MEM 123 Online.pdf

download MEM 123 Online.pdf

of 18

Transcript of MEM 123 Online.pdf

  • 7/26/2019 MEM 123 Online.pdf

    1/18

    Ofisi ya Mawasiliano Serikalini inapokea habari za matukio mbalimbali

    kwa ajili ya News Bullettin hii ya Wizar a ya Nishati na MadiniWasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263

    au Fika Osi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM)

    HABARI ZA

    NISHATI &MADINI

    Toleo No. 123 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Juni 9 - 15, 2016Bulletinews

    http://www.mem.go.tz

    >>SOMA UK. 2

    Serikali yafaidika na Gawio

    kutoka Kampuni za Mafuta

    Mradi mkubwa wa umeme, Iringa Shinyanga kukamilika Septemba, 2016 >>UK. 7

    n PUMA Energy yatoa Bilioni 4.5 , TIPER Bilioni 2

    Watendaji wa kampuni ya PUMA Energy (kulia) wakipeana mikono na viongozimbalimbali wa Serikali (kushoto) wakati kampuni hiyo ilipokabidhi kwa Serikalimfano wa hundi yenye thamani ya shilingi Bilioni 4.5 mjini Dodoma. Wa kwanza kulia ni

    Mwenyekiti wa Bodi ya Puma Energy, Dkt. Ben Moshi, Wa pili kulia ni Meneja wa PumaEnergy, Philipe Corsaletti. Wa kwanza kushoto ni Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt.Philip Mpango, na wa pili kushoto ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. MedardKalemani.

    Watendaji wa kampuni ya TIPER (kulia) wakipeanamikono na viongozi mbalimbali wa Serikali(kushoto) wakati kampuni hiyo ilipokabidhikwa Serikali mfano wa hundi yenye thamani yashilingi Bilioni 2 mjini Dodoma. Wa Tatu kulia niMwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuniya Tiper, Profesa Abdulkarim Mruma, Wa pilikushoto ni Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip

    Mpango, Wa tatu kushoto ni Waziri wa ViwandaBiashara na Uwekezaji, Charles Mwijage, na waNne kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati naMadini, Profesa Justin Ntalikwa.

  • 7/26/2019 MEM 123 Online.pdf

    2/18

    Juni 9 - 15, 2016 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    2

    Serikali yafaidika na Gawio

    kutoka Kampuni za MafutaNa Benny Mwaipaja,DODOMA

    Kampuni za mafuta zaPUMA Energy naTIPER, zimetoa gawiola shilingi Bilioni 6.5 kwaSerikali ikiwa ni faida

    iliyotokana na biashara iliyofanyikakatika kipindi cha mwaka wa Fedha2015/2016, ambapo Serikali ina hisaza asilimia 50 kwa kila kampuni.

    Mfano wa hundi zenye thamani ya

    kiasi hicho cha fedha zimekabidhiwakwa Waziri wa Fedha na Mipango,Dk. Philip Mpango, katika Ofisi zaHazina Ndogo Mjini Dodoma, Juni 9,2016

    Kampuni ya kwanza kukabidhigawio hilo (dividend) ni Puma Energy,inayojihusisha na biashara ya kuuzamafuta, ambayo ilikabidhi mfano wahundi yenye thamani ya shilingi Bilioni4.5 baada ya kampuni hiyo kupatafaida ya shilingi Bil. 9 katika kipindikinachoishia Desemba mwaka jana.

    Aidha Kampuni ya Tiperinayofanya biashara ya uhifadhi wamafuta (storage), imekabidhi gawio lashilingi Bilioni 2.

    Serikali imepata kiasi hicho chafedha kupitia Ofisi ya Msajili waHazina, inayosimamia Mashirika,Taasisi za Umma na Kampuni zenyehisa na serikali.

    Akizungumza baada ya kupokeahundi hizo, Waziri wa Fedha naMipango, Dk. Philip Mpango,amezishukuru kampuni hizo kwakuiwezesha serikali kupata kiasikikubwa cha Fedha zitakazotumikakuwahudumia wananchi.

    Leo ni siku yangu ya furahasana kwa kupata kiasi kikubwa chafedha kiasi hiki ikiwa ni siku mojatu tangu niwasilishe Bajeti Kuu ya

    Serikali bungeni hapa Mjini Dodomaaliongeza Dkt. MpangoAidha, Dkt. Mpango alimwagiza

    Msajili wa Hazina, LawrenceMafuru, kuhakikisha kuwa kampunizote ambazo serikali ni mbia zianzekulipa gawio kwa Serikali na kuachavisingizio kwa kutangaza kupatahasara kila mwaka wakati hawafungi

    biashara zao.Naomba vyombo vinavyohusika

    na ukusanyaji wa mapato ya serikalipamoja na Msajili wa Hazinakuzifuatilia na kuzikagua kampuniambazo Serikali ina hisa ili kubainiukweli ni kwanini hazitoi gawiozikisingizia kupata hasara kwenye

    biashara wakati hawafungi biasharahizo alisisitiza Dk. Mpango

    Dkt. Mpango pia amevitakavyombo vya Dola kufanya uchunguzi,ili kubaini mianya ya upotevu wamafuta bandarini na kuagiza walewote waliohusika na upotevu huowachukuliwe hatua.

    Haiwezekani wajanja wachachewanafaidika halafu wananchiwanyonge wanalala chini hospitalini.Nilisema jana na leo narudia, yeyote

    anayetukwamisha kwenye maendeleoni msaliti lazima washughulikiwekwa mujibu wa sheria bila huruma,alisema.

    Awali, Naibu Waziri wa Nishatina Madini, Dk. Medard Kalemani,alizipongeza kampuni hizo kwakutoa gawio hilo na kumhakikishiaWaziri wa Fedha na Mipangokuwa gawio hilo litaongezeka kwakasi kubwa katika miaka ijayo ilikuiwezesha serikali kuwa na uwezo wakuwahudumia wananchi.

    Mwaka 2014 tulipata gawio laShilingi Bilioni 3 kutoka Kampuni yaPUMA Energy, mwaka huu tumepata

    bilioni 4.5, ni matarajio ya Serikalikwa mwendo huu mwakani tunaweza

    kupata Bilioni 6, alisema Dkt.Kalemani.

    Alitoa wito pia kwa kampuninyingine zenye ubia na Serikaliambazo hazitoi gawio zianze sasakutoa akieleza kuwa mantiki ya gawioni kwamba kampuni inafanya kazi nainapata faida, inapokuwa haitoi gawiomantiki yake ni kwamba kampuniinafanya kazi haipati faida.

    Lakini ni vigumu kuamini kamakampuni hazipati faida kwa mfululizowa miaka 10 na inafanya kazi, sisitunaamini wanapata faida. Zipokampuni nyingi ambazo si busarakuzitaja hapa zinadai kupata hasarakila mwaka, alisema.

    Kuhusu upotevu wa mafutabandarini, Dkt. Kalemani alisematatizo hilo hivi sasa limedhibitiwa,

    baada ya Serikali kuanzisha chombomaalumu kinachoratibu na kudhibitiupotevu wa mafuta.

    Dkt. Kalemani alitoa ufafanuzihuo wa upotevu wa mafuta baada yaMwenyekiti wa Bodi ya Puma Energy,

    Dkt. Ben Moshi, kueleza kuwakatika kipindi cha mwaka 2014/2015

    kampuni hiyo imepata hasara ya Dolaza Marekani milioni 1.4 ambazo nizaidi ya Sh bilioni 2.5 kutokana naupotevu huo wa mafuta.

    Kwa upande wake, Mwenyekiti waBodi ya Wakurugenzi ya Kampuni yaTiper, Profesa Abdulkarim Mruma,alisema kuwa tangu mwaka 2010,kampuni hiyo imetoa gawio la shilingiBil. 6.4 kwa Serikali na kuahidi kuwa

    gawio hilo litaongezeka siku za usoni.Hafla hiyo ilihudhuriwa pia na

    Waziri wa Viwanda, Biashara naUwekezaji, Charles Mwijage ambayealitoa wito kwa wawekezaji wakiwemowale wanaofanya biashara zao kwakushirikiana na Serikali kufanya kazikwa uaminifu kwa kutangaza faidawanazopata kihalali ili serikali iwezekupata mapato yake yatakayosaidiakuboresha maisha ya wananchi.

    Naye Msajili wa Hazina, LawrenceMafuru, aliahidi kuyafuatilia nakuyasimamia Mashirika yote yaUmma na yale ambayo Serikaliimewekeza, ili kuhakikisha kuwa

    hawakwepi kulipa gawio ili kuiwezeshaserikali kupata mapato yake.

    Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango (katikati) akiwa na Msajili wa Hazina, Lawrence Mafuru(kushoto) na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (kulia) katika Osi za HazinaNdogo Mjini Dodoma ambapo Kampuni za mafuta za PUMA Energy na TIPER, zilitoa gawio la shilingiBilioni 6.5 kwa Serikali.

  • 7/26/2019 MEM 123 Online.pdf

    3/18

    3BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Juni 9 - 15, 2016

    FIVEPILLARS OFREFORMS

    KWA HABARI PIGA SIMUKITENGO CHA MAWASILIANO

    BODI YA UHARIRI

    MSANIFU: Lucas Gordon

    WAANDISHI: Veronica Simba, Asteria Muhozya, GreysonMwase, Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James ,

    Nuru Mwasampeta na Zuena Msuya

    INCREASE EFFICIENCY

    QUALITY DELIVERYOF GOODS/SERVICE

    SATISFACTION OFTHE CLIENT

    SATISFACTION OFBUSINESS PARTNERS

    SATISFACTION OFSHAREHOLDERS

    TEL-2110490

    FAX-2110389

    MOB-0732999263

    TPDC kujiendesha kibiashara,Katibu Mkuu yupo Sahihi

    TEL-2110490

    FAX-2110389

    MOB-0732999263

    Wiki hii, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati naMadini, Profesa Justin Ntalikwa alizindua Bodi yaWakurugenzi ya Shirika la Maendeleo ya PetroliTanzania (TPDC) ambayo itafanya kazi hadi tarehe 2Juni, 2019.

    Akizindua Bodi hiyo, Profesa Ntalikwa alitoamaagizo mbalimbali kwa Shirika hilo ikiwemokuhakikisha kuwa linajiendesha kibiashara ili

    kusukuma mbele gurudumu la maendeleo kupitiasekta ndogo ya mafuta na gesi asilia nchini.

    Aidha alisema kuwa, TPDC itakuwa na jukumula kushiriki katika shughuli za utafutaji, uzalishaji,utunzaji, uchakataji, usafirishaji na usambazaji wanishati hiyo ambapo TPDC sasa itakuwa na jukumu lakushindana na makampuni makubwa yanayojihusishana shughuli zote zilizo katika mnyororo mzima wathamani kwenye sekta husika.

    Profesa Ntalikwa alisema kuwa Serikali inaaminikwamba Bodi hiyo ya TPDC itatekeleza majukumuhayo kwa weledi, uadilifu na ufanisi wa hali ya juu ili

    kuleta tija katika sekta husika kwa kutumia ujuzi namaarifa waliyonayo Wajumbe hao hivyo kulifikishaShirika hilo kule linapotakiwa kufika.

    Aidha alitanabaisha kuwa Shirika hilo lina miradimingi mikubwa ambayo inahitaji usimamizi mkubwana wa karibu, hivyo kuiasa Bodi hiyo kuhakikishainaisimamia miradi hiyo kwa umakini ili kufikiamalengo yaliyowekwa.

    Profesa Ntalikwa aliwakumbusha Wajumbe haomalengo ya uanzishwaji wa Shirika hilo lilianzishwaikiwemo kukuza maendeleo ya sekta ya utafutaji nauzalishaji wa mafuta na gesi nchini; kujihusisha katika

    biashara ya utafutaji, uzalishaji, utunzaji, uchakataji nausambazaji wa bidhaa zitokanazo na mafuta.

    Mbali na malengo hayo, Profesa Ntalikwaalibainisha malengo mengine kuwa ni kufanya tafiti,utafutaji, uchimbaji, uendelezaji, uhifadhi, usafirishajina shughuli nyingine zinazohusiana na sekta husika.

