MEM 103 Online

download MEM 103 Online

of 19

Transcript of MEM 103 Online

  • 7/25/2019 MEM 103 Online

    1/19

    Ofisi ya Mawasiliano Serikalini inapokea habari za matukio mbalimbali

    kwa ajili ya News Bullettin hii ya Wizar a ya Nishati na MadiniWasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263

    au Fika Osi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: [email protected]

    HABARI ZA

    NISHATI &MADINI

    Toleo No. 103 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Januari 21 - 27, 2016Bulletinews

    http://www.mem.go.tz

    SomahabariUk.3

    Hakuna Mwekezaji anayependelewa Dkt. Kalemani

    HATUTAKIWabia wa majaribio- Prof. Muhongo

    Waziri wa Nishati naMadini, Profesa SospeterMuhongo (katikati), na

    ujumbe wake, akiongozwana Meneja wa Huduma zaKihandisi katika Mgodi waKiwira, Mhandisi AswileMapamba (wa pili kulia)kutembelea maeneombalimbali ya mgodi huo.Wa pili kushoto ni Mkuuwa Mkoa wa Mbeya, AbbasKandoro.

    n

    Asema hajaridhishwa na Kiwira

  • 7/25/2019 MEM 103 Online

    2/19

    2 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Asteria Muhozya naRhoda James, Ileje

    Kutokana na kuchelewakwa utekelezaji wa Mradiwa Makaa ya Mawe waKiwira ambao unamilikiwana Serikali kwa asilimia

    100 kupitia Shirika la Madini la Taifa(STAMICO), Waziri wa Nishati naMadini, Profesa Sospeter Muhongoamesema kuwa hajaridhishwa na halihiyo.

    Hatua hiyo, inafuatia ziara ya WaziriMuhongo, aliyoifanya hivi karibunimgodini hapo ili kujionea hali halisiya mgodi huo, ikiwa ni ziara yakeya kutembelea vyanzo vya uzalishajiumeme, maeneo ya utafiti na miradiya makaa ya mawe katika mikoa ya

    Njombe, Ruvuma na Mbeya.Akitoa taarifa ya mgodi wa Kiwira,Kaimu Mkurugenzi wa Utafiti naUchorongaji wa STAMICO, AlexRutagwelela, alisema kuwa, kuanziamwaka 1988- 2005 mgodi wa Kiwiraulikuwa unamilikiwa kwa asilimia 100na Serikali kupitia STAMICO, hukulengo kuu likiwa ni kuzalisha makaa yamawe ya tani 150,000 kwa mwaka kwaajili ya kuzalisha umeme wa Megawati 6pamoja na matumizi katika viwanda vyandani na nje ya nchi.

    Rutagwelela alisema pamoja namradi wa awali wa

    megawati 6, kwa sasa Shirika hilo limokatika hatua za mwisho za maandaliziya zoezi la uwekezaji mpya wa uzalishajimkubwa wa umeme wa megawati 200.

    Aliongeza kuwa, mradi huo mpyautahusisha maeneo makuu manne

    ambayo ni ujenzi

    wa mtambo wa kuzalisha umemewa megawati 200, kujenga njia yakusafirisha umeme wa msongo wa400kV yenye urefu wa 100KM kutokamgodini hadi Mwakibete jijini Mbeya,kujenga mgodi wa wazi wa makaa yamawe wenye uwezo wa kuzalisha tanimilioni 1.2 kwa mwaka, kukarabati nakupanua mgodi wa zamani wa chiniya ardhi (Underground) ili kuzalishatani 300,000 za makaa ya mawe kutoka150,000 zilizokuwa zikizalishwa kablaya mgodi kufungwa.

    Tayari maandalizi ya awaliyamefanyika ikiwemo kupitia taarifaza kijiolojia ili kujiridhisha na mashapo(resources) ya makaa ya mawe yaliyopona kupitia upya upembuzi yakinifu wamradi, aliongeza Rutagwelela.

    Baada ya kupokea taarifa hiyo,Profesa Muhongo aliitaka STAMICOkuwa makini na mwekezaji

    watakayeingia naye ubia wa kufufuamradi huo wa kuzalisha umeme kwakutumia makaa ya mawe.

    STAMICO, hatutaki wabia wamajaribio, tunachotaka ni umeme nikuzalisha umeme unaotokana na makaaya mawe, alisisitiza Prof. Muhongo.

    Pia, Prof. Muhongo aliitakaSTAMICO, kutafakari na kuonaikiwa Mbia aliyepatikana atawezeshamradi huo kuwa endelevu ikiwemokuhakikisha kwamba kabla ya kuingiamakubaliano ya kuendesha mradi huo,mbia huyo lazima akutanishwe naWizara.

    Si kwamba wizara inaingilia kati.Tunataka mgodi wa Kiwira uanzeuzalishaji mapema. Lakini kabla ya

    kujadiliana, lazima tujue mnakwendakujadili nini na mimi mwenyewenitapenda kuonana na mbia mliyempata.Wizara kwa upande tutajitahidi kuifanyaSTAMICO ikopesheke ikiwemo kupatambia atakayesaidia kuendesha mradihuo, alisisitiza Prof. Muhongo.

    Naye, Mwenyekiti wa TAMICOTawi la Kiwira, John Angumbwikeakisoma risala kwa niaba ya wafanyakazialieleza kuwa, kufufuliwa kwa mgodi huoutakuwa ni hamasa kwa wafanyakaziwa mgodi, ambao wamesubiri kwamuda mrefu na hivyo, kuiomba Serikalikuharakisha mchakato wa kumpatambia ili shughuli za uzalishaji ziwezekuanza tena ikiwemo kushughulikia

    suala la mapunjo kwa wafanyakaziwalioachishwa kazi mwaka 2005, nakueleza kuwa, limechukua muda mrefu.

    Mgodi wa Kiwira ulianza mwaka1988 ukiwa na mashapo (Economicalreserve) ya makaa ya mawe tani milioni35.14, mashapo ya kisanifu (Provedreserve) tani milioni 22.14 na mashapoyanayoweza kuvunwa kwa faida(Mineable reserve) tani milioni 14.64 zamakaa.

    Hatutaki Wabia wa majaribio- Prof. Muhongo

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo akitoamaelekezo kwa Uongozi wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) baadaya kukamilisha ziara yake ya kutembelea Mgodi wa Kiwira wa Uzalishajiwa Makaa ya Mawe na Umeme wa Megawati 200 hivi karibuni. Wakwanza kutoka kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Utati na Uchorongaji waSTAMICO Bwana Alex Rutagwelela. Wa tatu kutoka kulia ni Meneja waHuduma za Kihandisi katika Mgodi wa Kiwira, Mhandisi Aswile Mapamba.

    Baadhi ya miundombinu katika mgodi wa Makaa ya Mawe wa Kiwira

    Kaimu Mkurugenzi wa Utati na Uchorongaji wa STAMICO, AlexRutagwelela (katikati) akiongea jambo wakati wa kikao baina ya Shirika

    la Madini la Taifa (STAMICO) na Waziri wa Nishati na Madini na Ujumbewake. Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Utawala na Mipango wa Kiwira,Boaz Gappi.

  • 7/25/2019 MEM 103 Online

    3/19

    3BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    TahaririMEM

    Na Badra Masoud

    FIVEPILLARS OFREFORMS

    KWA HABARI PIGA SIMUKITENGO CHA MAWASILIANO

    BODI YA UHARIRI

    MHARIRI MKUU:Badra MasoudMSANIFU: Lucas Gordon

    WAANDISHI: Veronica Simba, Asteria Muhozya, GreysonMwase Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James ,

    Nuru Mwasampeta na Zuena Msuya

    INCREASE EFFICIENCY

    QUALITY DELIVERYOF GOODS/SERVICE

    SATISFACTION OFTHE CLIENT

    SATISFACTION OFBUSINESS PARTNERS

    SATISFACTION OFSHAREHOLDERS

    TEL-2110490

    FAX-2110389

    MOB-0732999263

    STAMICO zingatieni maagizoya Profesa Muhongo

    TEL-2110490

    FAX-2110389

    MOB-0732999263

    Hakuna Mwekezajianayependelewa Dkt. Kalemani

    Hivi karibuni Waziri wa Nishati na Madini, ProfesaSospeter Muhongo alifika katika mgodi wa makaa yamawe wa Kiwira uliopo jijini Mbeya ili kujionea hatuazilizofikiwa katika uendelezaji wa mgodi huo ambaounamilikiwa na Serikali kwa asilimia 100 kupitia Shirika laMadini la Taifa (STAMICO).

    Ili kuona hali halisi ya mgodi wa Kiwira, ProfesaMuhongo alikagua mgodi huo na kupata taarifa yauendelezaji wa mgodi husika ambapo ilielezwa kuwakuanzia mwaka 1988- 2005 mgodi huo ulikuwa

    unamilikiwa kwa asilimia 100 na Serikali kupitiaSTAMICO, huku lengo kuu likiwa ni kuzalisha makaa yamawe ya tani 150,000 kwa mwaka kwa ajili ya kuzalishaumeme wa kiasi cha Megawati 6 pamoja na matumizikatika viwanda vya ndani na nje ya nchi.

    Kaimu Mkurugenzi wa Utafiti na Uchorongaji waSTAMICO, Alex Rutagwelela, alimweleza ProfesaMuhongo kuwa kwa sasa Shirika hilo limo katika hatuaza mwisho za maandalizi ya zoezi la uwekezaji mpyautakaojumuisha uzalishaji mkubwa wa umeme waMegawati 200.

    Aliongeza kuwa, mradi huo mpya utahusishamaeneo makuu manne ambayo ni ujenzi wa mtambowa kuzalisha umeme wa megawati 200, kujenga njia yakusafirisha umeme wa msongo wa 400kV yenye urefuwa Kilometa 100 kutoka mgodini hadi Mwakibete jijini

    Mbeya, kujenga mgodi wa wazi wa makaa ya mawewenye uwezo wa kuzalisha tani milioni 1.2 kwa mwakana kukarabati na kupanua mgodi wa zamani wa chini yaardhi (Underground) ili kuzalisha tani 300,000 za makaa yamawe kutoka tani 150,000 za makaa ya mawe zilizokuwazikizalishwa kabla ya mgodi kufungwa.

    Alisema kuwa tayari maandalizi ya awali yamefanyikaikiwemo kupitia taarifa za kijiolojia ili kujiridhisha namashapo (resources) ya makaa ya mawe yaliyopo nakupitia upya upembuzi yakinifu wa mradi.

    Baada ya kupokea taarifa hiyo, Profesa Muhongoalionekana kutoridhishwa na hatua zilizofikia sasakatika uendelezaji wa mgodi huo kwani zinaonekanani za kusuasua na kuiagiza STAMICO kuwa makini namwekezaji watakayeingia naye ubia wa kufufua mradi huowa kuzalisha umeme kwa kutumia makaa ya mawe.

    Mradi huu umechukua muda mrefu huku mahitajiya nishati nchini yakiwa ni makubwa, hatutaki wabia wamajaribio, tunachotaka ni umeme ni kuzalisha umemeunaotokana na makaa ya mawe, alisisitiza Profesa.Muhongo.

    Pia, Profesa Muhongo aliitaka STAMICO, kutafakarina kuona ikiwa mbia iliyompata atawezesha mradi huokuwa endelevu ikiwemo kuhakikisha kwamba kabla yakuingia makubaliano ya kuendesha mradi huo, mbia huyolazima akutanishwe na Wizara.

