197 2,447 2,625 2,716 2,457 2,166 1,880

    Buzwagi 

    Watanzania 671 746 875 1,064 787 934 899

    Wageni 49 105 132 104 49 19 10

    Jumla 720 851 1,007 1,168 836 953 909

    Geita 

    Watanzania 1,814 1,792 1,601 1,610 1,560 1,518 1,568

    Wageni 121 86 82 77 78 67 71

    Jumla 1,935 1,878 1,683 1,687 1,638 1,585 1,639

    Golden Pride 

    Watanzania 238 266 297 304 333 0 0

    Wageni 27 34 37 42 23 0 0

    Jumla 265 300 334 346 356 0 0

    New Luika 

    Watanzania 0 0 0 0 270 313 421

    Wageni 0 0 0 0 30 29 36

    Jumla 0 0 0 0 300 342 457

    North Mara 

    Watanzania 621 703 876 971 926 976 968

    Wageni 127 138 157 148 92 68 57

    Jumla 748 841 1,033 1,119 1,018 1,044 1,025

    TanzaniteOne 

    Watanzania 613 648 643 630 645 574 1,166

    Wageni 29 33 32 37 25 16 23

    Jumla 642 681 675 667 670 590 1,189

    Williamson 

    Watanzania 610 584 558 534 551 558 558

    Wageni 4 8 8 10 10 11 11

    Jumla 614 592 566 544 561 569 569

    JUMLA KUU 

    Watanzania 6,579 7,005 7,280 7,648 7,362 6,901 7,335

    Wageni 542 585 643 599 474 348 333

    Jumla 7,121 7,590 7,923 8,247 7,836 7,249 7,668

    TAKWIMU ZA AJIRA ZA WATANZANIA NA WAGENIKATIKA MIGODI MIKUBWA (2009 - 2015)

    UTAALAM WA WATANZANIA WATAMBULIKA SADC

    WATAALAM WA GEOLOGICAL SURVEY OF TANZANIA (GST)WATATU, ZORTOSY MAGANGA, ALPHONCE BUSH NA MASOTA

    MAGIGITA WAMEKUWA CERTIFIED RASMI KAMA TRAINERSKWENYE NYANJA YA APPLICATION OF REMOTE SENSING IN

    MINERAL EXPLORATION KWENYE SADC REGION. GST IKO CHINIYA WIZARA YA NISHATI NA MADINI. TANZANIA INASONGA

    MBELE KWA KASI KUBWA 

    PROFESA SOSPETER MUHONGO 

    U J U M B E  W  A  W  A Z I R I  W I K I  H I I 

  • 8/16/2019 MEM 121 Online(1)

    11/13

    11BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 26 - Juni 1, 2016

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa (kushoto) akifungua Mkutano wa Kamati ya Uendeshajiya Mradi wa Kujenga Uwezo kwenye Sekta ya Nishati na Tasnia ya Uziduaji (Capacity Development in the Energy Sector andExtractive Industries (CADESE)). Mkutano huo ulilenga kupokea taarifa kutoka kwa watekelezaji wa Mradi pamoja na kupitishaMpango wa Utekelezaji wake kwa Mwaka 2016/2017. Wanaofuatilia ni Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Nishati, Dkt. Mhandisi

     Juliana Pallangyo (katikati) akifuatiwa na Kaimu Kamishna wa Nishati na Maendeleo ya Petroli, Mhandisi Norbert Kahyoza.Wengine ni viongozi waandamizi kutoka Wizarani

    Wajumbe wa Mkutano wakifuatilia taarifa mbalimbali za utekelezajiwa Mradi wa CADESE. Wa kwanza kulia ni Mtaalamu wa masuala yaNishati, Mabadiliko ya Tabia Nchi, na Tasnia ya Uziduaji kutoka Shirika laUmoja wa Mataifa linaloshughulikia Maendeleo (UNDP), Abbas Kitogoakifuatiwa na Mchambuzi wa Mradi wa UNDP, Aaron Cunningham.Wengine ni wawakilishi wa Taasisi zinazotekeleza Mradi huo waCADESE.

    Mratibu wa Mradi wa CADESE kutoka Wizara ya Nishati na Madini,Paul Kiwele (kulia) akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Mradi husikakwa upande wa Wizara. Wengine katika picha ni Viongozi wa Wizara yaNishati na Madini.

    Wajumbe wa Mkutanowakifuatilia uwasilishajiwa taarifa za utekelezajiwa Mradi wa CADESE.Mradi huo unafadhiliwana Shirika la Umoja waMataifa linaloshughulikiaMaendeleo (UNDP) nakutekelezwa na Wizaraya Nishati na Madini kwakushirikiana na wadauwengine ikiwemo Osiya Mwanasheria Mkuuwa Serikali (AG), Wakalawa Nishati Vijijini (REA),Taasisi ya Uongozi naTaasisi ya Utati waKiuchumi na Kijamii(ESRF).