    Sanjari na hilo, Lengo lingine la kuanzishwa kwaShirika hilo ni kuingia mikataba na makampuniyanayojishughulisha na shughuli za utafutaji nauendelezaji wa bidhaa za petroli kwa niaba ya Serikali.

    Tunaamini kwamba maagizo hayo ya KatibuMkuu yatatiliwa maanani na watendaji wa Shirikahilo pamoja na Bodi hiyo inayoundwa na wajumbe

    Sita ili kuhakikisha kwamba Sekta ndogo ya Mafutana Gesi inaleta manufaa kwa nchi yetu ya Tanzania.

    TAHARIRI

    Kukamilika kwa kituo chakupooza umeme KIA

    Na Greyson Mwase, Arusha

    Imeelezwa kuwa kukamilika kwakituo cha kupooza umeme chaKIA kilichopo karibu na Uwanja waKimataifa wa Kilimanjaro (KilimanjaroInternational Airport) kumepelekea

    tatizo la kukatika kwa umeme kuisha katikamkoa wa Arusha na baadhi ya maeneo yaManispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro nakuongeza kipato kwa wakazi wa mkoa huo.

    Kauli hiyo ilitolewa na Meneja waShirika la Umeme nchini (TANESCO),Mkoa wa Arusha, Mhandisi Gaspa Msigwa,

    kwenye ziara ya waandishi wa habari kutokavyombo mbalimbali vya habari nchini katikamiradi ya TEDAP na mradi wa usafirishajiumeme kutoka Iringa hadi Shinyangakatika msongo wa kilovolti 400 (BITP)inayofadhiliwa na Benki ya Dunia (WB).

    Lengo la ziara hiyo lilikuwa ni kuonahatua za utekelezaji, mafanikio nachangamoto za miradi hiyo pamoja nakupata maoni ya wanufaika wa miradi hiyo.

    Akielezea mradi huo Mhandisi Msigwa

    alisema kuwa ujenzi wa kituo hichouliogharimu Dola za Marekani Milionisaba, ulianza mwaka 2011 na kukamilikamapema Desemba mwaka 2013.

    Alisema kabla ya ujenzi wa kituohicho, umeme ulikuwa unasafirishwakutoka katika kituo cha Kiyungi kilichopomkoani Kilimanjaro hadi jijini Arushaumeme ambao ulikuwa hautoshelezi katikamatumizi ya majumbani na katika viwandavidogo.

    Aliongeza kuwa pia kulikuwepo natatizo la kupotea kwa umeme mwingikutokana na kusafirishwa katika umbali

    mrefu.Alisema kuwa tangu kukamilikakwa kituo hicho wateja zaidi ya 89,000waliunganishiwa umeme ambapo mpakasasa wanapata umeme ambao ni wauhakika.

    Alisema kutokana na ongezeko lawateja pamoja na kupatikana kwa umemewa uhakika katika mkoa huo, TANESCOimeweza kukusanya shilingi bilioni Tisa

    n Kwatatua changamoto ya ukatikajiUmeme, Arusha na Moshi

    INAENDELEA UK. 4>>

    Sehemu ya

    kituo chakupoozaumemecha KIA132/33kVkilichopomkoaniKilimanjarokamakinavyo-onekanapichani.

  • 7/26/2019 MEM 123 Online.pdf

    4/18

    4 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Juni 9 - 15, 2016

    Kukamilika kwa kituo cha kupooza umeme KIA

    Meneja Miradi ya Usarishaji na UsambazajiUmeme kutoka Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO), Mhandisi Emmanuel Manirabona (wapili kutoka kulia) akielezea mafanikio ya kituocha kupoza umeme cha KIA 132/33kV kilichopomkoani Kilimanjaro.

    Meneja Miradi ya Usarishajina Usambazaji Umemekutoka Shirika la UmemeTanzania (TANESCO),Mhandisi EmmanuelManirabona akielezea jinsikifaa cha kuongozea mitamboya umeme kinavyofanya kazimbele ya waandishi wa habari(hawapo pichani).

    Msimamizi wa kituo cha KIA 132/33kV,

    Isaack Sarakikya (katikati) akionesha jinsivifaa vya kuongozea mitambo vinavyofanyakazi

    Meneja wa Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO), Mkoa wa Arusha Mhandisi GaspaMsigwa ( wa pili kutoka kulia) akielezea hali yaupatikanaji wa umeme mkoani Arusha kutokanana kukamilika kwa kituo cha kupooza umemecha KIA 132/33kV kilichopo mkoani Kilimanjaro.

    Meneja Miradiya Usarishajina UsambazajiUmeme kutokaShirika laUmeme Tanzania(TANESCO),MhandisiEmmanuelManirabona (katikati) akielezeanamna ya uwekajiwa nyaya zaumeme chini yasakafu kwa lengola kuimarishausalama katikakituo cha KIA132/33kVkilichopo mkoaniKilimanjaro.

    Sehemu ya mitambo ya kampuni inayojishughulishana uzalishaji wa kokoto ya Ravji Aggregate Limitediliyopo wilayani Arumeru mkoani Arusha ambayo nimoja ya wanufaika wa umeme kutoka katika kituocha KIA 132/33kV.

    kwa mwezi tofauti na kipindi cha awaliambapo makusanyo yalikuwa yanafikiawastani wa shilingi bilioni nane kwamwezi.

    Aliendelea kusema kuwa kukamilikakwa kituo hicho kumehamasishakuongezeka kwa ujenzi wa nyumbapamoja na kuanzishwa kwa viwandavidogo katika Mkoa wa Arusha.

    Wakati huo huo, Julius Urassaambaye ni msimamizi wa kampuniinayojihusisha na uzalishaji wa kokoto yaRavji Aggregate Limited iliyopo wilayaniArumeru mkoani Arusha alisema kuwakabla ya kukamilika kwa kituo hichohali ya umeme katika mkoa wa Arushahaikuwa nzuri.

    Kabla ya kuwepo kwa kituo chaKIA, umeme ulikuwa unakatika marakwa mara na kuathiri uzalishaji katikakiwanda chetu; lakini sasa tunapataumeme wa uhakika, alisema

    Aliogeza kuwa kutokana naupatikanaji wa umeme wa uhakika,kampuni yake ina uwezo wa kuzalishatani 100 za kokoto kwa siku tofauti nazamani ambapo walikuwa na uwezowa kuzalisha kati ya tani 40 hadi 60 zakokoto kwa siku.

    Naye Meneja wa Kampuniinayojihusisha na utengenezaji wamatofali kwa njia ya umeme ya MelckHardware iliyopo Maji ya Chai njekidogo ya jiji la Arusha, Hansi Saidalisema kuwa hali ya umeme katikamkoa wa Arusha imetengemaa haliiliyopelekea uzalishaji kuongezeka katikakampuni yake.

    Alisema kutokana na upatikanajiwa umeme wa uhakika, kampuni yakeambayo hutengeneza matofali kulinganana oda kutoka kwa wateja, imeongezauzalishaji kutoka wastani wa tofali 700hadi 2,000 kwa siku.

    Naye John Augustino mkazi waArumeru mkoani Arusha aliongezakuwa tangu kuanza kupatikana kwaumeme wa uhakika, hali ya maisha katikafamilia yake imeboreka kutokana nakuuza bidhaa zaidi ya maziwa tofauti namwanzo katika duka lake.

    Bidhaa za vinywaji hususanmaziwa yalikuwa yanaharibika kutokanana kukatika kwa umeme, lakini kwasasa tunapata umeme wa uhakika,hali inayochangia kuuza bidhaa borazaidi,alisisitiza.

    INATOKA UK. 3>>

    John Augustino mkazi wa wilaya ya

    Arumeru mkoani Arusha akielezeamchango wa kituo cha KIA 132/33kVkatika ukuaji wa uchumi wa wakaziwa mkoa huo.

  • 7/26/2019 MEM 123 Online.pdf

    5/18

    5BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Juni 9 - 15, 2016

    Samwel Mtuwa naPriscuss Benard-GST

    Rais wa Jamhuri yaMuungano wa TanzaniaDkt. John Joseph PombeMagufuli hivi karibuniamekabidhiwa Kitabu

    kinachoonesha takwimu na taarifaza sasa za madini yanayopatikananchini (Minerogenic Map ofTanzania) ambacho kimeambatanana ramani.

    Kitabu hicho kilitokana na Utafitiwa Jiosayansi uliofanyika chini yaMradi wa Usimamizi Endelevuwa Rasilimali Madini (SMMRP)ulio chini ya Wizara ya Nishati naMadini, kwa kushirikiana na Benkiya Dunia (WB), na kuchapishwa naWakala wa Jiolojia Tanzania (GST)kwa kushirikiana na Chuo Kikuucha Dar es Salaam (UDSM).

    Rais Mstaafu, Jakaya MrishoKikwete ndiye aliyekabidhikitabu hicho wakati wa Haflaya uwekaji wa jiwe la msingi laujenzi wa maktaba ya kisasa katikaChuo Kikuu cha Dar es Salaamiliyofanyika tarehe 02 Juni, 2016,

    jijini Dar es Salaam.

    Kitabu hicho kilichoambatana naRamani ndicho kilichoshinda katikaMaonesho ya Machapisho ya Utafitiyaliyofanyika katika Chuo Kikuu chaDar es salaam kuanzia tarehe 25 hadi27, Mei 2016.

    Akizungumza na MEM Bulletin,Mkuu wa Machapisho katikaChuo Kikuu cha Dar es Salaam,Prof. Shukrani Manya ambayepia ni Mwenyekiti wa Bodi yaUshauri GST, alisema kuwa ubora

    wa chapisho hilo unatokana naupatikanaji wake kwani kitabukimeandaliwa na kinapatikana kwamfumo wa karatasi (hard copy) namfumo wa digitali (soft copy).

    Kupatikana kwa kitabu hichokatika mfumo wa hardcopy nasoft copy inafanya kiwe rahisikudurusiwa kwa maana yakuongeza au kupunguza pindiyatakapotokea mabadiliko mengineya utafiti, alisema Prof. Manya.

    Prof. Manya aliongeza kuwakupitia chapisho hilo anatarajiakuwa asilimia kubwa ya watanzania

    watapata ufahamu juu ya Jiolojiaya Tanzania na rasilimali nyingine

    zilizopo ardhini.Aliongeza kuwa kuwepo kwatakwimu na taarifa hizo ambazo niza kisasa na sahihi (very current andprecise) kutapelekea kuongezeka kwauwekezaji katika maeneo ambayohayajaanza kufanyiwa shughuli zauchimbaji madini na utafiti wa kina.

    Aidha, kwa niaba ya GST,Mtendaji Mkuu wa Taaisisihiyo, Prof. Abdulkarim Mrumaalimshukuru Rais wa Jamhuri ya

    Muungano wa Tanzania, Dkt. JohnPombe Magufuli kwa kupokeazawadi hiyo.

    Tuna imani kuwa kwa nafasiyake, atazitangaza rasilimali

    madini zilizopo hapa nchini kamazilivyoainishwa kwenye chapishohilo kwa lengo la kuvutia wawekezajikatika Sekta ya Madini, alisemaProf. Mruma.

    Prof. Mruma pia aliwashukuruwatumishi wa GST na UDSM kwakuonesha juhudi kubwa na weledikatika kuandaa na kuchapishakitabu hicho, pia aliushukuruuongozi wa Wizara ya Nishati naMadini kwa ushirikiano mkubwawalioutoa kupitiaa mradi waSMMRP.

    Aliongeza kuwa chapisho hilolimedhihirisha kuwa watanzaniawana uwezo mkubwa wa kufanyatafiti endapo watawezeshwa kwanikitabu hicho kinaonesha maeneoyanayopatikana madini nchini,kuangalia hali ya Jiolojia ya nchi( Review Geological Status)nakimetoa takwimu na taarifa ya sasaya Jiolojia ya nchi .( The Most up todate Geological Data).