    Ili matunda chanya ya mgodi huo yaanze kuonekanakwa wananchi moja kwa moja, tunaiasa STAMICOkuzingatia maagizo hayo yaliyotolewa na ProfesaMuhongo ili kuanza uzalishaji mapema.

    Na Serikali kuu kwa upande wake haitaiacha

    STAMICO nyuma kwani imeshaahidi kuifanyaSTAMICO ikopesheke pamoja na kupata mbiaatakayesaidia kuendesha mradi huo.

    Na Greyson Mwase,

    Dar es Salaam

    Naibu Waziri wa Nishatina Madini Dkt. MedardKalemani amesema kuwahakuna mwekezaji yeyoteanayependelewa na Serikali,

    kuliko wengine kwani kila mmoja ana hakisawa katika uwekezaji katika sekta za Nishatina Madini .

    Dkt. Kalemani aliyasema hayo mwishonimwa wiki katika kikao chake kilichoshirikishawatendaji kutoka Kampuni za kuzalisha Sarujiza Dangote, Mbeya, Tanga na Kampuni yauchimbaji Makaa ya Mawe TANCOAL.

    Alisema kumekuwepo na dhana kuwaSerikali inapendelea baadhi ya wawekezaji

    jambo ambalo si kweli na kusisitiza kuwa

    Serikali imeweka Sheria na Kanuni ambazozinahakikisha kuwa kunakuwepo na usawakwenye uwekezaji wa madini nchini.

    Alisema kuwa pia Serikali imewekamazingira bora ya uwekezaji kwa wawekezaji

    wote bila kujali aina ya uwekezaji na kuwatakawawekezaji kuendelea kushirikiana na

    Serikali ili sekta za Nishati na Madini ziwe namchango mkubwa katika ukuaji wa uchumiwa nchi.

    Aidha, Dkt. Kalemani alitaka kampunihizo mbali na kulipa kodi zinapaswa kufuatasheria na kanuni za uchimbaji madini nchini.

    Katika hatua nyingine, Naibu WaziriKalemani aliitaka kampuni ya TANCOALinayochimba makaa ya mawe katika eneola Ngaka mkoani Ruvuma kwa ushirikianona Shirika la Madini la Taifa (STAMICO),kuongeza kasi ya uzalishaji wa makaa yamawe ili kuuza kwa kampuni zinazojihusishana utengenezaji wa saruji.

    Alisema mahitaji ya makaa ya mawekwenye viwanda vya kuzalisha saruji nchinini makubwa, na kuitaka kampuni hiyo kukaana wazalishaji wa saruji ili kujua mahitaji yao.

    Aliongeza kuwa mara baada ya kubainimahitaji yao, kampuni ya Tancoal inatakiwakuweka mikakati na kuhakikisha inazalisha

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dkt. Medard Kalemani (katikati) akiongozakikao kilichoshirikisha watendaji kutoka kampuni za kuzalisha saruji ya Dangote,Mbeya, Tanga na kampuni ya kuzalisha makaa ya mawe ya Tancoal na watendaji waWizara ya Nishati na Madini.

    >>Inaendelea Uk. 4

  • 7/25/2019 MEM 103 Online

    4/19

    4 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dk. Medard Kalemani

    kiwango ambacho kitaendana na mahitaji yakampuni hizo.

    Ni vyema makampuni ya saruji yakatumia

    makaa ya mawe kutoka Tancoal badala yakuingia gharama kubwa kuagiza makaa hayo njeya nchi.

    Aliitaka kampuni hiyo kupanua uzalishaji wamakaa ya mawe kwa kuendelea kufanya tafitikwenye maeneo mengine ili kubaini uwepo wamakaa ya mawe badala ya kutegemea yaliyopoyanayoweza kuisha wakati wowote.

    Aidha, aliitaka kampuni ya Tancoal kuwekamazingira mazuri ya uzalishaji wa makaa yamawe ili kupata wanunuzi wengi ambao nikampuni zinazozalisha saruji nchini.

    Wakati huohuo, Wakizungumza kwa nyakatitofauti watendaji kutoka katika viwanda hivyovya kuzalisha saruji nchini walisema kuwakumekuwepo na ukosefu wa makaa ya mawekwenye uzalishaji wa saruji hali inayoathiri

    biashara ya saruji.

    Akizungumza kwa niaba ya wenzakeMkurugenzi Mtendaji kutoka Kampuni yaKuzalisha Saruji ya Dangote Industries Limited,Ladan Baki alisema kampuni yake imekuwaikiagiza makaa ya mawe kutoka Afrika ya Kusini.

    Alisema kwa sasa kampuni ya Dangoteinaagiza tani 13, 500 kwa mwezi na kusisitizakuwa uzalishaji wa saruji utakapoanza itahitajitani 45,000 kwa mwezi.

    Alieleza kuwa mbali na kampuni yake kuagizamakaa ya mawe kutoka nje ya nchi, kampuniinatarajia kuanza kuchimba makaa ya maweili yatumike kama chanzo kikuu cha uzalishajiwa umeme utakaotumiwa na kiwanda hicho namwigine kuuziwa Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO)

    >>INATOKA Uk. 3

    Hakuna Mwekezaji anayependelewa Dkt. Kalemani

    Teresia Mhagama]na Mohamed Saif

    Wakala wa Ukaguziwa Madini Tanzania(TMAA) kwakushirikiana na Jeshila Polisi, Mamlaka

    ya Viwanja vya Ndege na Usalamawa Taifa wamekamata madini yenyethamani ya jumla ya shilingi milioni11.2, yaliyokuwa yakitoroshwa kupitiaUwanja wa Ndege wa Kimataifa waJulius Nyerere (JNIA).

    Hayo yalisemwa jijini Dar esSalaam na Kaimu Mkuu wa Kitengocha Habari na Mawasiliano waTMAA, Mhandisi Yisambi Shiwaambapo alieleza kuwa raia mmojawa kigeni na mwingine wa Tanzaniawalikamatwa wakiwa na madinihayo bila kuwa na kibali chochote chausafirishaji kama ambavyo Sheria yaMadini ya mwaka 2010 inavyoelekeza.

    Raia huyu wa kigeni ambayejina lake linahifadhiwa kwa sababuza kiuchunguzi kwani tayariameshafunguliwa kesi mahakamani,alikuwa anasafiri kwenda mji waBangkok Thailand na alikamatwaakiwa na madini ya aina mbalimbaliikiwemo almasi, aquamarine,

    sapphire, green tourmaline, quartz narhodolite, alisema Mhandisi Shiwa.

    Aidha, Mhandisi Shiwa alisemakuwa, katika tukio la pili mtuhumiwamwingine raia wa Tanzania ambayealikuwa anasafiri kwenda Ujerumani,alikamatwa akiwa na madinimbalimbali ikiwemo amethyst,moonstone cabochon, rulilated quartz(cabochon), rulilated quartz(faceted),chrysoprase, green tourmaline, rubi,red garnet, green quartz, zirconna rhodolite na kufikishwa katika

    vyombo vya Dola.Alisema kuwa katika kipindi

    cha kuanzia mwezi Julai mwaka2015 hadi Januari 13 mwaka huukumekuwepo na jumla ya matukio 14ya utoroshaji madini ambapo madiniyenye thamani ya Dola za Marekanimilioni 1.4 (zaidi ya Shilingi Bilioni3.2) yalikamatwa na wakaguzi waWakala kupitia Madawati ya Ukaguziyaliyopo katika viwanja vya ndege vyaDar es Salaam (JNIA), Kilimanjaro(KIA) na Mwanza ambapo yoteyalitaifishwa na Serikali.

    Mhandisi Shiwa alitoa rai kwaUmma kujiepusha na shughuliza utoroshaji na biashara haramuya madini kwani hatua kali

    zinaendelea kuchukuliwa kwa yeyoteatakayebainika au kukamatwaakijihusisha na shughuli hizo ikiwemo

    kutaifisha madini yaliyokamatwa.Vilevile Mhandisi Shiwa alisema

    kuwa, Serikali kupitia Wizara yaNishati na Madini inatoa motishakwa mtu yeyote atakayetoa taarifakwa Kamishna wa Madini amaWakala za utoroshaji/magendo na

    biashara haramu ya madini ambazozitawezesha ukamataji wa madini;

    atazawadiwa fedha taslimu ambazoni asilimia 5 ya thamani ya madiniyatakayokamatwa na kunadiwa.

    Mtendaji Mkuu wa TMAA, Mhandisi Dominic Rwekaza

    TMAA yakamata madini yakitoroshwa JNIA

  • 7/25/2019 MEM 103 Online

    5/19

    5BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Na Veronica Simba Aliyekuwa Dodoma

    Kurugenzi ya Utafiti naUchorongaji ya Shirikala Madini la Taifa(STAMICO), imekusanyashilingi bilioni 1.81

    katika mwaka wa fedha 2014/15 nahivyo kuvuka lengo la makusanyowalilojiwekea la kukusanya shilingibilioni moja na milioni mia mbili.

    Meneja wa Idara ya Utafiti yaSTAMICO, Ofisi ya Dodoma, Anord

    Misana alimwambia Katibu Mkuu wa

    Wizara ya Nishati na Madini, ProfesaJustin Ntalikwa kuwa mapato hayoyalipatikana kupitia kazi za ushauriwa kijiolojia, pamoja na utafiti nauchorongaji zilizofanywa na Kurugenziya Utafiti na Uchorongaji kwakushirikiana na Kurugenzi ya Migodina Huduma za Kihandisi ya Shirikahilo.

    Lengo letu ilikuwa ni kukusanyajumla ya shilingi bilioni 1.2 lakinitumefanikiwa kuvuka lengo hilohusika, alisema Misana.

    Akiwasilisha taarifa ya utendaji kazikatika Ofisi hiyo ya Dodoma, Misana

    alimweleza Katibu Mkuu Ntalikwa

    kuwa kazi kuu wanazofanya ni pamojana kufanya tafiti za utambuzi wa madiniya aina mbalimbali katika maeneotofauti pamoja na kutoa huduma zakibiashara ya uchorongaji na ushauriwa kijiolojia kwa Kampuni na Watu

    binafsi.Akifafanua zaidi, Meneja huyo

    alisema kuwa katika kipindi cha mwaka2014/15, Shirika liliweza kupata jumlaya kandarasi Saba ambapo Nne katiyake zilikuwa za uchorongaji na Tatuzilikuwa za utoaji ushauri wa kijiolojia.

    Kwa upande wake, Katibu MkuuNtalikwa aliwataka watumishi wa

    Ofisi hiyo ya STAMICO-Dodoma

    kuhakikisha wanazingatia uadilifu,ubunifu na bidii katika utendaji kaziwao kufikia malengo ya Serikali yakuhakikisha Watanzania wananufaikaipasavyo kutokana na rasilimali zamadini.

    Tunahitaji kuona STAMICOyenye kutegemewa na wananchiwetu. Hakikisheni mnatumia weledi,ubunifu na uadilifu wa hali ya juu katikakutekeleza majukumu yenu ili kuwa naufanisi unaotarajiwa.

    Katibu Mkuu Ntalikwa alitembeleaOfisi za STAMICO Dodoma ikiwani sehemu ya ziara yake ya siku mbilialiyoifanya hivi karibuni mkoaniDodoma, kutembelea Mashirika naTaasisi zilizo chini ya Wizara zilizokomkoani humo.