    MKUTANO WA KAMATI YA UENDESHAJI MRADI

    WA KUJENGA UWEZO KATIKA SEKTA YA

    NISHATI NA TASNIA YA UZIDUAJI (CADESE)

  • 8/16/2019 MEM 121 Online(1)

    12/13

    12   BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 26 - Juni 1, 2016

    LEGAL PERSPECTIVES:By Raphael B.T. Mgaya

    OIL AND GAS FISCAL REGIMES OF TANZANIA 

    Fiscal regimes refer to lawsand regulations governingtaxation of a particularindustry. The designingof a good fiscal regime for

    petroleum industry is challenging due tothe high capital involved, exhaustibilityof petroleum resources and the volatilityof revenues.

    The petroleum fiscal regimes areembodied within the hierarchy of lawsnamely, the Constitution, legislations,regulations and contracts, with theConstitution and contract being thesuperior and least respectively. The mainelements of fiscal regimes in Tanzaniaare: royalty, cost recovery, profit sharing,state participation, bonuses, statutorytaxes and fees. These elements are briefly discussed below:

    Royalty: This is a payment givento the resource owner. This is requiredunder Sect. 113 of the Petroleum Act,2015 (PA). Royalty is on sliding scaledepending on the area with the rate being 12.5% onshore and shelf areas

    and 7.5% in the offshore areas. Royaltyis charged on gross revenue.Cost recovery: The Contractor

    recovers its cost from the Cost oil/Cost gas. The cost recovery limit is50% of the annual production net ofroyalty both onshore and offshore. Therecoverable and non-recoverable costsare itemized under Annex D of eachproduction sharing agreement (PSA)and the Model Production SharingAgreement (MPSA), 2013. Annex Dis used for audit and control of costs.Some costs are not recoverable such asfinancing charges, bonuses, costs relatedto arbitration, costs that were incurredprior to signing PSA, costs incurreddue to gross negligence or willfulmisconduct of the Contractor/Licenceholder.

    Profit Sharing: Profit oil andprofit gas is the amount remainingafter royalty and cost recovery have been deducted. This amount is shared between the NOC (on behalf of State)and the Contractor on pre-agreedproportions. The profit sharing is onthe sliding scale with the share of thegovernment increasing with increasein the size of production tranches. TheMPSA 2013 contains benchmarks forprofit sharing which are not binding(See figures below).

    State participation: The state may

    elect to participate through the NOCupon commercial discovery. TheState participation is not less than 25%(Sect 45 of the PA). The MPSA 2013sets out the modus operandi on Stateparticipation. The state participationin the petroleum commercial activitiesis crucial for the reasons that it enablesto State to assert its sovereignty over thestrategic resources, promote transferof technology to locals, promoteemployment of locals and increases therevenues flow to the State.

    The State participation can befinanced through many different wayssuch as paid up equity on commercialterms; paid up equity on concessionaryterms; carried interest with repayment;tax swapped for equity; free equity;and equity in exchange for non cashcontribution.

    Bonuses:These are upfrontpayments to State. Bonuses are front-end loaded taxes they are consideredas regressive from the point of viewof the investor. Bonuses were initiallyintroduced by Art. 11 (c) of the MPSA2013. The same is transposed in PAunder Sect 115 and Sect 116. The rateof signature bonus is not less than$2.5mil and production bonus is not lessthan $5mil. Bonuses are not recoverableunder the PSA but they are deductiblefor tax purposes.

    Domestic Market Obligation(DMO): Licence holder andContractor are obliged to satisfydomestic market on pro rata basiswith other Contractors (PA, Sect 98(1)). Both the Natural Gas Policy 2013and the PA require that the natural gasprice for supply in the domestic marketshould be determined based on thestrategic nature of the project (PA, Sect99).

    Corporate Income: Resident Company is taxed at 30% on its

    worldwide income. A non-resident istaxed 30% on its Tanzanian sourcedincome. A new company is taxed at25% if is listed on the DSE and at least30% of its shares is held by generalpublic.

    Annual Fees: The PA states that theamount of fees is to be prescribed in theregulations. The fees includes: Annualfees, Acreage rentals, and training feeswhich is currently is USD 400,000 asper the MPSA, 2013, and research fees.The rental fees according to the MPSA

    2013 are: Initial period: USD 50 persq.km; First extension USD 100 persq.km; and Second extension USD 200per sq.km.