    Naye Dkt. Nelson Bonifaceambaye ni Mhadhiri wa Chuo Kikuucha Dar es salaam katika Idara yaJiolojia na Mjumbe wa Bodi yaUshauri ya GST, alisisitiza kuwa

    jamii inatakiwa ijenge utamaduni wakusoma tafiti ili kuweza kufahamumasuala mbalimbali na pia aliasaTaasisi zinazofanya masuala yaUtafiti zijengewe uwezo wa kufanya

    na kuchapisha tafiti kwa maendeleoya Taifa na jamii kwa ujumla.Alisema kuwa Ubora wa Taasisi

    ya utafiti ni kuchapisha tafiti kamaGST ilivyofanya. Kwa kawaidautafiti hauwezi kukamilika bilakutoa taarifa au majibu ya tafiti,Niwapongeze GST kwa kazinzuri waliyofanya ambayo ina faidakwa kizazi hiki na kijacho. Kamaunaandika sasa hivi unazungumzana kizazi kilichopo na kijacho.

    Kwa upande wa Mkurugenziwa Idara ya KanziData ya GST,ambaye pia ni Mratibu wa Mradiwa SMMRP kwa upande waGST, Yorkbeth Myumbilwa,alisema kuwa kitabu hicho kipo

    katika kiwango cha kisasa, kwasababu kinatoa taarifa na takwimuza Jiolojia ambazo ni za sasa nazinaweza kusaidia pia watafitiwengine katika ya sekta ya Kilimo ,Maji na Mafuta.

    Aliwaasa wadau mbalimbali kwaujumla kufika katika Ofisi za GSTmkoani Dodoma ili waweze kupatataarifa mbalimbali za Jiosayansizitakazowasaidia katika kazi zaombalimbali ili waweze kufanyamamuzi sahihi na kuongeza tijakatika shughuli zao.

    Sambamba na chapisho hilo,GST pia ina machapisho, takwimuna taarifa mbalimbali za utafiti waJiosayansi (Jiolojia, Jiokemia naJiofizikia)zilizokusanywa tokea enziza Mkoloni.

    RAIS AKABIDHIWA

    KITABU KUTOKA GST

    Rais Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) akimkabidhi Raiswa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Joseph PombeMagufuli zawadi ya kitabu kilichoambatana na ramani inayooneshamadini yanayopatikana nchini Tanzania, zawadi ilitolewa katika haaya uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa maktaba ya kisasa katikaChuo Kikuu cha Dar es Salaam.

  • 7/26/2019 MEM 123 Online.pdf

    6/18

    6 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Juni 9 - 15, 2016

    TPDC kujiendesha kibiashara

    Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia masuala ya Nishati, Dkt. MhandisiJuliana Pallangyo (kushoto) akizungumza jambo wakati wa uzinduziwa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania(TPDC). Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa

    Justin Ntalikwa.

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa

    (kushoto) akimkabidhi vitendea kazi Mwenyekiti wa Bodi yaWakurugenzi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC),Profesa Suan Bukurura.

    Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Maendeleo ya PetroliTanzania (TPDC) wakati wa uzinduzi rasmi wa Bodi hiyo. Kutoka

    kushoto ni Balozi Dkt. Ben Moses, Jaji Mstaafu Josephat Mackanja, Prof.Abiud Kaswamila, Prof. Hussein Sosovele, Mwanamani Kidaya na Dkt.Shufaa Al-Beity.

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa(wa tatu kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbewa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania(TPDC) na Menejimenti ya shirika hilo baada ya uzinduzi wa Bodi hiyo.

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa(mbele) akiongoza kikao cha uzinduzi wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirikala Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kilichofanyika jijini Dar esSalaam.

    Na Mohamed Seif

    Shirika la Maendeleo ya PetroliTanzania (TPDC), limetakiwakuhakikisha linajiendeshakibiashara ili kusukuma mbelegurudumu la maendeleo

    kupitia sekta ndogo ya mafuta na gesiasilia nchini.

    Wito huo umetolewa jijini Dar esSalaam na Katibu Mkuu wa Wizaraya Nishati na Madini Profesa JustinNtalikwa wakati wa uzinduzi wa Bodiya Wakurugenzi ya Shirika hilo kwaniaba ya Waziri wa Nishati na Madini,Profesa Sospeter Muhongo.

    Alisema kuwa, TPDC itakuwa najukumu la kushiriki katika mnyororo

    mzima wa thamani katika sekta ndogoya mafuta na gesi yaani utafutaji,uzalishaji, utunzaji, uchakataji,usafirishaji na usambazaji na hivyoShirika hilo linapaswa kujiendeshakibiashara zaidi kwa manufaa ya Taifa.

    TPDC sasa itakuwa na jukumu lakushindana na makampuni makubwayanayojihusisha na shughuli zote zilizokatika mnyororo mzima wa thamanikwenye sekta husika, alisema ProfesaNtalikwa.

    Profesa Ntalikwa alisema Serikaliinaamini kwamba Bodi hiyo itatekelezamajukumu yake kwa weledi, uadilifuna ufanisi wa hali ya juu ili kuletatija katika sekta husika. Imani yaSerikali kupitia weledi ujuzi na maarifamliyonayo mtalifikisha Shirika hili kulelinapotakiwa kufika.

    Aliongeza kwamba Shirika hilolinayo miradi mingi mikubwa ambayoinahitaji usimamizi mkubwa nawa karibu, hivyo kuiasa Bodi hiyokuhakikisha inaisimamia kwa umakiniili kufikia malengo yaliyowekwa.

    Tunahitaji kuwa makini kwenyekusimamia miradi mbalimbaliiliyo chini ya Shirika hili; tujitahidi

    tusiboronge. Bodi hii inajukumu kubwala kuhakikisha miradi inakamilika kwaweledi na kwa wakati, alisema ProfesaNtalikwa.

    Profesa Ntalikwa alibainishakwamba Shirika la TPDC lilianzishwakwa malengo mbalimbali ambayo nikukuza maendeleo ya sekta ya utafutajina uzalishaji wa mafuta na gesi nchini;kujihusisha katika biashara ya utafutaji,uzalishaji, utunzaji, uchakataji nausambazaji wa bidhaa zitokanazo namafuta.

    Mbali na malengo hayo, ProfesaNtalikwa alibainisha malengo menginekuwa ni kufanya tafiti, utafutaji,uchimbaji, uendelezaji, uhifadhi,usafirishaji na shughuli nyinginezinazohusiana na sekta husika.

    Lengo lingine la Shirika hilo nikuingia mikataba na makampuniyanayojishughulisha na shughuli zautafutaji na uendelezaji wa bidhaa zapetrol kwa niaba ya Serikali.

    Aidha, aliiahidi Bodi hiyo yaWakurugenzi ushirikiano wa karibukatika utekelezaji wa majukumu yake.

    Naye Mwenyekiti wa Bodi hiyo,Profesa Sufian Bukurura akizungumza

    baada ya uzinduzi wa Bodi hiyo,aliahidi kuwa Bodi hiyo itafanyashughuli zake kwa weledi na uadilifumkubwa ili kuhakikisha malengoyanafikiwa.

    Kwa kuwa mmetuamini kutupajukumu hili zito, hatutawaangusha.

    Nakuahidi kwa niaba ya wajumbewa Bodi tutatimiza wajibu wetu kwaumakini, uadilifu na kasi ya Serikali hiiya Awamu ya Tano.

    Bodi hiyo iliyoteuliwa hivi karibuniinaundwa na wajumbe sita ambao niBalozi Dkt. Ben Moses, Jaji MsataafuJosephat Mackanja, Dkt. Shufaa Al-Beity, Prof. Abiud Kaswamila, Prof.Hussein Sosovele na MwanamaniKidaya chini ya Mwenyekiti wake Prof.Sufian Bukurura.

  • 7/26/2019 MEM 123 Online.pdf

    7/18

    7BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Juni 9 - 15, 2016

    Na Greyson Mwase,Dodoma

    Imeelezwa kuwamradi wa usafirishajiumeme kutoka Iringahadi Shinyanga katikamsongo wa kilovolti

    400 unaofadhiliwa nawashirika mbalimbali wamaendeleo unatarajiwakukamilika ifikapo Septembamwaka huu.

    Hayo yalielezwa

    na Meneja Mradianayesimamia ujenzi wavituo vya kupoza umemewa mradi huo, MhandisiJames Mtei katika ziara yawaandishi wa habari kutokavyombo mbalimbali vyahabari nchini inayoendeleamkoani Dodoma lengolikiwa ni kujionea utekelezajiwa miradi ya umemeinayofadhiliwa na Benki yaDunia (WB).

    Mhandisi Mtei alisemakuwa mradi huo uliogharimuzaidi ya Dola za Marekanimilioni 224 sawa na takribanShilingi bilioni 387.5

    umejumuisha ujenzi wa njiaya kusafirisha umeme umbaliwa kilomita 670 na vituo vyakupoza umeme katika mikoaya Iringa, Dodoma, Singidana Shinyanga.

    Alisema kwa upande

    wa sehemu ya kutoka Iringahadi Dodoma kilomita 225imeshakamilika kwa asilimia99 na kinachosubiriwakwa sasa ni mkandarasi

    kulifahamisha rasmi Shirikala Umeme Tanzania(TANESCO) kuwa kaziimemalizika ili kituo kianzekufanyiwa majaribio nakukabidhiwa kwa serikalimwishoni mwa mwezi Juni

    mwaka huu.Alifafanua kuwa sehemu

    nyingine za kutoka Dodomahadi Singida na Singida hadiShinyanga utekelezaji wakeumefikia asilimia 89 ambapomradi wote kwa ujumlaunatarajiwa kukabidhiwakwa serikali mapemaSeptemba mwaka huu.

    Alisisitiza kuwamara baada ya mradiwote kukamilika kamailivyopangwa hali yaumeme katika mikoa yaIringa, Dodoma, Singida,Shinyanga na Kanda yaZiwa kwa ujumla itaimarikasana.

    Wakati huo huoMhandisi Nishati Mkuukutoka Wizara ya Nishatina Madini, Mhandisi

    Salum Inegeja aliongezakuwa mradi huu ni sehemuya mradi mkubwa wakuunganisha gridi zaZambia, Tanzania na Kenya(ZTK).

    Alisema kuwa katikamradi huo wa kikanda,Tanzania imeshatekelezasehemu kubwa ya mradi huokutoka Iringa hadi Singida nasehemu iliyobaki ya kutokaSingida hadi Namangakupitia Arusha fedha zakekutoka Benki ya Maendeleoya Afrika (AfDB) na Shirikala Maendeleo la Kimataifa laJapan (JICA) zilishapatikana

    ambapo kwa sasa taratibu zatathmini ya fidia kwa watu

    watakaopisha mradi huozinaendelea.

    Aliendelea kusema katikasehemu ya kutoka Mbeyahadi Tunduma upembuziyakinifu unaendelea ambapounatarajiwa kukamilikaifikapo mwezi Novembamwaka huu.

    Mhandisi Inegeja alisemakukamilika kwa mradi mbalina kuimarisha upatikanajiwa umeme nchini,kutaiwezesha Tanzania

    kushiriki kikamilifu katikabiashara ya umeme kupitia

    mifumo ya gridi za nchi jiranikatika ukanda wa mashariki(Eastern African Power Pool-EAPP) na zilizopo katikaukanda wa kusini (SouthernAfrican Power Pool -SAPP).

    Alitaja nchi zilizopokatika ukanda wa masharikini pamoja na Kenya,Uganda, Sudan, Ethiopia,Libya, Misri na Djibouti nazilizopo katika ukanda wakusini ni pamoja na Afrika yaKusini, Namibia, Botswana,

    Zimbabwe, Zambia, Angolana Swaziland.

    Mradi mkubwa wa umeme, Iringa

    Shinyanga kukamilika Septemba, 2016

    Meneja Mradi anayesimamia ujenzi wa vituo vyakupoza umeme wa mradi wa usarishaji umemekutoka Iringa hadi Shinyanga kV 400, Mhandisi JamesMtei (kushoto) akiwaeleza waandishi wa habari juuya maendeleo ya ukamilishwaji wa kituo cha kupozaumeme cha Dodoma kilichopo katika eneo la Zuzumkoani Dodoma

    Mhandisi Nishati Mkuu kutoka Wizara ya Nishati naMadini, Salum Inegeja (kushoto) akifafanua jambo kwawaandishi wa habari waliofanya ziara katika kituo chakupoza umeme cha Dodoma, ambacho ni sehemuya mradi wa usarishaji umeme kutoka Iringa hadiShinyanga katika msongo wa kilovolti 400 katika eneo laZuzu mkoani Dodoma.