    Ofisi nyingine alizotembelea niWakala wa Jiolojia Tanzania (GST),Chuo cha Madini Dodoma (MRI) naShirika la Ugavi wa Umeme Tanzania

    (TANESCO) Kanda ya Kati.

    STAMICO yakusanya bilioni

    1.8 Utoaji huduma za kijiolojia

    Mjiolojia Mwandamizi wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) Osiya Dodoma, Fredrick Mangasini (Mwenye Tai) akifafanua jambo kwaKatibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa(Kushoto) kuhusu utendaji kazi wa Osi hiyo. Kulia kwa Katibu Mkuuni Meneja wa Idara ya Utati ya STAMICO, Osi ya Dodoma, AnordMisana. Katibu Mkuu alitembelea Osi hiyo hivi karibuni kujionea nakujifunza kazi na huduma wanazotoa.

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa(Kushoto) akizungumza na Wafanyakazi wa Shirika la Madini la Taifa(STAMICO) Osi ya Dodoma, alipowatembelea hivi karibuni.

    Meneja wa Idara ya Utati ya STAMICO, Osi ya Dodoma, AnordMisana (Kushoto) akimwongoza Katibu Mkuu wa Wizara yaNishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa (kulia) kukagua Osi zaShirika hilo mkoani Dodoma, alipowatembelea na kuzungumza nawafanyakazi hivi karibuni.

    Mtumishi wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) Osi ya Dodoma,Mashaka Mdeke akiwasilisha maoni kwa Katibu Mkuu wa Wizara yaNishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa (hayupo pichani) wakatiKatibu Mkuu alipowatembelea na kuzungumza nao hivi karibuni.

    ZIARA YA KATIBU MKUU DODOMA

  • 7/25/2019 MEM 103 Online

    6/19

    6 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Na Veronica Simba

    Aliyekuwa Dodoma

    Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) Kanda ya Kati,limedhamiria kuhakikishawateja wake wote wanatumiaMita za LUKU ifikapo

    mwezi Machi mwaka huu.Meneja Mwandamizi wa Kanda

    hiyo inayojumuisha Mikoa yaMorogoro, Dodoma na Singida,Mhandisi Deogratius Ndyamugobaaliyasema hayo hivi karibuni wakatiKatibu Mkuu wa Wizara ya Nishatina Madini, Profesa Justin Ntalikwaalipotembelea Ofisi za TANESCOKanda ya Kati, mjini Dodoma.

    Mhandisi Ndyamugobaalimweleza Katibu Mkuukuwa, miongoni mwa malengowaliyojiwekea kutimiza kwa mwakahuu katika Kanda hiyo ni pamoja nakuhakikisha wateja wake wadogowote wanaachana na matumizi yamita za umeme za zamani na kutumiamita za LUKU.

    Aidha, kuhusu agizo lililotolewa naWaziri wa Nishati na Madini, ProfesaSospeter Muhongo kuhakikishawateja wote waliolipia gharama zakuunganishiwa umeme wanapatiwahuduma hiyo kabla ya Januari 15mwaka huu, Mhandisi Ndyamugobaalisema walitimiza agizo hilo kabla yaDesemba 31 mwaka jana.

    Kufikia Desemba 31 mwakajana, sisi tulikuwa tumeshakamilishakuwaunganishia umeme wateja wetuwote waliokuwa wamelipia hudumahiyo. Hivi sasa tunawasubiri wao,

    badala ya wao kutusubiri sisi, alisema.Akizungumzia malengo mengine

    ambayo Kanda yake inapaswakuyatimiza kwa mwaka huu,Mhandisi Ndyamugoba alisema nipamoja na kuwaunganishia umemewateja wasiopungua 13,000 ifikapomwezi Juni.

    Alisema lengo ni kuwaunganishiaumeme wateja 26,000 kwa mwaka.

    Awali tulikuwa tunatumia Kalendaya kawaida kuhesabu mwaka, yaaniJanuari hadi Desemba. Sasa tunafuatamwaka wa Serikali, yaani Julaihadi Juni mwaka unaofuata. Hivyoinatubidi kwa kuanzia tuhesabukuishia mwezi Juni mwaka huu ambaoutakuwa ndiyo mwisho wa mwaka nahivyo tunapaswa kuunganisha nusuya idadi inayotakiwa kwa mwaka.

    Kuhusu suala la huduma kwawateja, Mhandisi Ndyamugobaalimweleza Katibu Mkuu Ntalikwakuwa, utaratibu unaotumika nikuhakikisha mteja anahudumiwandani ya saa Nane (8) tangu anapotoataarifa.

    Alisisitiza kuwa utaratibu huo

    unazingatiwa na kwamba mpaka sasahakuna mteja anayehudumiwa nje yamuda huo isipokuwa taarifa ya tatizoinapotolewa muda wa usiku ndipomteja huhudumiwa siku inayofuata.

    Akizungumza na Uongozi waKanda na wa Mkoa baada ya kupokeataarifa hiyo ya kazi, Katibu MkuuNtalikwa pamoja na kupongeza

    jitihada zinazofanywa na Kandahusika, aliwataka kuongeza ubunifuna weledi katika kuhudumia wateja ilikupunguza malalamiko kutoka kwawananchi.

    Aidha, Profesa Ntalikwa alielezakuwa kwa sasa Wizara imejikitakushughulikia suala la uzalishajiumeme ambapo inaendeleakukaribisha wawekezaji mbalimbaliwanaoweza kuzalisha umeme nakuiuzia TANESCO ili kupata umemewa kutosha na wa uhakika kwamatumizi ya nchi nzima.

    Hata hivyo, Profesa Ntalikwaaliweka wazi kwamba wawekezajiwanaotakiwa na watakaopewa ridhaaya Serikali kuzalisha umeme ni wale tuwalio makini.

    Tunahitaji wawekezaji makini,

    wanaojitambua na wasiona lengo la kujitafutia faidakubwa pasipo kuzingatia

    maslahi ya Taifa.Alifafanua kuwa,Wizara kwa sasa imekuwa ikipokeamaombi mengi kutoka kwawawekezaji mbalimbali lakini wengiwao ni wababaishaji.

    Kwa mfano, wengine wanakujahawana hata fedha mfukoni.Wanategemea Serikali iwapedhamana ili waende kukopa fedha zakuendesha miradi husika katika Benki.Hatuhitaji wawekezaji wa aina hiyona tuko makini sana katika kuangaliamikataba husika.

    Katibu Mkuu Ntalikwa amekuwaakitembelea Ofisi za Mashirika naTaasisi mbalimbali zilizo chini yaWizara ya Nishati na Madini ilikuzungumza na wafanyakazi nakujionea huduma wanazotoa kwa

    jamii.

    Kanda ya Kati kutumia LUKU pekee ifikapo Machi

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa(Kulia) akimsikiliza Meneja Mwandamizi wa Shirika la Ugavi waUmeme Tanzania (TANESCO) Kanda ya Kati, Mhandisi DeogratiusNdyamugoba, alipotembelea Osi hizo hivi karibuni mjini Dodoma.

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishatina Madini, Profesa Justin Ntalikwa(Katikati) akiwa katika Kikao naUongozi wa Shirika la Ugavi waUmeme Tanzania (TANESCO) Kandaya Kati, alipotembelea Osi hizo hivikaribuni mjini Dodoma. Kulia kwaKatibu Mkuu ni Meneja Mwandamiziwa TANESCO Kanda ya Kati, Mhandisi

    Deogratius Ndyamugoba.

    Meneja Mwandamizi wa Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO) Kanda ya Kati, MhandisiDeogratius Ndyamugoba akiwasilisha taarifa ya utendaji kazi wa Kanda hiyo kwa Katibu Mkuu wa Wizaraya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa (Kulia) alipowatembelea hivi karibuni. Wengine pichani niViongozi wa TANESCO Kanda ya Kati.

    ZIARA YA KATIBU MKUU DODOMA

  • 7/25/2019 MEM 103 Online

    7/19

    7BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kulia)akimsikiliza Mwenyekiti na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya KoyoCorporation ya Japan, Norio Shoji wakati wa kikao cha kujadili fursaza uwekezaji nchini.

    Wajumbe wa mkutano baina ya Wizara ya Nishati na Madini naKampuni ya Koyo Corporation ya Japan ukiongozwa na Waziri waNishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati).

    Baadhi ya wajumbe kutoka kampuni ya Koyo Corporation ya Japan;wa kwanza kulia ni Mwenyekiti na Mkurugenzi Mtendaji, Norio Shoji,akifuatiwa na Mshauri wa Mwenyekiti na Mkurugenzi Mtendaji, SergeEdongo na Mkurugenzi Mtendaji, Naoto Umeda.

    Baadhi ya wajumbe kutoka Wizara ya Nishati na Madini na Taasisizilizo chini ya wizara hiyo waliohudhuria kikao baina ya wizara nakampuni ya Koyo Corporation ya Japan. Wa kwanza kushoto ni Waziri

    wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo akifuatiwa na KatibuMkuu Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa na Naibu wakeanayeshughulikia masuala ya Nishati, Dkt. Juliana Pallangyo.

    Wajapani kuwekeza kwenye uzalishaji umemeNa Mohamed Saif

    Kampuni ya KoyoCorporation ya nchiniJapan imeonesha niaya kuwekeza katikauzalishaji wa umeme

    kwa kutumia Gesi Asilia nchini.Hayo yameelezwa hivi karibuni

    jijini Dar es Salaam wakati wakikao cha Waziri wa Nishati naMadini, Profesa Sospeter Muhongona Mwenyekiti na MkurugenziMtendaji wa Kampuni hiyo, NoriaShoji ambaye alifika Makao Makuuya Wizara ya Nishati na Madini

    na ujumbe wake ili kujadili fursa zauwekezaji nchini hususan katikaufuaji umeme kwa kutumia GesiAsilia.

    Waziri Muhongo aliueleza

    ujumbe huo kwamba fursa zauwekezaji kwenye nishati hususankatika uzalishaji umeme kwa kutumiagesi asilia ni nyingi na hivyo Serikaliinakaribisha wawekezaji wa ndani nanje.

    Alisema wawekezajiwanakaribishwa kujenga mitamboya kufua umeme katika maeneombalimbali ambapo kuna matoleoya gesi asilia na huku akiyatajamaeneo hayo kuwa ni Mtwara, Lindi,Somangafungu na Mkuranga.

    Waziri Muhongo alisema gesiasilia iliyogundulika ni ya kutoshakuzalisha umeme mwingi; na hivyowawekezaji wenye nia ya kuwekezakwenye ufuaji wa umeme kwakutumia gesi asilia wanakaribishwa.

    Awali, Mwenyekiti naMkurugenzi Mtendaji wa kampunihiyo ya Koyo, Norio Shoji alisema

    lengo la ujio wake na ujumbealioongozana nao ni kutafuta ukweliwa mambo kuhusiana na masuala yauwekezaji kwenye uzalishaji umemekwa kutumia gesi asilia.

    Tulikuwa katika mkutanomkubwa nchini Japan na tukaelezwana Balozi wa Tanzania nchini Japan,Batilda Burian kwamba Tanzaniakuna fursa nyingi za uwekezaji katikauzalishaji wa umeme. Sasa tumekujakujionea hali ilivyo pamoja nakuzungumza na wahusika, alisemaShoji.

    Alisema awali kampuni yakehaikuwa na taarifa za kutoshakuhusiana na uwekezaji nchini nahivyo aliahidi kwamba ifikapo tarehe1 mwezi Juni mwaka huu, Kampuniyake itawasilisha pendekezo rasmi lauwekezaji wa uzalishaji umeme kwakutumia gesi asilia.