    Ring fencing: Contract expensesare ring fenced within the contract area.The recoverable Contract expensesmust have been incurred prior tothe commencement of production.Activities in different contract areas aretreated as separate operations and aretaxed separately as per Sect 20 of theFinance Act 2013, Sect 118 PA 2015,Sect 19 Income Tax Act, 2004, Art12(c) MPSA 2013.

    Capital Gain Tax: This applies incase of corporate reorganization and

    acquisition of assets. Transfer of sharesis subject to Capital Gain Tax(30%).Since July 2012, indirect share transfermaybe taxed. Change of owner ship by50% shares is treated as a realization ofasset/liabilities.

    Farm-out/Farm-in Fees: TheMPSA 2013 introduces special fees forFarm-out and Farm-in arrangement:For the first USD 100mil: 1%; for thenext USD 100mil: 1.5%; and for everydollar thereafter: 2%.

    Withholding Tax: This is theamount of a service or goods provider’spay withheld by the taxable entityand sent directly to the government as

    partial payment of income tax. Therate is 5% from payment of residentproviders of technical or managementservices. Dividend is taxed 10%, but 5%for DSE listed Companies or in case25% shares owned by residents.

    Value Added Tax (VAT): VAT isa pass through tax that applies at everytransaction point. The rate is 18%of all

    taxable goods and services. All suppliersof goods and services with turnover atleast TZS 40 mil must be registered forVAT purposes. Oil and Gas (E &P)companies are exempted from the VATto extent provided in their respectiveProduction Sharing Agreements(PSAs).

    Other Taxes and Fees:Goods imported or exported in

    connection with oil and gas explorationactivities are exempted from importand export duties. Stamp duties ispayable in case of transfer of propertyor in case of assignment of rightsunder lease agreement at the rate of1% of the turnover. Currently, PAYE

    rate ranges from 12% to 30% of the basic salary for resident employees andfor non-resident the rate is between15% employment income and 20%on the total income. The new ratesof PAYE will be effective from 1 July2016 where the minimum rate will be 9%. All employers with at least 4employees pay 5% of gross wage billas a skill development levy chargeableunder Section 14 (2) of the VETA Act.Worker’s Compensation fund becameeffective since July 2014. All privatesector employers have to contribute tothe Fund a rate 1% of annual wage bill as per the Workers’ CompensationAct, 2008. The employers also have to

    make contribution to pension funds ofthe employee’s choice. Service levy isalso payable by companies at the rateof 0.3% to the municipal authoritiesof turnover or sales as per the LocalGovernment Finance Act, 1982.

    Generally, there are several taxreliefs that are provided to oil and gascompanies. These include the capitalallowances and other reliefs providedunder bilateral agreements. So far theUnited Republic of Tanzania hasentered into double taxation treatieswith Canada, Denmark, Finland,India, Italy, Norway, South Africa,Sweden and Zambia.

    The author is an Advocate of the High Court. He holds an LLB (Hons), LLM (Int’l law), LLM (Oil and Gas law); MBA (Corporate Management). He can be reached through: [email protected]. DISCLAIMER: Views expressed herein are entirely author’s views and should not be associated with his employer

     

    Tranches of Daily Production

    (BOPD)

    NOC

    Share

    Contractor

    Share

    0-12,499 70% 30%

    12,500-24,999 75% 25%

    25,000-49,999 80% 20%

    50,000-99,999 85% 15%

    100,000- and above 90% 10%

     Fig. 1 Profit Oil Sharing Tranches (Onshore), MPSA 2013  Fig. 2 Profit Gas Sharing Tranches (Onshore), MPSA 2013

    Tranches of Daily

    Production (MMSCFD)

    NOC Share Contractor

    Share

    0-19.99 60% 40%

    20-39.99 65% 35%

    40-59.99 70% 30%

    60-79.99 75% 25%

    80- above 80% 20%

  • 8/16/2019 MEM 121 Online(1)

    13/13

    13BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mei 26 - Juni 1, 2016

    Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishatina Madini, Dk. Mhandisi Juliana Pallangyo,Kaimu Kamishna wa Maendeleo ya Nishati naPetroli, Mhandisi Norbert Kahyoza, Baadhi yaWataalam kutoka Wizara ya Nishati na Madinina Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO)wakiwa katika Kituo cha Kupooza Umeme chaMbagala- Jijini Dare s Saalam, mara baada ya

    Dk. Pallangyo kufanya Ziara ya kukagua kituohicho kilichopata hitilafu tarehe 24 Mei 2016.

    ZIARA KITUO CHA KUPOOZA UMEME, MBAGALA