    Meneja Mradi wa usarishaji umeme kutokaIringa hadi Shinyanga katika msongo wa kilovolti400 anayeshughulikia ujenzi wa njia ya usarishajiumeme, Mhandisi Oscar Kanyama akielezea wigo wamradi huo mbele ya waandishi wa habari waliofanya

    ziara katika kituo cha kupoza umeme cha Dodomaambacho ni sehemu ya mradi huo katika eneo la Zuzumkoani Dodoma

    Mhandisi Nishati Mkuu kutoka Wizara ya Nishati naMadini, Mhandisi Salum Inegeja (kushoto) akimsikilizamsimamizi wa ujenzi wa kituo cha kupooza umemecha Dodoma, Joachim Reuber kutoka kampuni yaFichtner ya Ujerumani mara baada ya kuwasili katikakituo hicho kilichopo katika eneo la Zuzu mkoaniDodoma.

  • 7/26/2019 MEM 123 Online.pdf

    8/18

    8 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Juni 9 - 15, 2016

    STAMIGOLD YAWEZESHA VIKUNDI VYAWAJASIRIAMALI KUJIKWAMUA KIUCHUMI

    Jacqueline Mattowo& Godfrey Francis-STAMIGOLD

    Mgodi waSTAMIGOLDBiharamulo kupitiaKitengo chake chaMahusiano ya jamii

    mwaka 2014 uliwezesha kuanzishwakwa vikundi vya ujasirimali kwawakazi wa vijiji vilivyo jirani na mgodiMavota na Mkunkwa lengo likiwakusaidia jamii hizo kujikwamuakiuchumi na kuondokana na dhanaya kuishi kwa kutegemea kusaidiwa

    na mgodi.Vikundi hivi ni pamoja na kikundi

    cha Kina Mama Maendeleo Mavotana kikundi cha Jitihada vyote kutokakijiji cha Mavota , pia kikundi chaMuamko kutoka kijiji cha Mkunkwaambapo vikundi vyote vilipatiwamafunzo ya ujasiriamali, elimu ya

    biashara na namna ya kuendeshakikundi pamoja na kusaidiwakufanikisha usajili hivyo kutambulikakisheria mpaka ngazi ya wilaya.

    Hivi karibuni Kitengo chaMawasiliano cha STAMIGOLDkilifanya mahojiano na viongozi wakikundi cha Kina Mama MaendeleoMavota ili kufahamu maendeleo ya

    kikundi hicho tangu kuanzishwakwake ikiwemo changamotozinazowakabili katika kufikiamalengo waliyojiwekea.

    Mwenyekiti wa Kikundi hicho,Genoviva Lucas alibainisha kuwa,kikundi kilianzishwa mwezi Julaimwaka 2014 na kina jumla yawanachama 54 ambapo mpaka sasawanachama hai wanaoendelea nakikundi ni 38 na wote ni wanawake.

    Wazo la kuanzisha kikundililitokana na mkutano uliofanywa naMwenyekiti wa Kijiji cha Mavota,Nicas Chakupewa ikiwa ni mwitikiowa wito uliotolewa na Kitengocha Mahusiano ya jamii katikamgodi wa Biharamulo ukihimiza

    wanakijiji kubuni njia mbalimbaliza kujikwamua kiuchumi ikiwemokuanzisha vikundi vya ujasiriamali, alieleza Genoviva.

    Kikundi cha Mama MaendeleoMavota, huuza mgodini bidhaambalimbali kama mbogamboga,matunda, na vyakula vya asilikama mihogo, maboga, viazivitamu na magimbi ambapo

    baadhi ya mazao yanalimwa nawanakikundi na mengine kikundihununua kwa wanakijiji . Mgodi waBiharamulo ndio soko kuu la bidhaazinazozalishwa tangu kuanza kwakikundi.

    Kwa upande wake Mhasibu waKikundi, Justina Husein alielezea

    kuwa Kikundi hicho kimewaleteamanufaa mbalimbali tangukuanzishwa kwake kwani sasawana kikundi wana njia ya uhakikaya kujiingizia kipato ili kujikimukimaisha na kupata soko la uhakika.

    Wengi wetu hatukuwa na mtajiwa kutuwezesha kulima mazao mbalimbali au kununua bidhaa nyingikwa wakati mmoja lakini kupitiakikundi imekuwa ni rahisi kukusanyanguvu kwa pamoja. Vilevile faidanyingine ya kuwa na kikundi niuwezo wa kukopesheka katikataasisi za fedha kwani kikundi chetukimesajiliwa kisheria na pia mtajiwetu umekua kutokana na soko lauhakika la bidhaa zetu katika mgodiwa Stamigold ambapo tangu tuanzempaka sasa kikundi kimejipatiashilingi za kitanzania milioni 130kutokana na mauzo yaliyofanyikakatika vipindi tofauti, alisemaJustina.

    Mbali na mafanikio ya ujumla,wanachama wa kikundi chaKina Mama Maendeleo Mavotawameweza kupata manufaa binafsiikiwemo kuhudumia familia zao kwakuwatimizia mahitaji yote muhimukama chakula, malazi, matibabuna elimu bila kukwama tofauti nawalipokuwa hawajajiunga na kikundi.Vile vile wengi wa wanachamawameweza kukuza mitaji ya biasharazao binafsi hivyo kuboresha hali yaoya maisha.

    Mgodi wa Stamigold Biharamulo,umedhamiria kuhakikishaunazijengea jamii zilizo jirani namgodi uwezo wa kujikwamua

    kiuchumi ili hata pale inapotokeamgodi umemaliza shughuli zake zauchimbaji wanajamii wawe tayariwameondokana na ile dhana yakuishi kwa kusubiri kusaidiwa namgodi.

    Mhasibu wa kikundi cha kina Mama Maendeleo Mavota,Justina Husein akipima uzito wa gunia lenye nyanya chunguwakati walipokisha oda zao katika mgodi wa STAMIGOLD.Anayeshuhudia ni Hezron Andrea kutoka kitengo cha Boharimgodini hapo.

    Wataalam STAMIGOLD wajenga Bwawala kipekee la kuhifadhi Mabaki ya DhahabuNa Jacqueline Mattowo-STAMIGOLD

    Mwaka 2015 Idaraya Uchenjuajikatika mgodi waSTAMIGOLDBiharamulo kwa

    kushirikiana na Idara ya Uchimbaji naKitengo cha Mazingira ilianza ujenziwa bwawa la kipekee la kuhifadhimabaki ya dhahabu au kwa lugha yakitaalamu Tailings Storage Facility(TSF) kwa kutumia moja ya mashimoyaliyoachwa (old pit) na kampuni yaAfrican Barrick Gold sasa ACACIA

    ikiwa ni baada ya bwawa la zamanikujaa .Meneja wa Idara ya Uchenjuaji

    katika mgodi wa Biharamulo,Christopher Mwinuka alieleza kuwamara baada ya Bwawa la zamanilililokuwa na uwezo wa kupokeamabaki ya dhahabu kwa mudawa mwaka mmoja kujaa ilitakiwakujengwa bwawa jipya.

    Hivyo kwa kutumia wataalamwa ndani ya mgodi waliweza kubuninjia nyingine mbadala baada ya kuonauwezekano wa kutumia moja yamashimo yaliyokuwa yakichimbwadhahabu na kampuni iliyopitaambapo shimo linaweza kugeuzwa

    bwawa na kupokea mabaki ndani yamiaka miwili, alisema Mwinuka.

    Bwawa jipya lililojengwa kwa

    kutumia mashimo ya zamanilimejengwa kitaalam na kwakuzingatia uhifadhi wa mazingira

    hivyo kutumia mali ghafi ambazohaziruhusu kwa namna yeyote ile majiau mabaki yanayohifadhiwa kupenyaardhini na kuharibu mazingira.alisema Mwinuka.

    Aidha alizitaja faida za ujenzi huokuwa ni wa gharama nafuu ambapo

    bwawa lililojengwa kwa kutumiamashimo ya zamani gharama zakeni Dola za kimarekani milioni 1tofauti na Dola milioni 4.5 ambazozingetumika kujenga bwawa jipyaambalo halitokani na mashimo yazamani .

    Pia ujenzi huo ni rafiki wamazingira ukilinganisha na ujenzimwingine kwani ufukiaji wa mashimo

    (backfilling) utakuwa rahisi hukobaadae (rehabilitation) na vilevileujenzi huo hautaweza kuharibu maji

    yaliyopo ardhini (ground water)kutokana na mali ghafi zilizotumikakatika ujenzi huo.

    Mwinuka aliishukuru Serikalikwa kuwaamini Wataalam wandani ambao wanafanya kazi kwamafanikio makubwa bila kutegemeawataalam wa kigeni.

    Ningependa kuwapongezawafanyakazi wenzangu wa Idara yaUchenjuaji, Idara ya Uchimbaji naKitengo cha Mazingira ambao kwapamoja tulishiriki katika kubuni ujenziwa bwawa hili la kipekee, alielezaMwinuka

    Mgodi wa Stamigold Biharamuloni mgodi pekee wa dhahabu hapa

    nchini unaomilikiwa na Serikali nakuzalisha dhahabu chini ya WataalamWazawa pekee.

  • 7/26/2019 MEM 123 Online.pdf

    9/18

    9BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Juni 9 - 15, 2016

    Na Zuena Msuya,Dar es salaam

    Naibu Katibu Mkuu waWizara ya Nishati naMadini anayeshughulikiaNishati, Dkt. MhandisiJuliana Pallangyo

    amezindua Bodi ya Wakala waUagizaji wa Mafuta kwa Pamoja

    nchini (PBPA).Akizungumza mara baada ya

    kuzindua Bodi hiyo jijini Dar esSalaam hivi karibuni, Dkt. Pallangyo

    alisema kuwa PBPA inapaswakufanya kazi kama ilivyoelekezwa ilikuleta ufanisi kwa taifa.

    Alisema kuwa Bodi hiyoimeaminiwa na ndiyo maanaimepewa dhamana ya kusimamiaWakala wa Uagizaji wa Mafutakwa pamoja nchini, hivyo nivyema kuthibitisha uaminifu huokwa kufanya kazi kwa kiwangokinachotakiwa.

    Wakala huo ulianzishwa rasmimwaka 2015 kwa lengo la kusimamiausalama wa mafuta ya Petroli,Dizeli, Mafuta ya Ndege (JET) na

    Mafuta ya taa; Pia, kuhakikishauwepo wa mafuta nchini wakatiwote na kuhakikisha kuwa wale wotewalioagiza mafuta wanapata malipostahiki na kwa wakati.

    Aidha, Dkt. Pallangyo alisemakuwa Bodi hiyo inapaswa kumshauriWaziri wa Nishati na Madini juu yamuundo mzima wa suala la uagizajimafuta kwa pamoja ili kuongezaufanisi wa huduma hiyo.

    Majukumu mengine ni kusimamia

    mapato na matumizi ya Wakala huyo,ajira, usalama kazini na miongozoyote inayohusu PBPA.

    Kwa upande wake, Mwenyekiti

    wa Bodi husika Dkt. Steve Mdachialiahidi kuwa hawataiangushaSerikali na pia watatimiza kilekilichokusudiwa ili kuleta tija naufanisi kwa taifa.

    Dkt. Mdachi alisema kuwa kaziyao ya kwanza ni kuhakikisha kuwawafanyakazi wa PBPA wanakuwakatika mazingira mazuri na bora yakazi ili waweze kutimiza majukumuyao kwa viwango vinavyotakiwa.

    Bodi ya PBPA imeteuliwa naWaziri wa Nishati na Madini ProfesaSospeter Muhongo hivi karibuni naitaongozwa na wajumbe watanoakiwemo Mwenyekiti pamoja nawajumbe wanne.

    Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Nishati,Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo (wa pili kushoto), akimkabidhi vitendeakazi, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja(PBPA), Dkt. Steve Mdachi (wa pili kulia). Wanaoshuhudia ni Mjumbe waBodi hiyo, Salum Mnuna (kulia) na Mkurugenzi wa PBPA Michael Mjinja(kulia)

    Bodi ya PBPA yazinduliwa rasmi

    Wajumbe wa Bodi ya PBPA pamoja na watendaji wengine wa Wizaraya Nishati na Madini wakiwa pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa Wizaraya Nishati na Madini anayeshughulia Nishati Dkt. Mhandisi JulianaPallangyo (katikati) mara baada ya kuzindua rasmi Bodi hiyo.

    JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA NISHATI NA MADINI

    JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA NISHATI NA MADINI

    TAARIFA KWA UMMA TAARIFA KWA UMMA

    Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. Profesa Sospeter M. Muhongo (Mb),amemteua Dk. Steve Mdachi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Uagizajiwa Mafuta kwa Pamoja (PBPA), kuanzia tarehe 03 Juni, 2016.

    Kufuatia uteuzi huo, amewateua pia wafuatao kuwa Wajumbe wa Bodi yaWakurugenzi ya PBPA kuanzia tarehe 03 Juni, 2016.1. Dkt. Daniel Sabai2. Dkt. Henry Chalu3. Dkt. Siasa Mzenzi4. Bw. Salum Mnuna

    Imetolewa na;

    KATIBU MKUU6 Juni, 2016

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli,amemteua Prof. Sufian Hemed BUKURURA kuwa Mwenyekiti wa Bodi yaWakurugenzi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuanzia tarehe 30Mei, 2016.

    Kufuatia uteuzi huo, Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Profesa Sospeter M. Muhongo(Mb.), amewateua wafuatao kuwa Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya TPDCkuanzia tarehe 3/6/2016 hadi tarehe 2/6/2019;1. Mhe. Jaji Josephat M. Mackanja2. Balozi Dkt. Ben Moses3. Prof. Abiud Kaswamila4. Prof. Hussein Hassani Sosovele5. Dkt. Shufaa Al-Beity

    6. Bi. Mwanamani Kidaya

    Imetolewa na;KATIBU MKUU

    3 JUNI, 2016

  • 7/26/2019 MEM 123 Online.pdf

    10/18

    10 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Juni 9 - 15, 2016

    By Eng.Gilay ShamikaEngineer & Gemologist TMAAEmail: [email protected]: +255 762 715 762

    Strength of Tanzaniain linking FiveFoundation Blocks of

    Extractive IndustryE

    xtractive Industry broadlymeans mining andhydrocarbon industries. It isone of the most complicatedindustries, comprising of

    all three fundamental facets of naturalresources which are mineral, oil and gas.Of all complicities, extractive industryprovides employments to all careers andact as an engine to boost other traditionaleconomic sectors regardless of its resourcecurse and Dutch disease scenarios.

    Re-investing revenues from extractiveindustry into other economic sectors to

    make them robust is the best practice ever.This is because, the extractive industry lastfor a solid years only and is over. Thoughthe industry generates colossal of revenuesto the country if managed responsibly,its life period has to be transferred intoimmortal sectors by re-investing thoserevenues. Prof.Muhongo has been alwaysinsisting this by saying extractive industryis an engine of other sectors and countryseconomy. The quotes from Eng.GilayShamika articles signify this practice:

    Extractive Industry is notsustainable by itself, therefore cannot bringsustainable development by itself as well,and unless the revenues derived fromit are re-invested (integrated) into othertraditional economic sector to make themrobust. Thats the optimal contribution theextractive industries can do; and

    Extractive Industry is a temporaryassembly where all careers conveneto work together to produce single lineproduct at a specific solid years. Thistemporary assembly needs to be properlyorganised so that everybody becomes

    beneficiary before the assembly disperses.The sensitivity, vulnerability and

    massive risks to the country and investorsfrom the extractive industry, causehesitations for the countries to makedecision of investments.

    On the other hand, the citizens becomealarmed with higher expectations forthe industry and keep questioning the

    authorities on prosperities of the industry.Pertinent issues associated with extractiveindustry, have been researched and lectured

    in a bid of getting the proper modality ofwin-win situation between the country andinvestors.

    Though the MDAs for MiningIndustry and PSAs for Hydrocarbonsseem to be proper mechanisms for mutual

    benefit between governments and investors,predicaments and dissatisfactions are stillviral from extractive industry worldwide.

    Thanks to our Minister for Energy andMinerals with other higher profile officialsin the ministry for managing extractiveindustry responsibly to the extent of closinga deal of oil pipe from Uganda to Tanga.

    The deal has raised a buzz worldwideand most people assimilate the strength ofTanzania in East African Community to

    be like that of Russia in European Union.Russia is the main supplier of gases in

    the European Union member states. Thestrength of economic diplomacy betweenRussia and other European countries isa central topic whenever the Europeancountries convene for union proceedings.

    Tanzania has to use its boom of theextractive industry as a bargaining chipto create economic diplomacy with othercountries and stride from poor country tothe developed country.

    Through my experience, extractiveindustry is governed by what I callPRIMA, which is the abbreviation ofPolicy, Regulation, Investment, MDAs/PSAs and Act. Nothing is associatedwith extractive industry which is outof PRIMA. To this effect, these are thefoundation blocks of extractive industryaccording to my experience in the industry.The concept of PRIMA came into beingafter trying to see what else is associatedin the industry, wherever you search studycases and literature reviews, the totality ofall fall into PRIMA - Policy, Regulation,Investment, MDAs/PSAs and Act.

    It is envisaged that proper linkage ofPRIMA will facilitate maximization of theGovernment revenues derived from theextractive industry and also help adherenceof international treaties related to extractive

    industry like EITI.This is what the Government throughMinistry of Energy and Minerals has

    been doing to streamline PRIMA in away to manage the industry responsibly.The enactment of Mining Act 2010 witha lot of amendments is one among theefforts done by the Ministry. The currentestablishment of PURA is similarlythe alignment of foundation blocks ofextractive industry.

    In essence what are real meanings ofPolicy, Regulation, Investment, MDAs/PSAs and Act when articulated inExtractive industry?

    Policy ConceptPolicy is like architectural drawing

    showing the whole structure of the houseneeded either by owner or tenant. If is forowners residence, the drawing will baseon the wants and needs of the owner at apace but for renting, the drawing may needsome time to be adjusted to allure and

    encompass the renters needs and wants,which were not specifically according tothe owner pre-requisites. The owner iscompelled to change the drawing to satisfythe tenants otherwise the tenants will turndown the deal.

    Like architectural drawing, Mineralpolicy is the guidance showing theroadmap of the specific country towardsthe demand, supply and allocation of bothminerals and the revenues collected fromextractive industry. The extractive industrypolicies evolve in response to geologicalresources, politics circles, economics eventsand advancements in technology. All thesein totality are dictated by the wants andneeds of the investors.

    Like tenants, the investors wants and

    needs may compel the country to adjustthe policy as a threshold action for theinflux of investors in the country.

    Even if the country is endowed withabundant minerals, if is not internallyindustrial-consumer of its naturalresources, it will be swayed by investorsand therefore it will not withstand itsresources expectations and intent, to theextent that, a stand-alone mineral policewill not be possible rather it will confer itsminerals policy based on FDI, investors-oriented documented policy.

    The solution to this is to be focused inchanging our economy into industrializedeconomy; increase industries internallyto use the available minerals. The UnitedStates, Canada and Australia are all majormineral-producing countries with goodto excellent geological prospective. Their

    dream is to turn into net consumer andimporter of minerals for their industriesinstead of exporters.

    China has already managed this,Brazil is on the track. The minister andpresident persuade Tanzanians to investinto industries for value addition and valuefor money. If we utilize what we extract, ispossible to deal with the market price andregulate market forces.

    Investment ConceptThe investment issue has become a

    global central point of all mineral policiesregardless of the level of the economy ofthe country developed, developing andtransition economies. Investment andgovernment extractive industry policyare closely linked. Even the most highlygeologically prospective nations will havedifficulty in attracting foreign investment

    without adequate national policy,regulatory and fiscal systems.Over the past years in Tanzania,

    especially from 1990s the level of mineralsector investment has increased in realterms, and those nations that have put intoplace regulatory systems which reduce orallow a company to manage risks at anacceptable level have, for the most part,enjoyed increased levels of investor interest.

    The most difficult thing is to balancethe will of the government vis--vis thecommon wananchi/citizens perceptionson the incentives given to investors.The governments call incentives whilewananchi/citizens call it loopholes and

    become vocal and enraged with thoseincentives. To spur investments and at the

    same time having policy which pleasingwananchi, needs time as a bargaining tool.For instance Mtwara northern part ofTanzanias saga after educating them thesituation is calm.

    Academically, there are two schools ofthought aired internationally. Which oneshould start in country policy: economicdemocracy (China model) or politicaldemocracy (Western model)? And whoshould decide which one to start, thecountry itself or the international arena?The masterminds of these thoughtsamong others from Africa are NgoziOkonjo Iweala and Dambisa Moyo theauthor of DEAD AIDS TO AFRICA,WINNER TAKES ALL and HOWTHE WEST WAS LOST.

    The aforementioned statements

    CONT. PG. 11>>

  • 7/26/2019 MEM 123 Online.pdf

    11/18

    11BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Juni 9 - 15, 2016

    Eng.Gilay Shamika is an Engineer and Gemologist from Tanzania Minerals Audit Agency (TMAA). Email: [email protected]: The views and opinions expressed in this article are those of the author and do not reect the position of any institution/Employer.

    Strength of Tanzania in linking Five

    Foundation Blocks of Extractive Industryelaborate the importance of investmentvis--vis the readiness of wananchiwithin the investment vicinity andcompetitions with other countrieshaving similar resources. The incentivesare inevitable; otherwise the investorsdisperse and find resources into othercountries.

    However, what type of incentivesneeds to be granted? This is an openended question for the country todecide and make restructuring ofincentives whenever deemed necessary.Conformity of this is normally based on

    signing investment contract with shorttime to effect restructuring frequently as aneed be due to economic dynamics.

    Extractive Industry RegulationRegulations are like house

    decorations. The decorations are doneto perfect the appearance of the house(Policy/Acts). Some of the decorationsare needed to widen the relaxation ofthe dwellers (like regulators- officialsvested power) and make life worthwhilewithout confronting terms andconditions of the rent fees and alsowith no changes to the erected house(Extractive industry Act so to say).

    Decorations like painting can be

    done by tenants at any time wheneverthere is a need without prior consentof the owner or with just informing theowner. That means there is flexibility indoing decoration to easy and smoothingthe recurring deeds.

    In real sense basing on the aboveassimilation, extractive industry act issupplemented with extractive industryregulations, rules, administrative orders,administrative guidelines and otherregulatory devices. Such regulations,rules and administrative orders normallyderive directly from a power granted inthe extractive industry act to a specificgovernment officer.

    Typically, the Minister for Energy

    and Minerals and, or Commissionerfor Minerals, is granted the authority toissue such regulations/rules/orders toeasy and smoothing the responsibilitiesneeded with limited time for decisions.To replace or amend an extractiveindustry act is a politicized, complicatedand time- consuming process. Typically,an amendment to an extractive industryact will take long time; more commonlyit will take many years so to say.

    Regulations, on the other hand,can often be changed very quicklyand with limited political input. Thatswhy, lawmakers are wise to considerwhich subject matter should be in theextractive industry act and which topics

    are better placed in regulations.Many extractive industry acts lay out

    only the fundamental framework of themineral-sector regulatory system. Thedetails are provided in the regulations.Now you can see the correlation ofregulations logic with decorations logicabove.

    In light of the above, it is mostlyadvised pertinent issues to be stipulatedinto Act in summary and perplexphrases so as to provide a room to bewidely explained into regulations foractions from the authorized officers.

    The power vested to the officers in

    regulations, help to act in the sense ofurgency whenever the situation is worsefor the benefit of the country. In a broadnote, regulations are hands-on powerwhile Acts are shared power.

    Hands-on power in a sense that,the vested officials have a direct powerto decide and implement action usingregulations. But Acts are shared power ina sense that, the officials need judiciarytranslations for action to be justified.

    Mining Development Agreement(MDA) and Production SharingAgreement (PSA)

    Mining Development Agreement(MDA) is like a single tenants specialagreement with landlord in a housewith other tenants. You might have alarge house with different tenants inthat house. But one tenant has someexceptions with regards to others. May

    be, he has rent three rooms and hepromised to pay annually while the resthave single rooms and pay after six orthree months.