    Nimefurahishwa sana nanamna Waziri mwenye dhamanaanavyoielezea sekta husika;tumehamasika kuwekeza hapa.Tumedhamiria kwamba ifikapotarehe 1 mwezi Juni, tutarudi napendekezo rasmi, alisema Shoji.

    Wakizungumza katika mkutanohuo, Katibu Mkuu wa Nishati naMadini, Profesa Justin Ntalikwa naNaibu wake, Dkt. Juliana Pallangyowaliahidi kutoa ushirikiano wakutosha ili kuhakikisha kunakuwepona umeme mwingi.

    Kikao hicho pia kilihudhuriwana maafisa kutoka Wizara ya Nishati

    na Madini pamoja na wawakilishikutoka Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO), wakiongozwa naMkurugenzi Mtendaji, MhandisiFelchesmi Mramba.

  • 7/25/2019 MEM 103 Online

    8/19

    8 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    The public Private partnership(P3 or PPP) exists when a

    service or responsibility usuallyformed by the public sector is

    provided by the private sector accordingto a long term contract usually 20 to 30

    years. Usually services transferred areDesign, Constructions, Maintenanceand Operations. Why PPP overtraditional Procurement? Reasonamongst be most Public sectors are

    becoming less and less reliable sourceof funding for the public services thatthey need an innovative way to deliverpublic services to its general populationsand Sometime lack of proper motivesor insufficient skills to provide qualityservices on time and under acceptable

    budget. Traditional procurementchallenges includes budget constraints,limited resources and technology hasled governments to think of PPP as one

    way to bring Capital and Expertise intopublic services. PPP innovation hascome as one amongst other financingsolution and not entirely the onlysolution, PPP is usually an expensiveprocurement option, Experts cautionsauthorities to carefully design and

    analyze anticipated what would beValue for money (VfM) in the relationsto the investment costs and time frameof the contracts.

    BUSINESS PERSPECTIVE

    By Salum Mnuna: MBA, Certied PPP specialist Email: [email protected]

    Understanding Public PrivatePartnership (PPP) in Tanzania Context.What is the public private partnership?

    PPP knowledge lab defines PPPas long-term contract betweena private party and governmententity, for providing a

    public asset or service in which theprivate party bears significant riskand management responsibility,and the remuneration is linked toperformance. Canada council of PPPdefines it as, A cooperative venture

    between the public and private sectors,built on the expertise of each partner,which best meets clearly definedpublic needs through the appropriateallocation of resources, risks andrewards. Apparently there is no singleglobal accepted definitions, but somecommon things that appears in mostof the PPP explanations are the factsthat all will talk of risks allocations,corporations between two entitiesthe government and private sectors toprovide public services, resources andrewards gains proportional to the risksallocations.

    Public private partnershipbrings multi-disciplinary skills andprofessions includes legal counsel,Financial analysts, Project managers,Engineers, contracts experts, bankers,Procurements experts etc., and capitalof the private sector in the public serviceprojects. In Tanzania PPP is legallyguided by the 2010 PPP acts, amendedin 2014, to become amendment act2014 and the public private partnershipregulations, 2015, which provides forthe institutional framework set up andidentifications and the implementationof public private partnership projects

    between the public sector and privatesector entities. The regulationsprovides guidelines and legal basisto the PPP stakeholders, investors,interest groups and general public thatsets rules and procedures governingPPP procurement, development andimplementation and also providesinformation on other related matters,including the identifications of solicitedand unsolicited PPPs, administrationscosts, communications tools etc.

    PPP Contracts Term

  • 7/25/2019 MEM 103 Online

    9/19

    9BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    KATIBU MKUU AISHUKURU

    GST KWA USHIRIKIANONa Samwel Mtuwa, Dodoma

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Profesa Justin Ntalikwaamekutana na watumishi wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST)katika ukumbi wa Uchoraji Ramani wa GST na kuwashukuruwatumishi wote kwa ushirikiano mzuri waliompa katika kipindichote alichokuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala huo

    kabla ya Kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. JohnPombe Magufuli kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati na Madini.

    Akizungumza katika mkutano huo, Profesa Ntalikwa aliwataka watumishiwa GST kufanya kazi kwa weledi na kasi ili kuleta tija na matokeo mazurisehemu zao za kazi.

    Profesa Ntalikwa alisema kuwa bado kuna changamoto ya uwepo wa takwimuza kutosha za upatikanaji wa madini nchini zitakazosaidia katika uwekezaji wasekta hiyo na kueleza kuwa GST ina uwezo wa kutatua changamoto hiyo kwakuandaa na kutoa takwimu zitakazosaidia katika uwekezaji.

    Kwa upande wa Sekta ya Nishati, Profesa Ntalikwa aliwaeleza watumishiwa GST kuwa, Serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini imejipanga vizurikatika kuboresha sekta hiyo na mkakati uliopo sasa ni kuwaalika wawekezaji wandani na nje ya nchi ili waweze kuzalisha nishati ya kutosha.

    Kwa upande wake, Mtendaji Mkuu wa GST Profesa Abdulkarim Mrumaaliwataka watumishi kufuata sheria, kanuni na taratibu za utumishi wa umma ilikongeza tija , ubunifu na maarifa sehemu ya kazi.

    Profesa Mruma pia aliwaeleza watumishi kuhusu umuhimu wa upimajiwa matokeo ya utendaji kazi kupitia fomu maalum (OPRAS) ambayo inalengakuongeza ufanisi sehemu ya kazi na kusisitiza uwepo wa nidhamu kazini nakutovujisha siri za serikali kama Sheria ya Utumishi wa Umma inavyoelekeza.

    Sambamba na mkutano huo Profesa Ntalikwa alipata fursa ya kutembeleasehemu mbalimbali za utendaji kazi ndani ya ofisi za GST. Baadhi ya sehemualizotembelea ni Ofisi ya Uchoraji Ramani za Jiolojia , Ofisi ya kumbukumbu, Ofisi ya kuhifadhia takwimu, Maabara ya Uhandisi wa Jiolojia , Maabaraya uchenjuaji madini, pamoja na Jengo jipya la Ofisi za Wizara ya Nishati naMadini mjini Dodoma.

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwawa kwanza Kushoto) akipokea taarifa ya kazi ya Wakala wa Jiolojia

    Tanzania (GST) alipotembelea Osi zake, Januari 13, 2016 mjiniDodoma. Kutoka Kulia ni Mtendaji Mkuu wa GST, Profesa AbdulkarimMruma, Mkurugenzi wa KanziData Yorkbeth Myumbilwa, Mkurugenziwa Jiolojia Fadhil Moses na Mkurugenzi wa Maabara AugustineRutaihwa.

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa(katikati) akizungumza na wafanyakazi wa Wakala wa Jiolojia Tanzania - GST(hawapo pichani) alipowatembelea hivi karibuni. Kushoto ni Mtendaji Mkuuwa GST, Profesa Abdulkarim Mruma na Kulia ni Mkurugenzi wa Maabara,Augustine Rutaihwa.

    Mtumishi katika Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) Erney Mazembaakiwasilisha changamoto katika utendaji wake wa kazi ya Ulinzikwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa JustinNtalikwa (hayupo pichani) alipotembelea Wakala huo hivi karibuni nakuzungumza na wafanyakazi.

    Mtumishi wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST), Salma Mohamed,

    akiwasilisha maoni yake kuhusu uboreshaji mazingira ya kazi kwaKatibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa(hayupo pichani) alipowatembelea hivi karibuni.

    Wafanyakazi wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) wakimsikiliza

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwahayupo pichani) wakati alipowatembelea na kuzungumza nao hivi

    karibuni.

    ZIARA YA KATIBU MKUU DODOMA

  • 7/25/2019 MEM 103 Online

    10/19

    10 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Stamigold yashauriwa kuboresha ushirikiano na JamiiGodfrey Francis& Jacqueline Mattowo

    Mgodi wa Dhahabuwa Stamigold waBiharamulo mkoaniKagera umeshauriwa

    kuhakikisha unashirikiana vyema najamii inayozunguka mgodi huo katikakutatua changamoto zinazozikabili

    jamii hizo ili kuepusha migogoro bainaya jamii na Mgodi.

    Ushauri huo umetolewa hivikaribuni na Mbunge wa Jimbo laBiharamulo kupitia Chama chaMapinduzi (CCM), Oscar Mukasaalipofanya ziara mgodini hapo kwalengo la kufahamu shughuli nzima zauzalishaji, kufahamiana na uongozi wamgodi na vilevile kufahamu mahusianoyaliyopo baina ya mgodi na jamii za

    jirani.Mukasa alisisitiza umuhimu wakuwa na ushirikiano mwema na jamiizinazozunguka mgodi huo katikakutatua changamoto mbalimbalizinazozikabili jamii hizo hususan zakiuchumi; lengo kuu likiwa kuepushauvamizi mgodini hapo na migogoroisiyo ya lazima.

    Aidha, Mbunge huyo alipata fursaya kutembelea maeneo mbalimbali nakupata maelezo ya kina kutoka kwaMeneja Mkuu wa Mgodi, MhandisiDennis Sebugwao, Meneja MaendeleoEndelevu, Korodias Shoo pamoja naWataalam kutoka Idara za Uchimbajina Uchenjuaji.

    Akitoa majumuisho ya ziara yake,

    Mukasa aliupongeza Mgodi kwashughuli zinazoendelea kufanyika

    Mgodini na hapo. Nawashukuru kwaripoti na maelezo yenu ya kitaalamkwani yamenisaidia kufahamu mengiambayo sikuyajua kabla ya kufikahapa mgodini. Maelezo mliyonipayameniwezesha kujadili masualayenye tija kwa jamii, na hata kuwezakuzungumza na viongozi wa Wizara

    ya Nishati na Madini kitaalamu,alisema.

    Aliongeza kuwa, akiwa ni Mbungewa Biharamulo, ana hamasa yakushirikiana na Serikali na uongoziwa Mgodi katika kutatua changamotozinazoukabili Mgodi huo wa Serikali,ili kuisaidia jamii ya Biharamulo naTaifa kwa ujumla.

    Mukasa aliiasa Stamigold kutatuamatatizo madogo madogo ya jamii

    inayozunguka Mgodi kwa kadriiwezekanavyo.

    Vile vile, aliahidi kuzungumza naviongozi wa Wizara ya Nishati naMadini ili kuongeza nguvu katikakuhakikisha kampuni inapata umemewa TANESCO mapema zaidi ilikupunguza matumizi ya umeme wa

    jenereta kwani gharama zake ni kubwa.Akielezea mafanikio ya Mgodi huo,

    Meneja Maendeleo Endelevu Korodias

    Shoo, alisema kuwa Mgodi umekuwaukilipa kodi mbalimbali za Serikaliikiwa ni pamoja na mrabaha.

    Vilevile, alisema kuwa Mgodi huoumekuwa ukiwajibika kwa jamii hasaza jirani kupitia misaada mbalimbaliinayotolewa katika nyanja za elimu,afya, miundo mbinu na uchumi.

    Kwa upande mwingine, Shooalielezea changamoto zinazoukabiliMgodi huo kuwa ni pamoja na ufinyuwa mtaji wa kuendeshea shughulimbalimbali za Mgodi.

    Alisema kuwa, pamoja na kuwepokwa changamoto ya ufinyu wa mtajina nyinginezo; Menejimenti ya Mgodiimeendelea kubuni miradi mbalimbali

    itakayoiwezesha kampuni ya Stamigoldkuongeza kipato chake na kujiendeshapamoja na kupunguza matumizi yasiyoya lazima ili kuendana na mapato.

    Naye Meneja Mkuu wa MgodiMhandisi Sebugwao, pamoja nakumshukuru Mbunge huyo kwa ziarayake Mgodini hapo, alibainisha kuwakupitia ziara hiyo changamoto na

    jitihada za Mgodi zimejulikana.Aidha, aliongeza kuwa, Serikali

    imeonesha nia ya dhati ya kuusaidiaMgodi huo katika suala la upatikanajiwa mtaji wa kuendeshea shughuli zamgodi na kufanya utafiti ili kuongezauhai wa mgodi.

    Hii ni mara ya kwanza kwa mbungehuyo kutembelea mgodi wa Stamigold

    tangu alipopata ridhaa ya wananchiwa Biharamulo kuongoza Jimbo hilobaada ya kushinda Uchaguzi Mkuuuliofanyika mwezi Oktoba 2015.

    Mbunge wa Biharamulo, Oscar Mukasa (katikati) akijadiliana jambo na Meneja Maendeleo Endelevu KorodiasShoo (wa kwanza kulia - nyuma) pamoja na Mrakibu Maabara (Laboratory Superintendent) Joseph Kamishna(aliyenyoosha mkono), mara baada ya kutembelea Idara ya Uchenjuaji mgodini Stamigold Biharamulo hivikaribuni.

    Meneja Mkuu wa Mgodi wa Stamigold Biharamulo, Mhandisi Dennis Sebugwao, (wa pili kulia) na Mbunge waBiharamulo, Oscar Mukasa (katikati) wakifuatilia maelezo ya hali ya Uchimbaji kutoka kwa mtaalamu Idara yaUchimbaji, Mhandisi Deogratius Mdoti mara baada ya kutembelea maeneo ya Uchimbaji.

  • 7/25/2019 MEM 103 Online

    11/19

    11BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Asteria Muhozya naRhoda James, Rungwe

    Waziri wa Nishati naMadini, Profesa SospeterMuhongo ameiagizaKampuni ya Uendelezaji

    Jotoardhi Tanzania (TGDC Ltd)kuwa ifikapo Juni 2016, iwe imeanzakuchoronga mashimo matatu katika

    eneo la Ziwa Ngozi ikiwa ni hatua yamwisho inayohitajika kabla ya kuanzakujenga mitambo ya kuzalisha nishatiya jotoardhi.

    Utafiti muhimu umekamilika. Jotoa maji ni kubwa, 230-250C linalokidhiuzalishaji wa umeme. Hiki kitakuwani chanzo kipya muhimu cha umemeadidifu, alisema Prof. Muhongo.

    Ameongeza kuwa, jambo hilohaliwezi kuendelea kusubiri kutokanana mahitaji ya nishati hiyo nchinikizingatiwa kuwa, Tanzania inapitiwana Bonde la Ufa kwa kiasi kikubwaukilinganisha na nchi nyinginezinazopitiwa na Bonde hilo.

    Tayari wenzetu Kenya na Ethiopiawamepiga hatua kubwa katika nishati

    hii lakini kwa upande wetu hatunamegawati hata moja, kwa hili lazimauchukue hatua tutoke hapa tulipo.

    Hakuna kusubiri anzeni na ZiwaNgozi, alisema Profesa Muhongo.

    Profesa Muhongo aliitaka kampunihiyo kuongeza nguvu katika eneoenye viashiria vya jotoardhi la ZiwaNgozi kutokana na kuwepo maendeleo

    makubwa ya kitafiti ikilinganishwa namaeneo mengine yenye viashiria kamahivyo ikiwemo eneo la Mbaka lililopoWilaya ya Rungwe.

    TGDC tunataka umeme wajotoardhi, wananchi wanataka umeme,hawataki kusikia maneno. IfikapoMwezi Juni na mimi nitakwenda ZiwaNgozi kuangalia mmefikia wapi nakama hakuna maendeleo tutabadilishatimu ya wataalamu, alisisitiza Profesa

    Muhongo.Akizungumzia kuhusu fedha zamiradi, Profesa Muhongo alielezakuwa, nchi nyingi duniani hazitegemeifedha za Serikali kutekeleza miradimikubwa ya nishati na ndiyo sababuhata Tanzania inatafuta fedha katikataasisi mbalimbali ikiwemo kukaribishawawekezaji ili kutekeleza miradi hiyo.

    Serikali kwa upande wake itasaidiakuwezesha upatikanaji wa fedha zakutekeleza miradi na ninyi kazi yenuni kuhakikisha umeme wa jotoardhiunaanza kuzalishwa Tanzania kwakuanza na Ziwa Ngozi.

    Naye Mkuu wa Mkoa wa Mbeya,Abbas Kandoro alisema kuwaamefarijika na maelekezo aliyoyatoa

    Prof. Muhongo na kuahidi kuwekanguvu kubwa katika kufuatilia sualahilo. Ujio wako umetupa ari mpyakatika kusimamia miradi hii kwasababu rasilimali zipo lakini zimekaatu nakuahidi kasi ya ufuatiliajiitaongezwa, alisema Kandoro.

    Kwa upande wake Mkuu waWilaya ya Rungwe, Mwalimu Zainabu

    Mbusi alieleza kuwa maagizo yaProfesa Muhongo yamekuwa farajana kuongeza kuwa, kukamilika kwamradi huo itaongeza kasi ya ukuajiuchumi na kuifanya Tanzania kufikia

    lengo lake la kuwa miongoni mwa nchiza uchumi wa Kati ifikapo 2025.

    Kwa pande wake Mbunge wa Jimbola Busokelo, Fred Atupele alielezakuwa, kukamilika kwa mradi huokutachochea kasi ya uendelezaji waviwanda vikubwa na vidogo na kuelezakuwa, kwa nafasi yake kama Mbungeatachukua jukumu la kuwaelimishawananchi kuhusu umuhimu wa vyanzohivyo.

    Awali akieleza akieleza Mikakati yaTaasisi hiyo, Mkurugenzi wa TGDC,Mhandisi Boniface Njombe alisemaeneo la Mbaka ni miongoni mwamaeneo ya majimoto yenye viashiriavya nishati ya jotoardhi.

    Vilevile, alieleza hivi sasa wataalamkadhaa wamesambaa wakifanya tafitiza mwisho katika eneo la Mbaka ilikuainisha mipasuko na maeneo ya

    kuchimba nishati hiyo na kuongezakuwa, TGDC imelenga kwa kuanzakuzalisha umeme wa jotoradhi wakiasi cha megawati 200 huku lengolikiwa ni kufikia megawati 5000.

    Aidha, alieleza kuwa, mbali nakuzalisha umeme, maji moto yanawezakutumika viwandani na majumbanikatika kukausha mazao ikiwemo kuwakivutio cha utalii kuoga kwa kuwainaelezwa kuwa maji hayo yanatajwakuwa tiba ya magonjwa ya ngozi.

    Tanzania ni miongoni mwa nchizinazopitiwa na Bonde la Ufa eneoambalo linatajwa kuwa na viashiriavya nishati ya jotoardhi. Nchi nyinginezilizo katika Bonde la Ufa ni pamoja naKenya, Ethiopia, Rwanda na Elitrea.

    Profesa Muhongo alitembeleaeneo hilo lenye viashiria vya jotoardhila Mbaka, tarehe 14 Januari ikiwani ziara yake ya kutembelea vyanzovya uzalishaji umeme, maeneo yautafiti wa makaa ya mawe na miradikatika Mikoa ya Njombe, Mbeya, naRuvuma.

    Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania(TGDC), Mhandisi Boniface Njombe, akionesha sehemu ya maji motoyenye viashiria vya jotoardhi wakati ujumbe wa Waziri wa Nishati na

    Madini, Profesa Sospeter Muhongo ulipotembelea eneo lenye vishiria vyajotoardhi la Mbaka.

    Ujumbe wa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo,ukivuka eneo la mto ili kuelekea eneo la majimoto lenye viashiria vya

    jotoardhi.

    Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi TanzaniaTGDC), Mhandisi Boniface Njombe (Wa kwanza kushoto mbele)

    akiwaongoza, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter MuhongoWa kwanza kulia), Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro (Wa pili

    kushoto) , Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Mwalimu Zainabu Mbusi (katikati)na ujumbe ulioongozana na Waziri kutembelea eneo lenye viashiria vyaotoardhi la Mbaka, Wilayani Rungwe.

    TGDC yatakiwakuharakisha uzalishajijotoardhi Ziwa Ngozi

  • 7/25/2019 MEM 103 Online

    12/19

    12 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    MIRADI YA MAKAAYA MAWE

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati) naKamishna Msaidizi wa Madini anayeshughulikia Leseni, John Nayopa(kulia) wakiangalia mchoro wa ramani ya mmoja wa wamiliki wa eneola Makaa ya Mawe - Kiwira linalomilikiwa na Sarah Masasi ( Wa kwanzakushoto).

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Muhongo na ujumbe wakewakiondoka eneo la Utati wa Makaa ya Mawe- Mchuhuma. Eneo hilolinalomilikiwa na Kampuni ya Tanzania China Resources ambapo Shirikala Maendeleo ya Taifa (NDC) linamiliki hisa asilimia 20.

    Mwangalizi wa mgodi wa Makaa ya Mawe wa Magamba (mwenye nguo zaOrange) akimweleza waziri na Ujumbe wake kuhusu mgodi huo uliopokatika wilaya ya Mbozi, mkoani Mbeya.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (Wa kwanzakulia) akiangalia makaa ya mawe katika mgodi wa Kitewaka.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Muhongo (katikati), akiwaelezajambo wanakikundi cha Mbalawala Women Organization katika eneola Mgodi wa Ngaka. Kikundi hicho kinafanya tati ya makaa ya mawekwa ajili ya matumizi ya kupikia na kuachana na mkaa ambao unachangiauharibifu wa mazingira kwa kukata miti.

    Mmoja wa wamiliki wa kampuni iliyofungiwa kufanya shughuli zauchimbaji Madini ya Off - Route Technology ya Kyela, Andrew Markakimweleza jambo Waziri wa Nishati na Madini, Profesa SospeterMuhongo (wa kwanza kulia) na Ujumbe wake. Kampuni hiyo ilifungiwana vifaa vyake kukamatwa na Serikali baada ya kufanya shughuli zakuchimba Makaa ya Mawe bila leseni halali. Katikati ni Mkuu wa Mkoa waMbeya, Abbas Kandoro.

  • 7/25/2019 MEM 103 Online

    13/19

    13BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Mbunge wa Jimbo la Songwe, Philipo Mulugo akiongea jambo wakatiwa mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Saza, Wilaya ya Chunya .Lengo la mkutano huo ilikuwa ni kutatua mgogoro kati ya Wachimbajiwadogo wa dhahabu na Mgodi wa Dhahabu wa Shanta. Kushoto niWaziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.

    Mwakilishi wa Kampuni ya Shanta (kulia) akizungumza katika mkutanowa hadhara katika Kijiji cha Saza wakati Waziri wa Nishati na MadiniProfesa Sospeter Muhongo na Uongozi wa Mkoa Mbeya walipoka kijijinihapo kutatua mgogoro kati ya mgodi huo na wachimbaji wadogo.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospter Muhongo na ujumbe wakeakiwemo Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro wakielekea katikaeneo la mkutano wa hadhara Kijiji cha Saza, wilaya ya Chunya ili kutatuamgogoro kati ya Wachimbaji na Mgodi wa Dhahabu wa Shanta.