    The one occupied three rooms, asksto be considered by landlord not to dogeneral hygiene of the surroundings

    because of the aforementioned reasons(occupied 3 rooms and pay annually),the agreement is reached with landlordand communicated to other tenants.! The agreement or favoritism so to sayis based on the financial capability of

    the tenant and the beneficiation of thelandlord its two ways traffic.

    MDAs are of no exceptionalcompared to the above digestion; MDAsare part of extractive industry regulationsof its own kind. MDAs are agreementsreached between large projects investorsand the government on specific areasparticularly fiscal terms.

    The administrative officers grantedpower, discretionary upon theirsatisfaction, reach that agreementcoupled with vast privileges to investorand the country.

    However, governments use MDAsto help regulate large mines but handlesmaller operations under specific

    provisions in the general extractiveindustry Act. In many instances, evenwhen an agreement is in place, some orall of the extractive industry provisionsmay still apply to the operation.

    In most cases what agreed are on thefiscal regime perspectives (like waive oftaxes and exemptions on imports tariffs)

    but other operations still apply to theMining industry Act. Additionally, thereis trend in some jurisdictions for mine, oilor gas project to enter into agreementswith local communities, landowners,land-users or indigenous people by theguidance of the authorities within the

    country ( Local Content Policy).The logic behind MDAs as seenabove is to have separate agreement forassurance between the country and largeinvestors. Due to complicities and risksinvolved into mining, the MDAs coverall these factors and ultimately the win-win situation is reached between parties.If you leave the large mining investorsto be governed by only mining Act andregulations, other cross-cut issues will bedifficult to be solved or regulated. Thusall those matters are put into discussionsand roadmap (MDA) designed and putinto action while the rest fall into MiningAct and regulations.

    For hydrocarbons Industry (Oil& Gas), there is Production SharingAgreement (PSA) while in Mining thereis MDA. The logic of having PSA in oiland gas is the same as that of MDA inmining.

    To sum up, though there is anExtractive Industry Acts, but presenceof MDA and PSA are paramount toaccommodate the issues which arenot captured well or given relaxationprivilege in the Act. Is like having thesupreme law of the Land (Constitution)and by-laws to accommodate councils,municipalities, wards and villages day today endeavors.

    Extractive Industry ActExtractive industry Act is like a

    physical permanent erected house. Thebuilding passes different stages, fromarchitectural and engineering drawing tosetting, building foundation and walls,and ultimately finishing.

    Since this operations entails timeand resources consuming, the needsand wants to build the house requirescomprehensive and thoroughlyconsiderations before starting thatexercise.

    Similarly, the intention has to be clearif the house is for owners residence orfor renting. If the intention changes onthe course or short time after building,the whole processes are futile and itwill take time and cost to demolish the

    permanent structure and seek otherbuilding permit from relevant authoritiesof which the concrete reasons had to bescrutinized.

    Extractive industry Act needs timeand resources to be enacted and ispermanent for a solid period of time.Like house, the needs and wants of theAct, have to be lectured, scrutinized,sensitized and ultimately well linkedwith policy and regulations for smoothimplementation. Thus, as a generalobservation, important policy mattersare addressed in the extractive industryAct while administrative details are

    embodied in regulations.Since laws are more difficult tochange than are regulations, the subjectmatters addressed in the law are usuallyconsidered as more stable than thosefound in the regulations. There are somemineral sector regulatory topics whereenhanced stability is perceived by mostgovernments as useful. These are placedinto the regulations but accompaniedwith balance and checks stipulated intothe Act.

    Act being like our permanent house,needs a strong foundation and welldetailed architectural and engineeringdrawings. This is to say, the policy,regulations, investments, MDAs/PSAs have to be well linked to bridge allloopholes for the extractive industry toyield required revenues to the countryand reach 10% of GDP on 2025.

    The experience shows that non-linkage of PRIMA is the source ofresource curse or Dutch disease. Thatmeans the Extractive industry sectorneed comprehensive approach whichlinks all PRIMA and make it likecobweb where any loopholes whetherdeliberately or incidental createdwill be captured PRIMACOBWEB!!

    The figurative assimilation ofPRIMA and the processes used to buildthe house fit each other. PRIMA are our

    build materials to have strong and state-

    of art house (managed responsiblyextractive industry)

    The ministerial managementunder Prof.Muhongo and the restare battling around the clock to buildstrong foundation of extractive industry.As we are aware, the energy sectorand mining sector have dramaticallyimproved and strengthened by linkingall five foundation blocks effectively andsufficiently.

    Together lets discuss in a good faithand build the foundation by using thosefive blocks - PRIMA. You can prepareand fabricate any block among thosefive and submit to the general public forcontinual construction of the industry.

    FROM PG. 10>>

  • 7/26/2019 MEM 123 Online.pdf

    12/18

    12 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Juni 9 - 15, 2016

    Na Zuena Msuya,Bagamoyo Pwani

    Wizara ya Nishati naMadini imesema

    itaendeleakuimarishamiundombinu ya

    upatikanaji wa huduma ya umemeWilayani Bagamoyo Mkoani Pwaniili kuondoa malalamiko ya mara kwa

    mara yanayotolewa na wateja.Kaimu Kamishna wa Nishati

    anayeshughulikia Umeme, MhandisiLeonard Masanja alisema hayowilayani Bagamoyo baada yakufanya Ziara katika Ofisi ya Shirika

    la Umeme nchini (TANESCO)wilayani humo hivi karibuni.Akiwa katika ziara hiyo,

    Mhandisi Masanja alielezwa naMeneja wa Tanesco Wilaya yaBagamoyo, Mhandisi Julius Doyi

    kuwa transfoma 56 ziliibiwa mafutana kusababisha wananchi wengikuilalamikia Tanesco kwa kuchelewakuwapatia huduma ya umemelicha ya kukamilisha hatua zote zakuunganishwa na huduma hiyo naumeme kukatika mara kwa mara.

    Pia alielezwa kuwa, Tanescoimekuwa ikichelewa kutatuachangamoto zinazowakabili

    wananchi wa maeneo hayo pindiinapotokea hitilafu ya umeme aukukatika kwa huduma ya umemekatika eneo fulani la wilaya na Mkoahuo.

    Baada ya kupokea malalamiko

    hayo, Mhandisi Masanja alimtakaMeneja wa Tanesco, Mkoa waPwani Mhandisi Martin Madulupamoja na Meneja wa Tanesco,Wilaya ya Bagamoyo, MhandisiJulius Doyi kutoa ufafanuziwa namna ya kukabiliana nachangamoto hizo pamoja na kutatuamalalamiko hayo.

    Kwa upande wake MenejaTanesco, Mkoa wa Pwani Mhandisi

    Martin Madulu, alisema kuwamalalamiko hayo yanatokana nauchache wa miundombinu hasa kwawale wanaohitaji kuunganishiwahuduma ya umeme.

    Aidha alifafanua kuwa watumishiwachache waliofukuzwa kazikutokana na makosa mbalimbaliwamekuwa wakidaiwa kuhujumushughuli za kuunganisha hudumaza umeme kwa wananchi kwa kudairushwa kwanza jambo lililokuwalikiwakatisha tamaa wananchi.

    Hata hivyo alielezwa kuwa, tayariwafanyakazi wanane wamefukuzwakazi wilayani Bagamoyo kwamakosa mbalimbali ikiwemo

    rushwa, matumizi mabaya ya ofisina kuchelewesha huduma kwawananchi.

    Naye Meneja wa Tanescowilayani Pwani, Mhandisi JuliusDoyi alisema kuwa tatizo lakuchelewa kuwahudumia wananchihasa wale wanaopata tatizo lakukatika huduma ya umemelinatokana na miundombinu mibovuya kuwafikia wananchi hao na kuwana Gari moja la kutoa huduma kwawilaya nzima.

    Aliongeza kuwa Tanescowamekuwa wakichelewa kupatataarifa kutoka kwa wananchikutokana na wengi wao kutoa taarifahizo kupitia Viongozi wa Serikali zamitaa na kusababisha taarifa hizokuchelewa kuwafikia Tanesco.

    Kaimu Kamishna wa Nishati anayeshughulikia umeme,MhandisiLeornard Masanja (wa pili kulia) akikagua baadhi ya transfomazilizoibiwa mafuta katika osi ya Tanesco wilayani Bagamoyo, kuliani Meneja wa Tanesco Mkoa wa Pwani, Mhandisi Martin Madulu naMeneja Tanesco Wilaya ya Bagamoyo Mhandisi Julius Doyi (kushoto)

    Miundombinu ya umeme

    Bagamoyo kuboreshwa

    Kaimu Kamishna wa Nishati anayeshughulikia umeme, Mhandisi Leonard Masanja (mbele) akiwa na Meneja

    wa Tanesco Mkoa wa Pwani, Mhandisi Martin Madulu (nyuma kulia) na Meneja wa Tanesco Wilaya yaBagamoyo Mhandisi Julius Doyi (nyuma kushoto) wakitoka katika Osi ya Serikali ya mtaa kupata maoniya viongozi wa mtaa juu ya huduma ya umeme wilayani humo.

    Baadhi ya Transfoma zilizoibiwa mafuta zikiwa katika osi ya TanescoWilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.

  • 7/26/2019 MEM 123 Online.pdf

    13/18

    13BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Juni 9 - 15, 2016

    Na Samwel Mtuwa-GST

    Wataalam wa Wakalawa Jiolojia Tanzania(GST) kupitiaMaonesho yaWajasiriamali na

    Wamiliki wa Viwanda Vidogo Vidogomkoani Dodoma, wametoa elimukuhusu matumizi sahihi ya madini yachumvi na magadi kwa watanzaniawaliotembelea Banda la Maonesho laGST.

    Mratibu wa Ushiriki waMaonesho hayo wa GST, MjiolojiaJonhson Muhozi alisema kuwa GSTimeshiriki katika maonesho hayokwa lengo la kutoa elimu kwa ummakuhusu masuala mbalimbali ikiwemomatumizi sahihi ya madini ya chumvi,kwa kuwashauri wavunaji wa chumviwajenge utamaduni wa kutumiamaabara ya GST kupima chumviwaliyovuna kabla ya kwenda kwamlaji ili waweze kujua aina za madini

    yaliyopo katika chumvi pia kuwaelezawatanzania kuwa chumvi bora ni ileiliyopimwa kitalaam na kuondolewamadini yasiyofaa kiafya.

    Mfano madini aina ya kaboneti(Carbonate) yanapokuwepo katikachumvi yana tabia ya kuondoavirutubisho vya mwili suala ambalolinaweza kusababisha ugonjwa wakansa (Cancer) kwa binadamu,alisema Muhozi.

    Akieleza kuhusu madini yaMagadi, Muhozi alifanunua kuwa,wateja waliotembelea banda hilo

    walipewa elimu na kuwashaurikutotumia kwa wingi madini yamagadi kwa sababu madini hayoyana chokaa kwa wingi na tabia yamadini ya chokaa ni kutoyeyukakwa haraka hivyo yanaweza kuletamadhara ya afya kwa binadamu.

    Madini ya Magadi yana chokaakwa wingi hivyo yanapotumika kwawingi na binadamu yanakuwa sisalama kwa afya, hii ni kutokana namadini haya kutoyeyuka kwa harakayakishajikusanya. Madini hayoyanaweza kuleta madhara ya kiafayakama magonjwa ya kansa, AlisemaMuhozi

    Kwa upande wake Mtalaamwa Mawe ya Nakshi kutoka GST,Sabitina Bakari, alisema kuwakatika Maonesho hayo wamepataWajasiriamali wengi waliotaka kupata

    elimu ya mawe ya nakshi (DimensionStone), hivyo kutokana na mahitajihayo wamepanga kutoa elimu kwavitendo juu ya ukataji na ungarishajiwa mawe ya nakshi ili watanzaniawaweze kutumia elimu hiyo katikaujasiriamali .

    Tumepata wajasiriamali wengiwanaotaka kupata elimu ya mawe yanakshi hasa katika ukataji pamoja naungarishaji hivyo tumepanga tukitokahapa tutapeleka mrejesho ofisini iliofisi iangalie jinsi ya kutoa elimu yaukataji na ungarishaji kwa maendeleoya watanzania, alisema Sabitina.