    Wachimbaji Wadogo wa Madini, wa Kijiji cha Saza, Wilaya ya Chunya,wakifurahi baada ya kukia hitimisho na mapendekezo ya kutatuamgogoro kati yao na Mgodi wa Uchimbaji Madini ya Dhahabu waShanta.

    HITIMISHO MGOGORO WA CHUNYAAsteria Muhozya naRhoda James

    Kufuatia mgogoro uliokuwepo

    baina ya wachimbaji wadogowa madini ya Dhahabu naKampuni ya Dhahabu ya

    Shanta Mining Tanzania Limited,nayochimba dhahabu katika kijijicha Saza, wilaya ya Chunya mkoaniMbeya, yafuatayo yalihitimishwakatika mkutano wa hadharauliowakutanisha Wizara ya Nishatina Madini, ikiongozwa na Waziri waNishati na Madini, Profesa SospeterMuhongo, Uongozi wa Wilaya, Mkoaukiongozwa na Mkuu wa Mkoa,Abbas Kandoro, Watendaji Mgodi waShanta na wachimbaji wadogo;

    Wizara, uongozi wa mgodi,

    Halmashauri na uongozi wa

    wachimbaji wadogo kuangaliaeneo la Leseni N0.3. la Mgodi waShanta kuona endapo kampuni hiyoinachimba madini. Aidha, Kamishnawa Madini anayeshughulikia Leseniajadiliane na Kampuni hiyo iliwachimbaji wadogo wapewe eneohilo. Majibu ya maamuzi hayoyatolewe tarehe 25 Januari, 2015.

    Mwekezaji yoyote asiye na lesenihapaswi kujitambulisha kwa wananchikwanza hadi pale anapopata leseniya utafiti au uchimbaji. Aidha, mara

    baada ya kupata leseni anao wajibu wakujitambulisha katika Halmashauri.Aidha, Halmashauri na uongozi wavijiji lazima watoe mrejesho kwawananchi wa eneo husika kuhusumwekezaji husika.

    Kuanzia tarehe 25 Januari,2015, Kampuni ya uchimbaji madini

    ya dhahabu ya Bafex ianze kukilipa

    kikundi cha Tujikomboe MountElizabeth kiasi cha Shilingi milioni200 ikiwa ni fidia ya eneo la MountElizabeth Chunya. Ikiwa haitafanyahivyo, hatua za kisheria zichukuliwe.

    Watendaji wizarani kufuatiliaili kuhakikisha kwamba ushuru wahuduma asilimia 0.03 inayolipwahalmashauri kutoka kwenye migodizinakofanyika shughuli za uchimbajinchini , inafanyika kwa uwazi ikiwemoushiriki wa wananchi wa eneo husika.

    Wananchi na hususani Madiwaniwanatakiwa kuhoji Halmashaurikuhusu matumizi ya fedha za ushuruwa huduma kiasi cha asilimia0.03 zinatolewa na mgodi kwenyehalmashauri hizo.

    Walioshindwa kuendelezamaeneo yao watanyangnywa nakupewa wengine kama ambavyo

    Sheria ya Madini ya mwaka 2010

    inavyoelekeza. Serikali itaendelea kutoa maeneo

    kwa ajili ya wachimbaji wadogo

    ikiwemo kuendelea kutoa ruzukukupitia vikundi. Wachimbaji wakubwa

    washirikiane na wachimbaji wadogoili kuwe na mahusiano mazuri yakikazi.

    Huduma za Kijamii, (CorporateSocial Responsibility) ni makubalianokutokana na mahusiano mazuri naujirani mwema kati ya mwekezaji nawananchi wa eneo husika. Uongoziwa vijiji uzungumze na mwekezajikuona namna mwekezaji anavyowezakusaidia huduma mbalimbali za jamiikatika eneo husika. Hivyo mahusianomazuri ni muhimu.

    Haki itafutwe bila vurugu.

  • 7/25/2019 MEM 103 Online

    14/19

    14 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Kile kilio cha miaka mingi cha kutakawanawake wapewe nafasi za juu katikangazi za maamuzi katika mihimilimitatu ambayo ni Serikali, Mahakamana Bunge, hatua hiyo imeanza

    kutekelezwa kwa Taifa letu la Tanzania kwakuhakikisha wanawake wanashika nafazi hizo.Katika Serikali ya Awamu ya Tano tumeshuhudiakwa mara ya kwanza Tanzania inapata Makamuwa Rais mwanamke kushika wadhifa huo mkubwaunaoshikiliwa na Samia Suluhu Hassan.

    Kwa upande wa Bunge pia Dk. Tulia AcksonMwansansu mwanadada huyu naye anakuwa wapili kushika nafasi ya Naibu Spika wa Bunge baadaya Mama Anne Makinda kuwa Naibu Spika wakwanza katika Bunge la tisa na katika Bunge laKumi akiwa Spika kamili hii ni hatua nzuri na yakujivunia katika taifa letu. Kutokana na mwelekeohuo mzuri, wanawake tuendelee kukaza buti ilihatimaye tuweze kushika nafasi ya juu zaidi yaUrais.

    Upande wa Mahakama nako tumeona idadiya wanawake Majaji nayo imeongezeka kwa kiasikikubwa hatua ambayo ni nzuri na yenye kutiamoyo, jambo ambalo linaonekana kuwa iko sikunafasi hiyo ya Jaji Mkuu pia itakuja kushikiliwa naMwanamke.

    Kwa upande wa Wizara ya Nishati na Madini,

    katika awamu hii ya Tano imeandika historia mpyakwa kupata Naibu Katibu Mkuu mwanamamatofauti na miaka ya nyuma, huyo si mwingine ni

    D k .Mhandisi Juliana Pallangyo ambaye anakuwaMwanamke wa kwanza kushika wadhifa huondani ya Wizara hii.

    Mwanamama huyu aliteuliwa kushika wadhifahuo wa Naibu Katibu Mkuu Januari 1, 2016akitokea Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO)alikokuwa akifanya kazi kama Mhandisi Mkuukatika Idara ya Mauzo na Masoko (Principal Salesand Marketing Engineer).

    Dk. Juliana amelitumikia Shirika hilo kwazaidi ya miaka 30 katika ngazi mbalimbali akiwaMhandisi Mkuu katika Idara ya Masoko na

    Mauzo, Mipango, Huduma kwa Wateja, Umemevijijini, Usambazaji wa Umeme na Huduma kwaWateja Wakubwa pamoja na kuwa MhandisiMwandamizi wa Umeme.

    Pamoja na kwamba Mwanamama huyuana uzoefu Mkubwa katika masuala ya Nishatiya Umeme pia ni msomi mwenye Shahada yaUzamivu (PhD) katika masuala ya Biashara naUtawala (DBAM) kutoka katika Chuo Kikuu chaAfrica Graduate cha Sierra Leone.

    Dk. Juliana ana Shahada ya Uzamili yaUmeme (MSc Power Engineering) katikamasuala ya pamoja na Shahada ya Uhandisiwa Umeme (Electrical Engineering) alizozipatanchini Ujerumani (University of Applied SciencesCologne).

    Naibu Katibu Mkuu Juliana amesajiliwa na

    Bodi ya Wahandisi chini ya ERB (ProfessionalEngineer PE 3943) na ni mwanachama waInstitute of Engineers Tanzania (MIET No G.

    1265).Kabla ya kwenda Ujerumani kwa masomozaidi Dk. Juliana alisomea Diploma ya ufundi waUmeme katika Chuo cha Ufundi Kidatu wakatihuo kilikuwa chini ya TANESCO na sasa chuohicho kiko chini ya Jeshi la Polisi.

    Akiwa masomoni Ujerumani mwaka 1998alialikwa na Wanawake wa Chama cha SPD,mjini Mannheim na kutoa mada ya maishaya binti anayepata mimba akiwa masomonina athari azipatazo baada ya kukosa shule napengine kufukuzwa na wazazi wake.

    Mada hii ilifanikisha kuundwa kwa Shirikalisilo la Kiserikali (NGO) na kupewa jinala KARIBUNI Urafiki wa Ujerumani naTanzania e.V. lenye makao yake makuu mjiniLeverkusen, Ujerumani chini ya uongozi wa

    Dk. Sigrid Oehmig.Baada ya NGO hiyo kuundwa Dk. Julianaaliteuliwa kuwa mwakilishi wa NGO hiyo hapanchini na kupata fursa ya kutoa mchango wakekatika jamii ili kufanikisha maisha ya Vijana naakinamama wenye mahitaji ya Elimu, Biasharana Ushauri Nasaha tangu mwaka 2003 hadisasa. NGO hii imeleta mafanikio kwa vijanakama ifuatavyo:-

    Wasichana (8) waliokatisha masomo kwaujauzito waliweza kupatiwa elimu yasekondari na wamefuzu Unesi, Ukarani naUhasibu.

    Vijana (4) yatima wamepata elimu yasekondari na kupata Shahada ya Uchumi,

    Usafirishaji (NIT) na Biashara.

    Vijana wa kike 2 na kiume 3 wenyeulemavu (Mtindio wa ubongo na upofu)wamepatiwa tiba na elimu ya msingi katikashule za walemavu.

    Vijana 3 yatima wameweza kusomeshwakatika vyuo vya ufundi stadi wa umeme(VETA) na wawili wamekwisha hitimu nawanafanya kazi.

    Vijana wa kike na kiume wapatao 21 ambaoni yatima wanasoma katika shule za msingina sekondari nchini (Mwanza, Dodoma,Arusha, Shinyanga, Dar-es-Salaam, Arusha,Kahama na Iringa).

    Msaada kwa vikundi vya akinamama vtano(5) vya ujasiriamali kwa kupewa fedha Euro500 (TZS 1m). Na pia mikopo ya Euro 300(TZS 0.6m) kila Mjasiriamali (15) ili kupatavitendea kazi.

    Kuchangia Euro 600 (TZS 1.2m) kwa miaka 5mfululizo tangu 2008 katika kituo cha kuleleawatoto cha Dogodogo Centre, Dar-es-Salaam.

    Pia kwa jamii inayomzunguka amekuwaakitoa msaada kwa kuchangia fedha za adakwa watoto ambao wazazi wameshindwakulipia ada hizo.

    Dk. Juliana ataendelea kutoa huduma hii ya

    kuwapa msaada Vijana wenye shida zinazokatishandoto zao za elimu ili kujenga Taifa la watotowenye maono ya kujitegemea.

    Juliana Pallangyo ameandika historia MEM

    n Mwanamke wa kwanza kuwa Naibu Katibu Mkuu MEM

  • 7/25/2019 MEM 103 Online

    15/19

    15BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Dk. Medard Matogolo ChananjaKalemani, Naibu Waziri wa Nishatina Madini alizaliwa mwaka 1968mkoani Mwanza na ametoka kwenyefamilia ya kawaida.

    Dk. alipata elimu yake ya msingi na sekondarihapahapa nchini kabla ya kujiunga na Chuo Kikuucha Dar es Salaam. Alihitimu Shahada ya Sheria(LLB), Chuo Kikuu cha Dar es salaam mwaka1996, akibobea katika maeneo kama Sheria zaMikataba, Sheria za Kazi, Sheria za Makampuni,Sheria za Mwenendo wa Jinai, Sheria za Kodi naSheria za Ardhi. Ana Shahada ya Umahiri ya Sheria(LLM) katika Sera na Sheria za Madini ambayoaliipata katika Chuo Kikuu cha Dundee kilichopoScotland, Uingereza. Shahada yake ilihusishaNyanja kama Sera na Uchumi wa Madini, Sheriaza uchumi wa Maliasili, Sheria za Kimataifa zaMaliasili, Kodi za Madini na Mafuta, Sheria zaMazingira na Sera za Nishati na Maliasili, Sheriaza Kimataifa za Mazingira na Sera na Sheria zaMadini.Mwaka 2002, Dk. Kalemani aliandika nakuchapisha tasnifu juu ya Utafiti linganishiwa Sheria za Madini, Mfumo wa Udhibiti wausimamizi wa Haki za Madini katika Nchizinazoendelea: Kwa kuziangalia nchi za Tanzania,Afrika Kusini, Namibia na Botswana. Tasnifu hiialifanya na kufikisha sifa za kuhitimu shahada yaumahiri ya Sheria na Sera za Madini.Ana shahada ya Uzamivu (PhD ya Usimamizi waMadini, akijikita katika Sheria, Sera, usimamizina mfumo wa kitaasisi wa sekta ya madini kwa

    nchi zinazoendelea, hasa Tanzania, Afrika Kusini,Ghana na Botswana ya mwaka 2006Kati ya mwaka 1999 hadi 2007 Dk. Kalemani

    alifanya kazi akiwa mwanasheria Mwandamizi waSerikali na baadaye mwanasheria mwanadamiziwa Serikali katika Wizara ya Nishati na Madini.Kuanzia Mei 1997 hadi Desemba 1998 aliajiriwana Kamati ya Kimataifa ya Uokoaji (IRC), ambaloni Shirika la kutoa nafuu lililo chini ya Shirika laWakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR),akiwa Meneja Sheria/Meneja wa ofisi na Mkuuwa Wafanyakazi wa kamati hiyo Tanzania.Machi na Agosti 1999, Dk Kalemani alishirikikatika mapitio ya kanuni za uchimbaji madini zamwaka1999 ambazo zilichapwa kwenye Gazeti laSerikali namba 215 la Julai 1999.Mwaka 2001, alishiriki katika mchakato wa mapitioya Sheria ya Namba 5 ya Uchimbaji Madini yamwaka 1999 ambayo iilichapwa kwenye Gazetila Serikali namba 217. Pia amehudhuria mafunzo

    juu ya masuala ya Kimataifa katika mkakati waushirika wa uchimbaji madini na Sera za Serikali.Alipata mafunzo hayo kati ya mwaka 2000 na 2001nchini Afrika Kusini na UingerezaMei 2001, Dk Kalemani aliteuliwa kuwa MtaalamMshauri anayejitegemea katika mchakato wamapitio ya Sheria Namba 50 ya Madini ya mwaka1991 nchini Afrika Kusini. Muswada wa Sheriahiyo ulipitishwa na Bunge la Afrika Kusini mwaka2002 na kuchapwa na Gazeti la Serikali Juni, 2002.Dk. Kalemani ni Wakili wa Mahakama Kuu yaTanzania.Mwaka 2004 na 2005 alifanya kazi na Kamisheniya Uchumi ya Umoja wa Mataifa (UNECA) akiwaMtaalam wa Sheria wa Kimataifa katika utafitimahsusi wa kimataifa uliofanyika nchini Zambia.

    Kazi kubwa ya kikosi kazi alichokuwamo ilikuwani kufanya mapitio ya masuala ya uchimbaji wamadini na mfumo wa kisheria unaohusika na nchi

    zinazoendelea.Dk Kalemani amehudhuria kozi mbalimbaliza mikataba ya kimataifa juu ya usimamizi namadai ya usuluhishi wa mikataba mikubwa namakubaliano katika mwaka 2005 na 2010 nchiniSwaziland na Ghana.Dk. Kalemani aliwahi kuwa Mkuu wa Kitengocha Sheria cha Akaunti ya Changamoto zaMilenia (Millennium Challenge Acount-Tanzania)inayofadhiliwa na Serikali ya Marekani chini yaMfuko wa MCC kwa miaka kadhaa iliyopita.Akiwa Mshauri Mkuu wa masuala ya Kisheria,kazi yake kubwa ilikuwa ni pamoja na kufuatilia,kusimamia na kuwezesha miradi ya MCC kwaajili ya maendeleo ya usafirishaji, nishati na maji

    pamoja na miundombinu kutekelezwa kamailivyokusudiwa. Alisimamia zaidi ya miradi 200 nakandarasi mbalimbali kwa kipindi cha miaka sabatangu mwaka 2007.Dk. Kalemani aliteuliwa kuwa Mkurugenzi waSheria wa wizara ya Nishati na Madini Oktoba,2014 akiwa na majukumu ya kufuatilia nakusimamia masuala yote ya kisheria yanayohusunishati na madini pamoja na kuratibu makubalianona hatimaye kuyaweka wazi katika ofisi yaMwanasheria Mkuu wa Serikali pamoja na taasisinyingine za Serikali zinazojihusisha na sekta yanishati na madini.Dk. Kalemani aliamua kujiunga na siasa mwaka

    jana kwa kushiriki katika kura za maoni kupitiaCCM na kushinda kwa kupata kura 78,817 dhidiya mpinzani wake Lukanima Benedicto Kulwizirawa CHADEMA ambaye alipata kura 32,513 na

    hivyo kutangazwa kuwa mbunge wa Chato akirithimikoba ya Dk. Magufuli ambaye kwa sasa ndiyeRais wa Tanzania.

    Huyu ndiye Dk. Medard Matogolo Kalemani

  • 7/25/2019 MEM 103 Online

    16/19

    16 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Kiwira kuzalisha tani milioni 1.5 za Makaa ya Mawe 2017Na Greyson Mwase,Dar es Salaam

    Mgodi wa Makaa yaMawe unaomilikiwakwa asilimia 100na Serikali kupitiaShirika la Madini la

    Taifa (STAMICO) unatarajia kuanzakuzalisha makaa ya mawe tani milioni1.5 kwa mwaka, ifikapo mwaka 2017.

    Hayo yalielezwa na KaimuMkurugenzi Mtendaji kutoka Shirikala Madini la Taifa (STAMICO), ZenaKongoi mwishoni mwa wiki katikakikao na Naibu Waziri wa Nishatina Madini Dk. Medard Kalemanikilichofanyika jijini Dar es Salaam.Kikao hicho pia kilikutanisha watendajikutoka Kampuni za Kuzalisha Sarujiza Dangote, Mbeya, na Kampuni yauchimbaji makaa yam awe ya Tancoal.Akielezea hatua iliyofikiwa yamaandalizi ya uzalishaji huo,

    Kongoi alisema kwa sasa mgodi ukokatika harakati za kutafuta mbia wakushirikiana na shirika hilo katikauzalishaji wa makaa ya mawe.Alisema mara baada ya taratibu zotekukamilika na kuanza kuzalisha,mgodi utakuwa na uwezo wa kuzalishatani milioni 1.5 za makaa ya mawe kwamwaka.Alisema makaa ya maweyatakayozalishwa yatatumika kwa ajiliya kuzalisha megawati 200 za umemena kiasi cha ziada cha makaa ya mawe

    kuuzwa kwa viwanda vya ndani yanchi vitakavyohitaji makaa hayo.Alisisitiza kuwa mbali na shirika hilokuwasaidia wachimbaji wadogo kwa

    kuwapatia vifaa vya uchimbaji madinipamoja na ruzuku, shirika lina mpangowa kuzalisha ajira kupitia migodimipya.Tunataka kuhakikisha kuwa vijanawanapata ajira katika migodi yetu nakuchangia ukuaji wa uchumi wa nchi.

    Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia masuala ya Nishati, Wizara yaNishati na Madini, Dk. Mhandisi Juliana Pallangyo akifuatilia kwa makinitaarifa iliyokuwa inatolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda chakuzalisha Saruji cha Dangote Industries Limited, Ladan Baki (hayupopichani)

    Mkuu wa Masoko kutoka kampuni ya kuzalisha makaa ya mawe yaTancoal, Emmanuel Constantinides akieleza jambo katika kikao hicho.

    Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda cha kuzalisha saruji cha DangoteIndustries Limited, Ladan Baki akieleza jambo katika kikao hicho.

    Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia masuala ya Madini, Wizara yaNishati na Madini, Prof. James Mdoe akisisitiza umuhimu wa kampuniya Tancoal kushirikiana na makampuni yanayozalisha saruji nchini.

  • 7/25/2019 MEM 103 Online

    17/19

    17BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Na Mwandishi Wetu

    Naibu Waziri wa Nchi,Ofisi ya Makamu waRais (Muungano naMazingira), LuhagaMpina, ameupongeza

    Uongozi na wafanyakazi wa Mgodiwa Buzwagi kwa kuzingatia sheria zamazingira Mgodini hapo.

    Pongezi hizo alizitoa juzi wakatialipofanya ziara ya kushtukiza katikaMgodi huo kwa lengo la kujioneanamna unavyozingatia maelekezoya wataalam wa Wizara hiyo juu yautunzaji wa mazingira.

    Katika ziara hiyo, Naibu Wazirialitembelea Bwawa maalumula kuhifadhia maji yaliyotumika

    kuchenjulia Dhahabu na kujioneanamna ambavyo mgodi huounavyochukua tahadhari katikakuhakikisha maji yanayohifadhiwandani ya bwawa hilo hayana madharakwa Jamii ikiwemo kituo chaudhibiti taka, Uwanda wa kuvunamaji ya mvua mgodini hapo pamojana karakana ya mgodi huo.

    Bwawa hili kama unavyolionausanifu wake, umezingatia tahadharizote kuhakikisha hakuna maji yoyoteyanatoka nje na hasa ukizingatiamaji yanayopatikana hapa niyenye mchanganyiko wa madawayanayotumika kuchenjua dhahabuAlisema Meneja wa Kituo chaUchenjuaji dhahabu, Festo Shayo,

    wakati alipokuwa akitoa maelezo juuya bwawa hilo.Aidha, Mpina alisema licha ya

    kufanya ziara katika Migodi mingi,

    Bwawa la kuhifadhia maji yanayotokakatika Kinu cha kuchenjulia dhahabu

    cha Buzwagi ni la kiwango cha juuna hivyo ameitaka Migodi minginepia kutembelea Bwawa hilo kwalengo la kujifunza usanifu wake.

    Niseme tumepita maeneo mengiila hapa mmejitahidi kuhakikishawananchi wanaowazungukawako salama, nafikiri kuna hajaya migodi mingine kuja kujifunzahapa, karakana yenu pia ni nzuri nainazingatia utunzaji wa mazingira,alisema Mpina.

    Vilevile akiwa katika kituomaalum cha udhibiti taka Mgodinihapo, Naibu Waziri huyo aliutakauongozi kujenga paa kwenye eneo laudhibiti wa taka za vyuma ili kuzuiamaji ya mvua kugusa taka hizo.

    Mmejitahidi kuhakikisha takazinawekwa katika utaratibu mzuri, ilakukosekana kwa paa hapa ni tatizo,hivyo nawaagiza ndani ya siku 30eneo hili liwe na paa, alisema NaibuWaziri .

    Awali, akiukaribisha ugeni waNaibu Waziri huyo, Meneja Mkuuwa Mgodi wa Buzwagi, Mhandisi,Asa Mwaipopo alimueleza NaibuWaziri huyo kuwa sekta ya madinikwa sasa duniani imekumbwana changamoto ya kuporomokakwa bei ya dhahabu, hali ambayoimesababisha wawekezaji wengikujikuta wakijiendesha kwa hasara.