    Akifunga Maonesho hayoWaziri wa Viwanda na Biashara,Charles Mwijage aliahidi kufunguaKiwanda cha kuzalisha madini yaJasi (Gypsum) kutokana na madinihayo kupatikana kwa wingi mkoani

    Dodoma.Maonesho hayo ya Wajasiriamalina viwanda vidogo yalianza tareheMoja Juni hadi tarehe Sita, 2016ambapo yaliandaliwa na Shirikala Viwanda Vidogo Vidogo naMaendeleo (SIDO).

    GST YATOA ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YACHUMVI, MAGADI NA MAWE YA NAKSHI

    Washiriki katika Maonesho ya bidhaa za Wajasiriamali na Viwandavidogo kutoka GST, Sabitina Bakari wa kwanza kushoto na JonhsonMuhozi wakimshuhudia, Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma, Halima

    Madenge, akisaini kitabu cha wageni katika Banda la Maonesho la GSTkwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma.

    Waziri wa Viwanda na Biashara, Charles Mwijage akitembelea banda la

    GST katika Maonesho ya Ujasiriamali na Wamiliki wa Viwanda Vidogoyaliyofanyika katika Viwanja vya Mashujaa mkoani Dodoma.

    GAWIO KWA SERIKALI KUTOKA PUMA NA TIPER: SERIKALIINA HISA 50% KWA KILA KAMPUNI HIZI AMBAZO ZIKO

    CHINI YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI. LEO, ALHAMISI,

    09 JUNI 2016, PUMA IMETOA GAWIO (DIVIDEND) LATSHS 4.5 BILLION NA TIPER IMETOA TSHS. 2 BILLION.TUTAENDELEA KUSIMAMIA MAPATO YA SERIKALI KUTOKA

    VYANZO KAMA HIVI NA VINGINE.

    PROFESASOSPETER MUHONGO

    UJUMBEWAWAZIRIWIKIHII

  • 7/26/2019 MEM 123 Online.pdf

    14/18

    14 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Juni 9 - 15, 2016

    Veronica Simba naRhoda James

    Matumizi ya nishatiya tungamotakahususan mkaa na kuniyameendelea kuwachangamoto kwa

    jamii mbalimbali ikiwemo Tanzania.Madhara makubwa yanayotajwakutokana na matumizi ya nishati hiyo

    ni uchafuzi na uharibifu wa mazingiraunaosababishwa na ukataji holelawa miti. Aidha, matumizi ya kuni namkaa huzalisha hewa ya ukaa ambayosiyo rafiki kwa afya ya binadamu.

    Serikali, kupitia Wizara ya Nishatina Madini inaendeleza mikakatimbalimbali kuhakikisha wananchiwanaachana na matumizi ya kuni namkaa na badala yake watumie nishatinyingine zilizo rafiki kwa mazingirakama vile gesi na umeme.

    Baadhi ya mikakati muhimuinayotekelezwa na Wizara ni pamojana kuhakikisha nishati za umeme nagesi zinapatikana kwa wingi nchinikote ikiwemo vijijini. Pia, kuhakikishanishati hizo zinapatikana kwa bei

    nafuu ambayo wananchi wengiwataweza kuimudu.Umeme unaendelea kusambazwa

    kwa kasi sehemu mbalimbali nchiniyakiwemo maeneo ya vijijini. Aidha,miundombinu kwa ajili ya upatikanajiwa umeme wa uhakika inazidikuboreshwa. Bomba kubwa la gesikutoka Mtwara hadi Dar es Salaamlimekwishakamilika na mikakatiiliyopo ni kuhakikisha pamoja namatumizi mengine, gesi hiyo piainatumika kupikia kwa kusambazamtandao wake sehemu mbalimbalinchini.

    Kwa upande mwingine, baadhiya wadau wa sekta ya nishati nchiniwamejipanga kuleta mageuzi katika

    sekta ndogo ya mkaa ili kutoka kuwachanzo cha uharibifu wa Misitu,nishati hiyo iwe motisha kwa jamii,

    hususan katika usimamizi wa Misituyao kwa njia endelevu.

    Shirika la Kuhifadhi Misitu ya AsiliTanzania (TFCG) kwa kushirikianana Mtandao wa Jamii wa Usimamiziwa Misitu Tanzania (MJUMITA)na Shirika la Kuendeleza Nishati yaAsili Tanzania (Tanzania TraditionalEnergy Development Organisation,TaTEDO) wanatekeleza mradi huoujulikanao kwa ufupi kama TTCS kwaufadhili wa Shirika la Maendeleo na

    Ushirikiano la Uswisi (Swiss AgencyDevelopment and Cooperation, SDC).

    Mradi huo umedhamiriakukabiliana na changamoto yaupotevu mkubwa wa nishati kutokanana aina za teknolojia zinazotumikakutokuwa fanisi.

    Akiwasilisha mada kuhusu Mradiwa kuleta mageuzi katika sekta yaMkaa Tanzania, katika Mkutanouliowakutanisha Maafisa Mawasilianokutoka Idara na Taasisi mbalimbaliza Serikali na zisizo za Kiserikali, hivikaribuni jijini Dar es Salaam, Mtaalamkutoka MJUMITA, Elida Fundi,alisema kuwa, nia ya wadau hao kuletamageuzi husika ni kusaidia nia njema

    ya Serikali katika suala la uhifadhi wamazingira.Mtaalam huyo anakiri kuwa,

    jitihada za Serikali, hususan Wizara yaNishati na Madini kuhakikisha jamiiinaachana na matumizi ya kuni namkaa na kutumia nishati zilizo rafikikwa mazingira kama vile gesi, ni zakupongezwa.

    Hata hivyo, anabainisha kuwa,katika kipindi ambacho Serikaliinaendeleza jitihada za jamiikuachana na matumizi ya mkaa nakuni, ni vyema kuwepo na mbinumbadala itakayohamasisha wananchikupunguza ukataji holela wa miti.

    Ni kwa sababu hiyo, Mradihuu umelenga kuboresha namna ya

    kukabiliana na kuhimili mabadilikoya tabia nchi, kuongeza uendelevuwa mazingira na utawala bora katika

    mnyororo wa thamani wa mazao yamisitu ikiwemo mkaa.

    Akieleza zaidi kuhusu malengoya kuanzishwa mradi huo, OfisaMawasiliano kutoka TFCG,Bettie Luwuge anasema kuwa, nikuwawezesha wananchi kunufaikamoja kwa moja na usimamiziendelevu wa rasilimali za misitukupitia taasisi zao za kijamiizilizoimarishwa na zenye kuleta faidakutokana na biashara ya mazao yamisitu na kwa kuleta mageuzi yakiutendaji ili kuongeza ushawishi wasera zinazounga mkono matumiziendelevu ya rasilimali za misitu;kuwajengea uwezo watumishi waserikali na wadau wengine wawezekurasimisha na kusimamia sekta yatungamotaka.

    Aidha, Luwuge anaeleza kuwa,Mradi umekuwa ukitekelezwa katikaWilaya ya Kilosa katika vijiji 10 tangumwaka 2012 kwa awamu ya kwanza,na sasa umetanua shughuli zake katikaHalmashauri ya wilaya ya Morogorona Mvomero kuanzia Desemba 2015hadi Novemba 2019 katika kipindi chaawamu ya pili.

    Kuhusu shughuli mahsusizinazofanyika, Luwuge anaelezakuwa pamoja na mambo mengine,mradi umesaidiana na wananchi naserikali ya wilaya ya Kilosa kuandaana kuanzisha misitu ya hifadhi za vijijiambapo ndiyo panatengwa maeneomaalumu ya uvunaji wa nishati ya

    mkaa kwa njia endelevu pamoja nakuanzisha na kutekeleza mfumo wamkaa endelevu.

    Imeelezwa kuwa mkaaunaozalishwa kwa njia endelevu

    unazalishwa kutoka kwenye misituya hifadhi ya vijiji, ambayo huzingatiakanuni bora za kiikolojia za uvunajiendelevu. Aidha, mkaa huounazalishwa kwa kutumia teknolojiaya tanuri bora zilizoboreshwa kitaalam.Pia, vibali vya uvunaji hutolewa vijijini,ushuru hulipwa vijijini na unafuatataratibu zote za kisheria ikiwa nipamoja na taratibu za usafirishajizinazofuata sheria.

    Ni jambo la kutia moyo kwamba,Mradi huo mbali na kuhamasishamatumizi ya njia sahihi za uvunajiwa mkaa ili kutoharibu Misitu kwauvunaji holela wa Miti, pia wananchihusika wananufaika kwa namnambalimbali ikiwemo ajira pamoja navijiji husika kupata mapato kutokanana ushuru.

    Aidha, ni jambo la kufurahisha palewadau mbalimbali wanapoibua mbinumbalimbali za kuisadia Serikali katikamasuala mbalimbali yanayolengakuleta maendeleo kwa wananchi naTaifa kwa ujumla.

    Bila shaka, Mradi wa kuletamageuzi katika sekta ya mkaaTanzania, ikiwa utatekelezwa ipasavyona kuenezwa sehemu mbalimbali nchinzima, utasaidia kwa kiasi kikubwakupunguza madhara ya uvunaji holelawa kuni na mkaa, katika kipindiambacho Serikali inafanya jitihadakuhakikisha wananchi wanaachana

    kabisa na matumizi ya nishati hiyokwa kuwezesha matumizi ya nishatinyingine bora zaidi.

    Baadhi ya wanavijiji kutoka vijiji nane Wilayani Kilosa wakijifunza jinsi yakuandaa magogo kwa ajili ya uchomaji wa mkaa endelevu katika Wilayahiyo kwa lengo la kuchoma mkaa lakini pia kutunza mazingira

    MAKALAMAKALA

    Mkaa endelevu tayari kwa ajili yamatumizi ya nyumbani

    WADAU WA NISHATI KULETA MAGEUZI SEKTA YA MKAA

  • 7/26/2019 MEM 123 Online.pdf

    15/18

    15BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Juni 9 - 15, 2016

    WAJUMBE WA BODI YA USHAURI YA WAKALA WA JIOLOJIA TANZANIA (MAB-GST)WALIPOTEMBELEA MACHAPISHO YA VITABU NA RAMANI ZA UTAFITI WA JIOSAYANSI

    ULIOFANYWA NA GST. MATEMBEZI HAYO YALIONGOZWA NA MKURUGENZI WA IDARA YAKANZIDATA YORKBETH MYUMBILWA (ALIYEVAA KITENGE) MKOANI DODOMA

    HABARI KATIKA PICHA

    1 2

    3

    1. Baadhi ya watumishi wa Wizara ya Nishati na Madiniwamkisikiliza Mwakilishi wa Kampuni ya uwekezaji yaWentworth, ( hayupo pichani) wakati wa kikao kati ya watendaji

    wa Wizara na Kampuni hiyo iliyokuwa ikitekeleza mradi waMtwara Energy Project kabla ya mitambo yake kumilikiwa naShirika la Umeme Tanzania (TANESCO)

    2. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madinianayeshughulikia Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo(katikati) akiwa na Wawekezaji wa Kampuni ya Wentworth,katika majadiliano ya kuona namna ya ulipaji wa dia kwakampuni hiyo ambayo ilikuwa ikitekeleza mradi wa MtwaraEnergy Project kabla ya mitambo yake kumilikiwa na Shirika laUmeme Tanzania (TANESCO) .

    3. Kaimu Kamisha wa Nishati, James Andilile, kushoto kwa NaibuKatibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikiaNishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo, akifafanua jambo wakatiwa kikao kati ya watendaji wa Wizara na Kampuni ya uwekezajiya Wentworth, iliyokuwa ikitekeleza mradi wa Mtwara Energy

    Project kabla ya mitambo yake kumilikiwa na Shirika la UmemeTanzania (TANESCO)

  • 7/26/2019 MEM 123 Online.pdf

    16/18

    16 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Juni 9 - 15, 2016

    JE WAJUA?SASA UNAWEZA KULIPIA LESENI YAKO KWA URAHISI

    ZAIDI KWA KUTUMIA SIMU YAKO YA MKONONIFUATA HATUA RAHISI ZIFUATAZO KWA KUTUMIA SIMU YAKO YA MKONONI

    FUNGUA SEHEMU YA KUTUMA UJUMBE MFUPI WA MANENO (SMS);

    ANDIKA NENO MEM ACHA NAFASI, IKIFUATIWA NA NAMBA YA LESENI YAKO,KISHA TUMA KWENDA NAMBA 15341;

    UTAPOKEA UJUMBE UNAOONESHA KIWANGO UNACHOTAKIWA KULIPAPAMOJA NA NAMBA YA KUMBUKUMBU YA MALIPO;

    TUMIA NAMBA YA KUMBUKUMBU YA MALIPO ULIYOTUMIWA KUFANYA MALIPO;

    UNAWEZA KUFANYA MALIPO KWA NJIA YA M-PESA, TIGO-PESA, MAXMALIPO AUKATIKA TAWI LOLOTE LA BENKI YA NMB.

    KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA OFISI YA MADINI ILIYO KARIBU NAWE

    JISAJILI UWEZE KUTUMIA HUDUMA ZA LESENI KWA NJIA ZA KISASA

    BAADHI YA FAIDA ZA KUTUMIA HUDUMA HII YA OMCTP

    WIZARA YA NISHATI NA MADINI INATOA HUDUMA ZA LESENI KWA NJIA YA

    MTANDAO (OMCTP) ILIYOANZA KUTUMIKA MWEZI SEPTEMBA, 2015;HUDUMA HIZO ZINAPATIKANA KWA NJIA YA MTANDAO KUPITIA TOVUTIMAALUM YENYE ANUANI YA portal.mem.go.tz

    ILI UWEZE KUTUMIA HUDUMA HII, UNATAKIWA KUJISAJILI KATIKA OFISI YAMADINI ILIYO KARIBU NAWE

    UNAWEZA PIA KUMTUMIA WAKALA AU MWAKILISHI ENDAPO HUWEZI KUJISAJILIWEWE BINAFSI

    KUTUMA NYARAKA, KUOMBA LESENI, NA KULIPIA LESENI BILA KULAZIMIKA KUFIKA OFISI YAMADINI;

    KUKUWEZESHA KUFUATILIA MWENENDO WA MAOMBI AU LESENI UNAYOMILIKI MTANDAONI;

    KUPATA TAARIFA ZA LESENI AU TAARIFA ZA WITO KWA URAHISI KABISA KUPITIA SIMU YAMKONONI AU BARUA PEPE;

    KUKUWEZESHA KUREKEBISHA TAARIFA BINAFSI KAMA ANUANI AU NAMBA YA SIMU BILAKUFIKA OFISINI;

    KUKUWEZESHA KUPATA TAARIFA MBALIMBALI ZA MAENEO YALIYO WAZI, YALIYOTENGWA AUKUPENDEKEZWA KWA AJILI YA WACHIMBAJI WADOGO;

    WAHI SASA UKASAJILIWE UONE UTOFAUTI

  • 7/26/2019 MEM 123 Online.pdf

    17/18

    17BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Juni 9 - 15, 2016

    THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIAMINISTRY OF ENERGY AND MINERALS

    THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIAMINISTRY OF ENERGY AND MINERALS

    REQUEST FOR EXPRESSION OF INTERESTCONSULTANCY SERVICES FOR CARRYINGOUT SCOPING OF TANZANIA EXTRACTIVE

    INDUSTRIES PERFORMANCE ANDPRODUCTION OF TEITI REPORT FOR THEFISCAL YEARS 2014/15 AND 2015/16

    ME/008/2015-16/TEITI/C/01

    EMPLOYMENT OPPORTUNITY FOR DIRECTOR GENERAL(RE-ADVERTISED)

    1. The Government of the United Republic of Tanzania through the Ministry

    of Energy and Minerals (MEM) has received financial support to meet eligiblepayments for Provision of Consultancy Services for Carrying out Scoping ofTanzania Extractive Industries performance and Production of TEITI reportsfor the Fiscal Years 2014/15 and 2015/16. The reports will cover reconcili-ation of payments from extractive industries and revenue received by theGovernment during the period of 1st July 2014 to 30th June 2015 and 1st July2015 to 30th June 2016 respectively.

    2. Tanzania joined EITI in February 2009 with an objective of promot-ing transparency and accountability in its natural resources. The process inTanzania is lead by a Multi-Stakeholders Working Group (MSG) consistingof civil society organizations, government agencies and extractive companies.In December 2012 EITI Board declared Tanzania compliant with EITI andstandard. EITI compliant means that the country has an effective process forannual disclosure and reconciliation of all revenues from its extractive sector,helping citizens to see how much their country receives from oil, gas and min-ing companies.

    Tanzania under MSG has produced six (6) TEITI reports since it joined EITI

    in February 2009. The latest report covering the period from 1st July 2013 to30th June 2014 was published in November 2015.

    3. On behalf of the MSG, the Ministry of Energy and Minerals seeks a com-petent and credible firm, free from conflicts of interest to provide service asIndependent Administrator in accordance with EITI Standard in carrying outthe scoping study and production of TEITI reports covering the period of 1stJuly 2014 to 30th June 2015 and 1st July 2015 to 30th June 2016 respectively.

    4. Tendering will be conducted through the National Competitive Tenderingprocedures specified in the Public Procurement Act 2011. Interested con-sulting firms must provide information indicating that they are qualified toperform the services (profiles, brochures, description of similar assignments,experience in similar conditions, and availability of appropriate skills amongstaff). Firms may associate to enhance their qualifications. The prospectiveconsultant is to be selected in accordance with the Consultant QualificationSelection (CQS) procedures as defined by Public Procurement Act, 2011 andits Regulation issued under GN 446 of 2013.

    5. Expressions of Interest (EoI) must be delivered to the address below inparagraph 6 by 1st July, 2016 before 10:00 hours, and should be clearlymarked on the subject Tender No. ME/008/2015-16/TEITI/C/01, Consul-tancy Services for carrying out Scoping and Production of EITI reports forthe Fiscal Years 2014/15and 2015/16. Bids will be opened promptly there-after in public and in presence of consultants/representatives who choose toattend the opening ceremony, at the Ministry of Energy and Minerals - HQ,TANESCO Building, Wing B, 6th Floor, Room No.10

    6. EoI should be submitted to the Secretary, Ministerial Tender Board, Min-istry of Energy and Minerals HQ, 6th Floor, Wing B Room No.10. Late orElectronic delivery of EoI will not be accepted for evaluation irrespective ofthe circumstances.

    The Permanent Secretary,Ministry of Energy and Minerals,

    5 Samora Machel Avenue,P.O. Box 2000, 11474 Dar -Es -Salaam.

    Phone: +255 22 2117156-9

    Fax: +255 22 2111749Email: [email protected]: www.mem.go.tz

    The Rural Energy Agency (REA) isa Government institution establishedunder the Rural Energy Act, 2005. Itsmain role is to promote and facilitateaccess to modern energy services inrural areas of Mainland Tanzania.The Agency is inviting applicationsfrom dynamic, energetic and proactiveTanzanians with appropriate technicalskills and experience to fill the followingvacant position.

    Reporting to the Rural Energy Board(REB)The Director General is responsiblefor the attainment of the Agency`svision, mission and objectives throughleadership that inspires Agency`sstaff and employees to efficiently andeffectively execute strategic, tacticaland action plans in accordance withthe values that govern the supply ofelectricity to rural population. Thespecific duties and responsibilitiesthat make up the role of the DG aredescribed hereunder.

    Duties and Responsibilitiesa) Overall Management and operations

    of the Agency, including policy andoperational matters;

    b) Provides leadership, guidance and

    motivation to management and staffin the implementation of the day today activities of the Agency;

    c) Recommends to the Rural EnergyBoard short, medium and long termplans and strategies to achieve thevision and mission of the Agency;

    d) Advises and appraises theRural Energy Board periodicallyon matters pertaining to theperformance of Agency;

    e) Develops and maintains goodworking relations with allstakeholders including Governmentministries, Donors, Parliament andRegional Authorities;

    f) Provides strategic direction in themajor functions of the Agency`soperations and market it to keystakeholders, financiers andinvestors;

    g) Reviews the organization`s annualaccounts and other statutoryreports and submit to the Board forapproval;

    h) Promotes investment in ruralenergy projects and activities thatimprove access to modern energyprojects based on sound principlesand criteria, are submitted tothe Board for consideration andapproval for grants from the RuralEnergy Agency (REA) and theRural Energy Fund (REF) in all itsdealings with partners and otherthird parties;

    i) Mobilizes financial resources tothe Rural Energy Fund (REF) andensure that sufficient funds areavailable in the fund to provide forrural energy projects and activities;

    j) Employs and administershuman resource issues such asstaffing requirements includingappointments of staff of the RuralEnergy Agency; and

    k) Carries out any other duties as maybe assigned to him/her by the RuralEnergy Board.

    Qualification and Experience Requireda) Masters Degree in Engineering,

    Economics, Finance or Science.b) MBA or PHD will be considered as

    added advantage.c) At least 10 years minimum of work

    experience at Senior Managementwhich includes at least 5 years asdirector or equivalent.

    d) Successful experience in managingdonor funded projects, Knowledgeof the region and Energy sector inTanzania is required.

    e) Demonstrate experience in workingwith multi stakeholders.

    f) Computer literate;Competences Requireda) Strong leadership skills and a team

    player;b) Strong analytical skillsc) Drive for results;d) Problem solving and decision

    making;e) Effective communication skills

    Age LimitsShould not be less than 45 and not

    above 55 years of age.

    Employment Termsa) Contact of five (5) years renewable

    based on performance; and

    b) Attractive Remuneration packagewill be offered to the successfulcandidate.

    APPLICATION INSTRUCTIONS:Applicants is required to submit CVs,

    copies of certificates they wish touse in supporting their applications,three referees to the address shownbelow.

    a) Applicants must clearly showtheir complete contact addressesincluding mobile telephone numbersand e-mail addresses;

    b) Deadline for receiving applicationsis 20th June, 2016 16:00 hrs;c) Only shortlisted candidates will be

    contacted;d) Application letters should be sent by

    post, courier or delivered by hand tothe addressee below;

    e) As part of your application, pleasewrite a short essay not exceeding1000 words as to why you bel ieveyou deserve to be appointed for theposition and what you intend to doto contribute to the advancement ofREA strategic outlook.

    Kindly not that electronic submissionswill not be honored.

    Prof. J. W NtalikwaPermanent SecretaryMinistry of Energy and Minerals,5 Samora Machel Avenue,P.O. BOX 2000,11474, DAR ES SALAAM.Email: [email protected]

  • 7/26/2019 MEM 123 Online.pdf

    18/18

    18 BulletinNewshttp://www.mem.go.tz

    HABARI ZA NISHATI/MADINI

    Juni 9 - 15, 2016

    Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo tarehe 9/6/2016,alikutana na Mwakilishi Mkazi wa UNDP Tanzania mjini Dodoma,Awa Dabo. Lengo la kukutana lilikuwa ni UNDP kuanzisha ushirikianona Wizara katika masuala ya Nishati Endelevu kwa Wote, uwazi nauwajibikaji na Wachimbaji wadogo.

    Aidha, baada ya kikao hicho, ilikubalika kuwa, Wizara ya Nishati naMadini itaitisha kikao kujadili utekelezaji wa Nishati Endelevu kwaWote, ikiwemo matumizi ya umeme jua, vijijini na UNDP kutoa msaadawa masuala ya Tasnia ya Uziduaji kwenye maeneo ya, majadiliano,uwezeshaji wazawa na uchimbaji mdogo.

    Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospter Muhongo pia tarehe 9 Juni,2016, alikutana na Makam wa Rais waMasuala ya Biashara ya Afrika wa Kampuni ya Tullow Oil Plc, Tim OHANLON, mjini Dodoma katika kikao walijadilikuhusu Bomba la kusarisha mafuta gha kutoka Hoima nchini Uganda hadi Bandari ya Tanga.

    OHANLON alimweleza Prof. Muhongo kuwa Kampuni ya Tullow imekubaliana na maamuzi ya Serikali ya UgandaBomba la Mafuta kupita Tanzania na pia kampuni hiyo inakubaliana na mradi huo na kwamba hivi sasa inajadiliana

    kuhusu namna ya kushiriki katika utekelezaji wa mradi huo.