    Mheshimiwa Naibu Waziri,

    Mgodi wa Buzwagi toka uanzeshughuli zake umekuwa ukishirikianana Jamii katika kutekeleza miradimbalimbali ya Maendeleo na

    tunaendelea kufanya hivyo, Hatahivyo changamoto ni kubwa kwanikila siku bei ya dhahabu inashuka nahii inatufanya tushindwe kujiendeshakwa faida, alisema Mwaipopo.

    Mwaipopo alisema tayari mgodiumeanza mchakato wa maandaliziya kusitisha shughuli za uchimbajikutokana na gharama kuzidi kuwakubwa na kueleza kuwa ikiwa beiya soko itabadilika watafikiria

    vinginevyo.Akizungumzia hatua ya mgodihuo kutaka kusitisha shughuli zauchimbaji, Naibu Waziri Waziri

    aliwaasa wawekezaji hao kuangalianamna ingine itakayowawezeshakuchimba kwa gharama ndogoinayoendana na bei ya dhahabu.

    kwa kweli Serikali inawahitajisana wawekezaji na tunaposikiamnaondoka kwetu sisi ni hasara kwasababu kodi mbalimbali ambazommekuwa mkilipa kwa Halmashauriya mji wa Kahama hazitakuwepotena na hii itafanya miradi mingi ya

    Maendeleo isitekelezeke baada yaninyi kuondoka, tunawaombea beiya dhahabu ipande ili muendeleekuwepo, alisema Mpina.

    TANESCO, VETA washauriwa kupata wahandisi wasuka umeme majumbaniNa Zuena Msuya, ARUSHA

    Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) limeshauriwa

    kushirikiana na Vyuovya Ufundi Stadi nchini(VETA) ili kupata wahandisi

    watakaotumika kusuka nyaya zaumeme katika nyumba za watejawanaounganishwa na huduma yaumeme kutoka Wakala wa NishatiVijijini (REA) .Ushauri huo ulitolewa naMkurugenzi Mkuu wa REA, Dkt.Lutengano Mwakahesya wakatiwa ziara ya kukagua miradi yaumeme inayotekelezwa na REA nakusimamiwa na TANESCO mkoaniKilimanjaro.Dkt. Mwakahesya alisema endapoTANESCO na VETA watashirikianakatika shughuli za uwekaji umememajumbani hasa kwa kutumia vijanawanaohitimu mafunzo ya umemekatika vyuo vya VETA kutasaidiakupunguza tatizo la mafundi vishoka,malalamiko kutoka kwa wateja pamojana kuongeza ajira kwa vijana hao. Aidha, Dkt. Mwakahesya alisema

    wahitimu wa mafunzo hayo kutokaVETA watasaidia kupunguza gharamakubwa wanazotozwa wananchi hasawaishio vijijini wanaotaka kusuka

    nyaya za umeme katika nyumba zaokwani hali ilivyo hivi sasa kila mtoahuduma hutoza bei yake.Kwa upande wake Mhandisi waTanesco wa Mkoa wa ArushaDonasiano Shamba alisema kuwawamekuwa na changamoto kubwaya kuwahamasisha watu kujiungana umeme kwani wengi wao badohawafahamu umuhimu wa umemehasa kwa vijiji vinavyozunguka mlimaMERU.Alisema tayari wametekeleza mradihuo kwa asilimia kubwa mkoaniArusha lakini mwamko wa wananchiumekuwa mdogo hivyo elimu zaidiinaendelea kutolewa ili kuwahamasishawananchi kujiunga na huduma hiyokwa kuwa mradi huo umetumia fedhanyingi.Ziara ya watendaji wakuu wa REAimelenga kukagua maendeleo ya miradiya REA Awamu ya Pili inayotekelezwakatika Mikoa mbalimbali nchinipamoja na kubaini changamoto zake .

    Mkurugenzi Mkuu wa REA, Dkt. Lutengano Mwakahesya ( kulia)akioneshwa ramani ya utekelezaji wa miradi ya usambazaji umeme vijijinina Mkurugenzi wa Ufundi wa REA, Mhandisi Bengiel Msofe ( mwenyekoa wa pili kulia). Wengine katika picha ni wakandarasi wa kampuni yaSpenkon wanaotekeleza miradi hiyo mkoa wa Singida.

    Meneja wa kinu cha kuchenjua Dhahabu katika Mgodi wa Buzwagi,Festo Shayo (wa kwanza kulia) akitoa maelezo kwa Naibu WaziriOsi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Mazingira na Muungano,Luhaga Mpina (wa pili kulia, namna mgodi huo unavyohifadhi majiyaliyotumika kusashia Dhahabu.

    Mgodi wa Buzwagi wapongezwa

  • 7/25/2019 MEM 103 Online

    18/19

    18 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    OUT AND ABOUT

    By John Mashaka, from USA [email protected]

    The oil price has been on afree fall in the past couple ofmonths, hitting an historiclow last Friday. For thefirst time in 12 years, oil

    prices tumbled below $30 as the fearfor Chinas economic slow down,US dollar strength and steady oilreserves, disagreement among OPECnations and the expected Iraniansreturn into the global oil marketgripping the financial markets withfear, subsequently sending oil pricesplummeting.

    Oil has recorded more 70% pricedrop in one year; A significant dropfrom 2014, peak when prices reached$112 a barrel. There are all indicationsthat prices could hit below $20 a barrel

    before the end of first quarter of 2016.The drastic and sharp drop in oil pricescurrently rattling the financial markets,is a combination of many factors,among which, the Chinas economicslow down and the US energy policyshift plays a significant role.

    As the US moves towards energyself sufficiency; it has been boosting itscrude stockpiles (reserves) and uppingits domestic oil production. This movehas left her traditional suppliers such asVenezuela, Nigeria, Iraq Saudi Arabiaetc, in the cold with millions of barrelsof crude oil without buyers.

    Chinas dismal economic newsis contributing greatly in the currentoil price slump. As recently as 2012,China was a red-hot economy, growingat 10%, with consumption of oil at10.8 million barrels per day. However,today, its oil consumption has dropped

    by whopping 397,000 barrels per day.A drop that has partly been driven bythe economic slowdown or decliningindustrial productivity, with projection

    of 6.5% growth this year, the lowest in25 years.The United States dollar plays

    an essential role in the pricing ofcommodities such as gold and oil inthe global markets. With US economysteadily recovering from the 2008-2009

    financial meltdown, the US dollar hasequally been strengthening in valueagainst most other currencies, andsince oil is traded in US-dollar, therising dollar has been reflected by a fallin value of oil relative to the US dollar.

    Iran, which has the worlds fourth-largest oil reserves, is also expectedto return, and is expected to pumpan additional half-million barrels aday into international markets verysoon, after the United States and otherwestern powers lift sanctions against itsoil exports, and this is likely to send oilprices diving deeper

    The Vienna based oil cartel, OPEC,seems to be in disarray, as its membersdo not seem to agree on methodologiesto control the oil output. While Nigeria,

    Angola and other hard-hit by the pricedrop are pressing for oil production cut,Saudi Arabia, Kuwait, Qatar and theUAE would not agree to reduce theirproduction. And without unanimousagreement, oil prices could only keepon falling

    Oil-price collapse is ripplingthroughout the world. Russia, an oil-exporting country has been one of thefirst major casualties. With oil pricesslumping and sanctions painfully bitingthe country over its actions in Ukraine,Its currency (rubble) value has fallen

    by 9.7% in the last ten months. Lastweek, Russia conceded to economicdifficulties and announced a 10%

    budget cut in light of the falling oilprices.

    Nigeria, one of Africas major oil

    producers is on catastrophic economicedge, and could possibly see economicimplosion and unrest; citizens takingto the streets in protest of economichardship, following the massive budgetshortfalls caused by the tumbling oilprices. Nigeria 2015 budget passedwhen price of oil was around $53 per

    barrel, while 2016 budget was assumedwhen price of oil was above $38 per

    barrel last December.In short, Nigeria is a troubled

    economy on the brink of a recession.Matters are expected to worsen ifIndia, one of her largest customersdecides to buy oil from her neighborIran, who has been re admitted intothe international oil trade following thelifting of economic sanctions on Iran

    by the United States.One mans loss many a times, not

    all the time, is another mans gain.In contrast to the widespread fearand panic in oil exporting countries,oil-importing countries should bein celebratory moment by seizingthe opportunity provided oil-pricedrop. Both Tanzanias motorists andpolicy planners will benefit fromthe historically low oil prices. WhileTanzanias motorists will benefit at thepump by paying less for their gasoline,countrys economic-policy plannersshould work on re-distribution ofresources realized in the form of low

    oil prices to tame the inflation.Drop in energy prices, will enableimporting countries (Tanzaniainclusive) to reduce fuel subsidies,and thus relieving the government ofheavy financial burden. Low oil pricefor that matter is more of a tax cut orstimulus incentive to the governmentof Tanzania. Savings realized fromlow oil prices should be spent on othercritical projects to foster the countryseconomic growth as well as taming theinflation.

    The government of Tanzaniacould invest cash savings realized fromlow oil prices into alternative sourcesof energy, into education, healthcareor into geographic areas where

    infrastructure has been neglected orwhere manufacturing and jobs havedried up.

    Oil Price Crash, A TanzanianEconomic Opportunity!

  • 7/25/2019 MEM 103 Online

    19/19

    19BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Maonesho ya 5 ya Kimataifa yaVito ya Arusha

    yenye aina mbalimbali za vito zikiwemo

    Tanzanite , Ruby, Sapphire, Tsavorite ,Rhodolite , Spessart ite , Tourmaline,

    Chrysobery l na Almasiyanatarajiwa kuvutia

    Zaidi ya kampuni 100 za wafanyabiashara na

    wachimbaji madini ya Vito kutoka Tanzania na

    nchi zingine za Afrika Mashariki, Kati na Kusini;

    nazaidi ya wanunuzi 500 kutoka zaidi ya nchi 25

    ulimwenguni

    Jisajili na Ushiriki Sasa!!!

    Wasiliana na: Kamati ya Maandalizi AGF

    Simu: +255 784352299 or +255 767106773

    Barua pepe: [email protected]

    :ama Ofisi za Madini za Kanda

    Yameandaliwa na Wizara ya Nishati na Madinikwa kushirikiana na

    MKUTANO WA WAZALISHAJI WADOGO WAUMEME WA MAJI (MINI-HYDROS)

    JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

    WIZARA YA NISHATI NA MADINI

    Wizara ya Nishati na Madini inapendakuwakaribisha Wazalishaji wadogo waumeme wa Maji (chini ya MW 20) katikamkutano ili kujadili yafuatayo:-

    1) Ushirikiano na utumiaji wa utaalam,

    uzoefu na miundombinu ya TANESCO2) Uongezaji wa uzalishaji wa umemekwenye mitambo yao.

    Kikao kitaongozwa na Waziri wa Nishatina Madini Mhe. Prof. Sospeter Muhongo.

    TAREHE: 08 Februari, 2016

    MAHALI: MteraMUDA: kuanzia saa 2:00 Asubuhi

    Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na;Naibu Katibu Mkuu, NishatiSimu: 2110426

    Barua pepe: [email protected] wa Mawasiliano SerikaliniSimu: 2110490 au 2110389Barua pepe: [email protected]

    Imetolewa na;Wizara ya Nishati na Madini